POLISI MBEYA WAMSHIKILIA ALIYEICHOMA MOTO PICHA YA RAIS SAMIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 21
@WilsonLuwi-ri3hhКүн бұрын
Safiiiii choma ingine
@LddyKidava2 сағат бұрын
Selikali yetu ya bongo iyo😅😅
@benancejohn1198Күн бұрын
Wataalamu wa sheria,huyu mwamba anashitakiwa kwa sheria gani 🤔
@samorasilayo1268
Күн бұрын
wewe muoga sisi hatutambui mtu tunaeshemu mungu mungu watu hatuwatambui
@RehemaMbogela23 сағат бұрын
Tunaomba atusamehe mama yetu lakini tunaomba huyu kijana apimwe Hakili tu sio hakili yake
@traudkamugisha80512 күн бұрын
Mshenzi kabisa piga viboko ashike adabu huyo fala, hajui kwamba Rais ndo Image ya serikali??
@FahadAbubakari2 күн бұрын
Tufike point tujue Raisi sio Mungu, kama kuna watu wanamtukana na Kumpinga Mungu , iwe raisi? Acheni hayo mambo Raisi ni binadamu tu msitake kuweka mazingira yakuaminisha kua Raisi ni mtu wakuogopwa sana vitu vingine puuzeni kwa hiyo iyo ni meseji ya kutishia watu kua ukipinga au kutomkubali Raisi basi tutakushika , ila angechoma picha ya mpinzani mngemkamata ? Tusitake kufanya uraisi ni uungu flani hivi
@hassanmadodi5396
11 сағат бұрын
Kwahiyo akiwa bin Adam ndio ana haki ya kutukanwa. Nini bana mbona fikra zako zipo kwenye nyayo. Kwahiyo na wewe ukitukaniwa mzazi wako wataona sawa? Acheni hizo njaa zenu, tafuteni pesa. Kashafungwa sasa, jitokeze mkagawane miaka.
@FahadAbubakari
10 сағат бұрын
@@hassanmadodi5396 mi nmeshiba kuliko wewe labda na familia yako kwa ujumla I'm clearly conscious person, mnaishi kama miaka Mia ilopita kuamini rais au kiongozi ni mtu mtakatifu sana haguswi wakiwa wanawaomba Kura wanapiga hadi magoti na kula kwa mamantilie wakichaguliwa Wanawafanya muogope na kuwaona Miungu , wizi rushwa wanazokula na kuwafanya muendelee kuwa maskini na njaa wanstahili zaidi ya hayo matusi lakini kwa ujinga wenu bado tu.
@AleiHadji-js3ed2 күн бұрын
Sio kumshikilia Kumuumiza maana jifunzeni Kenya ... POLICE WA Nchi Gani Nyinyi Haki za Binaadamu zitawafanya Kama Kenya brother 😢😢😢😢😢Huyo awe Mfano Kwa wengine
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Hongereni sana jeshi la polisi
@UmmyZakiah2 күн бұрын
kwahyo watampoteza😢
@samorasilayo12682 күн бұрын
Askari wacheni kiherehere tutaamua siku moja tuwe kama Kenya tuchome mbaka bunge la wapumbafu wabunge
@aishakhamis2996
2 күн бұрын
Kweli kabisaa...!! Wapumbavu na Samia wao...!! Kutwa kiguu na njia...!! Cjuw analala Saa ngp na mumewe....!!
@hassanmadodi5396
10 сағат бұрын
Kwani Yale wanaofanya Kenya ni ujanja? Au ubwege? Wameaandamana mara ngapi mbona hatuoni tija ya hicho unachoandamia. Wasomi gani hao mpaka leo wanaandamana kwa ajili ya unga na mkate. Si tushatoka huko tangu nyerere. Wamesoma lkn mbinu za kutafuta pesa kwa njia za kujiajiri hawana, mwisho wake wamekuwa mizigo kwa serikali. Kila anaesoma anataka kuajiriwa. Mtu ana digrii ukimpa mtaji hajui aanzie wapi. Eti! Kenya wajanja, wanaujanja gani sasa, wametengeza majeneza wenyewe kwenye maandamano halafu wakipigwa mabumu wanayakimbia majeneza. Si mbaki amfie kweye majeneza yenu.
@barnaba303721 сағат бұрын
Wanasheria tusaidieni kama kuna sheria ya kumfunga huyu jamaa.
@hassanmadodi5396
10 сағат бұрын
Ameinunua kesi kashaipata. Acha akale dona lake lupango. Tusipende kuintertain ujinga.
Пікірлер: 21
Safiiiii choma ingine
Selikali yetu ya bongo iyo😅😅
Wataalamu wa sheria,huyu mwamba anashitakiwa kwa sheria gani 🤔
@samorasilayo1268
Күн бұрын
wewe muoga sisi hatutambui mtu tunaeshemu mungu mungu watu hatuwatambui
Tunaomba atusamehe mama yetu lakini tunaomba huyu kijana apimwe Hakili tu sio hakili yake
Mshenzi kabisa piga viboko ashike adabu huyo fala, hajui kwamba Rais ndo Image ya serikali??
Tufike point tujue Raisi sio Mungu, kama kuna watu wanamtukana na Kumpinga Mungu , iwe raisi? Acheni hayo mambo Raisi ni binadamu tu msitake kuweka mazingira yakuaminisha kua Raisi ni mtu wakuogopwa sana vitu vingine puuzeni kwa hiyo iyo ni meseji ya kutishia watu kua ukipinga au kutomkubali Raisi basi tutakushika , ila angechoma picha ya mpinzani mngemkamata ? Tusitake kufanya uraisi ni uungu flani hivi
@hassanmadodi5396
11 сағат бұрын
Kwahiyo akiwa bin Adam ndio ana haki ya kutukanwa. Nini bana mbona fikra zako zipo kwenye nyayo. Kwahiyo na wewe ukitukaniwa mzazi wako wataona sawa? Acheni hizo njaa zenu, tafuteni pesa. Kashafungwa sasa, jitokeze mkagawane miaka.
@FahadAbubakari
10 сағат бұрын
@@hassanmadodi5396 mi nmeshiba kuliko wewe labda na familia yako kwa ujumla I'm clearly conscious person, mnaishi kama miaka Mia ilopita kuamini rais au kiongozi ni mtu mtakatifu sana haguswi wakiwa wanawaomba Kura wanapiga hadi magoti na kula kwa mamantilie wakichaguliwa Wanawafanya muogope na kuwaona Miungu , wizi rushwa wanazokula na kuwafanya muendelee kuwa maskini na njaa wanstahili zaidi ya hayo matusi lakini kwa ujinga wenu bado tu.
Sio kumshikilia Kumuumiza maana jifunzeni Kenya ... POLICE WA Nchi Gani Nyinyi Haki za Binaadamu zitawafanya Kama Kenya brother 😢😢😢😢😢Huyo awe Mfano Kwa wengine
Hongereni sana jeshi la polisi
kwahyo watampoteza😢
Askari wacheni kiherehere tutaamua siku moja tuwe kama Kenya tuchome mbaka bunge la wapumbafu wabunge
@aishakhamis2996
2 күн бұрын
Kweli kabisaa...!! Wapumbavu na Samia wao...!! Kutwa kiguu na njia...!! Cjuw analala Saa ngp na mumewe....!!
@hassanmadodi5396
10 сағат бұрын
Kwani Yale wanaofanya Kenya ni ujanja? Au ubwege? Wameaandamana mara ngapi mbona hatuoni tija ya hicho unachoandamia. Wasomi gani hao mpaka leo wanaandamana kwa ajili ya unga na mkate. Si tushatoka huko tangu nyerere. Wamesoma lkn mbinu za kutafuta pesa kwa njia za kujiajiri hawana, mwisho wake wamekuwa mizigo kwa serikali. Kila anaesoma anataka kuajiriwa. Mtu ana digrii ukimpa mtaji hajui aanzie wapi. Eti! Kenya wajanja, wanaujanja gani sasa, wametengeza majeneza wenyewe kwenye maandamano halafu wakipigwa mabumu wanayakimbia majeneza. Si mbaki amfie kweye majeneza yenu.
Wanasheria tusaidieni kama kuna sheria ya kumfunga huyu jamaa.
@hassanmadodi5396
10 сағат бұрын
Ameinunua kesi kashaipata. Acha akale dona lake lupango. Tusipende kuintertain ujinga.
Polis wte makuma
😂😂😂
Safi mbwa uyo
@ramadhanchenga4606
2 күн бұрын
Ww nae ushikwe basi maana unamwita mbwa