POLISI MBEYA WAMSHIKILIA ALIYEICHOMA MOTO PICHA YA RAIS SAMIA

Пікірлер: 21

  • @WilsonLuwi-ri3hh
    @WilsonLuwi-ri3hhКүн бұрын

    Safiiiii choma ingine

  • @LddyKidava
    @LddyKidava2 сағат бұрын

    Selikali yetu ya bongo iyo😅😅

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198Күн бұрын

    Wataalamu wa sheria,huyu mwamba anashitakiwa kwa sheria gani 🤔

  • @samorasilayo1268

    @samorasilayo1268

    Күн бұрын

    wewe muoga sisi hatutambui mtu tunaeshemu mungu mungu watu hatuwatambui

  • @RehemaMbogela
    @RehemaMbogela23 сағат бұрын

    Tunaomba atusamehe mama yetu lakini tunaomba huyu kijana apimwe Hakili tu sio hakili yake

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha80512 күн бұрын

    Mshenzi kabisa piga viboko ashike adabu huyo fala, hajui kwamba Rais ndo Image ya serikali??

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari2 күн бұрын

    Tufike point tujue Raisi sio Mungu, kama kuna watu wanamtukana na Kumpinga Mungu , iwe raisi? Acheni hayo mambo Raisi ni binadamu tu msitake kuweka mazingira yakuaminisha kua Raisi ni mtu wakuogopwa sana vitu vingine puuzeni kwa hiyo iyo ni meseji ya kutishia watu kua ukipinga au kutomkubali Raisi basi tutakushika , ila angechoma picha ya mpinzani mngemkamata ? Tusitake kufanya uraisi ni uungu flani hivi

  • @hassanmadodi5396

    @hassanmadodi5396

    11 сағат бұрын

    Kwahiyo akiwa bin Adam ndio ana haki ya kutukanwa. Nini bana mbona fikra zako zipo kwenye nyayo. Kwahiyo na wewe ukitukaniwa mzazi wako wataona sawa? Acheni hizo njaa zenu, tafuteni pesa. Kashafungwa sasa, jitokeze mkagawane miaka.

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    10 сағат бұрын

    @@hassanmadodi5396 mi nmeshiba kuliko wewe labda na familia yako kwa ujumla I'm clearly conscious person, mnaishi kama miaka Mia ilopita kuamini rais au kiongozi ni mtu mtakatifu sana haguswi wakiwa wanawaomba Kura wanapiga hadi magoti na kula kwa mamantilie wakichaguliwa Wanawafanya muogope na kuwaona Miungu , wizi rushwa wanazokula na kuwafanya muendelee kuwa maskini na njaa wanstahili zaidi ya hayo matusi lakini kwa ujinga wenu bado tu.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed2 күн бұрын

    Sio kumshikilia Kumuumiza maana jifunzeni Kenya ... POLICE WA Nchi Gani Nyinyi Haki za Binaadamu zitawafanya Kama Kenya brother 😢😢😢😢😢Huyo awe Mfano Kwa wengine

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw2 күн бұрын

    Hongereni sana jeshi la polisi

  • @UmmyZakiah
    @UmmyZakiah2 күн бұрын

    kwahyo watampoteza😢

  • @samorasilayo1268
    @samorasilayo12682 күн бұрын

    Askari wacheni kiherehere tutaamua siku moja tuwe kama Kenya tuchome mbaka bunge la wapumbafu wabunge

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    2 күн бұрын

    Kweli kabisaa...!! Wapumbavu na Samia wao...!! Kutwa kiguu na njia...!! Cjuw analala Saa ngp na mumewe....!!

  • @hassanmadodi5396

    @hassanmadodi5396

    10 сағат бұрын

    Kwani Yale wanaofanya Kenya ni ujanja? Au ubwege? Wameaandamana mara ngapi mbona hatuoni tija ya hicho unachoandamia. Wasomi gani hao mpaka leo wanaandamana kwa ajili ya unga na mkate. Si tushatoka huko tangu nyerere. Wamesoma lkn mbinu za kutafuta pesa kwa njia za kujiajiri hawana, mwisho wake wamekuwa mizigo kwa serikali. Kila anaesoma anataka kuajiriwa. Mtu ana digrii ukimpa mtaji hajui aanzie wapi. Eti! Kenya wajanja, wanaujanja gani sasa, wametengeza majeneza wenyewe kwenye maandamano halafu wakipigwa mabumu wanayakimbia majeneza. Si mbaki amfie kweye majeneza yenu.

  • @barnaba3037
    @barnaba303721 сағат бұрын

    Wanasheria tusaidieni kama kuna sheria ya kumfunga huyu jamaa.

  • @hassanmadodi5396

    @hassanmadodi5396

    10 сағат бұрын

    Ameinunua kesi kashaipata. Acha akale dona lake lupango. Tusipende kuintertain ujinga.

  • @gerrardmwakinyuke7343
    @gerrardmwakinyuke7343Күн бұрын

    Polis wte makuma

  • @user-tw3jc4zz3m
    @user-tw3jc4zz3m2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews2 күн бұрын

    Safi mbwa uyo

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    2 күн бұрын

    Ww nae ushikwe basi maana unamwita mbwa

Келесі