RC Homera aagiza kumsaka Kijana Kwa Kosa la Kumkashifu Rais Kisha kuichoma moto Picha ya Rais
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga kumsaka na kumkamata Kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Kwa Kosa la Kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Maneno Makali na Kisha kuichoma moto Picha inayomuonyesha Mh:Rais.
RC Homera amelaani vikali Kitendo hicho kuwa si Cha Maadili Wala Uungwana na Kiko tofauti na Utamaduni halisi wa Wananchi Mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa Masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga Kumkamata Kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na Mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza Moja kwa Moja kwa Mh: Rais Dkt: Samia Suluhu Hassan.
Mwisho RC Homera amewasihi Wananchi Mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye Vitendo viovu kwa Kukashifu Viongozi Makusudi badala yake wajikite katika Utafutaji na Uchapa Kazi kwa Manufaa ya Familia zao na Tanzania kwa Ujumla.
Пікірлер: 11
Safi sanaaa
Wacha ufala Ako na sababu take kusema ivo sio kurudi uonekane wa maana
Imeniuma Sana hata ni hasila hapana
Kampimeni akili
😂😂😂😂😂😂😂
Daa kaka umevuka mipaka muno hata kama Rais amekukosea, wewe umefanya kosa kubwa muno.
@sundaymsuya1433
6 күн бұрын
Amevuka mipaka au kasema ukweli ww uwoni nchi imeharibika kwa ushoga na mama amekaa kimya km haoni sio au nww ni wale wale sio
@ramadhanchenga4606
5 күн бұрын
Yupo sahihi
@ramadhanchenga4606
5 күн бұрын
Kama watu wanamkashifu itakuja kua samia
Asant kw kuchoma walarushwa makaz yao n jehanam mama atakiw nchi hii aende kwao zenj