BEST NASO asimulia kilichotokea SHOW yake na ya DIAMOND zilipogongana siku 1 NJOMBE, ilikuwa kivumbi

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 129

  • @jeremiahbilinje
    @jeremiahbilinje10 ай бұрын

    Best Naso, toka enzi anamiliki kibanda cha simu karibu na CRDB Musoma, 2009 hiyo. Saluti sana kwake.

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo65610 ай бұрын

    Naso mtu poa sana, very humble guy siyo kwa kuongea tu bali hata matendo.

  • @paschalgabrie1099
    @paschalgabrie109910 ай бұрын

    Best Nasso, home boy, yupo humble, anaamini katika MUNGU, ni Msanii bora sana...MUNGU amubariki.

  • @shabanigenya4708
    @shabanigenya470810 ай бұрын

    Nakumbuka kipindi niko kitado cha nne alinipa alikuja home na wakati anaondoka anakinachia perfume yake. Ilikua pouwa saaana yaaani. Maisha yanaenda kasi saana but sio mtu wa kusahau bado, last time 2015 niko musoma msbani kwa broo alinitia moyo saana. Mtu pouwa saaana Nassoro.

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd205210 ай бұрын

    Sns Mashaalah mmefanya vizur❤❤❤🎤🎵 pia mko juu zaidi

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu211610 ай бұрын

    #sns forever, nmefurahi sana #skytanzania kuleta huyu mwamba

  • @johnmachibya9951
    @johnmachibya995110 ай бұрын

    Huyu mwamba midia nyingi haizimhoji lakini ni bonge la msanii harafu sijui nyota maana nyimbo zake ni nzuri sana

  • @leahzuu6468

    @leahzuu6468

    10 ай бұрын

    😂😂😂haujagundua tatizo?

  • @johnmachibya9951

    @johnmachibya9951

    10 ай бұрын

    ​@@leahzuu6468Nimegundua tatizo ameshalisema mwenyewe mwishoni mwa mazungumzo kuhusu midia kutozilaum👌

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    10 ай бұрын

    Msanii mwenyewe anatakiwa awe mchangamfu ukipoa hâta media hazikufwati

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    10 ай бұрын

    Mganga wake alikufa 😂😂😂

  • @demungamsenga9486

    @demungamsenga9486

    10 ай бұрын

    Uyo ni kiboko wa musuc

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd205210 ай бұрын

    Msanii wangu pendwa✌🎤🎤🎤🎤

  • @mrdramatz4481
    @mrdramatz448110 ай бұрын

    Mwamba Huyu Hapa🔥🔥

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial21710 ай бұрын

    Much respect bro naso

  • @iam_sami
    @iam_sami10 ай бұрын

    Kama unamkubali best naso gonga like hapa tujuane 👍

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss5 ай бұрын

    Best nazo nampenda bure na nyimbo zake kaka mungu kazidi kukuinua uzidi kwenda. Mbali❤❤❤

  • @msetijr2123
    @msetijr212310 ай бұрын

    The best interview in 2023.

  • @RilaRichard-hg2sn
    @RilaRichard-hg2sn10 ай бұрын

    Uku congo best nasso tuna mupenda sana

  • @nelsondunia8992
    @nelsondunia899218 күн бұрын

    Mzee Naso namukubali sana

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese10 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Nipeni liké zangu

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul839910 ай бұрын

    The best Artists Ever

  • @josephfrank4446
    @josephfrank444610 ай бұрын

    Naso

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo178510 ай бұрын

    Mlete na spark kaka sky sijamskia kitambo 🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction843810 ай бұрын

    SKY TUITIE D'JARO ARUNGU PLZ TUPATE INTERVIEW YAKE HAPA SNS KAFANYA MAKUBWA SANA.

  • @agustinopaulo8416
    @agustinopaulo841610 ай бұрын

    Mwambie naso tunampenda sana

  • @pierrebigirindavyi4378
    @pierrebigirindavyi437810 ай бұрын

    Best Naso love you bro

  • @princejamaalvevotv2525
    @princejamaalvevotv252510 ай бұрын

    Best naso mtu wa kwetu kule mkoa wa mara msoma,tarime handi Riagati

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg10 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ so much naso

  • @ramadhansagutangu
    @ramadhansagutangu3 ай бұрын

    Baba nakukubali sanaa

  • @EdsonRichard-tv5cu
    @EdsonRichard-tv5cu2 ай бұрын

    Nakukubali san besi naso kwasababu huna Ngoma mbaya pamoja San 👊

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga109510 ай бұрын

    Ana fanana sauti na nay wa mitego kwa haraka nawaza anaeongea ni nay ila big up

  • @user-ov4gk9gf8b
    @user-ov4gk9gf8b10 ай бұрын

    Noma

  • @OfficialBlanco796
    @OfficialBlanco79610 ай бұрын

    Big up sana bwana Sky na Best Naso

  • @BMT2023
    @BMT202310 ай бұрын

    Huku Australia tunaziita Bush Tour unaenda vijijini watu hawajui Kingereza na show zote kama uko tayari serikali inakulipa unazunguka Jangwa from North to South.” Australia.

  • @abdulabdallh9506
    @abdulabdallh950610 ай бұрын

    Anaswaga kama za Ney wamitego ❤

  • @Moses_DanMos_Officiel
    @Moses_DanMos_Officiel10 ай бұрын

    wew ni mwanalimu mzee wangu NASSO

  • @shabanigenya4708
    @shabanigenya470810 ай бұрын

    Nimekula nae wali maharage saana home huyo, Enzi za Tuma.

  • @farajastephano6363
    @farajastephano636310 ай бұрын

    Naso ww mwamba nakukubari sana kaka ang ww nimsanii bora sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548110 ай бұрын

    Ila huyu jamàa anaonekana Hana roho mbaya,,safi

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    10 ай бұрын

    Ndio maana anazid kuwa mdogo hazeeki❤

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz456310 ай бұрын

    Kubwa hii bro

  • @deejayvlctz
    @deejayvlctz10 ай бұрын

    R.I.P CR MABADILIKO😢 alikuwa anamkubali sana nasoo

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama154210 ай бұрын

    Jamaa napenda nyimbo zake sana

  • @zaudolutambi9895
    @zaudolutambi989510 ай бұрын

    Nmekuelewa sana kaka best

  • @josepeter8033
    @josepeter803310 ай бұрын

    🙌🙌

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito25410 ай бұрын

    Mwisho nikimuona naso alikua amenyoa rasta... 🇰🇪🇰🇪

  • @emabm01
    @emabm0110 ай бұрын

    Jamaa anajua sana na anangoma kali sana Ila media hazimpi nafasi

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY10 ай бұрын

    Broh kiswahili chako Kipo good Kabisa kaka Na pia nimejifunza sana Bonge la interview kaka

  • @SalamaNauthary-ip4iy
    @SalamaNauthary-ip4iy10 ай бұрын

    Best nasso napenda Sana nyimbo zako uwa hazichuji kabisa

  • @asmetkevtz
    @asmetkevtz10 ай бұрын

    bena beu & vegas club

  • @divadaqueen6558
    @divadaqueen65589 ай бұрын

    Namkubali sana huyujama❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @katoro3733
    @katoro373310 ай бұрын

    Ziligonganaje wakat sisi wenye hatuna hela ndo msanii wetu make kiingilio chake ni rafiki kwa mtanzania mwenye kipato chachini unamuona best nasso kwa kiingilio Cha buku buku v,i,p buku mbili 2 utamuona msanii gani kwa kiingilio hicho wasanii wengi tunawaona mitandaoni hatuwaoni live 😂😂😂😂 bigap best nasso

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p10 ай бұрын

    Kaka uwo mwonekano wako sas hivi ndo wenyewe ❤❤❤

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain17210 ай бұрын

    ❤❤❤❤huyu mwambaaaah #bestnaso atariiih sanaaaah anaujua mziki ila sky umeuwa vituoving vya media avifanyi interview ila today mimi kama Mimi nime #enjoy

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy473710 ай бұрын

    Nice interview ❤❤

  • @eliariro5514
    @eliariro551410 ай бұрын

    Wototo wa Musoma town.

  • @Shabani-xr2ec
    @Shabani-xr2ec10 ай бұрын

    Shabiki namba 1 wa naso

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial10 ай бұрын

    Kali sana

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior834810 ай бұрын

    👑🔥

  • @dianasago9214
    @dianasago921410 ай бұрын

    Msanii wangu kabisa bora huyu bonge la msanii

  • @legawayz6093
    @legawayz609310 ай бұрын

    na ukitembea vijijini ndani ndani nyimbo za watu wengi ktk simu zao ni best naso na 20% percent asilimia mia

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja403210 ай бұрын

    Best interview,

  • @paulchalres5221
    @paulchalres522110 ай бұрын

    Daaaah hapo naaso umeongea point wew mtu wa watu nakuona mbal sana bro

  • @user-wm9oi5fw3r
    @user-wm9oi5fw3r10 ай бұрын

    Nimependa stor best naso Yuko vzuri

  • @user-xg7ph7bz7p
    @user-xg7ph7bz7p10 ай бұрын

  • @samwelmakanzajr1194
    @samwelmakanzajr11949 ай бұрын

    Nakumbuka enzi hzo alikuja katoro pindi hcho anajitafuta saluti sana

  • @DM_15
    @DM_1510 ай бұрын

    Jamaa hajawai toa wimbo nikaacha kuusikioliza , alaf kitaa tunamuelewasana. Niki msikia tuu namkumbuka na Djaro warungu

  • @hamadeddymaclayz
    @hamadeddymaclayz9 ай бұрын

    Jamaa anajua sana mziki ila maringo mengi apunguze

  • @SalamaNauthary-ip4iy
    @SalamaNauthary-ip4iy10 ай бұрын

    Best nasso ni 🔥🔥🔥🔥

  • @MAJILTV
    @MAJILTV10 ай бұрын

    Mwafanana sana

  • @josemtataofficial
    @josemtataofficial10 ай бұрын

    Best Naso Mwamba anaandika sana huyu

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    10 ай бұрын

    ile kishenz

  • @jacksonmars7894
    @jacksonmars789410 ай бұрын

    Naso Bubemba Kwao

  • @Nyamataga22

    @Nyamataga22

    5 ай бұрын

    Hapo ni wapi au n pemba?

  • @JosephJackson-jv1so
    @JosephJackson-jv1so10 ай бұрын

    Mzee wa chaka to chaka . Namba moja hukai ..ila we ni msanii Mkali sana.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca10 ай бұрын

    Tunasubiri hiyo #Top4Storry

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey705210 ай бұрын

    Huyu Jamaa anajulikana sana kwa mashabiki lakn sio kweny media

  • @miyongatz7283
    @miyongatz728310 ай бұрын

    msanii wangu pendwa wa siku zote

  • @allymbondo111
    @allymbondo11110 ай бұрын

    Brother Sky, mimi binafsi nimeanza kumsikia jamaa tangu 2010 na recently naishi Musoma huku...huku Mara huyu jamaa ndo Diamond wao asee, heshima kwake

  • @anthonygenge4366

    @anthonygenge4366

    10 ай бұрын

    Et ndiyo Dimondi wao,

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548110 ай бұрын

    Huyu mwamba sauti inafanana na ney wamitego

  • @rasvegas8991
    @rasvegas899110 ай бұрын

    Shooo za laki mbilii

  • @khamisikhamisi7225

    @khamisikhamisi7225

    10 ай бұрын

    Laki 2 kamwwmbie maako weer unaweza fes maji weer

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed424910 ай бұрын

    Huyu ni sawa na rambo wa bongo fleva😅 mnoma sana

  • @user-xg7ph7bz7p
    @user-xg7ph7bz7p10 ай бұрын

    Nassoro salum

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms346410 ай бұрын

    Huyu jamaa anajua biashara yake ya mziki lakini anaijua fedha pia na burgain yuko fresh

  • @shabanigenya4708
    @shabanigenya470810 ай бұрын

    Enzi analetwa na mzee Genya ndie promota wake wa show. Sijuy walikorogana wapi hahaaa…

  • @njoroboihastla

    @njoroboihastla

    10 ай бұрын

    Inaonekana unamfaham sana😁

  • @shabanigenya4708

    @shabanigenya4708

    10 ай бұрын

    @@njoroboihastla sio kihivyo. Zamani saana mambo yamebadilika now. Mwaka wa 8 sasa sijaonana nae. Siwezi sema namfaham tena.

  • @jkbofficial6905
    @jkbofficial690510 ай бұрын

    Nakumbuka sano Kuna kipindi alikujaga Tabora kaliua naso alijaza ukumbi kaliua , hadi wakazuiya kutoza Hela sababu ya ukumbi kujaa aisee ndo nikaona naso mikowani anapedwa acha tu na ukumbi ni mkubwa sio powa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @mrsinia3064
    @mrsinia306410 ай бұрын

    SNS mnafaa kupokea maua yenu tafadhar maana mumefany kitu kikubwa sana kumleta Best nasso kweny kipaza chenu honger sana kwakwer make media nying zinamchukulia poa wakat yey ndie mwanzilishi wa Bongo fleva

  • @FadhiliKingwama-lk2cq
    @FadhiliKingwama-lk2cq10 ай бұрын

    Dah nimeamua kuongeza bando kwaajili ya hii interview

  • @mophatymsanii7240
    @mophatymsanii724010 ай бұрын

    Kipaji hiko naso

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes113110 ай бұрын

    Huyu jamaa mi uwa namkubali sana sema vyombo vyote vya habari uwa wanamtenga sana ila tumshukuru sana Dijalo wa Rungu Tena Dijalo tumeish nyumba moja Mombasa ukonga ni mtu poa sana

  • @ramadhansagutangu
    @ramadhansagutangu3 ай бұрын

    Kwanza wasani wachaka tuchaka wamefanya watu wavijijini wawekezee kwenye vijiji vyao

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa60410 ай бұрын

    narudi kijijini mdo uyu kaka daaa nilimtafuta sana KZread ulikuwa wapi kuojiwa kwenye media 🤷🏾‍♂️😞🤔

  • @Nyamataga22
    @Nyamataga225 ай бұрын

    Kama kuna msanii tunamkubali sisi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 basi ni nasoo, huyu mwamba anafanya tunawainamia majirani kipaji kajaliwa Mungu awe nae

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka319910 ай бұрын

    Huyu msanii ni Bora mno havumi ila mziki wake mmzuri

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal77810 ай бұрын

    We sky mbn unakubali uongo na unajua mod alicha tolew kitbo

  • @kingsanya6860
    @kingsanya686010 ай бұрын

    👍👍👍👍🫡

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma10 ай бұрын

    Best nasso me shabiki yako namba moja

  • @leahzuu6468

    @leahzuu6468

    10 ай бұрын

    Acha uhongooo😂😂

  • @SalamaNauthary-ip4iy
    @SalamaNauthary-ip4iy10 ай бұрын

    Kayombombo Yu wapi besti naso' siku hizi sisikii ukimtaja kwenye nyimbo zako

  • @CleverMjaggah-uv8on

    @CleverMjaggah-uv8on

    4 ай бұрын

    Kayombo keshafariki

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi522910 ай бұрын

    Kaka nywele uliifadhi wapi!?

  • @issamatola2031
    @issamatola203110 ай бұрын

    huyo akaimbe huk kw wachoma mkaaaa

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo10 ай бұрын

    Huyu jama anaongea kama yule mubongo aliye imba na kenye west

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana65010 ай бұрын

    Bezi napafaham sana pako vizuli

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi10 ай бұрын

    Uyu ndo msani piga kazi sio ware machawa h baba mama Revo shoo mpaka wamsubiri mond

  • @shukurukitamuka6829
    @shukurukitamuka682910 ай бұрын

    Kwanini kondeboy ajaalikwa sns tunamutaka

  • @elianabarnaba1640
    @elianabarnaba164010 ай бұрын

    Acha uongo ww bestnado kwenu sio mwanz kwao tang huyo sky asikudangany namjua hd kwao

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    10 ай бұрын

    Kwa hiyo?

  • @svt3

    @svt3

    10 ай бұрын

    Hajasema kwao mwanza ila ameweka makazi yake mwanza sikiliza usirupuke ku comment

  • @kidoesther

    @kidoesther

    10 ай бұрын

    Umeulizwa?

  • @boazmisango9797

    @boazmisango9797

    10 ай бұрын

    Musoma

  • @MohamedJumbe-xn5sx

    @MohamedJumbe-xn5sx

    10 ай бұрын

    Unajua kusoma na kusikia sikiliza vyema usoropokwe wew

  • @mbaleylwanga8077
    @mbaleylwanga807710 ай бұрын

    tatizo uadishi wake wa nyimbo umelala sasa siyo nyimbo za kuamsha🇨🇩

Келесі