Huyu hapa tena Dinamite, anazidi kukua! Afanya makubwa London na Italia, aja na 'Mjomba'

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 87

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249911 ай бұрын

    Wana SNS tulikumiss DINAMITE 😘 Mashallah, umekuwa ❤

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee0111 ай бұрын

    Vijana wa hovyo acheni kummezea mate dogo,sisi tuendelee na mabibi zake wakina siwema siwetu huyu dogo bado career yake iende mbele,Mimi kama member wa vijana wa hovyo kijana ana future nzuri,Very proud for you,I'm so proud to you.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    10 ай бұрын

    SI WEMA SI WETU SI WAO 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    10 ай бұрын

    @@salimmalaka256 anaitwa Wema siwetu

  • @felicianfrancis9895
    @felicianfrancis989511 ай бұрын

    Nimeona kazi zake. Nzuri sana na muziki wake wa mjomba mzuri sana pia wenye hahadhi ya amapiano

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu491411 ай бұрын

    bro sky , kuna kit nimejifunza sana kwako mungu akubaliki kwa kumsoma mtu kwa nilichoona hapa huyu mtoto sio muongeaji bado ni muonga su ni aibu ila umekuwa ukiongea wewe sana alf yeye akiwa anakubali na kuitikia umekuwa muongeaji kwenye hii interview na umekuwa ukiuliza kila jambo ili kumfanya afunguke kuongea ila yeye sio muongeaji coz ni mtoto bro umetisha sana , angekutana na mtangazaji ambae hayuko vizur asikweza ila umefanya vizur sana

  • @zunnually5886
    @zunnually588611 ай бұрын

    I’m so proud with her , she is good in everything (Talented)❤🥰😍

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo201711 ай бұрын

    😂😂😂Jamani katowa shkamo she so cute MaashaAllah

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye837710 ай бұрын

    Interview haichoshi 😊😊😊😊😊

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman642311 ай бұрын

    Hongera sana Mungu azidi kukupigania malengo yako yafike unapotaka

  • @yasminlyall7665
    @yasminlyall766510 ай бұрын

    We'll raised upcoming star

  • @gibbs1320
    @gibbs132011 ай бұрын

    Wa Kwanza Ku comment. Love you Dinamite. Mnipe likes zangu jamani acheni kunionea wivu kisa nimekuwa wa Kwanza ..... 😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76311 ай бұрын

    Mrembo zaidi na atakuwq mrembo zaidi anamacho mazuri kama makengeza sio makengeza kweli uhafcast haumtupi mtu hongera ndugu

  • @hopechidera
    @hopechidera11 ай бұрын

    Kadada kanakuwa kweli😍❤

  • @AshaLove-jn5ru
    @AshaLove-jn5ru11 ай бұрын

    Mashallah amekuwa jamani

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah234011 ай бұрын

    Beautiful girl Mungu kukuze

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76311 ай бұрын

    Kwa kweli kekuwa hongera mrembo

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka11 ай бұрын

    Beautiful congratulations 🎊 🎉

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert948911 ай бұрын

    Mtoto kalelewa haswaa.,wachana na hawa wa baadhi ya masatar mchwara, wanafundishwa kudanga. Shame. Big up mama Denamite. Tumbo lako limebarikiwa.

  • @barikilangoy4737

    @barikilangoy4737

    11 ай бұрын

    Nataka tujue familia yako kama unalea vizuri maana unajua kuchamba familia ya watu na kupamba familia zingine vip familia yako?

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    11 ай бұрын

    @@barikilangoy4737 wewe ni wale waliofundisha mabinti zao kudanga? Jikaze dawa ikuingie.

  • @barikilangoy4737

    @barikilangoy4737

    11 ай бұрын

    @@damariszuckschwert9489 nataka kujua familia yako ikoje acha kupamba za watu wenye pesa zao,wew mwenyew mdangaji mkubwa sana ndio maana unadanga mpaka kwenye familia ambao hawajui ata kidogo naomba utoe mfano wa mtoto wako ambao unafundisha vizuri 🖕

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    11 ай бұрын

    @@barikilangoy4737 Familia ya nani nimepembana nayo? Kameze dawa zako yaonekana leo umesahau.

  • @barikilangoy4737

    @barikilangoy4737

    11 ай бұрын

    @@damariszuckschwert9489 huna lolote wew mdangaji kama mkeo tu

  • @producerema291
    @producerema29111 ай бұрын

    Niko very inspired na stori ya Dinamite

  • @kawtharal_amin5503

    @kawtharal_amin5503

    11 ай бұрын

    O

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul321210 ай бұрын

    Masha-Allah mzurii kisha chapenda kucheka tu! Dinamitee😂😂😂

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa11 ай бұрын

    She is cute n beautifull

  • @marthageorge5043
    @marthageorge504311 ай бұрын

    Kakuwa sana,nampenda sana uyu mtoto❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Mashallah amekuwa d wangu mnooo

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa60411 ай бұрын

    Wow she is so cute ❤❤❤

  • @AmiriMalenge
    @AmiriMalenge10 ай бұрын

    Big up kwake kwa kuongea vizuri kiswahili angekua mwingine kama Diva angekua anaingiza zana maneno ya kizungu kitu ambacho sio sahihi. Yani nimemuelewa binti hapendi kuchanganya lugha

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76311 ай бұрын

    Mungu akulinde na mafanikiyo yako utakayo

  • @vanessambamba8539
    @vanessambamba853911 ай бұрын

    Go my girl

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo250211 ай бұрын

    Napenda anavyopenda kiswahili

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga353511 ай бұрын

    Kumhoji huyu mtoto ni kazi mno nao bro sky anavyo pata shida

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler284711 ай бұрын

    Dogo anaongea kiswahili vizuri sana ,angekua diamond au harmonize ungesikia zeze zeze mziki zeze supa star bongo men.

  • @lucymtuka6393

    @lucymtuka6393

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    11 ай бұрын

    😂🤣😂🥳

  • @clevermngao7565

    @clevermngao7565

    11 ай бұрын

    😂😂😅

  • @ishimwevanessa14

    @ishimwevanessa14

    11 ай бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @madawamchuwa8253

    @madawamchuwa8253

    11 ай бұрын

    Mm Wana niudhi kweli mtu unaulizwa kiswahi unaanza nomara waaaaa

  • @alsam4881
    @alsam488110 ай бұрын

    Ni binti mzuri na ana maadili na heshima, kwahiyo mie namshauri ni bora aendelee kuimba peke yake, au kama anataka kuimba na wasanii wa bongo, basi ni bora aimbe na wasanii wanawake kuliko wanaume, kwasababu hao wasanii wanaume wa bongo ni vicheche wahuni wataanza kumtongoza na kumuharibia maisha yake.

  • @UnnieKhadijah
    @UnnieKhadijah11 ай бұрын

    Mtoto Ana akili sana MashaaAllah😍😍

  • @quilijohn8634

    @quilijohn8634

    11 ай бұрын

    Napenda wazazi wanao propell watoto wao kuongea Kiswahili. Hongera! Nilimuona akiwa na miaka 12. Kanajitahidi kuongea Kiswahili.... Bravo!

  • @barikilangoy4737

    @barikilangoy4737

    11 ай бұрын

    Mimi naamini kila mtoto ana akili sema tu mazingira yametofautiana kutokana na maisha magumu ya watu

  • @Ramlat-lv7uf
    @Ramlat-lv7uf7 ай бұрын

    Dinamite kakua jaman🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @QueenLabrunedephilBoy
    @QueenLabrunedephilBoy10 ай бұрын

    Kweli kabisa dinamite ame kuwa lakini kipindi alipo kuwa ndogo alikuwa mrembo sana kuliko sasa ivi napenda wimbo wake wa tamaduni zetu😘😘

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy473711 ай бұрын

    Kila kitu anajaribu huyu mtoto

  • @suntzu8959
    @suntzu895911 ай бұрын

    Form 3 ni sawa na form 3 huku, tofauti ni kwamba shule ya msingi wanafanya miaka mitano. Yaani akifanya mtihani darasa la tano anakwenda form 1. Kenya shule ya msingi wanafanya miaka 8 halafu form 1. Haimaanishi akifika darasa la. Nane ni sawa na form 1.

  • @Fgldesigns

    @Fgldesigns

    11 ай бұрын

    Ni ipo kama alivyosema linahesabika darasa la mtihani... Kule unafanya mtihani darasa la 5 huku unafanya darasa la 7 Then, Huku unafanya ukiwa form four kwahiyo form three sawa na form one

  • @BMGOnlineTV

    @BMGOnlineTV

    10 ай бұрын

    😂

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25610 ай бұрын

    HUYU MTOTO DINAMITE HODARI WAKUIMBA TOKEA MDOGO NILITAMANI ANGEIMBA NA WENZAKE KATIKA ILE NYIMBO YA SUPER WOMAN.

  • @tamarali8325
    @tamarali832511 ай бұрын

    Beautiful girl 👧

  • @happypiusi3801
    @happypiusi380110 ай бұрын

    🎉🎉🎉❤❤

  • @boobohhh3029
    @boobohhh302911 ай бұрын

    👌⚘

  • @Jmedia_Tv
    @Jmedia_Tv10 ай бұрын

    Kanamfanya sky aongee kwa kasi, kamechangamka

  • @SimoniPetro-xn7vi
    @SimoniPetro-xn7vi11 ай бұрын

  • @aaii8301
    @aaii830111 ай бұрын

    😍😍😍😍

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy9511 ай бұрын

    Ana rangi nzur mashallah shombe shombe

  • @user-tu5yz3ii6f
    @user-tu5yz3ii6f10 ай бұрын

    laa iki kibaba kinammezea mate mtoto mdogo. ila ni kazuri she's beautiful girl we baba usimmezee mate

  • @omarymohamed168
    @omarymohamed16811 ай бұрын

    😂😂😂😂 ety anazidi kukuwa. Umalaya huoo

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda921411 ай бұрын

    Eti nazinga pia icho ni kiswahili cha ndani kabisa nimepeda

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    11 ай бұрын

    Kabisaaaa

  • @Aboodjan4-

    @Aboodjan4-

    10 ай бұрын

    Pumbaav😂😂😂

  • @Aboodjan4-

    @Aboodjan4-

    10 ай бұрын

    Anazinga 😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76311 ай бұрын

    Wenzetu wanaakili na lugha zao sisi kiswahili tunajiona kama sio lugha 😢. Tujifunze kwq wenzetu tupende vya kwetu

  • @rajabdibwa6415

    @rajabdibwa6415

    11 ай бұрын

    halaf kuna wengine wanababaika na lugha za kigeni😂

  • @husseinhussein9971

    @husseinhussein9971

    11 ай бұрын

    Si mseme tu hamjui kiingereza.

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    11 ай бұрын

    Mie mwka WA 10 huu nipo. Hiz nchi za kiarabu siongei hata kidg Arabic Zain kiswahili 😅tu

  • @madawamchuwa8253

    @madawamchuwa8253

    11 ай бұрын

    ​@@husseinhussein9971kwani kingereza ndio nini? Kuna mtu anaitwa muarabu huyu kiumbe anathamini Sana lugha yake na watu wenye vingereza vyao wamejaa kwenye nchi zao Wana watumikia habu tupishe sie

  • @user-pp8qb3bb9r
    @user-pp8qb3bb9r11 ай бұрын

    Simba hapo atabadilisha mkataba kama vle zuchu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes316111 ай бұрын

    sky ukiwa naye tena umuukize kama maman yake anamufuza kupika??na nishakula gani anapenda kupika na kula???anajuwa kusoga ugali

  • @benjaminkangolo2017

    @benjaminkangolo2017

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂 Ana juwa ila hana level za kupika ugali

  • @leahzuu6468

    @leahzuu6468

    11 ай бұрын

    ​@@benjaminkangolo2017chams😂😂😂

  • @twentyacresfarms3464

    @twentyacresfarms3464

    11 ай бұрын

    Hapo kwenye ugali sasa 😅

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    11 ай бұрын

    Kusoga ndio nini

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    11 ай бұрын

    ​@@benjaminkangolo2017Wewe ndio msemaji wake 😂😂😂

  • @thobiasyphaustine3714
    @thobiasyphaustine371411 ай бұрын

    Sijaowa

  • @emanuelmaro875

    @emanuelmaro875

    11 ай бұрын

    😂😂tukusaidiaje

Келесі