BEST NASO:WASANII WABONGO WAMENIROGA/WACHAWI HAWANIWEZI/MIMI NDIO MFALME HAKUNA MFALME MWINGINE
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 103
Mfalme anairudisha himaya yake sasa! Namkubali sana huyu mwamba
Hapana, Umeniangusha kwenye interview mzee baba,unaulizwa jambo moja unatoa maelezo mengi sana! Ambayo hayaendani naswali uliloulizwa.
Huyu jamaa ngoja aseme yeye ni mfalme bado anaimba zile nyimbo zenye ujumbe na kuelimisha karibuni nyimbo zake zote
Nyimno zako huwa nzuri sna
Aliya unafanana sana na best nasso
Acheni kumtusi sana huyu jamaa hebu msikilizeni kwa makini jamaa ana confidence na anachokiongelea Kuna anayoyajua nyinyi hamfahamu, usanii una mambo mengi na nguvu za kishirikina zinatumika.
@mfswcb5837
3 жыл бұрын
nayy kasem n mchaw
@0656840872
3 жыл бұрын
@@mfswcb5837 siez kupingana na hilo sababu asingekua yy ni mchawi basi asingewafahamu wachawi wanaomroga kwa hilo yupo sahihi ila simuungi mkono huo ni ushirikina na haufai
Mimi napenda shana musica ya best nasso.
Unacho ongea ni kweri kabisa kaka, but some people is stupid.
pole sana naso lakini jikaze mm niko kenya na wewe ni msanii wangu mkubwa sana mm ni shabiki wako mkubwa kwanza na napenda nyimbo lako la KIPOFU
Huyu jamaa namkubali ila Leo kaongea usenge😂😂🤣🤣🤣🤣😂
@samwelipetro384
3 жыл бұрын
Huyu mwamba kweli karogwa...
nikwel kbx jamaa yupo vizur sana me namkubal sana
Gigi hawez kweli Kuongezea huyu Mashabk
Nani kweli jamaa ngoma zake uwezi kuliganisha nawaimba matusi
The way he speak the way he's sing is two things different doooo. Computer imerahisisha kweli.
Wangapi wanakisikia kithethe kwa nasso kama nay vile
Aaah nimemkubali kwasababu nayey anajikubari👏🏿
She is best naso
Bongo kunavituko nilijua nibibi ametoka shamba naicho kitambaa kichwani
Wahoji na wasani wa konde gang jamani kama wasafi hawana shida na harmonize
Uko vizuri imba hata nyimbo za dini mungu akubariki
Wanakuloga kwelii we nimkali achana nao wanao kutukana wote wanaupungufu wa akilii
sawa broo tumekuelewa ww ndio mfalme lkn mfalme wa kuvaa kilemba
kzread.info/dash/bejne/ioOgzZSzhNSsmqQ.html king shiyne tz anawaomba support yenu ila samahanini Kwa wale ambawo ntakua nmewakera ila naamini nyimbo mtaipenda coz inaukweli kwenye jamii na katika maisha yetu ya sasa hivo twenden Kwa pamoja tuka enjoy music mtamu kutoka Kwa king shiyne tz nawapenda Sana🙏🙏🙏💙
Uonekan kwenye tamasha sababu hujui hiro tamasha ukiwepo atuingii
eti mfalme 😂😂wa maneno.ama?? huna hakili wew bwege sana gigy mwenyew anakuzidi impact sana 😂😂😂
Huna akir wew jitu jinga kwel wew ni wakuwa mfalme wew
Huyu dishi limeyumba siyo bule
Nahicho kitambaa kichwani kama demu pia umelogwa ili ukivae au
Gigi kasikia kwer hiii interview 🙆🙆🙆🙆🙆🥂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂et wewe ni mnini Nasso untaniua mtoto wa mwenzio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda sana Nasso❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Msanii wa wasukuma 😀😀
Anajihami life inawachapa Wasanii kinoma Ila ufalme huna kaka unavunga
Bona Mimi sikujui wew pambana kaka acha maneno mengi sema kufulia kubaya
@thomaskaniki6755
3 жыл бұрын
Kama hunijuicoment yann sasa
Umaskin mbaya sana
Jionee hii kzread.info/dash/bejne/Z3Wlr7R8dK-qlaQ.html
Mama🤸🤸🤸🤸 Yan kenge kwer.........
Mziki wako ni djuu sana mwalimu hata uku congo unawashinda wanamzika kibao ndokweli nasema, best naso hakuna wakuchukua nafasi yako narudi hakuna! Natoka congo mashariki naitwa John parrot
Kweri kabisa
Kumamako nasooo he ushafikia stage iyo
kaka achi madude mashabiki zako tupo
Kweli naso wew mkali
Toa iyo kitambaa unakaa mama
@zilizotufikia946
3 жыл бұрын
😂
Anaongea pumba bila kujujua, ivi mara ya mwisho nyimbo yako kupigwa radion lini?
🙏❤
uko sawa
msanii wangu
🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiii mfalme labda wa wakulya huko musoma @youngkiller anakutosha hatukuon ww shndana na @hbaba
Naso uko pw xana gigy hakuwez ww ni mfalme hakna mwingine bongo flava wengi wao sifa tu lakn kwako naso Kaz Kwanza sifa baadae
Dah jamaa kafulia,juzi wamekuja kufanya show bar moja Huku mloka rufiji yeye na beka flavour
Ila kijana anajihamini sana
Komaa kijana mwenzetu itafait tu man
Bange nazoo
Anaongea Nyege tu
Kweli ww tunakuelewa
Saana
Kungekuaga na kulogwa nakwambia chadema wangesha mloga magu
@mfswcb5837
3 жыл бұрын
hahahahah kwel umenena
@zuleyvendor6577
3 жыл бұрын
😂😂😂
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kwel maana wanammezea mate magu wetu 🤣🤣🤣
kweli kaka goma zako tunazipata bila kiki wa prmoshe
Lecod zako unazijua wew mwenyew 2
Nikweli yye ndo mfalume
Huyu jamaa ame2mia maneno ya kisanii!! Uchawi sio ule unaoufahamu
Hili jamaa jinga sana
Ila unga mbaya xana ase jamaa kadata
Mtangazaji wa hiki kipindi sijui yupoje anapenda kuchonganisha Sana wasanii ...cjui anafaidika nn?
😂😂😂😂😂 mchawiii
Mbona umevaa kitamba chawa Mama
TATIZO AALIYA MATANGAZO KIBAO KABLA HAUJATUPELEKA KWENYE LENGO
kwel bag sio nzr nmekbal au kwel alirogwa
bangi bana😂😂
@mfswcb5837
3 жыл бұрын
hahahahaha
hii
Wana ronga ata kusah karogwa sio mbure kwaza wasaani wana rongana
Tunasubir interview ya gigy sas
Nikweri wanaloga sana
Abenuuu 😂😂😔😔😔😔
@espoirbesthopemelody1939
3 жыл бұрын
Na'wa hine🤣🤣🤣🤣
😱😱😱
Kwel naso gigy watu walikua hawamjui kupitia nyimbo utapata watu wamemjua
Duh wakati wako umepita bro
Acha hizoo
0:10 0:23 0:24 0:25 0:25
@justinigurgo3342
4 ай бұрын
Besti naso
Hahah
Hizo bang sasa
Wewe kweli utuimbie TUMA RINGA uwe Mfalme ? Hivi ulituchukuliaje kwanza dah eti Tuma Ringaaaa 😟 Huna wimbo viewers nyingi zaidi ya UTABAMBA sababu ya GIGGY
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
KUJIITA MFALME WAKAT HATA HAUNA IMPACT KWENYE JAMII HUO NI ISHAMBA...UNAHOJIWA HAPO NA WASAFI..KWAHYO MONDI NAE ANAKUROGA.....😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@kennymsanii6073
3 жыл бұрын
Hhh
@madundolucas4420
3 жыл бұрын
Nasso ngoma ulio fanya na huyu dem ulimbadilisha kinoma mpaka nilianza kumfatilia
Bongo Kiki,anajua kuwa anaongea ujinga Ila ndo kiki
kaka achi madude mashabiki zako tupo
Kumbe dada enu mtangazaji anajua kuvaa na kupendeza.
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄naona leo kajitaid kuvaa maana anavaaga mabwanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@goodlucktemu3149
3 жыл бұрын
@@tatuhongeranurushaus485 uyu nahisi ameishi sana kijijini kwaiyo anacho amua yeye ndio icho
@athumanimagori9829
3 жыл бұрын
msanii huyo anajua sana sema wanajifanya hawamjui