BEST NASO:WASANII WABONGO WAMENIROGA/WACHAWI HAWANIWEZI/MIMI NDIO MFALME HAKUNA MFALME MWINGINE

Ойын-сауық

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 103

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim42973 жыл бұрын

    Mfalme anairudisha himaya yake sasa! Namkubali sana huyu mwamba

  • @naomiantony4583
    @naomiantony45833 жыл бұрын

    Hapana, Umeniangusha kwenye interview mzee baba,unaulizwa jambo moja unatoa maelezo mengi sana! Ambayo hayaendani naswali uliloulizwa.

  • @shukurupazia8420
    @shukurupazia84203 жыл бұрын

    Huyu jamaa ngoja aseme yeye ni mfalme bado anaimba zile nyimbo zenye ujumbe na kuelimisha karibuni nyimbo zake zote

  • @aishambise6529
    @aishambise65293 жыл бұрын

    Nyimno zako huwa nzuri sna

  • @singasinga2663
    @singasinga26633 жыл бұрын

    Aliya unafanana sana na best nasso

  • @0656840872
    @06568408723 жыл бұрын

    Acheni kumtusi sana huyu jamaa hebu msikilizeni kwa makini jamaa ana confidence na anachokiongelea Kuna anayoyajua nyinyi hamfahamu, usanii una mambo mengi na nguvu za kishirikina zinatumika.

  • @mfswcb5837

    @mfswcb5837

    3 жыл бұрын

    nayy kasem n mchaw

  • @0656840872

    @0656840872

    3 жыл бұрын

    @@mfswcb5837 siez kupingana na hilo sababu asingekua yy ni mchawi basi asingewafahamu wachawi wanaomroga kwa hilo yupo sahihi ila simuungi mkono huo ni ushirikina na haufai

  • @joanessimaosinamakonde6498
    @joanessimaosinamakonde64982 жыл бұрын

    Mimi napenda shana musica ya best nasso.

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph8053 жыл бұрын

    Unacho ongea ni kweri kabisa kaka, but some people is stupid.

  • @owinorashh2353
    @owinorashh23533 жыл бұрын

    pole sana naso lakini jikaze mm niko kenya na wewe ni msanii wangu mkubwa sana mm ni shabiki wako mkubwa kwanza na napenda nyimbo lako la KIPOFU

  • @mpoleclassic160
    @mpoleclassic1603 жыл бұрын

    Huyu jamaa namkubali ila Leo kaongea usenge😂😂🤣🤣🤣🤣😂

  • @samwelipetro384

    @samwelipetro384

    3 жыл бұрын

    Huyu mwamba kweli karogwa...

  • @nasranoti08
    @nasranoti083 жыл бұрын

    nikwel kbx jamaa yupo vizur sana me namkubal sana

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper94712 жыл бұрын

    Gigi hawez kweli Kuongezea huyu Mashabk

  • @barakasaimon5602
    @barakasaimon56022 жыл бұрын

    Nani kweli jamaa ngoma zake uwezi kuliganisha nawaimba matusi

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu3 жыл бұрын

    The way he speak the way he's sing is two things different doooo. Computer imerahisisha kweli.

  • @jayproducts5871
    @jayproducts58713 жыл бұрын

    Wangapi wanakisikia kithethe kwa nasso kama nay vile

  • @daboe2528
    @daboe25283 жыл бұрын

    Aaah nimemkubali kwasababu nayey anajikubari👏🏿

  • @samnjuu1717
    @samnjuu17173 жыл бұрын

    She is best naso

  • @ellenkamanzi3505
    @ellenkamanzi35053 жыл бұрын

    Bongo kunavituko nilijua nibibi ametoka shamba naicho kitambaa kichwani

  • @bizindavyinicolas4450
    @bizindavyinicolas44503 жыл бұрын

    Wahoji na wasani wa konde gang jamani kama wasafi hawana shida na harmonize

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe13283 жыл бұрын

    Uko vizuri imba hata nyimbo za dini mungu akubariki

  • @yustinapeteryustinapeter6853
    @yustinapeteryustinapeter68533 жыл бұрын

    Wanakuloga kwelii we nimkali achana nao wanao kutukana wote wanaupungufu wa akilii

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel48673 жыл бұрын

    sawa broo tumekuelewa ww ndio mfalme lkn mfalme wa kuvaa kilemba

  • @kingshiyneshiyneboy1120
    @kingshiyneshiyneboy11203 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ioOgzZSzhNSsmqQ.html king shiyne tz anawaomba support yenu ila samahanini Kwa wale ambawo ntakua nmewakera ila naamini nyimbo mtaipenda coz inaukweli kwenye jamii na katika maisha yetu ya sasa hivo twenden Kwa pamoja tuka enjoy music mtamu kutoka Kwa king shiyne tz nawapenda Sana🙏🙏🙏💙

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle98243 жыл бұрын

    Uonekan kwenye tamasha sababu hujui hiro tamasha ukiwepo atuingii

  • @janatahmad7048
    @janatahmad70483 жыл бұрын

    eti mfalme 😂😂wa maneno.ama?? huna hakili wew bwege sana gigy mwenyew anakuzidi impact sana 😂😂😂

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle98243 жыл бұрын

    Huna akir wew jitu jinga kwel wew ni wakuwa mfalme wew

  • @edwinlawi6824
    @edwinlawi68243 жыл бұрын

    Huyu dishi limeyumba siyo bule

  • @lovenessamos5232
    @lovenessamos52323 жыл бұрын

    Nahicho kitambaa kichwani kama demu pia umelogwa ili ukivae au

  • @imanuelsylous3514
    @imanuelsylous35143 жыл бұрын

    Gigi kasikia kwer hiii interview 🙆🙆🙆🙆🙆🥂

  • @Daphne362
    @Daphne3623 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂et wewe ni mnini Nasso untaniua mtoto wa mwenzio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda sana Nasso❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @msukuma1
    @msukuma12 жыл бұрын

    Msanii wa wasukuma 😀😀

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын

    Anajihami life inawachapa Wasanii kinoma Ila ufalme huna kaka unavunga

  • @davelarry5343
    @davelarry53433 жыл бұрын

    Bona Mimi sikujui wew pambana kaka acha maneno mengi sema kufulia kubaya

  • @thomaskaniki6755

    @thomaskaniki6755

    3 жыл бұрын

    Kama hunijuicoment yann sasa

  • @goldchaz7050
    @goldchaz70503 жыл бұрын

    Umaskin mbaya sana

  • @limitoboe
    @limitoboe3 жыл бұрын

    Jionee hii kzread.info/dash/bejne/Z3Wlr7R8dK-qlaQ.html

  • @imanuelsylous3514
    @imanuelsylous35143 жыл бұрын

    Mama🤸🤸🤸🤸 Yan kenge kwer.........

  • @kaserekambafumoja5005
    @kaserekambafumoja50059 ай бұрын

    Mziki wako ni djuu sana mwalimu hata uku congo unawashinda wanamzika kibao ndokweli nasema, best naso hakuna wakuchukua nafasi yako narudi hakuna! Natoka congo mashariki naitwa John parrot

  • @inocentmwale962
    @inocentmwale9622 жыл бұрын

    Kweri kabisa

  • @user-ig9rl2hv6h
    @user-ig9rl2hv6h9 ай бұрын

    Kumamako nasooo he ushafikia stage iyo

  • @sultanmakofia2252
    @sultanmakofia22523 жыл бұрын

    kaka achi madude mashabiki zako tupo

  • @hawaabdallah4782
    @hawaabdallah47823 жыл бұрын

    Kweli naso wew mkali

  • @aishambise6529
    @aishambise65293 жыл бұрын

    Toa iyo kitambaa unakaa mama

  • @zilizotufikia946

    @zilizotufikia946

    3 жыл бұрын

    😂

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31493 жыл бұрын

    Anaongea pumba bila kujujua, ivi mara ya mwisho nyimbo yako kupigwa radion lini?

  • @hillarymtui4347
    @hillarymtui43473 жыл бұрын

    🙏❤

  • @masatuadolfu8691
    @masatuadolfu86913 жыл бұрын

    uko sawa

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala2893 жыл бұрын

    msanii wangu

  • @elishachenya5341
    @elishachenya53413 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiii mfalme labda wa wakulya huko musoma @youngkiller anakutosha hatukuon ww shndana na @hbaba

  • @masungamwandu4960
    @masungamwandu49603 жыл бұрын

    Naso uko pw xana gigy hakuwez ww ni mfalme hakna mwingine bongo flava wengi wao sifa tu lakn kwako naso Kaz Kwanza sifa baadae

  • @zackmuga
    @zackmuga3 жыл бұрын

    Dah jamaa kafulia,juzi wamekuja kufanya show bar moja Huku mloka rufiji yeye na beka flavour

  • @samwelibky_eze2571
    @samwelibky_eze25713 жыл бұрын

    Ila kijana anajihamini sana

  • @emmanuelmakore4139
    @emmanuelmakore41392 жыл бұрын

    Komaa kijana mwenzetu itafait tu man

  • @frankmachette3221
    @frankmachette32213 жыл бұрын

    Bange nazoo

  • @kichwachagoogle5138
    @kichwachagoogle51383 жыл бұрын

    Anaongea Nyege tu

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m3 жыл бұрын

    Kweli ww tunakuelewa

  • @anastaziakilaza7456
    @anastaziakilaza7456 Жыл бұрын

    Saana

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Kungekuaga na kulogwa nakwambia chadema wangesha mloga magu

  • @mfswcb5837

    @mfswcb5837

    3 жыл бұрын

    hahahahah kwel umenena

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kwel maana wanammezea mate magu wetu 🤣🤣🤣

  • @sultanmakofia2252
    @sultanmakofia22523 жыл бұрын

    kweli kaka goma zako tunazipata bila kiki wa prmoshe

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle98243 жыл бұрын

    Lecod zako unazijua wew mwenyew 2

  • @alexnymhngmarwa7085
    @alexnymhngmarwa70853 жыл бұрын

    Nikweli yye ndo mfalume

  • @bercahot152
    @bercahot1523 жыл бұрын

    Huyu jamaa ame2mia maneno ya kisanii!! Uchawi sio ule unaoufahamu

  • @Ibrah__
    @Ibrah__3 жыл бұрын

    Hili jamaa jinga sana

  • @sambayoo6441
    @sambayoo64413 жыл бұрын

    Ila unga mbaya xana ase jamaa kadata

  • @timothypaul1714
    @timothypaul17143 жыл бұрын

    Mtangazaji wa hiki kipindi sijui yupoje anapenda kuchonganisha Sana wasanii ...cjui anafaidika nn?

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv93223 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 mchawiii

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana46123 жыл бұрын

    Mbona umevaa kitamba chawa Mama

  • @shaniathumanishaniathumani8515
    @shaniathumanishaniathumani85153 жыл бұрын

    TATIZO AALIYA MATANGAZO KIBAO KABLA HAUJATUPELEKA KWENYE LENGO

  • @mfswcb5837
    @mfswcb58373 жыл бұрын

    kwel bag sio nzr nmekbal au kwel alirogwa

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath24803 жыл бұрын

    bangi bana😂😂

  • @mfswcb5837

    @mfswcb5837

    3 жыл бұрын

    hahahahaha

  • @shedrackshedrack9780
    @shedrackshedrack97803 жыл бұрын

    hii

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын

    Wana ronga ata kusah karogwa sio mbure kwaza wasaani wana rongana

  • @daboe2528
    @daboe25283 жыл бұрын

    Tunasubir interview ya gigy sas

  • @evaristmathias3303
    @evaristmathias33033 жыл бұрын

    Nikweri wanaloga sana

  • @samwelibky_eze2571
    @samwelibky_eze25713 жыл бұрын

    Abenuuu 😂😂😔😔😔😔

  • @espoirbesthopemelody1939

    @espoirbesthopemelody1939

    3 жыл бұрын

    Na'wa hine🤣🤣🤣🤣

  • @petterimanh8684
    @petterimanh86843 жыл бұрын

    😱😱😱

  • @masungamwandu4960
    @masungamwandu49603 жыл бұрын

    Kwel naso gigy watu walikua hawamjui kupitia nyimbo utapata watu wamemjua

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto35143 жыл бұрын

    Duh wakati wako umepita bro

  • @allybaba9920
    @allybaba99203 жыл бұрын

    Acha hizoo

  • @justinigurgo3342
    @justinigurgo33424 ай бұрын

    0:10 0:23 0:24 0:25 0:25

  • @justinigurgo3342

    @justinigurgo3342

    4 ай бұрын

    Besti naso

  • @33-snchronized
    @33-snchronized3 жыл бұрын

    Hahah

  • @alhajikipingu1661
    @alhajikipingu16613 жыл бұрын

    Hizo bang sasa

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz71753 жыл бұрын

    Wewe kweli utuimbie TUMA RINGA uwe Mfalme ? Hivi ulituchukuliaje kwanza dah eti Tuma Ringaaaa 😟 Huna wimbo viewers nyingi zaidi ya UTABAMBA sababu ya GIGGY

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peterwolftz2220
    @peterwolftz22203 жыл бұрын

    😂😂

  • @samwelipetro384
    @samwelipetro3843 жыл бұрын

    KUJIITA MFALME WAKAT HATA HAUNA IMPACT KWENYE JAMII HUO NI ISHAMBA...UNAHOJIWA HAPO NA WASAFI..KWAHYO MONDI NAE ANAKUROGA.....😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kennymsanii6073

    @kennymsanii6073

    3 жыл бұрын

    Hhh

  • @madundolucas4420

    @madundolucas4420

    3 жыл бұрын

    Nasso ngoma ulio fanya na huyu dem ulimbadilisha kinoma mpaka nilianza kumfatilia

  • @finemubah
    @finemubah3 жыл бұрын

    Bongo Kiki,anajua kuwa anaongea ujinga Ila ndo kiki

  • @sultanmakofia2252
    @sultanmakofia22523 жыл бұрын

    kaka achi madude mashabiki zako tupo

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31493 жыл бұрын

    Kumbe dada enu mtangazaji anajua kuvaa na kupendeza.

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄naona leo kajitaid kuvaa maana anavaaga mabwanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @goodlucktemu3149

    @goodlucktemu3149

    3 жыл бұрын

    @@tatuhongeranurushaus485 uyu nahisi ameishi sana kijijini kwaiyo anacho amua yeye ndio icho

  • @athumanimagori9829

    @athumanimagori9829

    3 жыл бұрын

    msanii huyo anajua sana sema wanajifanya hawamjui

Келесі