NYERERE: KUNA WANASIASA WANANUNULIKA, HESHIMA YAO INA BEI

Пікірлер: 81

  • @imanuelmahenge5461
    @imanuelmahenge54615 жыл бұрын

    Ni kama alitabiri yaani ndicho kinachotokea kwa viongozi wanaojidai wanaunga mkono na kuhama vyama

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli36505 жыл бұрын

    Daaa Huyu mzee Mungu alimjalia maono ya kipekee sn.Hotuba takribani miaka 50 iliyopita leo yametimia.Mamalaya wa siasa wajaa,hotuba km huwezi kuiona TBC Never ever.

  • @marwamasele8809

    @marwamasele8809

    5 жыл бұрын

    Ni kweliiii umenena

  • @zittotv9972
    @zittotv99725 жыл бұрын

    I miss you Dady NYERERE

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Жыл бұрын

    One of the hard dificurt point of late Julia's kambarage nyerere l trying to sense leasening y same of Africa polition late Julia's kambarage nyerere has this massage Main point The are peaple reaction like proschut can be bought diginity is like how proschut baginening whale knows that is the ashemed thing but proschut baginening that now we have polition like proschut but are not much are vary fiew but behavior like proschut can be be bought by any one with money behavior like proschut This speech was late Julia's kambarage nyerere address military were caming from Moshi Soon we will trunslate from Swahili to English

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo78055 жыл бұрын

    acheni kumlisha mwalimu Nyerere maneno yenu ya kishenzi.

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon52655 жыл бұрын

    Hivi TBC hawana hotuba kama hizi?

  • @nkuhimmary6007
    @nkuhimmary60075 жыл бұрын

    MASENARY 😁😁 malaya malaya daaa ama kweli ww haitoshi tu! kuitwa baba wa Taifa ilipwaswa uitwee Bb wa Mataifa😍 R. I. P our legacy..

  • @methuselahnzugwa3133
    @methuselahnzugwa31335 жыл бұрын

    Huyu mzee hakika alikuwa ni nabii! Kwani ukifatilia ni mengi mno si hilo tu. Itatuchukua karne nzima kumpata Nyerere mwingine.

  • @mpendakiswahili3053

    @mpendakiswahili3053

    2 жыл бұрын

    Ndugu, magufuli alijaribu kuiga mfano wake ila tusimpuuze....

  • @nathanjaphet7625
    @nathanjaphet76255 жыл бұрын

    Akina LOWASA wana tabia za kimalaya malaya ivi

  • @peterbillas9131

    @peterbillas9131

    3 жыл бұрын

    Wamenunuliwa

  • @simonchristopher2766
    @simonchristopher27665 жыл бұрын

    daah! huyu mzee,acha tu

  • @simpsonisoe8994
    @simpsonisoe89942 жыл бұрын

    Afred mutua ,ako na siasa ya Malaya malaya

  • @duniayakijani7868
    @duniayakijani78683 жыл бұрын

    Alikuwa anahasira Sana hapo mwalim

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili30532 жыл бұрын

    Aiii Nyerere mbona hauku mshauri ndugu yako mzee Jomo Kenyatta ila nchi yetu ina poromoka....

  • @mariammussa8754
    @mariammussa87543 жыл бұрын

    hakika wana siasa wa namnahii hawafai kuongonza taifa kama Tanzania

  • @princessilayo7411
    @princessilayo74113 жыл бұрын

    Anaekubaliana na Mimi huyu c mwalimu,sauti imeeigilizwa.

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    Ай бұрын

    aliemuhigiza nani? kama sio yeye. na unataka kuniambia maneno haya hakuyatamka?

  • @josephshidiga484
    @josephshidiga4844 жыл бұрын

    Noma sana

  • @masoudabbas1204
    @masoudabbas12043 жыл бұрын

    Yani ndiyo yanayojiri

  • @avax5717
    @avax57175 жыл бұрын

    Alikuwa na hasira sana hapo baba yetu wa taifa.

  • @kidumumungia1475

    @kidumumungia1475

    5 жыл бұрын

    Mpaka akang'ata meno kabisa

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    11 ай бұрын

    Wengi hawakuelewa ndioaana ili sound kuchekesha.

  • @martinemifuko71
    @martinemifuko715 жыл бұрын

    Siyo Nyerere

  • @peterbillas9131

    @peterbillas9131

    3 жыл бұрын

    Nani babu yako

  • @abdalomari5912
    @abdalomari59125 жыл бұрын

    daaa uyubabu alikuwa noma alijuwa kwasasa wapo wananuliwa na kuwaidiwa veyo babu alikuwa nima mungu mbaliki

  • @makamekhamis9048
    @makamekhamis90483 жыл бұрын

    tumepoteza baba Wa taifa

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71853 жыл бұрын

    Halima Mdee na wenzake 19 kwa maana hiyo wanatabia za kimalaya Malaya kama alivyosema mwalimu???

  • @nathanjaphet7625
    @nathanjaphet76255 жыл бұрын

    LOWASA ni Masenary

  • @dominicsaid4756
    @dominicsaid47563 жыл бұрын

    👍👍👍

  • @fredrickmichael3033
    @fredrickmichael30334 жыл бұрын

    😊

  • @rehemabrayson8010
    @rehemabrayson80104 жыл бұрын

    Duh!

  • @yohanamichael2858
    @yohanamichael28582 жыл бұрын

    currently it's happening

  • @kudramkoma8438
    @kudramkoma84385 жыл бұрын

    Remembered by tzanian

  • @lucasarajiga6438
    @lucasarajiga64382 жыл бұрын

    R.I.P.,mwalimu wetu

  • @babucheenyahega2778
    @babucheenyahega27785 жыл бұрын

    Kwaiyo waitala na rioba ni masnale

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Sio mwalimu huyu!!!

  • @jacksondeo3541
    @jacksondeo35414 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mrkasebelekasebele2129
    @mrkasebelekasebele21295 жыл бұрын

    nyeleleeee alale pema peponi, nyelelee .......

  • @mussahassan7787
    @mussahassan77873 жыл бұрын

    Mimi namwitaga jini huyu mzee maana alivyoonge vyote vinajitokeza now

  • @bashiruibrahimu1278
    @bashiruibrahimu12783 жыл бұрын

    Baba wa taifa tunakukumbuka sana

  • @christophersaimon4398
    @christophersaimon43985 жыл бұрын

    wambie hao baba malayamalaya tu

  • @genimaige6023
    @genimaige60235 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @ngasasocks1125
    @ngasasocks11255 жыл бұрын

    ndo maana kaitwa bb wa taifa

  • @joharirajabu5473
    @joharirajabu54733 жыл бұрын

    CHADEMA NA CUF wanasikiliza hizi kweli TBC na Radio zao wanatakiwa kabla ya habari nusu saa ya habari wawe wanaweka hiki hata wanamuziki kabla ya tamasha nawe wanaweka hizi sauti Kwitongo hii sauti ni muhimu kipindi hiki 22 julai 1967

  • @babajohnii506
    @babajohnii5064 жыл бұрын

    Babu alikua namikogo huyu

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai85775 жыл бұрын

    😳😳😳😳hahahahaa🤣🤣🤣

  • @peterbayo4677
    @peterbayo46775 жыл бұрын

    Alitoa unabii juzi yao na jana yao! Leo yametimia machoni petu na kesho unabii huu utadhihirika zaidi na kwa aibu mbele ya wenye macho yatakayotiwa nuru na akili isiyoghoshiwa ujinga na upumbavu. Tukiwa wazalendo wa kweli hata kuifia nchi yetu hatutanunuliwa kwa bei yoyote ile kamwe.

  • @monicaney3782
    @monicaney37823 жыл бұрын

    Nyerere huyu huyu?

  • @eliamugini8494
    @eliamugini84945 жыл бұрын

    Lowasa

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup29685 жыл бұрын

    Mh

  • @doricematindiko5350
    @doricematindiko53505 жыл бұрын

    Baba uliyaona hayo,umalaya wa kununuliwa ndo uliopoo

  • @jenifamtima9325

    @jenifamtima9325

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @omarynjelu9191
    @omarynjelu91915 жыл бұрын

    huyu sio nyerere

  • @macknonkibona2401

    @macknonkibona2401

    3 жыл бұрын

    ni mwenyewe kaka

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Ni kweli akitamka mwalimu haya?

  • @wagagagigikokohumulutililu8974
    @wagagagigikokohumulutililu89745 жыл бұрын

    MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI.

  • @martinibrahim6904
    @martinibrahim69044 жыл бұрын

    Hawabna aibu

  • @abdalomari5912
    @abdalomari59125 жыл бұрын

    watu wanapogezana soda

  • @juliuskivuyo5384
    @juliuskivuyo53845 жыл бұрын

    Hiyo ni sauti ya kuigiza

  • @paschalambrosi8731

    @paschalambrosi8731

    5 жыл бұрын

    Ni nan

  • @juriasangelo2110

    @juriasangelo2110

    4 жыл бұрын

    Acha ushambaa

  • @macknonkibona2401

    @macknonkibona2401

    3 жыл бұрын

    hapana kaka ni mwenyewe kabisa hii speech mi niliisikia kipindi cha tape mwaka 2001

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia26005 жыл бұрын

    Mtoa post unatafuta kiki na edit zako shezi time

  • @tumlakimwaitumule

    @tumlakimwaitumule

    5 жыл бұрын

    Ka edit wap?

  • @renatuslucas2617

    @renatuslucas2617

    5 жыл бұрын

    Na wewe unatabia anazozitaja mwalimu

  • @wilsonmariki7224

    @wilsonmariki7224

    5 жыл бұрын

    Na wewe wale wale tuu marayaaaa

  • @getaromagaiwa7918

    @getaromagaiwa7918

    5 жыл бұрын

    James Ngunda Teresia """"una tabia za kimalayamalaya!!!!!!

  • @Tukuyu66

    @Tukuyu66

    5 жыл бұрын

    Please!!!

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen27335 жыл бұрын

    This is not Nyerere

  • @elibarickandrew2870
    @elibarickandrew28705 жыл бұрын

    Huyu ni Steve, u 'll trick others

  • @mochings8012

    @mochings8012

    5 жыл бұрын

    Elibarick Andrew fuck off

  • @prosperjuma905

    @prosperjuma905

    5 жыл бұрын

    Dah, upo serous kwel?

  • @raymondkaswaga8334

    @raymondkaswaga8334

    4 жыл бұрын

    Steve hawezi igiza hii

  • @josephgomalo41

    @josephgomalo41

    6 ай бұрын

    Wenzio tulisikiliza hotuba hiyo Redio Tanzania Dar es Salaam; kwenye vipindi mbalimbali ambavyo vililenga kuwakumbusha Watanzania kuhusu uzalendo kwa nchi yao! Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alikuwa mkali kwa mafisadi na wala rushwa.. ni kwa kuwa hamkuwahi msikia Mwalimu.. wakati wake! Umezaliwa juzi!

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын

    Ulazwe pema mwalimu.Hakika tangu ulipoachia madaraka hajatokea mwingine hata mwenye nusu ya robo ya uwezo wako.

  • @christophersaimon4398
    @christophersaimon43985 жыл бұрын

    wambie hao baba malayamalaya tu