NYERERE: KUNA WANASIASA WANANUNULIKA, HESHIMA YAO INA BEI
Жүктеу.....
Пікірлер: 81
@imanuelmahenge54615 жыл бұрын
Ni kama alitabiri yaani ndicho kinachotokea kwa viongozi wanaojidai wanaunga mkono na kuhama vyama
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Daaa Huyu mzee Mungu alimjalia maono ya kipekee sn.Hotuba takribani miaka 50 iliyopita leo yametimia.Mamalaya wa siasa wajaa,hotuba km huwezi kuiona TBC Never ever.
@marwamasele8809
5 жыл бұрын
Ni kweliiii umenena
@zittotv99725 жыл бұрын
I miss you Dady NYERERE
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
One of the hard dificurt point of late Julia's kambarage nyerere l trying to sense leasening y same of Africa polition late Julia's kambarage nyerere has this massage Main point The are peaple reaction like proschut can be bought diginity is like how proschut baginening whale knows that is the ashemed thing but proschut baginening that now we have polition like proschut but are not much are vary fiew but behavior like proschut can be be bought by any one with money behavior like proschut This speech was late Julia's kambarage nyerere address military were caming from Moshi Soon we will trunslate from Swahili to English
@patrickmbogo78055 жыл бұрын
acheni kumlisha mwalimu Nyerere maneno yenu ya kishenzi.
@kashindisimon52655 жыл бұрын
Hivi TBC hawana hotuba kama hizi?
@nkuhimmary60075 жыл бұрын
MASENARY 😁😁 malaya malaya daaa ama kweli ww haitoshi tu! kuitwa baba wa Taifa ilipwaswa uitwee Bb wa Mataifa😍 R. I. P our legacy..
@methuselahnzugwa31335 жыл бұрын
Huyu mzee hakika alikuwa ni nabii! Kwani ukifatilia ni mengi mno si hilo tu. Itatuchukua karne nzima kumpata Nyerere mwingine.
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Ndugu, magufuli alijaribu kuiga mfano wake ila tusimpuuze....
@nathanjaphet76255 жыл бұрын
Akina LOWASA wana tabia za kimalaya malaya ivi
@peterbillas9131
3 жыл бұрын
Wamenunuliwa
@simonchristopher27665 жыл бұрын
daah! huyu mzee,acha tu
@simpsonisoe89942 жыл бұрын
Afred mutua ,ako na siasa ya Malaya malaya
@duniayakijani78683 жыл бұрын
Alikuwa anahasira Sana hapo mwalim
@mpendakiswahili30532 жыл бұрын
Aiii Nyerere mbona hauku mshauri ndugu yako mzee Jomo Kenyatta ila nchi yetu ina poromoka....
@mariammussa87543 жыл бұрын
hakika wana siasa wa namnahii hawafai kuongonza taifa kama Tanzania
@princessilayo74113 жыл бұрын
Anaekubaliana na Mimi huyu c mwalimu,sauti imeeigilizwa.
@user-jj7qv7kh2s
Ай бұрын
aliemuhigiza nani? kama sio yeye. na unataka kuniambia maneno haya hakuyatamka?
@josephshidiga4844 жыл бұрын
Noma sana
@masoudabbas12043 жыл бұрын
Yani ndiyo yanayojiri
@avax57175 жыл бұрын
Alikuwa na hasira sana hapo baba yetu wa taifa.
@kidumumungia1475
5 жыл бұрын
Mpaka akang'ata meno kabisa
@richardcastromzena5136
11 ай бұрын
Wengi hawakuelewa ndioaana ili sound kuchekesha.
@martinemifuko715 жыл бұрын
Siyo Nyerere
@peterbillas9131
3 жыл бұрын
Nani babu yako
@abdalomari59125 жыл бұрын
daaa uyubabu alikuwa noma alijuwa kwasasa wapo wananuliwa na kuwaidiwa veyo babu alikuwa nima mungu mbaliki
@makamekhamis90483 жыл бұрын
tumepoteza baba Wa taifa
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Halima Mdee na wenzake 19 kwa maana hiyo wanatabia za kimalaya Malaya kama alivyosema mwalimu???
@nathanjaphet76255 жыл бұрын
LOWASA ni Masenary
@dominicsaid47563 жыл бұрын
👍👍👍
@fredrickmichael30334 жыл бұрын
😊
@rehemabrayson80104 жыл бұрын
Duh!
@yohanamichael28582 жыл бұрын
currently it's happening
@kudramkoma84385 жыл бұрын
Remembered by tzanian
@lucasarajiga64382 жыл бұрын
R.I.P.,mwalimu wetu
@babucheenyahega27785 жыл бұрын
Kwaiyo waitala na rioba ni masnale
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Sio mwalimu huyu!!!
@jacksondeo35414 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mrkasebelekasebele21295 жыл бұрын
nyeleleeee alale pema peponi, nyelelee .......
@mussahassan77873 жыл бұрын
Mimi namwitaga jini huyu mzee maana alivyoonge vyote vinajitokeza now
@bashiruibrahimu12783 жыл бұрын
Baba wa taifa tunakukumbuka sana
@christophersaimon43985 жыл бұрын
wambie hao baba malayamalaya tu
@genimaige60235 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@ngasasocks11255 жыл бұрын
ndo maana kaitwa bb wa taifa
@joharirajabu54733 жыл бұрын
CHADEMA NA CUF wanasikiliza hizi kweli TBC na Radio zao wanatakiwa kabla ya habari nusu saa ya habari wawe wanaweka hiki hata wanamuziki kabla ya tamasha nawe wanaweka hizi sauti Kwitongo hii sauti ni muhimu kipindi hiki 22 julai 1967
@babajohnii5064 жыл бұрын
Babu alikua namikogo huyu
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
😳😳😳😳hahahahaa🤣🤣🤣
@peterbayo46775 жыл бұрын
Alitoa unabii juzi yao na jana yao! Leo yametimia machoni petu na kesho unabii huu utadhihirika zaidi na kwa aibu mbele ya wenye macho yatakayotiwa nuru na akili isiyoghoshiwa ujinga na upumbavu. Tukiwa wazalendo wa kweli hata kuifia nchi yetu hatutanunuliwa kwa bei yoyote ile kamwe.
@monicaney37823 жыл бұрын
Nyerere huyu huyu?
@eliamugini84945 жыл бұрын
Lowasa
@kilamegroup29685 жыл бұрын
Mh
@doricematindiko53505 жыл бұрын
Baba uliyaona hayo,umalaya wa kununuliwa ndo uliopoo
hapana kaka ni mwenyewe kabisa hii speech mi niliisikia kipindi cha tape mwaka 2001
@jamesngundateresia26005 жыл бұрын
Mtoa post unatafuta kiki na edit zako shezi time
@tumlakimwaitumule
5 жыл бұрын
Ka edit wap?
@renatuslucas2617
5 жыл бұрын
Na wewe unatabia anazozitaja mwalimu
@wilsonmariki7224
5 жыл бұрын
Na wewe wale wale tuu marayaaaa
@getaromagaiwa7918
5 жыл бұрын
James Ngunda Teresia """"una tabia za kimalayamalaya!!!!!!
@Tukuyu66
5 жыл бұрын
Please!!!
@shyshayagen27335 жыл бұрын
This is not Nyerere
@elibarickandrew28705 жыл бұрын
Huyu ni Steve, u 'll trick others
@mochings8012
5 жыл бұрын
Elibarick Andrew fuck off
@prosperjuma905
5 жыл бұрын
Dah, upo serous kwel?
@raymondkaswaga8334
4 жыл бұрын
Steve hawezi igiza hii
@josephgomalo41
6 ай бұрын
Wenzio tulisikiliza hotuba hiyo Redio Tanzania Dar es Salaam; kwenye vipindi mbalimbali ambavyo vililenga kuwakumbusha Watanzania kuhusu uzalendo kwa nchi yao! Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alikuwa mkali kwa mafisadi na wala rushwa.. ni kwa kuwa hamkuwahi msikia Mwalimu.. wakati wake! Umezaliwa juzi!
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Ulazwe pema mwalimu.Hakika tangu ulipoachia madaraka hajatokea mwingine hata mwenye nusu ya robo ya uwezo wako.
Пікірлер: 81
Ni kama alitabiri yaani ndicho kinachotokea kwa viongozi wanaojidai wanaunga mkono na kuhama vyama
Daaa Huyu mzee Mungu alimjalia maono ya kipekee sn.Hotuba takribani miaka 50 iliyopita leo yametimia.Mamalaya wa siasa wajaa,hotuba km huwezi kuiona TBC Never ever.
@marwamasele8809
5 жыл бұрын
Ni kweliiii umenena
I miss you Dady NYERERE
One of the hard dificurt point of late Julia's kambarage nyerere l trying to sense leasening y same of Africa polition late Julia's kambarage nyerere has this massage Main point The are peaple reaction like proschut can be bought diginity is like how proschut baginening whale knows that is the ashemed thing but proschut baginening that now we have polition like proschut but are not much are vary fiew but behavior like proschut can be be bought by any one with money behavior like proschut This speech was late Julia's kambarage nyerere address military were caming from Moshi Soon we will trunslate from Swahili to English
acheni kumlisha mwalimu Nyerere maneno yenu ya kishenzi.
Hivi TBC hawana hotuba kama hizi?
MASENARY 😁😁 malaya malaya daaa ama kweli ww haitoshi tu! kuitwa baba wa Taifa ilipwaswa uitwee Bb wa Mataifa😍 R. I. P our legacy..
Huyu mzee hakika alikuwa ni nabii! Kwani ukifatilia ni mengi mno si hilo tu. Itatuchukua karne nzima kumpata Nyerere mwingine.
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Ndugu, magufuli alijaribu kuiga mfano wake ila tusimpuuze....
Akina LOWASA wana tabia za kimalaya malaya ivi
@peterbillas9131
3 жыл бұрын
Wamenunuliwa
daah! huyu mzee,acha tu
Afred mutua ,ako na siasa ya Malaya malaya
Alikuwa anahasira Sana hapo mwalim
Aiii Nyerere mbona hauku mshauri ndugu yako mzee Jomo Kenyatta ila nchi yetu ina poromoka....
hakika wana siasa wa namnahii hawafai kuongonza taifa kama Tanzania
Anaekubaliana na Mimi huyu c mwalimu,sauti imeeigilizwa.
@user-jj7qv7kh2s
Ай бұрын
aliemuhigiza nani? kama sio yeye. na unataka kuniambia maneno haya hakuyatamka?
Noma sana
Yani ndiyo yanayojiri
Alikuwa na hasira sana hapo baba yetu wa taifa.
@kidumumungia1475
5 жыл бұрын
Mpaka akang'ata meno kabisa
@richardcastromzena5136
11 ай бұрын
Wengi hawakuelewa ndioaana ili sound kuchekesha.
Siyo Nyerere
@peterbillas9131
3 жыл бұрын
Nani babu yako
daaa uyubabu alikuwa noma alijuwa kwasasa wapo wananuliwa na kuwaidiwa veyo babu alikuwa nima mungu mbaliki
tumepoteza baba Wa taifa
Halima Mdee na wenzake 19 kwa maana hiyo wanatabia za kimalaya Malaya kama alivyosema mwalimu???
LOWASA ni Masenary
👍👍👍
😊
Duh!
currently it's happening
Remembered by tzanian
R.I.P.,mwalimu wetu
Kwaiyo waitala na rioba ni masnale
Sio mwalimu huyu!!!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
nyeleleeee alale pema peponi, nyelelee .......
Mimi namwitaga jini huyu mzee maana alivyoonge vyote vinajitokeza now
Baba wa taifa tunakukumbuka sana
wambie hao baba malayamalaya tu
😁😁😁😁😁
ndo maana kaitwa bb wa taifa
CHADEMA NA CUF wanasikiliza hizi kweli TBC na Radio zao wanatakiwa kabla ya habari nusu saa ya habari wawe wanaweka hiki hata wanamuziki kabla ya tamasha nawe wanaweka hizi sauti Kwitongo hii sauti ni muhimu kipindi hiki 22 julai 1967
Babu alikua namikogo huyu
😳😳😳😳hahahahaa🤣🤣🤣
Alitoa unabii juzi yao na jana yao! Leo yametimia machoni petu na kesho unabii huu utadhihirika zaidi na kwa aibu mbele ya wenye macho yatakayotiwa nuru na akili isiyoghoshiwa ujinga na upumbavu. Tukiwa wazalendo wa kweli hata kuifia nchi yetu hatutanunuliwa kwa bei yoyote ile kamwe.
Nyerere huyu huyu?
Lowasa
Mh
Baba uliyaona hayo,umalaya wa kununuliwa ndo uliopoo
@jenifamtima9325
3 жыл бұрын
😅😅😅😅
huyu sio nyerere
@macknonkibona2401
3 жыл бұрын
ni mwenyewe kaka
Ni kweli akitamka mwalimu haya?
MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI.
Hawabna aibu
watu wanapogezana soda
Hiyo ni sauti ya kuigiza
@paschalambrosi8731
5 жыл бұрын
Ni nan
@juriasangelo2110
4 жыл бұрын
Acha ushambaa
@macknonkibona2401
3 жыл бұрын
hapana kaka ni mwenyewe kabisa hii speech mi niliisikia kipindi cha tape mwaka 2001
Mtoa post unatafuta kiki na edit zako shezi time
@tumlakimwaitumule
5 жыл бұрын
Ka edit wap?
@renatuslucas2617
5 жыл бұрын
Na wewe unatabia anazozitaja mwalimu
@wilsonmariki7224
5 жыл бұрын
Na wewe wale wale tuu marayaaaa
@getaromagaiwa7918
5 жыл бұрын
James Ngunda Teresia """"una tabia za kimalayamalaya!!!!!!
@Tukuyu66
5 жыл бұрын
Please!!!
This is not Nyerere
Huyu ni Steve, u 'll trick others
@mochings8012
5 жыл бұрын
Elibarick Andrew fuck off
@prosperjuma905
5 жыл бұрын
Dah, upo serous kwel?
@raymondkaswaga8334
4 жыл бұрын
Steve hawezi igiza hii
@josephgomalo41
6 ай бұрын
Wenzio tulisikiliza hotuba hiyo Redio Tanzania Dar es Salaam; kwenye vipindi mbalimbali ambavyo vililenga kuwakumbusha Watanzania kuhusu uzalendo kwa nchi yao! Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alikuwa mkali kwa mafisadi na wala rushwa.. ni kwa kuwa hamkuwahi msikia Mwalimu.. wakati wake! Umezaliwa juzi!
Ulazwe pema mwalimu.Hakika tangu ulipoachia madaraka hajatokea mwingine hata mwenye nusu ya robo ya uwezo wako.
wambie hao baba malayamalaya tu