"Ningekushangaa Mbowe kama ungekwenda Polisi" - ZITTO KABWE

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alikua pembeni ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe leo February 10 2017 Dodoma akiongelea kutajwa kwenye orodha ya watu 65 sakata la dawa za kulevya na akapewa nafasi ya kuongea pia.

Пікірлер: 211

  • @justinnoderosa9
    @justinnoderosa97 жыл бұрын

    Mh.Zitto ni mmoja wa viongozi waliojaa busara kupata tokea Tanzania....kadri ya siku zinavyozidi kwenda busara zake zinazidi kuniogopesha.....may God protect u and give u a long life.......long live our future president

  • @igobekomagessa4430
    @igobekomagessa44307 жыл бұрын

    Wanasiasa hili sio issue yakujionyesha ktk vyombo vya habari ili muonekane Nguvu kazi ya Taifa inaangamia mjue Mungu atawadai siku moja

  • @okoamsite4857

    @okoamsite4857

    7 жыл бұрын

    Igobeko Magessa acha zako jikate babu mungu sio fala wa kumhukumu mtu aliye vuta unga kwa starehe zake mwenyew..

  • @hassanovajunior3006
    @hassanovajunior30067 жыл бұрын

    acha upuuzi wew Kwani wew ni nani jinga hii

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali54307 жыл бұрын

    Nice to see this love it its good to be thankfull nice

  • @allyabeid342
    @allyabeid3427 жыл бұрын

    athanas Elisha...tuko pamoja waache mazuzu wajifanye mimacho yao na mimasikio yao imezibwa kiasi hawauwoni uzuri wakazi yamakonda naunafiki wawabunge pumba hawa pumbafu..pamoja athanas pigakazi makonda yaache mazuzu yafe kwahasira pumbafu.

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove22217 жыл бұрын

    😂😂😂 had 2020 lazma wote wanyooke kama barabara bado awam ya 3 Makonda piga kaz Mungu akusimamie kuna wengine wanahska ndiio mana wakal😀😀😀

  • @PeterMudokoict
    @PeterMudokoict7 жыл бұрын

    amakweri Tanzania kazi tunayo ata awa tunao wapigia kura watuwakilishe Bungeni ndo wametugeuka!!!!!!!!!!! mtakuja tu 2020 siwezi kualibu mda wangu eti namchagua mtu tena.

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata80657 жыл бұрын

    sawasawa Zito wewe kweli chadema damu umuhimu wako kwenye chama kilicho kulea chadema unaonekana na unauwonyesha bila uwoga wala haibu nimekubali wee ni chadema damu mungu atakusaidia na atakupa muongozo sahaii wa kuungana na chama chako tena kwani wee nimwana wa chadema na ilo linakubalika bila kipingamizi mungu ibariki chadema na viongozi wake wote ipo siku mungu atatimiza haadi yake.

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma17 жыл бұрын

    Dakika 90 bado, ndo kwanza dk ya 7. Mchezo bado mmbichi. Watanzania wapenda matukio huu mwaka ndio wao. Acha maneno weka muziki

  • @salimatuyahhaya5772
    @salimatuyahhaya57727 жыл бұрын

    Ni hatariii zaidi ya Mlima kitongaaaaa

  • @mubingokhamis9105
    @mubingokhamis91057 жыл бұрын

    tuelewe kua yeye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama nainavo fahamika mwenyekiti ndo mwenye kutangaza baada ya watendaji wake kumkabidhi mambo husika... kwahiyo basi tusimchukie mtu.

  • @geofbeka1669

    @geofbeka1669

    7 жыл бұрын

    Mubingo Khamis kwanini mnaharaka ya kuandika msivyovijua?

  • @mako331
    @mako3317 жыл бұрын

    l can't believe this is Zitto sasa eti anamtetea Mbowe! kweli Wana siasa

  • @prosperalfred6069

    @prosperalfred6069

    7 жыл бұрын

    Ndo wanasiasa wetu hawa , mandumi za kuwili tu

  • @fafi9092
    @fafi90927 жыл бұрын

    Anavyoongea kwa nyodo utafkir makonda kitu anachokitete kinamnufaisha pekeyake khaa watanzania tumezid mtu akijaribu kuondoa uchafu mnamsema vbaya wakubwa awatajwi wanatajwa vdagaa wakubwa kawataja mnaanza mengine

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    Fafi mm namuunga Makonda mkono 100% ila angewapa cjui inaitwa samas/official letter then awatangaze. Kuna sheria ni vema angeufuata huo utaratibu. Tumeyachoka hayo madawa yanatuharibia jamii yetu

  • @fafi9092

    @fafi9092

    7 жыл бұрын

    Rose Hillary Utaratibu dear alikuwa anataka kuufata amina chifupa wakamuuwa utaratibu sasaiv hakuna njia sahihi nihii nawabunge wangesherikiana namakonda juu yahili alilolianzisha bas ingekuwa nafuu

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    Nakubali sana ila wakienda kisheria wanaweza kumfunga au akachukuliwa hatua fulani ambazo sio nzuri

  • @mariammursal2905

    @mariammursal2905

    7 жыл бұрын

    tatizo si kuwataja alivyoanza na wasanii alisema ni uchunguz umefanyika ndio maana kawaita hao kwa mahojiano...lakin mwisho wa cku wengine wakawekwa chini ya uangalizi wa polisi kwa mwaka ina maana hawakuwa na ushahidi wa kuwafunga kwa upande wa pili kawaita kupitia media na hawakukutwa wakihusika na hayo madawa je unadhan jamii iliyowazunguka ni watu wote watawaona kama hawakuhusika....anachafulia watu hadhi zao katika jamii hii ndio mara ya kwanza naona watuhumiwa wanaitwa kupitia media tena wa madawa je wale wanaohusika hawapat nafasi ya kuficha ushahidi....Approach yake ni zero

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    Haswaaa Mariam. Na wakipata MTU wakuwasomesha vizuri kisheria duh! Utakuwa Kazi sana

  • @silvanuskilindu
    @silvanuskilindu7 жыл бұрын

    Interesting...... I'll definitely like to see where this ends...

  • @saidishabaninguku8655
    @saidishabaninguku86557 жыл бұрын

    Ama wana siasa ni wanafiki, mliposema kuna wauza unga ndani ya bunge mliwakusudia nini, kwa dharau hizo naona ninyi wabunge kwanza mnatakiwa kuwajibishwa, karatasi za kufungia vitumbua kweli, hivi kweli zitto hizo ni busara kweli, mi naona umeonyesha dharau kubwa sana.

  • @prosperalfred6069

    @prosperalfred6069

    7 жыл бұрын

    kweli bana

  • @rashidikimungu3607

    @rashidikimungu3607

    7 жыл бұрын

    real talk

  • @mugandawerem3986

    @mugandawerem3986

    7 жыл бұрын

    makonda sheria husomi?

  • @fundikiller7884
    @fundikiller78847 жыл бұрын

    HUU MCHEZO HAUITAJI HASILA MAKONDA KAZI ANAYO AKIMALIZA MADALAKA YAKE SI LETU JICHO TU WANAVYUO

  • @shabanrashid9680

    @shabanrashid9680

    5 жыл бұрын

    ww zitto ni kashanana sikuamini huyo aliekufukuza chama ungeweza kuikaa meza moja nakutuelezea upumbafu tumewaelewa na siasa zenu tumezijua

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu88127 жыл бұрын

    Mi nawashangaa sana watanzania wenzangu sijui mwaitaji nini maana mitazamo ya watanzania wengi inaongozwa na mizuka....ukweli ni kwamba madhambi hajaumbiwa mtu wa kipato cha chini tu, tena hao matajiri ndio wanamengi zaid....Hizo nyodo wanazoleta sio kwa Magufuli ninae mjua mimi wa Chato...labda kama kuna mwingine wa Njombe...(Natania jaman wa njombe msije mkanikalia kooni) ila namaanisha hivi sheria ni kwa kila mwananchi..na inapobid lazima watumie njia hizi ili kubain ukweli

  • @hajramtepa2000
    @hajramtepa20007 жыл бұрын

    Lakini kwa upande mwingine zitto Yuko sawa watu wenye makosa Hawa wanashtakiwa polisi wanachukua mkondo sio kutangaza mtu yeyote hapo Makonda anatumia madaraka vibaya pia

  • @hajramtepa2000

    @hajramtepa2000

    7 жыл бұрын

    Haki ndiyo itendeke lakini sio kudharirishana

  • @rosehillary8742

    @rosehillary8742

    7 жыл бұрын

    haswaaa

  • @geradiusdeogratias2226

    @geradiusdeogratias2226

    7 жыл бұрын

    List of shame ilitatangazwa na Slaa. Yeye alikuwa ni nani?

  • @mtumishimbwagha4855

    @mtumishimbwagha4855

    7 жыл бұрын

    kwani kuwatangaza alikuwa ana wakamata na kuwaita police, huwa sipendi kuwa mshabiki ambaye huna future kwako mwenyewe na unafurahi kuona wengine wanaumizwa kwani ungekuwa na future possibly ungeelewa ninachokiongea sasa hivi. pole sana punda unayetumika hata akili ya kuandika na kusoma hunaaa

  • @adamkayombo2401

    @adamkayombo2401

    7 жыл бұрын

    Hajra Mtepa)(nikweli kabisa sema nini? watu wanaonewa kwa kuto ijua haki Na sheria.

  • @mubingokhamis9105
    @mubingokhamis91057 жыл бұрын

    hivi hii ni chuki kwa mkuu wa mkoa au kwakusimamia sheria kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama?

  • @juliusnyonyi9616
    @juliusnyonyi96167 жыл бұрын

    kwa kweli zitto kuongea point nakupa 100% napenda sana kufwatilia mawazo yako hubahatishagi

  • @kebo2155

    @kebo2155

    7 жыл бұрын

    point gani?? wacha kulala blaza... think.

  • @bakarimohamed6150
    @bakarimohamed61507 жыл бұрын

    mnatapatapa mnaohusika na unga kwani zito ww unazijua sirizote zamboe mpakauseme hausiki maneno yenu yalaaniwe mnafikir dunia niyenue

  • @cashtime4life972
    @cashtime4life9727 жыл бұрын

    More than season..tam balaaa!!

  • @yunusyusuf4614
    @yunusyusuf46147 жыл бұрын

    absolut mr zitto very happy ...

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.58227 жыл бұрын

    Mhe. Makonda endelea na shughuli hawa wanaojaribu kuzuia huwez jua wananufaikaje na hicho wanachokipigia kelele

  • @nazirusuleiman2261
    @nazirusuleiman22617 жыл бұрын

    Binadm anamchkia mungu asiye muona iwwe mwanadam anae kuona (makonda) tembza lungu mpaka wakili wenyewee wakiona awafai kuishi Tanzania watfute nchi nyingene wakaish uko ambapo watfanya uwo ujinga wao.

  • @mhagamakonge9493
    @mhagamakonge94937 жыл бұрын

    zito utamponza mwenyekiti wako,acha atii sheria sio kupeana viburi vya ajabuajabu hii serikali ni tofauti sana alafu zito usijione ww unaakili sana.Tatzo Waha mnasifa sana

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew64917 жыл бұрын

    Alafu huyu bwana anaongea akiwa amelewa ndo maana anaongea ujinga

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa10017 жыл бұрын

    tutasikia kesho Zitto kakamatwa

  • @salminisamyy5413
    @salminisamyy54137 жыл бұрын

    Makaratas ya kufungia vitumbua

  • @Chazjons
    @Chazjons7 жыл бұрын

    Bonge la muvi unaambiwa! Star hajulikani bado

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98237 жыл бұрын

    Sawa kabisa Geratus. Pale walipotangaza list of the shame akitajwa Mmoja wapo waziri mstaaafu Lowasa.walikuwa na ushahidi gani zaidi ya kumchafua. Na je. alienda kushitaki wapi ili ajisafishe. Jueni tu kuwa huo ndio utaratibu au taratibu za wote na sio Makonda wala Sorry. Kaeni kimyaaaa! endeleeni na bunge.Msimdhooofishe kijana Makonda.Akishinndwa atakuwa amejifunza kitu.

  • @georgedaud3388
    @georgedaud33887 жыл бұрын

    solidarity 4ever mh. zito

  • @SaintAloha
    @SaintAloha7 жыл бұрын

    You are innocent until proven guilty ....kuna tofauti kati ya MSHUKIWA na MHUKUMIWA ....waliopatikana bila makosa au mihadarati yoyote wana haki ya kumshtaki Makonda for DEFAMATION ...yaani kuharibiwa jina

  • @kigambontv9748
    @kigambontv97487 жыл бұрын

    Hahahaaaa Shikamoo Zitto Eti sio mtu apite tu barabaran na makaratasi yke yakufungia vitumbua muandiko kma wa darasa la pili Je ww zitto une msapot mwenzio kuto kwenda police ya kimkuta kma ya Lipumba 2015 kule kwa Azizi Ali utamuambia tena nn

  • @daudially9565
    @daudially95657 жыл бұрын

    safi sana chadema for life ✌✌✌✌

  • @imamumponda276
    @imamumponda2767 жыл бұрын

    kiukweli makonda amejitoa muhanga allah amlipe kila la kheri na amlinde na maadui zake Aamin

  • @hashimsaid5546

    @hashimsaid5546

    7 жыл бұрын

    Allah hasaidii upumbavu binadamu mwenyewe amche mola wake na tukatazane mabaya na tuamrishane mema. makonda ndio nini 😯😯😯

  • @mariodenkewitz5060

    @mariodenkewitz5060

    6 жыл бұрын

    imamu mponda allah hakai kwenye kwa mtu kama huyo

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew64917 жыл бұрын

    Ha ha ha ha ha ha ha Ma ajabu kumbe mwandiko ungekua mzuri ange enda. Mpaka atanjwe itakua kuna mtu amemtaja kwa Hivyo kwenda kwake Angetoa maelezo huko kama wengine walivyofanya

  • @rashidikimungu3607
    @rashidikimungu36077 жыл бұрын

    your credit has been decreasing the time after time ZITTO,don't be in that way......

  • @lwiticomwalukumba4148

    @lwiticomwalukumba4148

    7 жыл бұрын

    Rashidi Kimungu well said

  • @mathiaswilliam7060
    @mathiaswilliam70607 жыл бұрын

    wacha madawa weka muzikiiii

  • @jedidiahmathias7767
    @jedidiahmathias77677 жыл бұрын

    Zitto Ni Mwanasiasa mkomavu sana

  • @aselakessy8102
    @aselakessy81027 жыл бұрын

    Zitto kabwe always honest namkubal co wa mchezo mchezo

  • @masseanadir2904
    @masseanadir29047 жыл бұрын

    awareness, strong conscience are our weapons let's stay firmly

  • @philiponikwanduka8050
    @philiponikwanduka80507 жыл бұрын

    makonda ukafunzwe uongozi

  • @adamkayombo2401

    @adamkayombo2401

    7 жыл бұрын

    philipo nikwanduka 👏👏👏👏

  • @emmanuelsemwaiko2280
    @emmanuelsemwaiko22807 жыл бұрын

    Hivi hii nchi kwanini watu wanatumia vibaya uhuru wa kuongea,hata katika mambo ya msingi ya nchi,hebu tuache vyombo vya sheria vifanye kazi yake bhana..

  • @jeviounipers

    @jeviounipers

    7 жыл бұрын

    acha ujinga wewe, umeshaambiwa RC hana mamlaka ya kufanya aliyo yafanya , kwani vyombo vya sheria ni Mungu, ujinga wa aina gani mko nao nyie watu?

  • @adinanjuma2457

    @adinanjuma2457

    7 жыл бұрын

    Jema David my friend, we ni mwanasheria? Wanasheria wote waliohojiwa wanapinga approach ya Makonda na si kazi yake! Mbowe naye kaja na sheria hapo. Je, wewe ni Mwanasheria utufafanulie? Mimi nitafurahi sana siku nchi yangu ikikosa miungu watu! Hichi tunachokiona wakati huu tusikifurahie wala tusichukue pande, tubaki kwenye ukweli. Polisi wakikamata mtu hawataji majina kama uchunguzi haujakamilika, issue kubwa ni kuogopa kuharibu ushahidi! Sasa inakuwaje hii majina yanatajwa bila kuelewa ukweli na undani? Kwa hali hiii sisi wananchi wa kawaida tunaoamini kwa kusikia bila kuona, tusiojua sheria na tusiokuwa na nyenzo za kulinda hadhi zetu....mmmmmmmmh....mustakbali wetu ni mbaya

  • @petersanga4167

    @petersanga4167

    7 жыл бұрын

    emmanuel semwaiko tumia akili

  • @masaudmasaud4084

    @masaudmasaud4084

    7 жыл бұрын

    kwanini mnasema sikaz yake tz sasa imepata viongozi makonda Waite wote weka ndani wanatualiabia ndugu zetu kwamadawa wao wanatajirika Mzee magufuli atakua na wewe tutaheshimiana mwaka huu

  • @SaintAloha

    @SaintAloha

    7 жыл бұрын

    SHERIA

  • @gersonjohn4353
    @gersonjohn43537 жыл бұрын

    wakati zito anaongea mmeandika jina la mbowe sasa hako kakosa ka kiufundi

  • @isackngido1260
    @isackngido12607 жыл бұрын

    zito acha siasa ukalime, imesha kuharibu kisaikolojia, sasa mbowe kutajwa kwenye kesii ni ninyi wotee. uaache unafiki zitto umekuwa sasa

  • @okoamsite4857

    @okoamsite4857

    7 жыл бұрын

    isack ngido acha ushamba wew kama anatuhumiwa apewe samansi au afatwe na polis kimya kmya sio kututajia watu hiyo ni sheria gan..

  • @festosiame8286
    @festosiame82867 жыл бұрын

    Tukubali tukatae, madawa ya kulevya ni janga kwa taifa. Kila mmoja wetu apaze sauti kuyakataa kuliepsha Taifa na balaa hili la madawa ya kulevya linaloangamiza nguvu kazi na kuleta umaskini kwa kaya na familia.

  • @adamdamas8352
    @adamdamas83527 жыл бұрын

    sawa kabisa

  • @danfordmujaki2552
    @danfordmujaki25527 жыл бұрын

    dah inauma sanaaa....

  • @phyniacerungu5368
    @phyniacerungu53687 жыл бұрын

    huhuhuhuuuu......hapa patamu aiseeee

  • @rukiaabdallah92
    @rukiaabdallah926 жыл бұрын

    Duh hii nch shida nimecheka mpaka nimepaliwa

  • @joycejohn7754
    @joycejohn77547 жыл бұрын

    my next president 💪💪💪💪

  • @harounali1626
    @harounali16267 жыл бұрын

    Mimi nataka kujulishwa haya mambo kama yana tumika hapo nchini kwetu 1) Jee mtuhumiwa anaruhusiwa kuingia na wakili wake pamoja na shahidi wake? Naomba msijichanganye kwa kuwa sema wakili na shahidi nisawa hao ni watu wawili tafauti. 2) Jeekuna voice recorder na video recorder katika mahojiano hayo? Kama yapo jee wakili hupewa copy yake wakimaliza mahojiano au wakili ana record yake? (kivyake) 3) Mtuhumiwa kuachiwa bila ya dhamana kwa kuwa yeye ni mtuhumiwa si mshitakiwa haki hiyo ipo? Mambo yapo mengi lakini nduguzangu hayo matatu yavalieni njuga mtakapo itwa Police. Hizo ni haki zetu za kiraiya kukosekana kwa hayo ndio chanzo cha kusikia mtuhumiwa kafariki au kazimia kama yalvyo tokea kwa Gwajima na Lipumba kama sikosei.

  • @mikelmweuc9619
    @mikelmweuc96197 жыл бұрын

    hizi ndio faida ya online tv huyo tcra anataka azifungie anadhani mda wote tutatembea na tv pa1 na king'amuzi km hivi nimepata habari nilichoshika kichwani mwangu nakujua mwenyewe je nikihadithiwa km hadithi C ningeongezewa chumvi

  • @BennyChristian

    @BennyChristian

    7 жыл бұрын

    Michael Mussa tcra hawawezi kuzuia hizi video online hata wakimfungia ayotv ni bure tu hizi video zitapenya tu ni sawa nakusema unataka kuzia nyasi zisiote duniani, labda ulipua dunia yote, sasa hapa labda wafunge internet yote kitu ambacho hakiwezekani maana hata bank itabidi zifungwe na kila shughuri tz isimame turudi zama za mawe

  • @peternjovu7953
    @peternjovu79537 жыл бұрын

    Mimi nampongeza sana mh mbowe na mh zito kabwe ila chakushangaza mbona viongozi ccm wapo na hawataji na wakati huo hao ndo manguri wakuuza madawa ya kulevya kwanini

  • @silvanuskilindu
    @silvanuskilindu7 жыл бұрын

    Check mate...

  • @modestamogongolwa1449
    @modestamogongolwa14497 жыл бұрын

    kwa hili nzito umechemsha sikutegemea kabisa kama utaongea upuuzi huo duuuu kweli hatari

  • @machagekihore123

    @machagekihore123

    7 жыл бұрын

    Modesta Mogongolwa we ndo unaandika upuuzi huu du! sikutegemea! lete hoja tukuelewe zito katoa hoja yake nawewe mpinge kwa hoja

  • @joliesambimbona7931

    @joliesambimbona7931

    7 жыл бұрын

    ni kweli kabisa ata sisi tuko uku maulaya mpaka mtu hakishikwa ijapodi apo sawa wanamtupa ndani jameni siyo uvo makonda hanatumika vibaya sana

  • @felistagerrard2375
    @felistagerrard23757 жыл бұрын

    si vita ya madawa yakulevya bali ni vida vya kisiasa kupitia mgongo wa vyama vya siasa,#vivaCHADEMA

  • @khaleedfungabreck5075
    @khaleedfungabreck50757 жыл бұрын

    Yaaah its true tunatakiwa tu deal na madawa ya kulevya shida ni hii njiaaa inayotumikaaa

  • @johnmunga1857
    @johnmunga18577 жыл бұрын

    leo nimeelewa kwnn Tanzania yang inaitwa Bongo 😂😂

  • @salehemkala7775
    @salehemkala77757 жыл бұрын

    tumacho taka madawa yaishe tz tumechoka kutuaribia vijana wetu na masumu yenu makonda piga kazi

  • @okoamsite4857

    @okoamsite4857

    7 жыл бұрын

    Salehe Mkala hujielewi

  • @williamjulius8648

    @williamjulius8648

    4 жыл бұрын

    Ampigie nan kaz

  • @mozebarnaba3737
    @mozebarnaba37377 жыл бұрын

    siasa za tanzania n za kinafk xan leo hii mhe zito unasmama kutetea jambo la mtu binafs yan personal life ,,,,,,,,,duh wkt ww mwenyew hicho kpnd hicho uliambiw hawakuamn,,,dah inaskitisha san

  • @lwiticomwalukumba4148

    @lwiticomwalukumba4148

    7 жыл бұрын

    moze barnaba yaah kaka hawa waongo na wanafki

  • @ukweliuwazi5869

    @ukweliuwazi5869

    7 жыл бұрын

    mose barnaba ndg mbona unakuwa kama vile huelewi kukosea ,kuanguka kupo ila unaweza fika mahali ukujirudi coz nzito alianguka akainuka ndo maana unamuona imara lakn kwa hiki cha makonda kumtaja mbowe kama ww unajua sheria za nchi hii kakosea ndo maana hata ccm wamechukia sana maana si utaratibu

  • @agustinong8007
    @agustinong80077 жыл бұрын

    makonda usiachie kwani hadi huku ulaya tanzania inajulikana ni ya wauza unga yaani inchi yetu imechafuliwa jina sana

  • @davidmosha3545
    @davidmosha35457 жыл бұрын

    nimekupenda zitto nakupenda point

  • @stanslauslwambusha948
    @stanslauslwambusha9486 жыл бұрын

    Aise

  • @Rogasiandesmond6
    @Rogasiandesmond67 жыл бұрын

    kujua Sheria raha sana

  • @tamtam2589
    @tamtam25897 жыл бұрын

    mmmmmh ovyo

  • @daybrelimite7039
    @daybrelimite70397 жыл бұрын

    Hua nakuelewa sa mh. Zitto

  • @desderiussotta4958
    @desderiussotta49587 жыл бұрын

    DAAAAAAAAAAH ZITO UMENIANGUSHA KWA ILI

  • @dericklawrence2651

    @dericklawrence2651

    7 жыл бұрын

    Desderius Sotta ulitaka aongee nini? au kitu gani alichoongea hakina ukweli

  • @desderiussotta4958

    @desderiussotta4958

    7 жыл бұрын

    Anasema kama kweli angekuwa anauza basi yeye angekuwa kibaraka wake ikija ikasibitika kweli alifanya iyo biashara wewe ulie mtetea hivyo utakuwa katika nafasi gani kisiasa na kuaminika kwa watu wanao kuamini kuwa unaongea ya kweli

  • @josephemanuel5529
    @josephemanuel55296 жыл бұрын

    Hii nchi ni ya kifala tu,ni upuuuuuz mtupuuuuu

  • @hotnewz8937
    @hotnewz89377 жыл бұрын

    ni kwel tunapiga vita madawa lakin utaratibu anaotumia makonda ni wa kitoto

  • @sharomosses5516
    @sharomosses55167 жыл бұрын

    makonda mkombozi wa watoto wetu mungu akusimamie, madawa janga la taifa, tunakuombea sana kwa mungu

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    Nikweli ila mikono yake mwenyewe ni michafu ina damu za watu na atalipa alicho vuna

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh43167 жыл бұрын

    Yan wa Tanzania hatuishi undezi Mbowe na Manji walihoji sawa kuitwa sio tatizo ila tatizo ni kutajwa katika vyombo vya habari je, ikitokea wahusishwi na madawa hayo je wataweza safishiwa majina yao? Sheria zipo wa Tz hatetewi mtu hapa😡😡😡😡

  • @erickmushi69
    @erickmushi697 жыл бұрын

    i think tatizo la viongozi hasa vijana tanzania ni kubwa na wamethibitisha ku sio mature enough kuwa viongozi so minaona hata ile vita ya kuwatoa wazee kwenye uongozi tuache maana sioni la maana hapa sheria hatufati ni watu wa kick waropokaji tu so nimesha choka

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile71627 жыл бұрын

    Hapo patamu

  • @athanaselisha1617
    @athanaselisha16177 жыл бұрын

    Mnalindana kwa kuwa na wewe zito tumekusikia juzi ulialamika bungeni eti untaka kukamatwa kwa sasa unataka ushirikiano wa ninyi washutumiwa.

  • @onesmomwacha1592

    @onesmomwacha1592

    7 жыл бұрын

    athanas elisha. Wewe athanas ninatilia shaka uwelewa wako. Inamana hayo wanayoongea mbowe na kabwe unayasikiliza au unakurupuka kutoa comment za kiunazi. Ndio nyie mnaokanyaga sheria na msiojua maana ya sheria

  • @selemaniomary1902

    @selemaniomary1902

    7 жыл бұрын

    yabwina????

  • @briggsanji9176
    @briggsanji91767 жыл бұрын

    😂😂😂😂safi baba sema kabisa maana utafikili yeye ndo mwenye nchi

  • @mhagamakonge9493
    @mhagamakonge94937 жыл бұрын

    zito mzinguaji tuu Makonda kijana shupavu sana.mlipaswa muunge mkono juhudi,,, mbona raisi alikaguliwa silaha anazomiliki? Leo hii mbowe yy ni Nani hasa hadi ajione yu juu ya sheria

  • @getrudamdolo8677
    @getrudamdolo86777 жыл бұрын

    vta zd ya madwa yakulevya hatu ikatai sheria ifatwe bwana tukiendelea iv kunawatu watakua miungu watu wakiamua waamue wao kutakua na abuse of power kutakua no rule of law procedure zpo bwana zfatwe no one is above the law bwana.

  • @jumaedward7110
    @jumaedward71107 жыл бұрын

    tangazo hilo vpiii

  • @laurentbabone7829
    @laurentbabone78297 жыл бұрын

    wa Tanzania mume tutesa sana kwenu eti sisi ni wakimbizi tuna subiri uku heri sisi tumekuwa wa kimbizi ajili ya vita ila nyinyi viongozi wenu vatakimbiza pekeyawaoo😂😂😂😂 muta kimbiya bila vita mu juwa nini ina vyo umiza ku teswa ku ajili tu mutu ni forener kweli tunawasubiri

  • @eliassamwel9172
    @eliassamwel91727 жыл бұрын

    Mafuta ya taa tayarii memwangwa

  • @seebrizzy8459
    @seebrizzy84597 жыл бұрын

    ukiingia kichwa kichwa Chadema utataja majina ya babu zao wazaa babu..

  • @user-fm9gr6jb6e
    @user-fm9gr6jb6e7 жыл бұрын

    episode 3 inatoka lini?

  • @lwiticomwalukumba4148

    @lwiticomwalukumba4148

    7 жыл бұрын

    Ayusaf Dafu stering anakalibia kufa ha ha ha haaaa

  • @BESMARTTELEVISION
    @BESMARTTELEVISION7 жыл бұрын

    HAPA kamchezo kamekua katamu nasi waandishi tutafaidikaaa

  • @charlesmagere9020
    @charlesmagere90207 жыл бұрын

    hahahaaa... .patamuuu.....lakni Makonda kanyaga twende...mana wew ndyo raisi wa mkoa na majeshi yote ndani ya mkoa huu yapo chini yako kisheria.....

  • @geradiusdeogratias2226
    @geradiusdeogratias22267 жыл бұрын

    Duu watu wameharibika na madawa ya kulevya mnaangalia tuu, wacha waanze kuwachukulia hatua mnakinga vifua. Nyinyi mnamtetea nani? Labda huyo ndiye mkubwa mnashindwa kumtaja.

  • @ericmashimba2266
    @ericmashimba22667 жыл бұрын

    mnafiki mkubwa wewe zito leo umekuwa lafiki tena wa mbowe

  • @hassanihussein4479

    @hassanihussein4479

    7 жыл бұрын

    kwenye matatizo km haya lazima atetewe Na sio yeye2 mpka wabunge Wa ccm

  • @shabansalum9283
    @shabansalum92834 жыл бұрын

    Sura yakichawi

  • @shabansalum9283
    @shabansalum92834 жыл бұрын

    Jama akimaliza ubunge atakuw mganga wakienyeji

  • @sameeradam4696
    @sameeradam46967 жыл бұрын

    Xx zz limeingia Simbaaaaa .......Xhule wanazo kichwan pesa wanazo wanajuwa sheria, haki zao mh cjuy itakuwaje me yng macho2 mpk mwixho niuoneee!!

  • @didomassiveonlinetv290
    @didomassiveonlinetv2907 жыл бұрын

    achaa blablaa argument zako unatetmekaa cumeitwa nend mbon blablaa nyingiii na ww ucitwee kwan ww nan? alaf zitto ww unajua siri zote za mbowe mbon na ww unakua kam sio msomii

  • @charzwilson1523
    @charzwilson15236 жыл бұрын

    zito we ni kigeugeu unanunulika ccm walikununua ulanzisha chama patna na ccm kuidhofisha chadema wewe hufai nch inahangaika kwajiri yenu mnae nunuliwa cc tuna walaaaani sananatuuza kwa taamaa za kofedha we hufai

  • @nazirusuleiman2261
    @nazirusuleiman22617 жыл бұрын

    Najua wengi watkchkia kwenye jambo lakjenga Tanzania yetu,nawngi wataksema kwa mabaya lakn,tunaktkia kila lahri kupambna na watu wanao jifanya wanamu kumbe shtan,Paul makonda uwezi pendwa na watuwote kwani wewe sipesa,usjivunjke moyo au kukta tamaa kwa vitsho vyapesa wewe wanyooshe kwani dua zetu zipo mbele yako.

  • @philiponikwanduka8050
    @philiponikwanduka80507 жыл бұрын

    hafai kuwa kuwa kiongozi

  • @saidwilson6529
    @saidwilson65297 жыл бұрын

    makonda akawe mkuu wa wilaya huko vijijini.....

  • @shd12m55
    @shd12m557 жыл бұрын

    Tanzania mmmppppppyyyyaaaa

  • @jumannemkondoa5905
    @jumannemkondoa59057 жыл бұрын

    Mzki cyo wako Yann ucheze zitto tulia Huu mchezo autaki asila

  • @sonbramadhani2822

    @sonbramadhani2822

    5 жыл бұрын

    bashite anakieleele

  • @motomoya8463
    @motomoya84637 жыл бұрын

    Ninyi ngojeni tu. Mlipokuwa mkiwachafua wengine kwa uongo...duuu kufa hamta kufa, bali chamoto kipo jikoni.

  • @philiponikwanduka8050
    @philiponikwanduka80507 жыл бұрын

    Tatizo nikutofikiri zito anachokiongea nisahihi kabisa kwani kila mtu anamtu aliye mfikisha mahali alipo fika sioni tatizo kwa zito kukiri kuwa vile unavyomuona nimboe aliyemtengeneza kuwa alivyo kisiasa mboe aliona kipawa ndani ya zito na zito kwamda aliolelewa na mboe hajawai kuona kuwa mboe ana bishara haramu na ndio maana anasema kama mboe alikua hivyo basi yeye angekuwa wa kwanza kutumiwa na mboe katika biashara hiyo! lkn pia nchi hii tunawaandishi wa habari wapiga vigelgele sio wachunguz wa kina wa kilichotokea wamekuwa kasuku tu hawana hoja za nzito za kuhoji mamamlaka ili habr zao ziwe na nguvu ya hoja kiongozi kasema wao vigelegele hawana maswali ya maana ya kuibua hoja ndio maana wanakuja na ujinga viongozi hawafuati Sheria wanaropoka sisi nivigelele ,hatupingi vita dhidi ya madawa tunapinga utaratibu unaotumika maana ya kuwepo katiba Sheria na kanuni niili taifa liendeshwe kwa utaratibu unaokubalika,baba wa taifa aliwahi kusema ukiona kiongozi hafuati Sheri taifa linaweza kuingia kwenye machafuko haizekani mtu kashauriwa na mkewe tu kwamambo ya nchi tunaona jambo fulani likomtaani halafu tunashangili haiwezekani huu in upuuzi makonda aache kulopoka hovyo kwanza anapoteza ushahidi kama wahalifu wanamadawa wanahamisha wanaharibu ushahidi Mwisho wa siko atalipa kuchfua watu yeye sio mahakama mahakama itataka uthibitisho sio polojo za makonda na kukurupuka kwake

  • @lwiticomwalukumba4148

    @lwiticomwalukumba4148

    7 жыл бұрын

    upo sahihi lakini huyohuyo ndo aliyesema zitto ni kibaraka wa ccm na kuwa anataka kumpindua leo kikowapi siasa mchezo wa kamfiche