"NILIINGIA IKULU MWAKA 1978" MIZENGO PINDA Awachambua Hayati Baba wa Taifa, Mkapa na Mwinyi
"NILIINGIA IKULU MWAKA 1978" MIZENGO PINDA Awachambua Hayati Baba wa Taifa, Mkapa na Mwinyi (PART ONE)
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda wakati ameeleza namna alivyoanza kufanya kazi na serikali hadi kuingia kwenye ulingo wa siasa, ambapo alianza kufanya kazi na serikali katika enzi ya baba wa Taifa tangu mwaka 1978.
Aidha Mstaafu Pinda ameelea namna ambavyo aliweza kufanya kazi kwenye serikali mbili mfululizo ambapo alifanya kazi na Hayati baba wa taifa kwa miaka Nane kabla ya mstaafu mwinyi kuchukua kiti cha urais mwaka 1985
#MizengoPinda
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyhowww.yout.... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 24
Ikulu ulianza na miaka 30 couse umezaliwa 1948 mpaka 1978 ulipoanza,ww ni kiongozi bora hakuna asiyejua utendaji wako Mhe!Ubarikiwe sana
Mwaka 78 mzee Pinda ulikuwa na miaka 30 na SIO miaka 40: Hivyo ni Kweli ulikuwa ni kijana sana•
Mwandishi hajui historie yetu. Mwinyi hakuleta wazo la serikali huria, lilitoka worldbank na ni moja ya sababu za Mwalimu kung`atuka. Mwinyi alilazimika kuisimamia huo mlengo wa siasa.
@brysonngullo6724
4 жыл бұрын
Hujui sovereignty ya taifa
CV yako iko vzr mweshima kwa kukaa serikarini muda wote huu ,siyo Kama viogozi wegine hata CV Hana lakini anakuwa na kelele nyingi pumuzika kwa amani mkuu usikubali kuhusishwa sana na siasa kuwa mkimya usije bebeshwa lawama waachie nao waliopo kwa muda huu
@samidusadru6709
4 жыл бұрын
Shija lameck Mpemba
Mzee wangu napenda busara zako sana!! Mzee wa watu hana makuu na mtu...
@jaysonlee4091
2 жыл бұрын
Sorry to be offtopic but does anyone know a trick to log back into an instagram account..? I stupidly lost the login password. I appreciate any tips you can offer me
Hongera pinda kwa uwekezaji huo
Pinda muungwana sana sana. Nakutakia maisha mema Mzee Pinda.
Baba ww ni Mfano God bless you
Mwatendamataaa waluko, Mizengo Pinda
Mtangazaji umeuliza maswali ya kisomi sana pia mzee wa kibaoni kajibu kwa busara iliyotukuka
busara sana big up💘
Huyu muheshimiwa uwaga hana makuu .ila kwa speed ya msukuma usinge weza
Mbona imeishia njiani
Nakumbuka ulikuja mwanza ukaruhusu wamachinga wapigwe tu
Leteni muendelezo jmn
30tu nikweli sio ,40
ULIKUA NA 30 YRS TU MKUU SIO 40
Hizi documentary hamjazitendea haki. Kama lengo lilikuwa ni siasa mngeweka ya siasa ijitegemee na ishibe. Kama ni ujasiliamali mngefanya watu waone na wajifunze in full. Siyo kuruka ruka. Na mbaya zaidi kwenye ujasiliamali voice quality ni mbaya. Yani mlikuwa na kitu kizuri ila hamjakifanya kwa ukamilifu.
mtangazaji unavutia
@zagaronondo8130
4 жыл бұрын
MAPANDE KODA we inaonesha we ningosha aka mshamba
Vizuri sana mzee pinda kwa kweli ntafika dodoma kujifunza uwekezaji wa namna hiyo kwa kweli