MKE WA WAZIRI MKUU MSTAAFU TUNU PINDA AFUNGUKA ALIVYOKOSA UHURU BAADA YA MUMEWE KUWA WAZIRI MKUU
Cheza sasa kupitia shorturl.at/jqzU6 na ushinde
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 35
Hongeraa sanaà mama angu hakika nimependaa sanaaa uchapakazii wakoo natamani Sanaa siku mojaa nifikee kwakoo mama angu
Hongera Sana Mama Allah akusimamie ktk shughuli yako uliyoianzisha. Upo vizuri mama yanngu
Mama nimekupenda you are real African woman. Si mtu wa kujiinua
Hongera sana Mama Pinda Huna Baya na mtu ❤ nakupenda sana . Mungu akutunze na akulinde siku zote
Sasa matangazo kila muda ndo nini?
Kipindi kizuri lkn matangazo daah hovyo kabisa kwanni msiyapangilie vizuri, halafu yana sauti ya juu. Kiufupi yameboa sana.
Mwanachi digital mmeashindwa kupangilia matangazo yenu hadi kero
Barikiwa Sana mama pinda na Mzee pinda mungu awabariki kwa kujitolea kulea albino
Jamani matangazo ya nini yanaboa tu
Hongera mama, Naomba kazi mama hata ya udereva. Asante
Mnaboa na haya matangazo yenu buana khaaaaaaaa😢
This woman is so Real………. Nimempenda kwa kweli
Hongera sana Mama ❤ ila wewe ni mzuri sanaa
Matangazo ya biashara, ni muhuni ki-bishara, lakini yakipangiliwa ovyo ovyo, hata habari inayotangazwa, inaonekana ya ovyo, kwani hupoteza utamu wa habari husika, na kuifanya nayo ionekane kama ni ya ovyo !
@raphaelhans3052
3 ай бұрын
Nafuu umeona pia 😂😂😂😂
hivi huyu mama mnayemhoji, mlimwomba ridhaa ya kurusha haya matangazo kiholela hivi?
Wangapi Ndo wamemjua Leo Hii???🤣🤣
@ngwashgold5459
4 ай бұрын
Mimi hapa
Ssfi sana
Haya matangazo yana keraaaaaaaaa
Mama ulishusha sana mabega. You were the best. Tulisali wote St Anna Kinondoni Hananasif, ulikuwa wa kawaida sana mama
Mshauri bwana yako awe mmojawapo katika kugombea urais mwaka 2025 ana uwezo mkubwa
Mungu awasamehe hamjui mlitendalo
Tafuten mfumo mzuri wa matangazo yenu
Nimekupenda mama una moyo mzuri
Hongera Mama Sana na Mungu akubariki we na familia yako kwa Maamuzi ya upendo kwa Jamii
Mungu akujalie lengo lako litimie.
Mamaaaaaaaa Ushamba Tena 😂😂❤
Mama shikamoo
Matangazo bila mpangilo makera .
na kweki mama tunu alikua mshamba balaa enzi za cbe
🫡
Haya matangazo vipindi vyenu mtakua mnaangaria na familia zenu 😠
Matangazo yanaboa
Yaaani nyinyi MwanaichiDigital mnnaendesha Channel yenu kama Zama za kale. So unprofessional unprofessional.