MKE WA WAZIRI MKUU MSTAAFU TUNU PINDA AFUNGUKA ALIVYOKOSA UHURU BAADA YA MUMEWE KUWA WAZIRI MKUU

Cheza sasa kupitia shorturl.at/jqzU6 na ushinde
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Пікірлер: 35

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7nyАй бұрын

    Hongeraa sanaà mama angu hakika nimependaa sanaaa uchapakazii wakoo natamani Sanaa siku mojaa nifikee kwakoo mama angu

  • @user-oj1ro8ih1g
    @user-oj1ro8ih1g4 ай бұрын

    Hongera Sana Mama Allah akusimamie ktk shughuli yako uliyoianzisha. Upo vizuri mama yanngu

  • @StephenTossi-tj2uv
    @StephenTossi-tj2uv4 ай бұрын

    Mama nimekupenda you are real African woman. Si mtu wa kujiinua

  • @madinajanethchamshama9999
    @madinajanethchamshama99993 ай бұрын

    Hongera sana Mama Pinda Huna Baya na mtu ❤ nakupenda sana . Mungu akutunze na akulinde siku zote

  • @rosetasuleiman6799
    @rosetasuleiman67994 ай бұрын

    Sasa matangazo kila muda ndo nini?

  • @martinemasunga5802
    @martinemasunga58024 ай бұрын

    Kipindi kizuri lkn matangazo daah hovyo kabisa kwanni msiyapangilie vizuri, halafu yana sauti ya juu. Kiufupi yameboa sana.

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p4 ай бұрын

    Mwanachi digital mmeashindwa kupangilia matangazo yenu hadi kero

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn4 ай бұрын

    Barikiwa Sana mama pinda na Mzee pinda mungu awabariki kwa kujitolea kulea albino

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55674 ай бұрын

    Jamani matangazo ya nini yanaboa tu

  • @collinsulomi1008
    @collinsulomi10084 ай бұрын

    Hongera mama, Naomba kazi mama hata ya udereva. Asante

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie11754 ай бұрын

    Mnaboa na haya matangazo yenu buana khaaaaaaaa😢

  • @user-wt9uf6gc7n
    @user-wt9uf6gc7n4 ай бұрын

    This woman is so Real………. Nimempenda kwa kweli

  • @user-dv6fx5ec5u
    @user-dv6fx5ec5u4 ай бұрын

    Hongera sana Mama ❤ ila wewe ni mzuri sanaa

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi76354 ай бұрын

    Matangazo ya biashara, ni muhuni ki-bishara, lakini yakipangiliwa ovyo ovyo, hata habari inayotangazwa, inaonekana ya ovyo, kwani hupoteza utamu wa habari husika, na kuifanya nayo ionekane kama ni ya ovyo !

  • @raphaelhans3052

    @raphaelhans3052

    3 ай бұрын

    Nafuu umeona pia 😂😂😂😂

  • @emanuelayubu5021
    @emanuelayubu50214 ай бұрын

    hivi huyu mama mnayemhoji, mlimwomba ridhaa ya kurusha haya matangazo kiholela hivi?

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41594 ай бұрын

    Wangapi Ndo wamemjua Leo Hii???🤣🤣

  • @ngwashgold5459

    @ngwashgold5459

    4 ай бұрын

    Mimi hapa

  • @neemakabale6047
    @neemakabale60474 ай бұрын

    Ssfi sana

  • @WilsonMgwilanga-bj9li
    @WilsonMgwilanga-bj9li4 ай бұрын

    Haya matangazo yana keraaaaaaaaa

  • @edithandunguru3405
    @edithandunguru34053 ай бұрын

    Mama ulishusha sana mabega. You were the best. Tulisali wote St Anna Kinondoni Hananasif, ulikuwa wa kawaida sana mama

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u4 ай бұрын

    Mshauri bwana yako awe mmojawapo katika kugombea urais mwaka 2025 ana uwezo mkubwa

  • @josephineseruhere-cv4wc
    @josephineseruhere-cv4wc4 ай бұрын

    Mungu awasamehe hamjui mlitendalo

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza10464 ай бұрын

    Tafuten mfumo mzuri wa matangazo yenu

  • @marygregory7566
    @marygregory75664 ай бұрын

    Nimekupenda mama una moyo mzuri

  • @josephineseruhere-cv4wc
    @josephineseruhere-cv4wc4 ай бұрын

    Hongera Mama Sana na Mungu akubariki we na familia yako kwa Maamuzi ya upendo kwa Jamii

  • @elinamishoo9541
    @elinamishoo95414 ай бұрын

    Mungu akujalie lengo lako litimie.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi4 ай бұрын

    Mamaaaaaaaa Ushamba Tena 😂😂❤

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt4 ай бұрын

    Mama shikamoo

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r4 ай бұрын

    Matangazo bila mpangilo makera .

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa76014 ай бұрын

    na kweki mama tunu alikua mshamba balaa enzi za cbe

  • @user-wx3im7dz7u
    @user-wx3im7dz7u4 ай бұрын

    🫡

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo4 ай бұрын

    Haya matangazo vipindi vyenu mtakua mnaangaria na familia zenu 😠

  • @huldamichael4445
    @huldamichael44454 ай бұрын

    Matangazo yanaboa

  • @crytonsijaona6164
    @crytonsijaona61643 ай бұрын

    Yaaani nyinyi MwanaichiDigital mnnaendesha Channel yenu kama Zama za kale. So unprofessional unprofessional.

Келесі