NIKKI MBISHI: COUNTRY BOY AJIANGALIE KAULI YAKE/ YOUND D KUMBE TEJA
Ойын-сауық
Hip Hop MC kwenye Game ya Bongo Nikki Mbishi amemjibu Msanii Country Boy kwa kile alichokisema kuwa, Rapa Kutoka +254 🇰🇪 Kenya Khaligraph Jones amewafunika wasanii wa Bongo katika Kolabo nyingi alizoshirikishwa hapa nchini 🇹🇿 .
.
Nikki amesema kuwa Country Boy akarudie kusikiliza Wimbo ambao aliufanya kipindi cha nyuma wakati Khaligraph akiwa Original, kipindi ambacho alikuwa anaimba kwenye Misingi ya Hip Hop na sio Muziki wa Siku hizi.
Пікірлер: 67
moja Kati ya Wasanii ninaopenda interviews zao Ni wewe....nakuappreciate sana
Tz Nikki mbishi umenispire kwenye muziki xm cjui kuchna tuu kila unapoongeag huwa nipo making xn na point zako all time a ippriciate broo
Akili nying sna Respect Nikki
Countryboy hawezi mkalisha MZEE OG
Nakubali sana mzaz mara nying unazungumza point Sana
Napenda Sana confidence yako bro
Wawekee akiba ya maneno..salute nikk
Nikk mbish kila kitu anajuaaaaaa
Brother nikki is very confidence ase!
unju huwa nafurahi xn kuonaga interview zako nakubal
@karolvicent2411
6 жыл бұрын
Omary Rashidy kuma wewe Humjui Nikkmbish wew
kizaz sana bro unajua sana
Genius
Namuelewa sana mbishi
Hahaaaaa daaa hua nakuelega sanaaa mshua UNJuU ✊😎
nikki asimlaumu country huenda haijui ile ngoma na cku akiijua na kuelewa atahisi ni mpya kbsa na atakubali mwnyw
countr mwenyew saiv miyeyushooo
pwaaaaaaaaaa
Khaligraph atukalisha sana, kwa flow yeyote haswaa akitumia ngeli, ngum yupo trap pia pia yupo vzur
Dr.Unju
😁😁😁😁alitaka kusema sibishani na hawa mbwa
@aggraypeter.5008
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo Kweli Yaani Jamaa
@promramson80
6 жыл бұрын
Kweli 😆
@rahimmarions5712
5 жыл бұрын
💯👏👏kabisaaaa
Bro Wa Mtaaa..
_Respect UnJu_
😀😀😀.......No comment.... ...........nAchekA 2.....😀😀😀
Kuna watu wanaishi katika maisha yao na misimamo yao
Nimegundua Snitch Kumbe Neighbour, Dogo anakana Asnifu Kumbe Teja, salute sana
Ndiio minakubariii .....akuna akuna
Countr kweli mpumbavu stamina mwenyewe kamkalisha
Akili mingi unju
Ginuas
Huyu Nikki ni hatari Sana namkubal kinyama
moco ni mbwa kumbe
BABA MALCOM🙌🙌
Nikki Mbishi bado ni Rapper sio mfanya biashara
Nick wang
Unju wa kota wazimie taaa
Jogoo
Unjuu ase anamisifa anastahili kusifiwa
hahaha wabongo waba mmbo yakijinga
Country Boy kauwa bana kweny hiyo collabo, acha kuongea ujinga
@johnmilan7108
6 жыл бұрын
Country kafunika
haha ha kababa ye
Rostam walimkalisha huyo mkenya
@johnmilan7108
6 жыл бұрын
Larick Mtui rostam wanajua Mjomba,,kaligraph amekaa pale
Kaligraph mbona wa kawaida 2 na kwenye ngoma aliyoimba na rostam mbona kafunikwa hasa verse ya 3 ya roma
Nikki Mbishi itakuwa Kaenda shule coz anaongea points sana
@nickherman4
6 жыл бұрын
Rashid Chembax ana degree halafu kasoma na Dizasta mbeya
@rehemaahmed8120
6 жыл бұрын
Ana degree au diploma..?!
@nickherman4
6 жыл бұрын
Rashid Chembax degree
@rehemaahmed8120
6 жыл бұрын
Kwn dizastavina amesoma Must
@gwaipyanampossi3682
6 жыл бұрын
Rashid Chembax no nik mbishi hana degree ana diploma ...amesoma Mbeya chuo cha MUST..
Nikki mbishi zama zako zimeisha
@ibrayuzow6320
6 жыл бұрын
elias njoji i wish ukacomment ivi kwa page yake akujibu utafurai
@humphreymorise
6 жыл бұрын
KAA KIMYA HUJUI MZIKI
@musshonest1378
6 жыл бұрын
amna cha zama zile wala nin tena zama izi ndo akamtki kabisa yaan
@getajo1153
6 жыл бұрын
elias njoji zama zinapita but Legends live forever that's why Tupac aliyekufa 20 + years back ndo Icon wa Hiphop duniani.....
@gbbuku4714
6 жыл бұрын
Boya tu huyo kama nyie mnamkubali si twamuona pimbi tu
Mimi bongo ninacho jua kuna wasanii wa 2 ndo wakali waku rap kuna Fareed kuband Fid Q na Young killer msodoki
@azzleelee8083
6 жыл бұрын
Wewe nifala kumbeeeeeeeeeeeee
@rehemaahmed8120
6 жыл бұрын
Ha ha! Kwaio we unajua chana kumzid unju na moko
@dullerbamatraf2015
6 жыл бұрын
Wee msukumaa nazan ndio maana umewachagua wasukuma wenzko
@esaubakuza3287
5 жыл бұрын
@@dullerbamatraf2015 huyo fara
Nick humuwezi coutry wewe
hahaha wabongo waba mmbo yakijinga