NIKKI MBISHI: COUNTRY BOY AJIANGALIE KAULI YAKE/ YOUND D KUMBE TEJA

Ойын-сауық

Hip Hop MC kwenye Game ya Bongo Nikki Mbishi amemjibu Msanii Country Boy kwa kile alichokisema kuwa, Rapa Kutoka +254 🇰🇪 Kenya Khaligraph Jones amewafunika wasanii wa Bongo katika Kolabo nyingi alizoshirikishwa hapa nchini 🇹🇿 .
.
Nikki amesema kuwa Country Boy akarudie kusikiliza Wimbo ambao aliufanya kipindi cha nyuma wakati Khaligraph akiwa Original, kipindi ambacho alikuwa anaimba kwenye Misingi ya Hip Hop na sio Muziki wa Siku hizi.

Пікірлер: 67

  • @apollojohn5698
    @apollojohn56986 жыл бұрын

    moja Kati ya Wasanii ninaopenda interviews zao Ni wewe....nakuappreciate sana

  • @mdouharuna6849
    @mdouharuna68496 жыл бұрын

    Tz Nikki mbishi umenispire kwenye muziki xm cjui kuchna tuu kila unapoongeag huwa nipo making xn na point zako all time a ippriciate broo

  • @viralvideostz8250
    @viralvideostz82506 жыл бұрын

    Akili nying sna Respect Nikki

  • @isibanianews1329
    @isibanianews13296 жыл бұрын

    Countryboy hawezi mkalisha MZEE OG

  • @jumapande6563
    @jumapande65635 жыл бұрын

    Nakubali sana mzaz mara nying unazungumza point Sana

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen35356 жыл бұрын

    Napenda Sana confidence yako bro

  • @pamojaeddz8913
    @pamojaeddz89135 жыл бұрын

    Wawekee akiba ya maneno..salute nikk

  • @issaabubakari5950
    @issaabubakari59505 жыл бұрын

    Nikk mbish kila kitu anajuaaaaaa

  • @pablomufasa84
    @pablomufasa846 жыл бұрын

    Brother nikki is very confidence ase!

  • @omaryrashidy1942
    @omaryrashidy19426 жыл бұрын

    unju huwa nafurahi xn kuonaga interview zako nakubal

  • @karolvicent2411

    @karolvicent2411

    6 жыл бұрын

    Omary Rashidy kuma wewe Humjui Nikkmbish wew

  • @agaaah6697
    @agaaah66976 жыл бұрын

    kizaz sana bro unajua sana

  • @rehemaahmed8120
    @rehemaahmed81206 жыл бұрын

    Genius

  • @goodlucksniper2247
    @goodlucksniper22475 жыл бұрын

    Namuelewa sana mbishi

  • @boygold8749
    @boygold87496 жыл бұрын

    Hahaaaaa daaa hua nakuelega sanaaa mshua UNJuU ✊😎

  • @ibrayuzow6320
    @ibrayuzow63206 жыл бұрын

    nikki asimlaumu country huenda haijui ile ngoma na cku akiijua na kuelewa atahisi ni mpya kbsa na atakubali mwnyw

  • @mchaletek2324
    @mchaletek23246 жыл бұрын

    countr mwenyew saiv miyeyushooo

  • @lenjeevara3407
    @lenjeevara34076 жыл бұрын

    pwaaaaaaaaaa

  • @brunoeladi698
    @brunoeladi6986 жыл бұрын

    Khaligraph atukalisha sana, kwa flow yeyote haswaa akitumia ngeli, ngum yupo trap pia pia yupo vzur

  • @mchinathegreat9619
    @mchinathegreat96196 жыл бұрын

    Dr.Unju

  • @wilsonwizzo2483
    @wilsonwizzo24836 жыл бұрын

    😁😁😁😁alitaka kusema sibishani na hawa mbwa

  • @aggraypeter.5008

    @aggraypeter.5008

    6 жыл бұрын

    Wilson Wizzo Kweli Yaani Jamaa

  • @promramson80

    @promramson80

    6 жыл бұрын

    Kweli 😆

  • @rahimmarions5712

    @rahimmarions5712

    5 жыл бұрын

    💯👏👏kabisaaaa

  • @officialsniperboytz6712
    @officialsniperboytz67126 жыл бұрын

    Bro Wa Mtaaa..

  • @gegomnete4199
    @gegomnete41996 жыл бұрын

    _Respect UnJu_

  • @guccij3549
    @guccij35496 жыл бұрын

    😀😀😀.......No comment.... ...........nAchekA 2.....😀😀😀

  • @kassimujafari6342
    @kassimujafari63426 жыл бұрын

    Kuna watu wanaishi katika maisha yao na misimamo yao

  • @peterjohn1019
    @peterjohn10196 жыл бұрын

    Nimegundua Snitch Kumbe Neighbour, Dogo anakana Asnifu Kumbe Teja, salute sana

  • @ringolizmjr5132
    @ringolizmjr51326 жыл бұрын

    Ndiio minakubariii .....akuna akuna

  • @barakabakari2732
    @barakabakari27325 жыл бұрын

    Countr kweli mpumbavu stamina mwenyewe kamkalisha

  • @suleimanfyumagwa1151
    @suleimanfyumagwa11516 жыл бұрын

    Akili mingi unju

  • @mwanzadackseli994
    @mwanzadackseli9945 жыл бұрын

    Ginuas

  • @damascojnr1736
    @damascojnr17364 жыл бұрын

    Huyu Nikki ni hatari Sana namkubal kinyama

  • @dogodongo9835
    @dogodongo98356 жыл бұрын

    moco ni mbwa kumbe

  • @evancemigodela3489
    @evancemigodela34896 жыл бұрын

    BABA MALCOM🙌🙌

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free6 жыл бұрын

    Nikki Mbishi bado ni Rapper sio mfanya biashara

  • @witnessmarley5391
    @witnessmarley53915 жыл бұрын

    Nick wang

  • @cosmasdonasiani143
    @cosmasdonasiani1436 жыл бұрын

    Unju wa kota wazimie taaa

  • @kijokombao5345
    @kijokombao53456 жыл бұрын

    Jogoo

  • @aldophnm
    @aldophnm6 жыл бұрын

    Unjuu ase anamisifa anastahili kusifiwa

  • @marleyrank1813
    @marleyrank18136 жыл бұрын

    hahaha wabongo waba mmbo yakijinga

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank6436 жыл бұрын

    Country Boy kauwa bana kweny hiyo collabo, acha kuongea ujinga

  • @johnmilan7108

    @johnmilan7108

    6 жыл бұрын

    Country kafunika

  • @barakakephasi6292
    @barakakephasi62926 жыл бұрын

    haha ha kababa ye

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28526 жыл бұрын

    Rostam walimkalisha huyo mkenya

  • @johnmilan7108

    @johnmilan7108

    6 жыл бұрын

    Larick Mtui rostam wanajua Mjomba,,kaligraph amekaa pale

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata72746 жыл бұрын

    Kaligraph mbona wa kawaida 2 na kwenye ngoma aliyoimba na rostam mbona kafunikwa hasa verse ya 3 ya roma

  • @rashidchembax8383
    @rashidchembax83836 жыл бұрын

    Nikki Mbishi itakuwa Kaenda shule coz anaongea points sana

  • @nickherman4

    @nickherman4

    6 жыл бұрын

    Rashid Chembax ana degree halafu kasoma na Dizasta mbeya

  • @rehemaahmed8120

    @rehemaahmed8120

    6 жыл бұрын

    Ana degree au diploma..?!

  • @nickherman4

    @nickherman4

    6 жыл бұрын

    Rashid Chembax degree

  • @rehemaahmed8120

    @rehemaahmed8120

    6 жыл бұрын

    Kwn dizastavina amesoma Must

  • @gwaipyanampossi3682

    @gwaipyanampossi3682

    6 жыл бұрын

    Rashid Chembax no nik mbishi hana degree ana diploma ...amesoma Mbeya chuo cha MUST..

  • @gbbuku4714
    @gbbuku47146 жыл бұрын

    Nikki mbishi zama zako zimeisha

  • @ibrayuzow6320

    @ibrayuzow6320

    6 жыл бұрын

    elias njoji i wish ukacomment ivi kwa page yake akujibu utafurai

  • @humphreymorise

    @humphreymorise

    6 жыл бұрын

    KAA KIMYA HUJUI MZIKI

  • @musshonest1378

    @musshonest1378

    6 жыл бұрын

    amna cha zama zile wala nin tena zama izi ndo akamtki kabisa yaan

  • @getajo1153

    @getajo1153

    6 жыл бұрын

    elias njoji zama zinapita but Legends live forever that's why Tupac aliyekufa 20 + years back ndo Icon wa Hiphop duniani.....

  • @gbbuku4714

    @gbbuku4714

    6 жыл бұрын

    Boya tu huyo kama nyie mnamkubali si twamuona pimbi tu

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki76646 жыл бұрын

    Mimi bongo ninacho jua kuna wasanii wa 2 ndo wakali waku rap kuna Fareed kuband Fid Q na Young killer msodoki

  • @azzleelee8083

    @azzleelee8083

    6 жыл бұрын

    Wewe nifala kumbeeeeeeeeeeeee

  • @rehemaahmed8120

    @rehemaahmed8120

    6 жыл бұрын

    Ha ha! Kwaio we unajua chana kumzid unju na moko

  • @dullerbamatraf2015

    @dullerbamatraf2015

    6 жыл бұрын

    Wee msukumaa nazan ndio maana umewachagua wasukuma wenzko

  • @esaubakuza3287

    @esaubakuza3287

    5 жыл бұрын

    @@dullerbamatraf2015 huyo fara

  • @josejuma103
    @josejuma1036 жыл бұрын

    Nick humuwezi coutry wewe

  • @marleyrank1813
    @marleyrank18136 жыл бұрын

    hahaha wabongo waba mmbo yakijinga

Келесі