ONE: AFUNGUKA JUU YA BIFU LA P MAWENGE NA NIKI MBISH/NAMUHESHIMU NIKI MBISHI/P MAWENGE /AMEZINGUA

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 170

  • @abdulrahmanchengodee4162
    @abdulrahmanchengodee41624 жыл бұрын

    Jamaa anaweza Sanaa na ametusnipire Sanaa wakenya mshkaji ana chana Sanaa one love all the way from Kenya 🇰🇪#The Trio 👏🏼👏🏼👏🏼🇹🇿

  • @peterclaver6060
    @peterclaver60604 жыл бұрын

    One wewe ni genius sana hommie.

  • @mrswagz100
    @mrswagz1004 жыл бұрын

    One, you gotta respect opinions za watu. Kama yeye kasema ni bora kuliko Nikki ni sawa kwake, huwezi kusema kuwa that was wrong. It's right for him and you gotta respect that hata kama opinion yako ni tofauti because kuna mashabiki wanaodhani P ni Mkali kuliko Nikki kwahiyo na wao utasema wamekosea? .

  • @jimmyx8412
    @jimmyx84124 жыл бұрын

    #onetheincredible dah namkubali huyu jamaa kinoma

  • @officer1208
    @officer12084 жыл бұрын

    Kumuelewa One inatakiwa usiwe na mihemko,jamaa kafafanua vizuri sana kuhusu issue ya P na Nikki.

  • @raqamzomaica2836

    @raqamzomaica2836

    4 жыл бұрын

    TruE

  • @joramkuboja4794
    @joramkuboja47944 жыл бұрын

    Sijawai kuangalia interview ya msanii yeyote yenye urefu huu mpaka mwisho hii ndo ya kwanza

  • @oscarkeneth9476
    @oscarkeneth94764 жыл бұрын

    Respect to one the incredible

  • @mobaisa1704
    @mobaisa17044 жыл бұрын

    Naona munamsema Uno kuwa anamtete Nikk kisa ni mshkaj ake(STT),ila munasahau kuwa Wakazi anapita akimtetea P ikiwa P na wakaz n washkaj (SSK)

  • @hafidhissa4405

    @hafidhissa4405

    4 жыл бұрын

    Upo sawa ✌✌

  • @michaelmwasenga3570
    @michaelmwasenga35704 жыл бұрын

    Bro mm nakubar hata speech ako nimeielewa public watanzania wameelewa

  • @nyotamy3678
    @nyotamy36784 жыл бұрын

    Napenda sana izi arguments

  • @brightvatta284
    @brightvatta2844 жыл бұрын

    Moko Miujiza... Recognition ni kitu muhimu sana, Respect man

  • @Officalnaph
    @Officalnaph4 жыл бұрын

    HUYU ALIKUWA PRODUCER KITAMBO SANA ALIKUWA NI PRODUCER WANGU W.O.G RECORD....

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama4 жыл бұрын

    Nawaheshimu wote kaka zangu wa game One,Nikk,Pthe Emcee ,Wakazi LAKINI HAO WOTE wametuaminisha neno rap Science Na ,Ikumbukwe science is all about Nature is all about prove TULIMSIKIA MMOJA WAO KURUHUSU challenge isipo kuwa kwa Emcees ambao awajakomaza CV zao kwahiyo apart from NIKK ameni inspire pia Mimi kwangu ni great by fact BIOGRAPHY ila P YUPO SAHIHI SANA KWENYE TANZU YA FASIHI IITWAYO MAJIGAMBO naomba kupinga hisia kwenye hili P ametetea anacho amini kwamba aoni kama amezidiwa uwezo ni haki yake hii...

  • @jifaqmoonwalker6032

    @jifaqmoonwalker6032

    4 жыл бұрын

    Kabisa brother Homan P kafanya poa na yupo sawa... Mbona Nay ambavyo hakumjibu Unju alichukulika muoga ila unju hajamjib P anaonekana ana akil

  • @homan_nkwama

    @homan_nkwama

    4 жыл бұрын

    Kujibu au kutojibu pia Nikk ni haki yake ila tunaposema Rap science ni vyema wakatambiana kiuwezo aijarishi uzito wa EMCEE mana ni science kwaio maoni yangu SIO KUMLAZIMISHA NIKK AJIBU Bali kuwakumbusha wasijifichie mwamvuli wa CV au history wa prove mana unaweza kuwa bora daima ila sio kumzidi mwingine na uwezi kuwa dhaifu daima kwaio kujipima ni haki ya kila mshindan

  • @jifaqmoonwalker6032

    @jifaqmoonwalker6032

    4 жыл бұрын

    @@homan_nkwama umeongea fact sana bro Homan

  • @bobmo2907
    @bobmo29074 жыл бұрын

    One the gift of nation trust me.

  • @apangejulius9159
    @apangejulius91594 жыл бұрын

    Hii view ya studio ni noma. Na kemera man kazi nzuri

  • @rayyannaceeb9991
    @rayyannaceeb99914 жыл бұрын

    One nation bruh Nakubali

  • @darhustler
    @darhustler4 жыл бұрын

    One The Incredible. Kweli umenifunulia Tungo tata za Unju ila P alitakiwa ajibu kwa Tungo tata ambayo ingeleta hisia kama ile THEN P amejitetea ni MASHABIKI (ni kweli kutokana na mhemko alioupata). Picha waliopiga ni wa3 na hapa ndipo Unju alipocheza napo. #oneincredible #music2020 #rapyear

  • @magnusmichael7052
    @magnusmichael70524 жыл бұрын

    Kwa hiyo p mawenge asingetoka bila ww.. ain't fair ww.. apo kuna shida apo

  • @asiliyakechuma4319

    @asiliyakechuma4319

    4 жыл бұрын

    Kaa na kauli yako

  • @InvestorMtuiSamuel
    @InvestorMtuiSamuel4 жыл бұрын

    The og inside😎✨#one incredible

  • @hishamaliy3826
    @hishamaliy38264 жыл бұрын

    Uno the genius

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum84364 жыл бұрын

    Uno nakukubali ila leo hujaongea ukweli kuhusu diss ya Nick mbish na p mawenge hapo nick kapigwa

  • @quincychiti7020

    @quincychiti7020

    4 жыл бұрын

    Niki alitumia mstari mmoja tu na p mawenge ametumia dakika zaidi ya tatu kujibu maneno kadhaa unaona hapo mzazi ni nani

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    Mziki ni safari, na distrack haifai kuwa nyimbo nzima kama ilivyo kwa nyimbo ya p the mc,

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64724 жыл бұрын

    >>>Og boonge LA Presenter, Unauliza MaSwali yenye mantiki kabisa🔥🔥🔥🔥💪

  • @honesthustler262
    @honesthustler2624 жыл бұрын

    Presenter ni Msomi, unauliza maswali ya muhimu kuhusi muziki , sio wengine udaku ndo unatawala. Big up sana Presenter

  • @jamalally3735
    @jamalally37354 жыл бұрын

    Appreciate My Good @One the incredible

  • @pascalkuol9613
    @pascalkuol96134 жыл бұрын

    The interviwer is great

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter51354 жыл бұрын

    Kichwa makini sana hiki aisee,,Uno wa miujiza

  • @mussaramadhan9842
    @mussaramadhan98424 жыл бұрын

    Jamaa namuelewa sana

  • @stevebayser1867
    @stevebayser18674 жыл бұрын

    Mgejua one na p ni wana kuliko mnavyozan

  • @makaveryvery4387
    @makaveryvery43874 жыл бұрын

    Upo Sawa sana one

  • @amanzingena5388
    @amanzingena53884 жыл бұрын

    Nikki mbishi, One, stereo ni wabinafc kw sbb wao waanzilish

  • @fanleck2922

    @fanleck2922

    4 жыл бұрын

    Waanzishaji leo wamekuwa wabinafs !!!

  • @suhailsodeh5063
    @suhailsodeh50634 жыл бұрын

    One talk to them...💯🎤🎧🔥🇰🇪facts

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68054 жыл бұрын

    Uno... zopa...moko... Onetheincredible... JamAA ni nomaaaaaa sana..

  • @hamadimujungu9058
    @hamadimujungu90584 жыл бұрын

    huu utatu one,stereo na nikk mbishi interview zao huwa nazielewa sana hawajawi kosea kbs, big up #nikk_mbishi #haturudishi diss ili kumpaisha mtu, #kila mmoja apambane na ali yake #🤗🤗🤗💪💪

  • @richardmakunza4729

    @richardmakunza4729

    4 жыл бұрын

    Arudishe kama ana uwezo

  • @jifaqmoonwalker6032

    @jifaqmoonwalker6032

    4 жыл бұрын

    Wakati Nay hakumjibu unju mliona Nay muoga... Now unju hajajib kwa P mnamuona mjanja... Hahahhaha u shabiki maandaz uo Unju kakalishwa

  • @nehemiahmguluka9505

    @nehemiahmguluka9505

    3 жыл бұрын

    Baba huwezi kumjibu mwanao ulie mlea na kumpa Misingi kwenye wimbo,unamsubiri tuu nyumbani akirudi jioni basi mnamalizana... Nikki Mbishi Unju ameonesha kwamba yeye Ni Baba 🔥🔥🔥ukimya wake ndio Umeonesha kwamba anajua yeye ndo Baba!!!!Kujibu huo wimbo Ni sawa na kujiibia Mwenyewe Yani unatoa hela mfuko mmoja halafu unaweka mfuko mwingine.....#salute The Living Legend unjuuu 🔥🔥🔥

  • @jifaqmoonwalker6032
    @jifaqmoonwalker60324 жыл бұрын

    Huyu jamaa anakwama sikuiz Kumtetea Unju... Nikki aliwaattack walopiga picha na Casper na p akiwemo na Picha ya Casper na p ndo ilkua kubwa na kuonekana sana ao ilkina ison hawafaamiki km P.... Pia Wakati Nay hakumjibu Unju mliona Nay ni muoga sana na hawez ila Unju kashindwa kumjibu mawenge mnampa Kichwa kua ana akili

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba19774 жыл бұрын

    Interview ulianza vizuri ila kwenye beef ya Nikk na P umeleta mahaba, kwani ujui Nikk alimlenga P waziwazi?

  • @MultiMbongo

    @MultiMbongo

    4 жыл бұрын

    Kachemka sana

  • @mrswagz100

    @mrswagz100

    4 жыл бұрын

    True

  • @jifaqmoonwalker6032

    @jifaqmoonwalker6032

    4 жыл бұрын

    Kazngua sana apo analeta mahaba kwa unju

  • @imbasadoutawala9196

    @imbasadoutawala9196

    4 жыл бұрын

    Kweli hapo kazingua kwanza Niki hamuez p

  • @HamiduChamboko

    @HamiduChamboko

    4 жыл бұрын

    Kaleta mahaba dah umecomment kihip hop

  • @sportarena3133
    @sportarena31334 жыл бұрын

    nakubali sana uwepo wa one.sio mtu wakawaida km wengi wanavyodhani

  • @issaomary7718
    @issaomary77184 жыл бұрын

    dah uno umebonga fact knyama bro

  • @efremturuka7455
    @efremturuka74554 жыл бұрын

    Nikiiii yukoooo juuuuuuuu bwanaaaaa

  • @chakamanoza1428

    @chakamanoza1428

    4 жыл бұрын

    efrem turuka Km yupo juu mwambie ajibu ngoma ya P tuone

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.80984 жыл бұрын

    Great thinker.

  • @babaivan6089
    @babaivan60894 жыл бұрын

    Respect one the incredible uko vzr

  • @rashidramadhan4129
    @rashidramadhan41294 жыл бұрын

    Oy One mbona kama kuna kitu iko kwa mdomo dingiii !!!???

  • @nivogee9830

    @nivogee9830

    4 жыл бұрын

    Cha bibi hahaaa

  • @mobaisa1704

    @mobaisa1704

    4 жыл бұрын

    ndivyo alivyo anaongea ka ana ugoro hiv

  • @marobamkeya2399
    @marobamkeya23994 жыл бұрын

    One unajibu maswali kiakili sanaa

  • @roybazigu765
    @roybazigu7654 жыл бұрын

    Kamwe ukimsikiliza msomi kama one utaelewa kwann yeye ni mc bora

  • @mrswagz100
    @mrswagz1004 жыл бұрын

    Am disappointed with the way you handled the interview kwenye Bifu la P na Nikki. unaonesha mahaba kwa Nikki

  • @osmundmbilinyi7614
    @osmundmbilinyi76144 жыл бұрын

    Uno issa TZ Kendrick fr. 🚫 🧢 #Period

  • @allymohammed5593
    @allymohammed55936 күн бұрын

    Huyu beans noma sana

  • @musakaphu4581
    @musakaphu45814 жыл бұрын

    Genius the One incredible

  • @DaimaInfo
    @DaimaInfo4 жыл бұрын

    Watch "Burudani Mix" on KZread Bifu la Nikki Mbishi na P the mcee kumbe lilianzia apa. kuitazama Burudani Mix Subscribe ili uwe wa kwanza kutazama, Like,Comment and Share.

  • @roybazigu765
    @roybazigu7654 жыл бұрын

    Genius kabsa 🙌🙏✊

  • @amanzingena5388
    @amanzingena53884 жыл бұрын

    Hawa tamaduni wana matabaka xn

  • @mrswagz100
    @mrswagz1004 жыл бұрын

    And that shot from Nikki was personal too, refer that to Wakazi's story on how Nikki was supposed to be on that project ya Castle Lite

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani38224 жыл бұрын

    Hongera kwa mtangazaji naona uko vizuri simamia humo humo

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh4 жыл бұрын

    Presenter umefanya makosa ku expose jina la NASH MC kuwa ulimpigia akakataa kuja

  • @riffayahmad2021
    @riffayahmad20214 жыл бұрын

    swali limerudi kwako mtangazaji.inashindikanaje kwa hapa nchini kwetu...? unatakiwa nawewe utowe jibu klna usiliache swala hilo juu juu haipendezi.

  • @salummaguo1453
    @salummaguo14534 жыл бұрын

    Nakubali bro

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila11094 жыл бұрын

    One we jamaaa ni geneous hatari sana

  • @donprince9752
    @donprince97524 жыл бұрын

    Nakubal one

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.80984 жыл бұрын

    That's true buddy.

  • @isakamdemu8610
    @isakamdemu86104 жыл бұрын

    Uno💪

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    Hiki kichwa nakikubali aisee

  • @Midupa
    @Midupa4 жыл бұрын

    Bifu ya nick umeijibu kiwack na nyinyi ndo mnaobabisha nick ajione mbuzi wakati sio kwel

  • @athumaniabdallah6811
    @athumaniabdallah68114 жыл бұрын

    P mawenge hatari sana

  • @asiliyakechuma4319

    @asiliyakechuma4319

    4 жыл бұрын

    Kaa na kauli yako

  • @officialraydizzy5147
    @officialraydizzy51474 жыл бұрын

    Nakukubali sana one the incredible but at the point of nikki haujanigusa kabisa ana vimba sana

  • @masoudymelimeli8231
    @masoudymelimeli82314 жыл бұрын

    One w ni noma

  • @zerodone5854
    @zerodone58544 жыл бұрын

    One including in hip pop!

  • @abdulrahmanchengodee4162
    @abdulrahmanchengodee41624 жыл бұрын

    One the incredible ni vile hajapata support bongo ILa ni msanii mkubwa na brand

  • @rumibarton2359
    @rumibarton23594 жыл бұрын

    One bhana anawasemea watu tena

  • @japharysety6890
    @japharysety68904 жыл бұрын

    One uko sahihi

  • @denzopar6961
    @denzopar69614 жыл бұрын

    Sema p the mc ni softness rapper na ilo kundi lake limempoteza kabisa hasa uyo wakazi ambaye Roma alimlenga na jiwe la gezani😂

  • @gomizekhan5687
    @gomizekhan56874 жыл бұрын

    Real base of Hip hop ni Sisi The Trial (One Stereo Nikki mbishi )

  • @chakamanoza1428
    @chakamanoza14284 жыл бұрын

    One nakukubali sana lkn kwa hii biff ya P na Nikki siko upande wako kabisa hyo nikki ni mzinguaji tu acha kutetea upuuzi

  • @suleymanmakiwa1651

    @suleymanmakiwa1651

    4 жыл бұрын

    One hayupo honest

  • @asiliyakechuma4319

    @asiliyakechuma4319

    4 жыл бұрын

    Kaa na kauli yako

  • @ramatyga2289
    @ramatyga22893 жыл бұрын

    ONE

  • @saidjaphar1377
    @saidjaphar13774 жыл бұрын

    Uno unakosea kwa kusema bila ww P asingekuwa P,Napingana na hilo Bro cz kila mtu ana njia zake na wakati wake wa kupenya so usingemsaidia ww angepata nafasi nyingine na angepenya tu so it ain't fair kuzungumzia ishu kama hizo mzee.

  • @deogratiusmathias2

    @deogratiusmathias2

    4 жыл бұрын

    Mmh

  • @nelsonmasolwa8343

    @nelsonmasolwa8343

    4 жыл бұрын

    Real kila mtu na njia yake ya kutokea, uno namkubalii

  • @Paplick9
    @Paplick94 жыл бұрын

    #education San

  • @hassansamata5995
    @hassansamata59954 жыл бұрын

    Kisomi one

  • @quincychiti7020
    @quincychiti70204 жыл бұрын

    Moko ni moko incredible tu

  • @emanuelkibila578
    @emanuelkibila5784 жыл бұрын

    👍

  • @officialmartin4432
    @officialmartin44324 жыл бұрын

    kweli

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI.4 жыл бұрын

    Pure minded

  • @frankjohn3369
    @frankjohn33694 жыл бұрын

    Safi sana One the incredible

  • @efremturuka7455
    @efremturuka74554 жыл бұрын

    Nakubali unooooo

  • @saidmkutu2458
    @saidmkutu24584 жыл бұрын

    Tamaduni pamoja

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca4 жыл бұрын

    Link ya Culture Movement KZread channel please,

  • @onetheincredible

    @onetheincredible

    4 жыл бұрын

    This is the official cltr mvmnt channel

  • @titokyando4222
    @titokyando42224 жыл бұрын

    Oya one toa ngoma mdiss chindo mbwa Mzee

  • @bon.tiger1656
    @bon.tiger16564 жыл бұрын

    Kweli one umeogea kweli xema sema kichwa maji awawez kuelewa uchambuz wa bifu

  • @officialmartin4432
    @officialmartin44324 жыл бұрын

    hip hop iko real sana na interview zao sio poa wana vitu

  • @kherisaid6374
    @kherisaid63744 жыл бұрын

    Kichwa cha aTalI one.

  • @weelzthorum978
    @weelzthorum9784 жыл бұрын

    Hip hop is environmental plays

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini50744 жыл бұрын

    Tell them "Chap Chap".

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42494 жыл бұрын

    Mzee nakukubali ila Niki alizingua kumdiss p na wenzake kuhusu picha na casper! The nigga is the best rapper ila anaropokwa sana kijinga...ubabe wa maneno haufai, nikki needs counselling usimtetee! He started it and let him get the hit. My thoughts tu. Ukimtetea niki unajishushia ka asilimia kadogo cha fan base yako..muache na futi sita zake🤔

  • @steamnature

    @steamnature

    4 жыл бұрын

    Sidhani kama umemsikiliza "One" na kujaribu kumuelewa.

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80114 жыл бұрын

    Dah huyu mwamba anakili sana

  • @frankmanga3721
    @frankmanga37214 жыл бұрын

    Awa watu wanao ongea au wanao muona One kakosea watakua awaja rudia hii interview mara mbili

  • @michaelisrael4114
    @michaelisrael41144 жыл бұрын

    one ninakukubali lkn kukaa upande wa Nikk mbish umezingua pia,Nikki alipaswa kumheshim p mawenge kabla yy hajaheshimika hata km ni moja kati ya wanzilishi wa tamaduni music,Nikk kashazoea kuwa attack watu mbalimbali na kwa mtindo tofauti,pia hip hop ina dis trac na ni kitu cha kawaida na kinachangamsha gem so Nikk akijib ndio maana ya hip hop kibaya ni kuvaana mwilin,chakukushauri mzee one kaa kati acha kuegamia kwa mshikaji wako wakati anatabia mbovu

  • @davidsonstevenson2653

    @davidsonstevenson2653

    4 жыл бұрын

    mambie mawenge aache mawenge

  • @jifaqmoonwalker6032

    @jifaqmoonwalker6032

    4 жыл бұрын

    Kabisa mkuu Nikki mbishi kafeli na hana uwezo wa kujibu ila One anatetea

  • @MultiMbongo
    @MultiMbongo4 жыл бұрын

    Kikoloni unadai ndio lugha yako ya kwanza,acha kuwa mtumwa wewe,pili huyo nikki mbishi ni kweli ana mashairi ya kuungaunga,nyimbo zake nyingi hazina mtiririko wa mmoja,

  • @yusuphally6618

    @yusuphally6618

    4 жыл бұрын

    Umesikiliza playboy ,sauti ya jogoo,kijusi,nyakati za mashaka

  • @officer1208

    @officer1208

    4 жыл бұрын

    Nikki yupi anamsemea? Bila shaka huyo ni Nikki Minaj

  • @gumbomuya4372
    @gumbomuya43724 жыл бұрын

    Unooo kichwa

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai53364 жыл бұрын

    Nikki mbishi Is a real legend ukonga nyumbani nakutambua sana nikki mbishi ww jembe kwenye game show love kwa legend nikki mbishi p mawengee mdwanzi tuuuu

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai53364 жыл бұрын

    P mawengee ameanza mzikiii juzi tu so haezi kumwambia kitu legend of hip hop nikki mbishi

  • @mrswagz100
    @mrswagz1004 жыл бұрын

    Moko, you have shrewd views on the development of the game. Umeulizwa what are your criteria hujibu unasema album zenu na mixtapes zenu zilikuwa za kwanza in the last decade unasahu kujibu swali. Unajua sasa hivi kuna EP's na Album kibao bado huoni game kukua, but why game haikui wakati unaongelea albums na mixtape ukiulizwa swali kuhusu game kukua? I FEEL LIKE YOU ARE INSECURE.

  • @jeamwenda7394
    @jeamwenda73944 жыл бұрын

    Acha ushikaji kuwa realistic mnamuharib Nikki km mkali ajibu diss

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37144 жыл бұрын

    Bongo.hizo.radio.wanatakaa mitelezo.to.hao.kunyonya.watu.kazizao

Келесі