ONE: AFUNGUKA JUU YA BIFU LA P MAWENGE NA NIKI MBISH/NAMUHESHIMU NIKI MBISHI/P MAWENGE /AMEZINGUA
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 170
Jamaa anaweza Sanaa na ametusnipire Sanaa wakenya mshkaji ana chana Sanaa one love all the way from Kenya 🇰🇪#The Trio 👏🏼👏🏼👏🏼🇹🇿
One wewe ni genius sana hommie.
One, you gotta respect opinions za watu. Kama yeye kasema ni bora kuliko Nikki ni sawa kwake, huwezi kusema kuwa that was wrong. It's right for him and you gotta respect that hata kama opinion yako ni tofauti because kuna mashabiki wanaodhani P ni Mkali kuliko Nikki kwahiyo na wao utasema wamekosea? .
#onetheincredible dah namkubali huyu jamaa kinoma
Kumuelewa One inatakiwa usiwe na mihemko,jamaa kafafanua vizuri sana kuhusu issue ya P na Nikki.
@raqamzomaica2836
4 жыл бұрын
TruE
Sijawai kuangalia interview ya msanii yeyote yenye urefu huu mpaka mwisho hii ndo ya kwanza
Respect to one the incredible
Naona munamsema Uno kuwa anamtete Nikk kisa ni mshkaj ake(STT),ila munasahau kuwa Wakazi anapita akimtetea P ikiwa P na wakaz n washkaj (SSK)
@hafidhissa4405
4 жыл бұрын
Upo sawa ✌✌
Bro mm nakubar hata speech ako nimeielewa public watanzania wameelewa
Napenda sana izi arguments
Moko Miujiza... Recognition ni kitu muhimu sana, Respect man
HUYU ALIKUWA PRODUCER KITAMBO SANA ALIKUWA NI PRODUCER WANGU W.O.G RECORD....
Nawaheshimu wote kaka zangu wa game One,Nikk,Pthe Emcee ,Wakazi LAKINI HAO WOTE wametuaminisha neno rap Science Na ,Ikumbukwe science is all about Nature is all about prove TULIMSIKIA MMOJA WAO KURUHUSU challenge isipo kuwa kwa Emcees ambao awajakomaza CV zao kwahiyo apart from NIKK ameni inspire pia Mimi kwangu ni great by fact BIOGRAPHY ila P YUPO SAHIHI SANA KWENYE TANZU YA FASIHI IITWAYO MAJIGAMBO naomba kupinga hisia kwenye hili P ametetea anacho amini kwamba aoni kama amezidiwa uwezo ni haki yake hii...
@jifaqmoonwalker6032
4 жыл бұрын
Kabisa brother Homan P kafanya poa na yupo sawa... Mbona Nay ambavyo hakumjibu Unju alichukulika muoga ila unju hajamjib P anaonekana ana akil
@homan_nkwama
4 жыл бұрын
Kujibu au kutojibu pia Nikk ni haki yake ila tunaposema Rap science ni vyema wakatambiana kiuwezo aijarishi uzito wa EMCEE mana ni science kwaio maoni yangu SIO KUMLAZIMISHA NIKK AJIBU Bali kuwakumbusha wasijifichie mwamvuli wa CV au history wa prove mana unaweza kuwa bora daima ila sio kumzidi mwingine na uwezi kuwa dhaifu daima kwaio kujipima ni haki ya kila mshindan
@jifaqmoonwalker6032
4 жыл бұрын
@@homan_nkwama umeongea fact sana bro Homan
One the gift of nation trust me.
Hii view ya studio ni noma. Na kemera man kazi nzuri
One nation bruh Nakubali
One The Incredible. Kweli umenifunulia Tungo tata za Unju ila P alitakiwa ajibu kwa Tungo tata ambayo ingeleta hisia kama ile THEN P amejitetea ni MASHABIKI (ni kweli kutokana na mhemko alioupata). Picha waliopiga ni wa3 na hapa ndipo Unju alipocheza napo. #oneincredible #music2020 #rapyear
Kwa hiyo p mawenge asingetoka bila ww.. ain't fair ww.. apo kuna shida apo
@asiliyakechuma4319
4 жыл бұрын
Kaa na kauli yako
The og inside😎✨#one incredible
Uno the genius
Uno nakukubali ila leo hujaongea ukweli kuhusu diss ya Nick mbish na p mawenge hapo nick kapigwa
@quincychiti7020
4 жыл бұрын
Niki alitumia mstari mmoja tu na p mawenge ametumia dakika zaidi ya tatu kujibu maneno kadhaa unaona hapo mzazi ni nani
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Mziki ni safari, na distrack haifai kuwa nyimbo nzima kama ilivyo kwa nyimbo ya p the mc,
>>>Og boonge LA Presenter, Unauliza MaSwali yenye mantiki kabisa🔥🔥🔥🔥💪
Presenter ni Msomi, unauliza maswali ya muhimu kuhusi muziki , sio wengine udaku ndo unatawala. Big up sana Presenter
Appreciate My Good @One the incredible
The interviwer is great
Kichwa makini sana hiki aisee,,Uno wa miujiza
Jamaa namuelewa sana
Mgejua one na p ni wana kuliko mnavyozan
Upo Sawa sana one
Nikki mbishi, One, stereo ni wabinafc kw sbb wao waanzilish
@fanleck2922
4 жыл бұрын
Waanzishaji leo wamekuwa wabinafs !!!
One talk to them...💯🎤🎧🔥🇰🇪facts
Uno... zopa...moko... Onetheincredible... JamAA ni nomaaaaaa sana..
huu utatu one,stereo na nikk mbishi interview zao huwa nazielewa sana hawajawi kosea kbs, big up #nikk_mbishi #haturudishi diss ili kumpaisha mtu, #kila mmoja apambane na ali yake #🤗🤗🤗💪💪
@richardmakunza4729
4 жыл бұрын
Arudishe kama ana uwezo
@jifaqmoonwalker6032
4 жыл бұрын
Wakati Nay hakumjibu unju mliona Nay muoga... Now unju hajajib kwa P mnamuona mjanja... Hahahhaha u shabiki maandaz uo Unju kakalishwa
@nehemiahmguluka9505
3 жыл бұрын
Baba huwezi kumjibu mwanao ulie mlea na kumpa Misingi kwenye wimbo,unamsubiri tuu nyumbani akirudi jioni basi mnamalizana... Nikki Mbishi Unju ameonesha kwamba yeye Ni Baba 🔥🔥🔥ukimya wake ndio Umeonesha kwamba anajua yeye ndo Baba!!!!Kujibu huo wimbo Ni sawa na kujiibia Mwenyewe Yani unatoa hela mfuko mmoja halafu unaweka mfuko mwingine.....#salute The Living Legend unjuuu 🔥🔥🔥
Huyu jamaa anakwama sikuiz Kumtetea Unju... Nikki aliwaattack walopiga picha na Casper na p akiwemo na Picha ya Casper na p ndo ilkua kubwa na kuonekana sana ao ilkina ison hawafaamiki km P.... Pia Wakati Nay hakumjibu Unju mliona Nay ni muoga sana na hawez ila Unju kashindwa kumjibu mawenge mnampa Kichwa kua ana akili
Interview ulianza vizuri ila kwenye beef ya Nikk na P umeleta mahaba, kwani ujui Nikk alimlenga P waziwazi?
@MultiMbongo
4 жыл бұрын
Kachemka sana
@mrswagz100
4 жыл бұрын
True
@jifaqmoonwalker6032
4 жыл бұрын
Kazngua sana apo analeta mahaba kwa unju
@imbasadoutawala9196
4 жыл бұрын
Kweli hapo kazingua kwanza Niki hamuez p
@HamiduChamboko
4 жыл бұрын
Kaleta mahaba dah umecomment kihip hop
nakubali sana uwepo wa one.sio mtu wakawaida km wengi wanavyodhani
dah uno umebonga fact knyama bro
Nikiiii yukoooo juuuuuuuu bwanaaaaa
@chakamanoza1428
4 жыл бұрын
efrem turuka Km yupo juu mwambie ajibu ngoma ya P tuone
Great thinker.
Respect one the incredible uko vzr
Oy One mbona kama kuna kitu iko kwa mdomo dingiii !!!???
@nivogee9830
4 жыл бұрын
Cha bibi hahaaa
@mobaisa1704
4 жыл бұрын
ndivyo alivyo anaongea ka ana ugoro hiv
One unajibu maswali kiakili sanaa
Kamwe ukimsikiliza msomi kama one utaelewa kwann yeye ni mc bora
Am disappointed with the way you handled the interview kwenye Bifu la P na Nikki. unaonesha mahaba kwa Nikki
Uno issa TZ Kendrick fr. 🚫 🧢 #Period
Huyu beans noma sana
Genius the One incredible
Watch "Burudani Mix" on KZread Bifu la Nikki Mbishi na P the mcee kumbe lilianzia apa. kuitazama Burudani Mix Subscribe ili uwe wa kwanza kutazama, Like,Comment and Share.
Genius kabsa 🙌🙏✊
Hawa tamaduni wana matabaka xn
And that shot from Nikki was personal too, refer that to Wakazi's story on how Nikki was supposed to be on that project ya Castle Lite
Hongera kwa mtangazaji naona uko vizuri simamia humo humo
Presenter umefanya makosa ku expose jina la NASH MC kuwa ulimpigia akakataa kuja
swali limerudi kwako mtangazaji.inashindikanaje kwa hapa nchini kwetu...? unatakiwa nawewe utowe jibu klna usiliache swala hilo juu juu haipendezi.
Nakubali bro
One we jamaaa ni geneous hatari sana
Nakubal one
That's true buddy.
Uno💪
Hiki kichwa nakikubali aisee
Bifu ya nick umeijibu kiwack na nyinyi ndo mnaobabisha nick ajione mbuzi wakati sio kwel
P mawenge hatari sana
@asiliyakechuma4319
4 жыл бұрын
Kaa na kauli yako
Nakukubali sana one the incredible but at the point of nikki haujanigusa kabisa ana vimba sana
One w ni noma
One including in hip pop!
One the incredible ni vile hajapata support bongo ILa ni msanii mkubwa na brand
One bhana anawasemea watu tena
One uko sahihi
Sema p the mc ni softness rapper na ilo kundi lake limempoteza kabisa hasa uyo wakazi ambaye Roma alimlenga na jiwe la gezani😂
Real base of Hip hop ni Sisi The Trial (One Stereo Nikki mbishi )
One nakukubali sana lkn kwa hii biff ya P na Nikki siko upande wako kabisa hyo nikki ni mzinguaji tu acha kutetea upuuzi
@suleymanmakiwa1651
4 жыл бұрын
One hayupo honest
@asiliyakechuma4319
4 жыл бұрын
Kaa na kauli yako
ONE
Uno unakosea kwa kusema bila ww P asingekuwa P,Napingana na hilo Bro cz kila mtu ana njia zake na wakati wake wa kupenya so usingemsaidia ww angepata nafasi nyingine na angepenya tu so it ain't fair kuzungumzia ishu kama hizo mzee.
@deogratiusmathias2
4 жыл бұрын
Mmh
@nelsonmasolwa8343
4 жыл бұрын
Real kila mtu na njia yake ya kutokea, uno namkubalii
#education San
Kisomi one
Moko ni moko incredible tu
👍
kweli
Pure minded
Safi sana One the incredible
Nakubali unooooo
Tamaduni pamoja
Link ya Culture Movement KZread channel please,
@onetheincredible
4 жыл бұрын
This is the official cltr mvmnt channel
Oya one toa ngoma mdiss chindo mbwa Mzee
Kweli one umeogea kweli xema sema kichwa maji awawez kuelewa uchambuz wa bifu
hip hop iko real sana na interview zao sio poa wana vitu
Kichwa cha aTalI one.
Hip hop is environmental plays
Tell them "Chap Chap".
Mzee nakukubali ila Niki alizingua kumdiss p na wenzake kuhusu picha na casper! The nigga is the best rapper ila anaropokwa sana kijinga...ubabe wa maneno haufai, nikki needs counselling usimtetee! He started it and let him get the hit. My thoughts tu. Ukimtetea niki unajishushia ka asilimia kadogo cha fan base yako..muache na futi sita zake🤔
@steamnature
4 жыл бұрын
Sidhani kama umemsikiliza "One" na kujaribu kumuelewa.
Dah huyu mwamba anakili sana
Awa watu wanao ongea au wanao muona One kakosea watakua awaja rudia hii interview mara mbili
one ninakukubali lkn kukaa upande wa Nikk mbish umezingua pia,Nikki alipaswa kumheshim p mawenge kabla yy hajaheshimika hata km ni moja kati ya wanzilishi wa tamaduni music,Nikk kashazoea kuwa attack watu mbalimbali na kwa mtindo tofauti,pia hip hop ina dis trac na ni kitu cha kawaida na kinachangamsha gem so Nikk akijib ndio maana ya hip hop kibaya ni kuvaana mwilin,chakukushauri mzee one kaa kati acha kuegamia kwa mshikaji wako wakati anatabia mbovu
@davidsonstevenson2653
4 жыл бұрын
mambie mawenge aache mawenge
@jifaqmoonwalker6032
4 жыл бұрын
Kabisa mkuu Nikki mbishi kafeli na hana uwezo wa kujibu ila One anatetea
Kikoloni unadai ndio lugha yako ya kwanza,acha kuwa mtumwa wewe,pili huyo nikki mbishi ni kweli ana mashairi ya kuungaunga,nyimbo zake nyingi hazina mtiririko wa mmoja,
@yusuphally6618
4 жыл бұрын
Umesikiliza playboy ,sauti ya jogoo,kijusi,nyakati za mashaka
@officer1208
4 жыл бұрын
Nikki yupi anamsemea? Bila shaka huyo ni Nikki Minaj
Unooo kichwa
Nikki mbishi Is a real legend ukonga nyumbani nakutambua sana nikki mbishi ww jembe kwenye game show love kwa legend nikki mbishi p mawengee mdwanzi tuuuu
P mawengee ameanza mzikiii juzi tu so haezi kumwambia kitu legend of hip hop nikki mbishi
Moko, you have shrewd views on the development of the game. Umeulizwa what are your criteria hujibu unasema album zenu na mixtapes zenu zilikuwa za kwanza in the last decade unasahu kujibu swali. Unajua sasa hivi kuna EP's na Album kibao bado huoni game kukua, but why game haikui wakati unaongelea albums na mixtape ukiulizwa swali kuhusu game kukua? I FEEL LIKE YOU ARE INSECURE.
Acha ushikaji kuwa realistic mnamuharib Nikki km mkali ajibu diss
Bongo.hizo.radio.wanatakaa mitelezo.to.hao.kunyonya.watu.kazizao