NDACHA NA PR. CEASER MASISI

NDACHA NA PR. SIZZA MASISI
Karibu katika muendelezo wa mdahalo wa amani kati ya Pr. Ndacha na Pr. Sizza Masisi wakiongozwa na Mwenyekiti Jaffari Massawe mada ikiwa ni SEHEMU YA 4.

Пікірлер: 59

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel338019 күн бұрын

    Mbona Yesu hajawahi zini, alfu huyo mchungaji naona bado hajitambui Mungu ni mtakatifu sana

  • @user-pv1tj5xl9i
    @user-pv1tj5xl9i19 күн бұрын

    Hivi mzee wa zoazoa anamtumikia mungu yupi anaye weza kuzini

  • @barryhezron2764
    @barryhezron276417 күн бұрын

    Ndacha mteule wa Bwana umetokana wapi na huyo mwana wauasi,achana naewanakuwinda kufifisha Imani yako,kuzimu inakujua ww ni tishio,Sasa hivi wamekutumia adui wa mtu ni wanyumbani mwake ambae ni hatari zaidi

  • @Hamimomar-j9f
    @Hamimomar-j9f21 күн бұрын

    Hakika penye nuru giza ujitenga ndiomaana unaona mchungaji anavyojing,atang,ata Ndacha mfundishe huyo.

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c21 күн бұрын

    Masisi siasa nyingi sana kiukweli amna kitu hapo masisi okoka

  • @gospelmedia4452
    @gospelmedia445220 күн бұрын

    Ndacha nakuheshimu sana na nakupenda acha kubishana na freemason asiyejitambua atawachanganya akili zenu' ameenda kinyume na maandiko anawafundisha watu wafanye dhambi.. wakati amri za MUNGU zipo wazi.. tena alishawahi sema amri kumi za Mungu ni upuuzi.. yeye ndio mpuuzi asiyeelewa chochote

  • @IsraelKijaga

    @IsraelKijaga

    19 күн бұрын

    Ndugu tuache kutukana bali tujifunze

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro653317 күн бұрын

    Huyu sizza ni atulie afundishwe

  • @janejoseph561
    @janejoseph56123 күн бұрын

    Yaani huyu anaejiita mchungaji sijui masisi hakuna kitu hapo hajui maandiko bure kabisa

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын

    Ndacha mfundishe huyo ajui mpango wa mungu

  • @altemiuskomba9546
    @altemiuskomba954626 күн бұрын

    Mmmmh muda wa kuzini umewadia

  • @litesanaagroup7695
    @litesanaagroup769520 күн бұрын

    Uyo shaga

  • @edwardkiwelu453
    @edwardkiwelu45320 күн бұрын

    Huyo masisi asimtaje kristo kbsa

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын

    Rais anahukumiwa na mtu mwenye haki wa mungu tu ndo maana daudi alihukumiwa na mungu alipo mchukua mke wa ulia muhiti

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu16 күн бұрын

    amri ni huduma ya mauti, lakini amri hiyo kwa agano jipya inaandikwa rohoni, na inabaki kuwa ya mauti, lakini ikiwa na neema ya kutusaidia kwa msaada wa Roho mtakatifu,

  • @josephmasanja8835
    @josephmasanja883524 күн бұрын

    Ni jambo la hatari sana dhambi kuitengenezea mazingira kwamba ni halali kufanya wala huhesabiwi hatia yaani huo ni UWAKALA WA SHETANI KWA ASILIMIA MIA MOJA

  • @myself4128
    @myself412817 күн бұрын

    Huyu mawani anaonekana kama Shoga,Anaonekana anatetea Dhambi sana Na anajaribu Kuitafsiri biblia anavotaka Yeye,Huyu amejawa na Nguvu za Giza,Kama kuna muumini anamfuta huyu basi ni Msukule,Imeandikwa Iweni Watakatifu kwa kuwa Mimi Mungu wenu ni Mtakatifu!

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya29 күн бұрын

    Wizi,usizi ,na mengine sio kosa maana tunaishi kwa neema?

  • @elifasinimpagaritse7902

    @elifasinimpagaritse7902

    19 күн бұрын

    Duuh kweli ujinga huu ni Atari

  • @MejjatScott-mf2vi
    @MejjatScott-mf2vi22 күн бұрын

    Dah!.siiza uko vizur!!!.nilikuwa Naogopa kweli Moto,leoleo naenda kutoa upwiru nina Ugwaduuuh!

  • @yamungummungulo633

    @yamungummungulo633

    22 күн бұрын

    Jamaa langu acha utani biblia inasema wazinzi wachawi n.k hawataulithi ufalme wa Mungu

  • @yamungummungulo633

    @yamungummungulo633

    22 күн бұрын

    Cjapenda 😂😂😂😂

  • @wanejohnmsukwa6590
    @wanejohnmsukwa659018 күн бұрын

    Huyu anayesisitiza kuzini kunakitu kimemfunika ameshindwa kuelewa sheria ya Mungu haiwezi kuwahukumu watu wanao tii neno la Mungu tu.Na haiwezekani mtu wa Mungu ukazini na wana wa ibilisi wakazini.

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo393625 күн бұрын

    Nikweli ukizini kwa ulimwengu huu yawezekana usihukumiwe namtu, lakini kwa Mungu atakuhukumu

  • @user-pv1tj5xl9i
    @user-pv1tj5xl9i19 күн бұрын

    Biblia inasema kimtokacho mtu ndicho kilicho jaa ndani yake hayo ndiyo yaliyo jaa ndani ya masisi anapaswa aokoke

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын

    Imeisha hiyo Kwa andiko hilo

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g20 күн бұрын

    Huyu jamaa mi simuelew kabisa

  • @rodgerskiponda7871
    @rodgerskiponda787126 күн бұрын

    Hii injli ya huyu Sizza niya hali ya juu sana na inahitaji mbinu nyingi ili kuielewa

  • @GunduaTV-et4nb

    @GunduaTV-et4nb

    25 күн бұрын

    Unamaana gani??

  • @barakakibuti3324

    @barakakibuti3324

    19 күн бұрын

    Umeongea ukweli kabisa

  • @nicolasnzema08

    @nicolasnzema08

    19 күн бұрын

    Sio mbinu nyingi kuilewa SIZAA KAFUNDISHWA VIZURI ZAIDI kulikon ndacha

  • @K-go1qj

    @K-go1qj

    18 күн бұрын

    Kumuelewa siza inataka shule hivi hivi huwezi muelewa

  • @barakakibuti3324

    @barakakibuti3324

    18 күн бұрын

    @@nicolasnzema08 uko sahihi tatizo watu hawatak kujifunza wanakurupuka . Somo limeeleweka vizuri sana.

  • @GodSwai
    @GodSwai6 күн бұрын

    Uwo ni upumbavu anaongea ana Alisha dhambi kuwa halali huyo ana akili ata kidogo

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya29 күн бұрын

    Sizza Masisi kwa hio tuzini tu nakuiba na kufanya mengine maana hakuna hukumu kwa Mungu?

  • @nicolasnzema08

    @nicolasnzema08

    19 күн бұрын

    Hajasema uzini kasema ukweli HAJAKWAMBIA UZINI mfano unaambiwa kuvuta sigara ni uharibifu wa mapafu ndio amekuambia UVUTE SIGARA mchungaji siza anasema ukweli wa injili ilivyo hajasema UZINI

  • @IsaacMayengo-dz6iw

    @IsaacMayengo-dz6iw

    12 күн бұрын

    Tatizo la Mr. Masisi Kuna wakati anakomaa yaani unakuwa mtu mzima- yaani anaacha kunywa mazima, LAKINI Kuna wakati unarudi kwenye uchanga na kuanza kunywa mazima tena! Kumbuka Kuna mafundisho ya watoto wachanga na mafundisho ya wati wazima. Ukiisha komaa usirudi kwenye uchanga tena!. Mfano: Vyakula vya watoto wachanga ni hivi: Warumi 10: 4 (kwa watoto wachanga waache wayashike maneno haya kama yali vyo). LAKINI kwa watu wazima lazima wajue Kristo ni mwisho wa SHERIA zipi? nakila aaminiye anahesabiwa haki ni haki Gani? Je ni haki ya kwenda kutenda dhambi au Haki ya kwenda mbinguni? au ni haki ya kuishi kwa Imani? JIBU hapa ni haki ya kusamehewa dhambi kwa kwenda msalabani na kuomba TOBA(hii ni Imani) .Ukisema hakuna dhambi ni muongo. Yakobo 2:11 na Yakobo 4:8.

  • @ibrahimmussa7478
    @ibrahimmussa747817 күн бұрын

    Yani ndacha hapa anafilia waislam nitawaambia nini kama ndo ivi

  • @orestsanga6294
    @orestsanga629425 күн бұрын

    Ndacha chukua na hiyo elimu peleka SDA kama ulivyochukua ya kupinga utatu na kuipeleka SDA.

  • @bensonbarnaba1431

    @bensonbarnaba1431

    6 күн бұрын

    🚫🚫🚫🚫🔴

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi851125 күн бұрын

    Mwalimu ndacha uko saw sasaivi duniani akuna mwalimu makini kama wew Sasa uyo mchungaji watumbo uyo watanzania awezi kukuerewa

  • @YoungAslam11

    @YoungAslam11

    22 күн бұрын

    Ukikubali utaukumiwa basi jua yesu akufia dhambi zako msalaban!

  • @WilliamShemu-p5h
    @WilliamShemu-p5h10 күн бұрын

    Mbona kama huyu mch ni mniikolai maana mafundisho yake yafanananao

  • @mush337
    @mush33720 күн бұрын

    Umewai jiuliza ni kwanini Ananias aliiba sadaka ya mungu na akafa papohapo ila wengine wenye dhambi kama hizo bado hawajafa,hata Daudi aliyeua uria na kulala na mke wa uria hakufa bali alisamehewa maana alikuwa ndani ya kristo,iwapo Daudi angehukumiwa kifo yesu ndiye angekufa

  • @elifasinimpagaritse7902

    @elifasinimpagaritse7902

    19 күн бұрын

    Andiko

  • @wanejohnmsukwa6590

    @wanejohnmsukwa6590

    18 күн бұрын

    Unasahau kwamba Daudi alitubu na alipatwa na adhabu ya kufiwa na mtoto aliyemzaa na mke wa Uria.

  • @francispaul5582
    @francispaul55824 күн бұрын

    Ndacha hebu achana na huyo mjumbe wa shetani, hayo ayafundishayo huyatoa kwa babaake shetani baba wa uongo

  • @TestimonyTvshuhuda

    @TestimonyTvshuhuda

    4 күн бұрын

    yafaa kujifunza pamoja

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman17 күн бұрын

    Ndio yaleyale aliosema Mzee wa upako maandiko yenu ya kuungaungaa mpaka kikamilike kitu shughuri

  • @mchopacalvin2986
    @mchopacalvin298619 күн бұрын

    Sipendi mabishano gains yetu Watu wa Mungu ilhali waislamu ambahawamjui Mungu wa kweli wapo tu

  • @Smart_jarm

    @Smart_jarm

    17 күн бұрын

    Hii ndio bibilia na hayo ndio mapokeo,utofauti wao ni kutokana na mapokeo na namna bibilia ilivyoandikwa😢

  • @cosmassisa5256
    @cosmassisa525624 күн бұрын

    Hakuna mchungaji hapa. Ujuaji mwingi usiokuwa na hekima. Dhambi ni mbaya na ni machukukizo mbele ya Mungu. Kwamba tutende tu dhambi maana kuna rehema? Bullshit

  • @CelestinAkili
    @CelestinAkili26 күн бұрын

    Fafa nuaviziri tusikuye tuna kufata

  • @PaulChambala
    @PaulChambalaАй бұрын

    Huu Kwel niwakat wamwisho mana mandiko yalisema kunawakat watayakataa mafundisho ya kweli

  • @japhetndoro6533

    @japhetndoro6533

    17 күн бұрын

    Huyu sizza amekataa