NDACHA NA PR. SIZZA MASISI Karibu katika muendelezo wa mdahalo wa amani kati ya Pr. Ndacha na Pr. Sizza Masisi wakiongozwa na Mwenyekiti Jaffari Massawe mada ikiwa ni SEHEMU YA 4.
Жүктеу.....
Пікірлер: 59
@dennisezakiel338019 күн бұрын
Mbona Yesu hajawahi zini, alfu huyo mchungaji naona bado hajitambui Mungu ni mtakatifu sana
@user-pv1tj5xl9i19 күн бұрын
Hivi mzee wa zoazoa anamtumikia mungu yupi anaye weza kuzini
@barryhezron276417 күн бұрын
Ndacha mteule wa Bwana umetokana wapi na huyo mwana wauasi,achana naewanakuwinda kufifisha Imani yako,kuzimu inakujua ww ni tishio,Sasa hivi wamekutumia adui wa mtu ni wanyumbani mwake ambae ni hatari zaidi
Masisi siasa nyingi sana kiukweli amna kitu hapo masisi okoka
@gospelmedia445220 күн бұрын
Ndacha nakuheshimu sana na nakupenda acha kubishana na freemason asiyejitambua atawachanganya akili zenu' ameenda kinyume na maandiko anawafundisha watu wafanye dhambi.. wakati amri za MUNGU zipo wazi.. tena alishawahi sema amri kumi za Mungu ni upuuzi.. yeye ndio mpuuzi asiyeelewa chochote
@IsraelKijaga
19 күн бұрын
Ndugu tuache kutukana bali tujifunze
@japhetndoro653317 күн бұрын
Huyu sizza ni atulie afundishwe
@janejoseph56123 күн бұрын
Yaani huyu anaejiita mchungaji sijui masisi hakuna kitu hapo hajui maandiko bure kabisa
@bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын
Ndacha mfundishe huyo ajui mpango wa mungu
@altemiuskomba954626 күн бұрын
Mmmmh muda wa kuzini umewadia
@litesanaagroup769520 күн бұрын
Uyo shaga
@edwardkiwelu45320 күн бұрын
Huyo masisi asimtaje kristo kbsa
@bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын
Rais anahukumiwa na mtu mwenye haki wa mungu tu ndo maana daudi alihukumiwa na mungu alipo mchukua mke wa ulia muhiti
@KiboJoseph-cc5eu16 күн бұрын
amri ni huduma ya mauti, lakini amri hiyo kwa agano jipya inaandikwa rohoni, na inabaki kuwa ya mauti, lakini ikiwa na neema ya kutusaidia kwa msaada wa Roho mtakatifu,
@josephmasanja883524 күн бұрын
Ni jambo la hatari sana dhambi kuitengenezea mazingira kwamba ni halali kufanya wala huhesabiwi hatia yaani huo ni UWAKALA WA SHETANI KWA ASILIMIA MIA MOJA
@myself412817 күн бұрын
Huyu mawani anaonekana kama Shoga,Anaonekana anatetea Dhambi sana Na anajaribu Kuitafsiri biblia anavotaka Yeye,Huyu amejawa na Nguvu za Giza,Kama kuna muumini anamfuta huyu basi ni Msukule,Imeandikwa Iweni Watakatifu kwa kuwa Mimi Mungu wenu ni Mtakatifu!
@HellenLemilya29 күн бұрын
Wizi,usizi ,na mengine sio kosa maana tunaishi kwa neema?
@elifasinimpagaritse7902
19 күн бұрын
Duuh kweli ujinga huu ni Atari
@MejjatScott-mf2vi22 күн бұрын
Dah!.siiza uko vizur!!!.nilikuwa Naogopa kweli Moto,leoleo naenda kutoa upwiru nina Ugwaduuuh!
@yamungummungulo633
22 күн бұрын
Jamaa langu acha utani biblia inasema wazinzi wachawi n.k hawataulithi ufalme wa Mungu
@yamungummungulo633
22 күн бұрын
Cjapenda 😂😂😂😂
@wanejohnmsukwa659018 күн бұрын
Huyu anayesisitiza kuzini kunakitu kimemfunika ameshindwa kuelewa sheria ya Mungu haiwezi kuwahukumu watu wanao tii neno la Mungu tu.Na haiwezekani mtu wa Mungu ukazini na wana wa ibilisi wakazini.
@evaristkobelo393625 күн бұрын
Nikweli ukizini kwa ulimwengu huu yawezekana usihukumiwe namtu, lakini kwa Mungu atakuhukumu
@user-pv1tj5xl9i19 күн бұрын
Biblia inasema kimtokacho mtu ndicho kilicho jaa ndani yake hayo ndiyo yaliyo jaa ndani ya masisi anapaswa aokoke
@bethaniahemalautukufu-np3so22 күн бұрын
Imeisha hiyo Kwa andiko hilo
@user-fu3cg3gv9g20 күн бұрын
Huyu jamaa mi simuelew kabisa
@rodgerskiponda787126 күн бұрын
Hii injli ya huyu Sizza niya hali ya juu sana na inahitaji mbinu nyingi ili kuielewa
@GunduaTV-et4nb
25 күн бұрын
Unamaana gani??
@barakakibuti3324
19 күн бұрын
Umeongea ukweli kabisa
@nicolasnzema08
19 күн бұрын
Sio mbinu nyingi kuilewa SIZAA KAFUNDISHWA VIZURI ZAIDI kulikon ndacha
@K-go1qj
18 күн бұрын
Kumuelewa siza inataka shule hivi hivi huwezi muelewa
@barakakibuti3324
18 күн бұрын
@@nicolasnzema08 uko sahihi tatizo watu hawatak kujifunza wanakurupuka . Somo limeeleweka vizuri sana.
@GodSwai6 күн бұрын
Uwo ni upumbavu anaongea ana Alisha dhambi kuwa halali huyo ana akili ata kidogo
@HellenLemilya29 күн бұрын
Sizza Masisi kwa hio tuzini tu nakuiba na kufanya mengine maana hakuna hukumu kwa Mungu?
@nicolasnzema08
19 күн бұрын
Hajasema uzini kasema ukweli HAJAKWAMBIA UZINI mfano unaambiwa kuvuta sigara ni uharibifu wa mapafu ndio amekuambia UVUTE SIGARA mchungaji siza anasema ukweli wa injili ilivyo hajasema UZINI
@IsaacMayengo-dz6iw
12 күн бұрын
Tatizo la Mr. Masisi Kuna wakati anakomaa yaani unakuwa mtu mzima- yaani anaacha kunywa mazima, LAKINI Kuna wakati unarudi kwenye uchanga na kuanza kunywa mazima tena! Kumbuka Kuna mafundisho ya watoto wachanga na mafundisho ya wati wazima. Ukiisha komaa usirudi kwenye uchanga tena!. Mfano: Vyakula vya watoto wachanga ni hivi: Warumi 10: 4 (kwa watoto wachanga waache wayashike maneno haya kama yali vyo). LAKINI kwa watu wazima lazima wajue Kristo ni mwisho wa SHERIA zipi? nakila aaminiye anahesabiwa haki ni haki Gani? Je ni haki ya kwenda kutenda dhambi au Haki ya kwenda mbinguni? au ni haki ya kuishi kwa Imani? JIBU hapa ni haki ya kusamehewa dhambi kwa kwenda msalabani na kuomba TOBA(hii ni Imani) .Ukisema hakuna dhambi ni muongo. Yakobo 2:11 na Yakobo 4:8.
@ibrahimmussa747817 күн бұрын
Yani ndacha hapa anafilia waislam nitawaambia nini kama ndo ivi
@orestsanga629425 күн бұрын
Ndacha chukua na hiyo elimu peleka SDA kama ulivyochukua ya kupinga utatu na kuipeleka SDA.
@bensonbarnaba1431
6 күн бұрын
🚫🚫🚫🚫🔴
@noelnjementi851125 күн бұрын
Mwalimu ndacha uko saw sasaivi duniani akuna mwalimu makini kama wew Sasa uyo mchungaji watumbo uyo watanzania awezi kukuerewa
@YoungAslam11
22 күн бұрын
Ukikubali utaukumiwa basi jua yesu akufia dhambi zako msalaban!
@WilliamShemu-p5h10 күн бұрын
Mbona kama huyu mch ni mniikolai maana mafundisho yake yafanananao
@mush33720 күн бұрын
Umewai jiuliza ni kwanini Ananias aliiba sadaka ya mungu na akafa papohapo ila wengine wenye dhambi kama hizo bado hawajafa,hata Daudi aliyeua uria na kulala na mke wa uria hakufa bali alisamehewa maana alikuwa ndani ya kristo,iwapo Daudi angehukumiwa kifo yesu ndiye angekufa
@elifasinimpagaritse7902
19 күн бұрын
Andiko
@wanejohnmsukwa6590
18 күн бұрын
Unasahau kwamba Daudi alitubu na alipatwa na adhabu ya kufiwa na mtoto aliyemzaa na mke wa Uria.
@francispaul55824 күн бұрын
Ndacha hebu achana na huyo mjumbe wa shetani, hayo ayafundishayo huyatoa kwa babaake shetani baba wa uongo
@TestimonyTvshuhuda
4 күн бұрын
yafaa kujifunza pamoja
@KhalfanSeleman17 күн бұрын
Ndio yaleyale aliosema Mzee wa upako maandiko yenu ya kuungaungaa mpaka kikamilike kitu shughuri
@mchopacalvin298619 күн бұрын
Sipendi mabishano gains yetu Watu wa Mungu ilhali waislamu ambahawamjui Mungu wa kweli wapo tu
@Smart_jarm
17 күн бұрын
Hii ndio bibilia na hayo ndio mapokeo,utofauti wao ni kutokana na mapokeo na namna bibilia ilivyoandikwa😢
@cosmassisa525624 күн бұрын
Hakuna mchungaji hapa. Ujuaji mwingi usiokuwa na hekima. Dhambi ni mbaya na ni machukukizo mbele ya Mungu. Kwamba tutende tu dhambi maana kuna rehema? Bullshit
@CelestinAkili26 күн бұрын
Fafa nuaviziri tusikuye tuna kufata
@PaulChambalaАй бұрын
Huu Kwel niwakat wamwisho mana mandiko yalisema kunawakat watayakataa mafundisho ya kweli
Пікірлер: 59
Mbona Yesu hajawahi zini, alfu huyo mchungaji naona bado hajitambui Mungu ni mtakatifu sana
Hivi mzee wa zoazoa anamtumikia mungu yupi anaye weza kuzini
Ndacha mteule wa Bwana umetokana wapi na huyo mwana wauasi,achana naewanakuwinda kufifisha Imani yako,kuzimu inakujua ww ni tishio,Sasa hivi wamekutumia adui wa mtu ni wanyumbani mwake ambae ni hatari zaidi
Hakika penye nuru giza ujitenga ndiomaana unaona mchungaji anavyojing,atang,ata Ndacha mfundishe huyo.
Masisi siasa nyingi sana kiukweli amna kitu hapo masisi okoka
Ndacha nakuheshimu sana na nakupenda acha kubishana na freemason asiyejitambua atawachanganya akili zenu' ameenda kinyume na maandiko anawafundisha watu wafanye dhambi.. wakati amri za MUNGU zipo wazi.. tena alishawahi sema amri kumi za Mungu ni upuuzi.. yeye ndio mpuuzi asiyeelewa chochote
@IsraelKijaga
19 күн бұрын
Ndugu tuache kutukana bali tujifunze
Huyu sizza ni atulie afundishwe
Yaani huyu anaejiita mchungaji sijui masisi hakuna kitu hapo hajui maandiko bure kabisa
Ndacha mfundishe huyo ajui mpango wa mungu
Mmmmh muda wa kuzini umewadia
Uyo shaga
Huyo masisi asimtaje kristo kbsa
Rais anahukumiwa na mtu mwenye haki wa mungu tu ndo maana daudi alihukumiwa na mungu alipo mchukua mke wa ulia muhiti
amri ni huduma ya mauti, lakini amri hiyo kwa agano jipya inaandikwa rohoni, na inabaki kuwa ya mauti, lakini ikiwa na neema ya kutusaidia kwa msaada wa Roho mtakatifu,
Ni jambo la hatari sana dhambi kuitengenezea mazingira kwamba ni halali kufanya wala huhesabiwi hatia yaani huo ni UWAKALA WA SHETANI KWA ASILIMIA MIA MOJA
Huyu mawani anaonekana kama Shoga,Anaonekana anatetea Dhambi sana Na anajaribu Kuitafsiri biblia anavotaka Yeye,Huyu amejawa na Nguvu za Giza,Kama kuna muumini anamfuta huyu basi ni Msukule,Imeandikwa Iweni Watakatifu kwa kuwa Mimi Mungu wenu ni Mtakatifu!
Wizi,usizi ,na mengine sio kosa maana tunaishi kwa neema?
@elifasinimpagaritse7902
19 күн бұрын
Duuh kweli ujinga huu ni Atari
Dah!.siiza uko vizur!!!.nilikuwa Naogopa kweli Moto,leoleo naenda kutoa upwiru nina Ugwaduuuh!
@yamungummungulo633
22 күн бұрын
Jamaa langu acha utani biblia inasema wazinzi wachawi n.k hawataulithi ufalme wa Mungu
@yamungummungulo633
22 күн бұрын
Cjapenda 😂😂😂😂
Huyu anayesisitiza kuzini kunakitu kimemfunika ameshindwa kuelewa sheria ya Mungu haiwezi kuwahukumu watu wanao tii neno la Mungu tu.Na haiwezekani mtu wa Mungu ukazini na wana wa ibilisi wakazini.
Nikweli ukizini kwa ulimwengu huu yawezekana usihukumiwe namtu, lakini kwa Mungu atakuhukumu
Biblia inasema kimtokacho mtu ndicho kilicho jaa ndani yake hayo ndiyo yaliyo jaa ndani ya masisi anapaswa aokoke
Imeisha hiyo Kwa andiko hilo
Huyu jamaa mi simuelew kabisa
Hii injli ya huyu Sizza niya hali ya juu sana na inahitaji mbinu nyingi ili kuielewa
@GunduaTV-et4nb
25 күн бұрын
Unamaana gani??
@barakakibuti3324
19 күн бұрын
Umeongea ukweli kabisa
@nicolasnzema08
19 күн бұрын
Sio mbinu nyingi kuilewa SIZAA KAFUNDISHWA VIZURI ZAIDI kulikon ndacha
@K-go1qj
18 күн бұрын
Kumuelewa siza inataka shule hivi hivi huwezi muelewa
@barakakibuti3324
18 күн бұрын
@@nicolasnzema08 uko sahihi tatizo watu hawatak kujifunza wanakurupuka . Somo limeeleweka vizuri sana.
Uwo ni upumbavu anaongea ana Alisha dhambi kuwa halali huyo ana akili ata kidogo
Sizza Masisi kwa hio tuzini tu nakuiba na kufanya mengine maana hakuna hukumu kwa Mungu?
@nicolasnzema08
19 күн бұрын
Hajasema uzini kasema ukweli HAJAKWAMBIA UZINI mfano unaambiwa kuvuta sigara ni uharibifu wa mapafu ndio amekuambia UVUTE SIGARA mchungaji siza anasema ukweli wa injili ilivyo hajasema UZINI
@IsaacMayengo-dz6iw
12 күн бұрын
Tatizo la Mr. Masisi Kuna wakati anakomaa yaani unakuwa mtu mzima- yaani anaacha kunywa mazima, LAKINI Kuna wakati unarudi kwenye uchanga na kuanza kunywa mazima tena! Kumbuka Kuna mafundisho ya watoto wachanga na mafundisho ya wati wazima. Ukiisha komaa usirudi kwenye uchanga tena!. Mfano: Vyakula vya watoto wachanga ni hivi: Warumi 10: 4 (kwa watoto wachanga waache wayashike maneno haya kama yali vyo). LAKINI kwa watu wazima lazima wajue Kristo ni mwisho wa SHERIA zipi? nakila aaminiye anahesabiwa haki ni haki Gani? Je ni haki ya kwenda kutenda dhambi au Haki ya kwenda mbinguni? au ni haki ya kuishi kwa Imani? JIBU hapa ni haki ya kusamehewa dhambi kwa kwenda msalabani na kuomba TOBA(hii ni Imani) .Ukisema hakuna dhambi ni muongo. Yakobo 2:11 na Yakobo 4:8.
Yani ndacha hapa anafilia waislam nitawaambia nini kama ndo ivi
Ndacha chukua na hiyo elimu peleka SDA kama ulivyochukua ya kupinga utatu na kuipeleka SDA.
@bensonbarnaba1431
6 күн бұрын
🚫🚫🚫🚫🔴
Mwalimu ndacha uko saw sasaivi duniani akuna mwalimu makini kama wew Sasa uyo mchungaji watumbo uyo watanzania awezi kukuerewa
@YoungAslam11
22 күн бұрын
Ukikubali utaukumiwa basi jua yesu akufia dhambi zako msalaban!
Mbona kama huyu mch ni mniikolai maana mafundisho yake yafanananao
Umewai jiuliza ni kwanini Ananias aliiba sadaka ya mungu na akafa papohapo ila wengine wenye dhambi kama hizo bado hawajafa,hata Daudi aliyeua uria na kulala na mke wa uria hakufa bali alisamehewa maana alikuwa ndani ya kristo,iwapo Daudi angehukumiwa kifo yesu ndiye angekufa
@elifasinimpagaritse7902
19 күн бұрын
Andiko
@wanejohnmsukwa6590
18 күн бұрын
Unasahau kwamba Daudi alitubu na alipatwa na adhabu ya kufiwa na mtoto aliyemzaa na mke wa Uria.
Ndacha hebu achana na huyo mjumbe wa shetani, hayo ayafundishayo huyatoa kwa babaake shetani baba wa uongo
@TestimonyTvshuhuda
4 күн бұрын
yafaa kujifunza pamoja
Ndio yaleyale aliosema Mzee wa upako maandiko yenu ya kuungaungaa mpaka kikamilike kitu shughuri
Sipendi mabishano gains yetu Watu wa Mungu ilhali waislamu ambahawamjui Mungu wa kweli wapo tu
@Smart_jarm
17 күн бұрын
Hii ndio bibilia na hayo ndio mapokeo,utofauti wao ni kutokana na mapokeo na namna bibilia ilivyoandikwa😢
Hakuna mchungaji hapa. Ujuaji mwingi usiokuwa na hekima. Dhambi ni mbaya na ni machukukizo mbele ya Mungu. Kwamba tutende tu dhambi maana kuna rehema? Bullshit
Fafa nuaviziri tusikuye tuna kufata
Huu Kwel niwakat wamwisho mana mandiko yalisema kunawakat watayakataa mafundisho ya kweli
@japhetndoro6533
17 күн бұрын
Huyu sizza amekataa