NDACHA NA PR. CEASER MASISI
Karibu katika sehemu ya tatu ya mdahalo huru kati ya Pr. Ndacha na Pr. Sizza Masisi wakijadiri juu ya neema na sheria za Mungu. mwenyekiti akiwa Muinjilist Jaffari Massawe. karibu ujifunze uzoefu huu.
Karibu katika sehemu ya tatu ya mdahalo huru kati ya Pr. Ndacha na Pr. Sizza Masisi wakijadiri juu ya neema na sheria za Mungu. mwenyekiti akiwa Muinjilist Jaffari Massawe. karibu ujifunze uzoefu huu.
Пікірлер: 21
Hapo mchungaji umenoa, umeotea bibili hiyo wagalatia 5:19...., wazinifu hawataingia binguni, Neema ya Mungu haikuja ili tukae dhambini, mbali tutoke dhambini
Uyo mchungaji Mungu anakuona unaalalisha dhambi
Yesu alishabeba dhambi zetu mnabishans nini
Ndacha leo kakutana na fundi amekuwa mpole sana
Mm muislamu Ila Ndacha Uyo mchungaji usimfate atakupoteza
Hakuna haja ya sheria ya dhambi mahali ambapo watu hawatendi dhambi.Hivyo ukitenda dhambi tu sheria ya dhambi inainuka na kukuhukumu.Hivyo usipo zini sheria ya dhambi ya uzinzi haiwezi kukuhukumu kwa sababau hauja zini lakini ukizini itakuhukumu lazima.
Waaaaah 😊
Huyu mchungaji aelewi Bible soma vizuri Warumi 8:1-7, Kisha soma Wagalatia 5:19-23 utaelewa kuzini ni dhambi kisha soma ufunuo 21:8
Mchungaj Tito urudi umrudie Mungu Kama umewapoteza watu hivo
Nyinyi wachungaji ni waongo sana mtu akizini hapati dhambi mnawaambia waumini wenu wafanye zina tu hakuna shida ndiyo sababu mmeruusu ndoa za jinsia moja makanisani wewe ndacha unapenda kupotosha watu muogopeni Mungu kwani hawa wakristo wamergwa na nani kila wanaloambiwa wanakubali mchungaji akisema anamtaka mkeo unamwambia chakua ukalale naye ila kesho mrudishe hiyo na lana ya Mungu kwenu
Maana ako ni hakuna dhambi
Wah utakaso upo msamaa upo lakini kunakukaa katika mapenzi yabwana natabia nzamungu nitakae mbila kufanya dambi kwaivyo tujiepushe ma huasherati naunzushi
Kwamba yesu alichukua zambi zenu hata hizo mnazozitenda leo? 😂😂 ila nyie viumbe bhana 😂😂😂
Dah din hii kumbe ndo mana wanaume wanafilana kumbe akuna dhambi sasa hyo din au ?
Kwani macho yake ni mwanadamu au
Hivyo hakuna yoyote ataenda johanamu?
@nicolasnzema08
19 күн бұрын
Kaka ukiamini injili umevuka mautii
Sasa kama hakuna amri na sheria mahubiri ya nini makanisani?kwanini tusiwe tunaomba tu kanisani kusiwe na mahubiri
@GunduaTV-et4nb
25 күн бұрын
Shangaa
Huyu Tito ni kama anapenda anasa za Dunia na iwapo huyu ni mchungaji basi kanisani mwake hamna youth wote ni wake zake
@christinemwakio7870
17 күн бұрын
Huyu pst. Muongo mno wala msiiufuatishe namna ya dunia hii.... soma Warumi 12:1-2 wewe usikamate akili za watu kwa kupinda andiko keti ujiulize una support nini haswa.. hawa wachungaji wasiku hizi wanapotea na wako ready kutetea upotevu wao weww mchungaji Tito rudi nyuma angalia tafsiri zako vizuri haziko sawa hata kidogo... 🇰🇪