NDACHA NA PR. CEASER MASISI

Karibu katika sehemu ya tatu ya mdahalo huru kati ya Pr. Ndacha na Pr. Sizza Masisi wakijadiri juu ya neema na sheria za Mungu. mwenyekiti akiwa Muinjilist Jaffari Massawe. karibu ujifunze uzoefu huu.

Пікірлер: 21

  • @kiarienjire5595
    @kiarienjire559520 күн бұрын

    Hapo mchungaji umenoa, umeotea bibili hiyo wagalatia 5:19...., wazinifu hawataingia binguni, Neema ya Mungu haikuja ili tukae dhambini, mbali tutoke dhambini

  • @user-wr1lu2cy9j
    @user-wr1lu2cy9j21 күн бұрын

    Uyo mchungaji Mungu anakuona unaalalisha dhambi

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u23 күн бұрын

    Yesu alishabeba dhambi zetu mnabishans nini

  • @YoungAslam11
    @YoungAslam1123 күн бұрын

    Ndacha leo kakutana na fundi amekuwa mpole sana

  • @yohana1242
    @yohana124223 күн бұрын

    Mm muislamu Ila Ndacha Uyo mchungaji usimfate atakupoteza

  • @wanejohnmsukwa6590
    @wanejohnmsukwa659017 күн бұрын

    Hakuna haja ya sheria ya dhambi mahali ambapo watu hawatendi dhambi.Hivyo ukitenda dhambi tu sheria ya dhambi inainuka na kukuhukumu.Hivyo usipo zini sheria ya dhambi ya uzinzi haiwezi kukuhukumu kwa sababau hauja zini lakini ukizini itakuhukumu lazima.

  • @rodgerskiponda7871
    @rodgerskiponda787126 күн бұрын

    Waaaaah 😊

  • @robertempire9542
    @robertempire954215 күн бұрын

    Huyu mchungaji aelewi Bible soma vizuri Warumi 8:1-7, Kisha soma Wagalatia 5:19-23 utaelewa kuzini ni dhambi kisha soma ufunuo 21:8

  • @user-wb4xv7lf1h
    @user-wb4xv7lf1h26 күн бұрын

    Mchungaj Tito urudi umrudie Mungu Kama umewapoteza watu hivo

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah845623 күн бұрын

    Nyinyi wachungaji ni waongo sana mtu akizini hapati dhambi mnawaambia waumini wenu wafanye zina tu hakuna shida ndiyo sababu mmeruusu ndoa za jinsia moja makanisani wewe ndacha unapenda kupotosha watu muogopeni Mungu kwani hawa wakristo wamergwa na nani kila wanaloambiwa wanakubali mchungaji akisema anamtaka mkeo unamwambia chakua ukalale naye ila kesho mrudishe hiyo na lana ya Mungu kwenu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya29 күн бұрын

    Maana ako ni hakuna dhambi

  • @pastoralexanderofficial6023
    @pastoralexanderofficial602323 күн бұрын

    Wah utakaso upo msamaa upo lakini kunakukaa katika mapenzi yabwana natabia nzamungu nitakae mbila kufanya dambi kwaivyo tujiepushe ma huasherati naunzushi

  • @tumowote8879
    @tumowote887923 күн бұрын

    Kwamba yesu alichukua zambi zenu hata hizo mnazozitenda leo? 😂😂 ila nyie viumbe bhana 😂😂😂

  • @YoungAslam11
    @YoungAslam1123 күн бұрын

    Dah din hii kumbe ndo mana wanaume wanafilana kumbe akuna dhambi sasa hyo din au ?

  • @jorgeinaciobuchirbuchir78
    @jorgeinaciobuchirbuchir7824 күн бұрын

    Kwani macho yake ni mwanadamu au

  • @kiarienjire5595
    @kiarienjire559520 күн бұрын

    Hivyo hakuna yoyote ataenda johanamu?

  • @nicolasnzema08

    @nicolasnzema08

    19 күн бұрын

    Kaka ukiamini injili umevuka mautii

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya29 күн бұрын

    Sasa kama hakuna amri na sheria mahubiri ya nini makanisani?kwanini tusiwe tunaomba tu kanisani kusiwe na mahubiri

  • @GunduaTV-et4nb

    @GunduaTV-et4nb

    25 күн бұрын

    Shangaa

  • @user-ok1fk2zu8q
    @user-ok1fk2zu8q24 күн бұрын

    Huyu Tito ni kama anapenda anasa za Dunia na iwapo huyu ni mchungaji basi kanisani mwake hamna youth wote ni wake zake

  • @christinemwakio7870

    @christinemwakio7870

    17 күн бұрын

    Huyu pst. Muongo mno wala msiiufuatishe namna ya dunia hii.... soma Warumi 12:1-2 wewe usikamate akili za watu kwa kupinda andiko keti ujiulize una support nini haswa.. hawa wachungaji wasiku hizi wanapotea na wako ready kutetea upotevu wao weww mchungaji Tito rudi nyuma angalia tafsiri zako vizuri haziko sawa hata kidogo... 🇰🇪