Mwalimu Daniel Mwankemwa anajua kufyndishs lakini Somo halielewi yeye anaongelea Uungu wa Yesu
@copylababaКүн бұрын
Wendo hujamuelew
@user-mc2xd4eu2pКүн бұрын
A LOT OF CONTRADICTION IN THE BIBLE😢
@user-mc2xd4eu2pКүн бұрын
Huyu nae anasema yesu ndio yeye huyo baba kwa hiyo kajizaa mwenyewe hii imani kama huna moyo wa upofu ndani yako huwezi kuifuata abadan
@fredykiluka6606Күн бұрын
Ndacha mungu akubaliki kwanza umetufunguwa macho ...tumekuelewa❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤
@KasiteDominic-bz7rnКүн бұрын
Munaanza Ku geuza mambo. Nyinyi muta potosha vipofu
@KasiteDominic-bz7rnКүн бұрын
Jamani ivi munafunza watu nini?
@user-mc2xd4eu2p2 күн бұрын
Sasa huyu ndacha jamani anafundisha nini yesu sio sio mungu lakini yesu yuko sawa na mungu yesu ana mwili wake na yesu ana mwili wake sasa hao si wanakua mungu wawili anabaki vipi mungu mmoja kwa imani yenu hivi hii inahitaji nini ili ieleweke ?
@user-mc2xd4eu2p2 күн бұрын
Uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU WA PEKEE NA WAKWELI pekee maana yake hakuna mungu mwengine sasa yesu anakuaje mungu wewe ndacha?? hivi inaingia akilini kweli
@user-mc2xd4eu2p2 күн бұрын
Nyie watu mungu hamna maelezo mpaka leo hii huyu ndacha ana miungu wawili lakini anaficha kuna kitu anakwepa huyu yesu anaesema sio mungu leo anamtetea huyo kusema ndio mungu 😅
@mozesdaniel74842 күн бұрын
Sasa ndacha mbona uko palepale hajaelewa Mwankema ameelezea vzr sana. Fundisho halina utofauti na unacho kisema hapo ulicho kuelewa ni tofauti na maelezo yakina.huo utatu haupo kwnye bibilia lakini kuielewa utajua jinsi inavyofanya kazi😅
@mwoso2 күн бұрын
Mwankemwa analinganisha mungu, mwana na roho mtakatifu na jinsi yai lilivyo.
@mwoso2 күн бұрын
Barikiwa sana mwalimu ndacha.
@mwoso2 күн бұрын
Mimi nakubaliana na mwalimu Ndacha. Sioni haja ya kusumbuana na akili bure!
@mwoso2 күн бұрын
Bibilia inadhibitisha uungu wa mwana kwa baba yake. Lakini haijadhibitisha kwamba huyo mwana ndiye mungu baba. Wala huwezi kuwafanya kua nafsi moja. Kwa ufupi baba ni baba na mwana anabaki kuwa mwana.
@mwoso2 күн бұрын
Mwankemwa wacha kuchanganya watu akili! Mbona kuchezacheza na maandiko yalio dhahiri.? Baba amezungumzia mwana wake na mwana amezungumzia baba yake. Mbona mnateseka kuwafanya kua nafsi moja? Bibllia yenyewe haija taja utatu ila tu kwa akili ya binadamu pasipo andiko.
Ukweli upo palepale utatu ni fumbo la kiroho na Mungu peke yake ndie anaeweza kulifumbua fumbo hili. Ifahamike katika sifa nyingi za Mungu kwa mfano kutokuwa na mwanzo wa uwepo wake, kuwa na nguvu zote, kuwepo mahali pote, kufahamu yote, nk. na hili la kuwa katika nafsi zaidi ya moja na bado akabakia kuwa mmoja hii nayo pia kati ya sifa zake, na sifa zote hizi akili ya kibinadamu ni lazima ichanganyikiwe na ndio maana Mungu hajidhihirishi moja kwa moja kwetu. Pale maandiko matakatifu yanapokaa kimya tusitumie akili zetu kujadili huo ukimya siyo kila kitu Mungu anakiweka dhahiri kwetu. Kwa nafasi na uwezo alionao Mungu anaweza kuwa katika nafsi zaidi ya moja na akaendelea kubakia Mungu mmoja huo ni uwezo wake na katika hali hii imani ndio njia pekee ya kupokea ukweli huu. Fundisho la kweli la utatu mtakatifu halijawahi kufundisha uwepo wa miungu mitatu isipokuwa linafundisha Mungu mmoja anaejidhihirisha katika nafsi tatu.
@aliabdallah84562 күн бұрын
Hadi leo hii Mungu wa kweli hamjamjua waulizeni waislamu watawaambia Mungu wa kweli ni nani Mungu wa kweli ni yule aliyeumba kila kiumbe na ndiye aliyeumba mbingu na ardhi nayeye Mungu wa kweli hajazaliwa wala hajazaa na uwezi kumfananisha na kitu chochote kile huyo ndiye Mungu wa kweli wakristo hacheni kudanganyana
@jameskilasa7592 күн бұрын
Jina la baba ni nani
@nassoroyahaya8213 күн бұрын
Hapo ndipo Quran inpokuwa Master formular ya dunia kuwafundisha watu wote mbele ya wakati wote ya kuwa Quran 112:1-6 Sema yeye mwenezi Mungu ni mmoja tu ,anaekusudiwa kwa kila jambo na viumbe vyake,hakuzaa wala hakuzaliwa ,wala hana anaefanana naye hata mmoja
@nassoroyahaya8213 күн бұрын
Upo vizuri shida hapo kwako ni Yesu naye kuwa sawa na Mungu wakati Mungu katika Isaya Mungu anauliza je nipo sawa na nani ?
@TestimonyTvshuhuda2 күн бұрын
Isaya ngapi mtu wa Mungu?
@AmuaTV-nt3kp3 күн бұрын
nahitaji kujifunza zaidi kuhu mada hii
@abasingaruka18723 күн бұрын
Mwakemwa muelewe Ndacha, unayosema hayakatai wewe unabadilisha kutafuta u ishi
@husseinkiruta17123 күн бұрын
Mnachekesha Sana Mungu Ni mmoja tu na yesu syo Mungu katumwa tu
@clewis5204 күн бұрын
… Leo nimedhibitisha hakuna miungu mitatu bali miungu ni mikumi.
@JamesMoses-jd1yq4 күн бұрын
Siwezi mpinga ndacha maanake hana mpinzani
@AntoniNdugu4 күн бұрын
Mfalme wewe ni baraka
@francispaul55824 күн бұрын
Ndacha hebu achana na huyo mjumbe wa shetani, hayo ayafundishayo huyatoa kwa babaake shetani baba wa uongo
@TestimonyTvshuhuda4 күн бұрын
yafaa kujifunza pamoja
@imanikilongo15584 күн бұрын
Mwalimu Dani kwenye maada hii uko vizuri sana Mimi ni msabato ila umefundisha vizuri ndacha kuna mambo haelewi
@fredykiluka6606Күн бұрын
Kwer jiko litakuusu
@imanikilongo15584 күн бұрын
Nahapo umesoma yohana mbona imesema ameshikana na baba
@imanikilongo15584 күн бұрын
Hakuna aliye kataa yesu si mwana wa Mungu ila ww ndo unatengeneza mambo yako na kutusemea sisi tunasema
@AgnesKasayaMigiro4 күн бұрын
Mwalimu Ndacha Mungu ,aendelee kulinda. namtumishi Paul Hasan🙏🙏Mwankemwa ,mada kamlemea,ooiyee
@Elias-ne8sw4 күн бұрын
Kitu Cha kwanza hakuna kitu kama utatu mtakativu kitu Cha pili Yesu ni mungu alie kikalia kiti cha Enzi.. Roho mtakativu ni Yesu Mungu baba bado ni Yesu Mwana wa mungu bado ni Yesu(fungeni kifungo mumulize mungu)
@JamesMoses-jd1yq3 күн бұрын
Sasa wew ndio huelewi
@davidochiengbuoga71654 күн бұрын
Mungu pia ni Roho (Yohana 4:24). Roho Mtakatifu ni Sehemu ya Mungu na ni Mungu
@davidochiengbuoga71654 күн бұрын
Yesu alipokuja duniani alikuja kudhihirisha Baba na aka vaa uunge wa BABAYE ndiposa akawa Mungu lakini katika Mwana.Kwa hivyo Yesu ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6)
@davidochiengbuoga71654 күн бұрын
Yesu anauungu wa BABAYE
@davidochiengbuoga71654 күн бұрын
Ndacha na mwalimu wote wako sawa hapa
@user-ee8dr9iw4k4 күн бұрын
Wewe ndacha tuambiye uyo baba ni nani
@user-ee8dr9iw4k4 күн бұрын
Wewe ndo unafanya wakristo wana slimu ju ukisema mungu ni mmja inamanisa yesu nikama manabi sigine filipo anaomba kumjua mungu kama wewe sasa yesu anamwambia alie niona mimi amemuona mungu . Ju akuna mungu mwengine . Yohana 14-8 yeye yu ndani ya baba na baba ndani yake . Yesu kimwili si mungu kiroo ni mungu baba ni roo mtakatifu ndiyo utukufu ulio biguni.
@Shomariamuri13 күн бұрын
Fundisho unalolisapoti ndo mbaya kabisa na waislam wana wacharaza na iyo miungu yenu mitatu ambayo hakuna andiko hata moja ndani ya Biblia 😮😊
@user-ee8dr9iw4k4 күн бұрын
Ningependa iyo timotheo wa 1 -6 muanze kuisoma 13 -adi 16 ndo mujuwe uyo ambaye ajawai mwanadamu kumuona ni , nani, ni kristo yesu . Ndacha usichanganye watu . Ikiwa na dibet na waislam unamtambua yesu kua ni mungu. Sai unakata Kuna ukisema Kuna baba,
@TestimonyTvshuhuda4 күн бұрын
@biblia nuru ya dunia
@ishmaelsimon66174 күн бұрын
Kwani YESU akiwa MUNGU kwa sababu ni Mwana wa Mungu, kuna shida ukumwita MUNGU MWANA?
@TestimonyTvshuhuda4 күн бұрын
shida ipo kwenye lugha. lakini kwa nini useme MUNGU MWANA ilihali imeandikwa MWANA WA MUNGU?
@davidochiengbuoga71654 күн бұрын
@@TestimonyTvshuhudaNi Kwa sababu Mwana ni Mungu
@TestimonyTvshuhuda4 күн бұрын
@@davidochiengbuoga7165 Au shida ni kiswahili?
@JamesMoses-jd1yq4 күн бұрын
Rudi darasani@@TestimonyTvshuhuda
@JamesMoses-jd1yq4 күн бұрын
Mungu ni mmoja ila yesu ni mwanae mmoja tu
@ishmaelsimon66174 күн бұрын
Kwanza Poleni kwa mjadala. Ni ivi, huwezi kuwa mwanadamu kama huna mwili na roho. Kikitoka hata kimoja maana yake wewe sio mwanadamu. The same to MUNGU, MUNGU yupo, toka mwanzo na yupo katika ukamilifu wake, yupo katika BABA kwa maana ya yeye MUNGU, ndani yake NENO lake ndio MWANA, anasema anatoka katika kifua cha BABA na yupo ROHO wake akaae ndani yake na huyo ndio alikuja baada ya MWANA kutukuzwa. So unaweza mwenye uite nafsi tatu, uite MUNGU mmoja uite BABA, MWANA NA ROHO but all ni zipo kwa MUNGU. Na ili ukamilifu wa MUNGU uwepo ndio sharti awe yeye MUNGU akiwa na NENO lake ambaye ni YESU KRISTO na ROHO YAKE ambaye ndio ROHO MTAKATIFU.
@mush3374 күн бұрын
Watu hudhani yesu ni mungu mwingine ambaye ni mdogo naye baba ni mungu mwingine ambaye ni mkuu,ila hapo mwanzo palikuwa na neno,naye neno alikuwa mungu,neno akafanyika mwili,wakati anafanyika na kuwa mwili sio eti alikuwa mwili tangu zamani ila mungu amevaa mwili wa binadamu. Mungu wa wakristo ni mungu ambaye Yuko na uwezo wa kuwa baba,mwana na roho mtakatifu kwa wakati mmoja. Haimaanishi Kuna Mungu Mkubwa ati baba na huyo mungu wa pili anategemea baba kuwa mungu. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mungu eti sababu amezaliwa na Mungu,hamna kabisaa,mungu ni mmoja na hakuna anayeweza kuitwa mungu Sababu ya kuzaliwa na Mungu,yesu anapoitwa mungu ni mungu Kweli,hajazaliwa na yeyote,mungu kuvaa mwili wa binadamu ndikwo kuzaliwa Sasa ila hao Sio mungu wawili,eti Mungu mkuu na Mungu mtegemea kuzaliwa,hio ni injili potovu. Mungu kuzaliwa na kuvaa mwili wa binadamu kwa ajili ya wokovu haimunyanganyi mamlaka, muislamu tu pekeake ndiye anafaa kuuliza,wakati mungu alifanyika mwili ni nani alibaki mbinguni,ila wewe mwanadamu kujibu eti mungu mkuu alibaki mbinguni na Mungu anayeitwa mungu kwa kuzaliwa ndiye alikuja. Ukiweza tofautisha mungu bila mwili ni nani na Mungu akivaa mwili ni nani hutachanganyikiwa ila utaelewa tu ni mungu katika mpango wa wokovu. Jiulize hili swali,iwapo mwanadamu hangeanguka dhambini,je mungu angefanyika mwili ili kumuokoa na je kama hangefanyika mwili je jina yesu lililotabiriwa na manabii lingekuwepo?
@user-ee8dr9iw4k4 күн бұрын
Nimekua nikimsikisa uyu ndacha anakampeni ya kumpinga kristo akiwa na diet na waislam akiri kabisa yesu ni mungu sai anapinga Kuna mwana Kuna baba
@user-rv1en7be3f4 күн бұрын
soma bibilia kataa au ukubali kwa andiko siyo kwa uelewa wako Mungu anajieleza mwenyewe haelezewi na watu
@mush3374 күн бұрын
@@user-rv1en7be3f mungu ni mmoja,na ukijua mungu ni mmoja ni rahisi sana kujua yesu roho mtakatifu ni nani
@JamesMoses-jd1yq4 күн бұрын
Bibilia inasema hamna mtu yeyote amewai muona mungu kwa hiyo mbona unachanganyikiwa
@nassoroyahaya8213 күн бұрын
Jamaani nyoote mmechanganyikiwa hamuoni pa kwenda njooni kwenye Uislam hii confision haipo kabisa Mungu amejieleza na mitume nao wameelezwa vizuri
@mush3374 күн бұрын
Mungu baba ndiye tu yesu,kama mwanadamu hangeanguka dhambini,hakungekuwa na haja ya mungu kufanyika mwili,mpango wa wokovu ndio unachanganya wakristo. Baba,mwana na roho mtakatifu ni mungu mmoja tu ila mpango wa wokovu ndio unafanya Wanadamu wasieleme kwamba inakuaje mungu tena awe mwanadamu,inakuaje mungu kuja kwetu kama roho mtakatifu badala ya kukuja yeye mwenyewe moja kwa moja,ila ni dhambi iliyoleta mpango wa wokovu, kama mwanadamu hangetenda dhambi hakungewai kuwa na Mungu katika mwili wa binadamu (yesu),maana kilichomlazimu mungu awe katika mwili ni mpango wa wokovu wa mwanadamu aliyeanguka dhambini
@YOMYSTUDIOS4 күн бұрын
Wajenga hoja wanatoa nukuu wewe unaandika mawazo yako pekee
@mush3374 күн бұрын
@@YOMYSTUDIOS Mawazo gani yangu inihali Bibilia inasema mungu ni mmoja aliye baba,Sasa wewe ukisema mwanawe ni mungu Sababu amezaliwa na Mungu ni kuwafanya mungu wawe wawili,baba na mtoto,hio ndio hoja nakataa, Bibilia haiezi jipinga,Heri mtu aseme mwana ni sehemu ya mungu ila kusema yesu ni mungu kwa kuzaliwa na Mungu haiko kwa Bibilia
@mush3374 күн бұрын
@@YOMYSTUDIOSkwa mjibu wa hii verse je kuna mungu mmoja hapa ama wawili? Yohana 1:1-5 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
@GodSwai6 күн бұрын
Uwo ni upumbavu anaongea ana Alisha dhambi kuwa halali huyo ana akili ata kidogo
@mush3377 күн бұрын
Sasa yesu ni mtoto mwanaume,nyinyi mtaacha zenu ,yesu hana jinsia,kuchukua mwili wa kiume na kutahiri haimaanishi yeye ni mtoto mwanaume,yesu ni mungu na ni roho isiyoenekana, mwili ulionekana wa binadamu sio yesu mwenyewe,huo ni mwili tu ila yesu ni roho
@mush3377 күн бұрын
Sijawai sikia mtu anayesema kuna mungu watatu,hata waindi na wachina wanajua kuna mungu mmoja tu,Sasa hilo swali gani. Ungeuliza je Kuna Mungu mmoja katikati utatu?
@MusaMsaki-b8b9 күн бұрын
Nakukubali sana mwalimu respct
@WilliamShemu-p5h10 күн бұрын
Mbona kama huyu mch ni mniikolai maana mafundisho yake yafanananao
Пікірлер
Mwalimu Daniel Mwankemwa anajua kufyndishs lakini Somo halielewi yeye anaongelea Uungu wa Yesu
Wendo hujamuelew
A LOT OF CONTRADICTION IN THE BIBLE😢
Huyu nae anasema yesu ndio yeye huyo baba kwa hiyo kajizaa mwenyewe hii imani kama huna moyo wa upofu ndani yako huwezi kuifuata abadan
Ndacha mungu akubaliki kwanza umetufunguwa macho ...tumekuelewa❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤
Munaanza Ku geuza mambo. Nyinyi muta potosha vipofu
Jamani ivi munafunza watu nini?
Sasa huyu ndacha jamani anafundisha nini yesu sio sio mungu lakini yesu yuko sawa na mungu yesu ana mwili wake na yesu ana mwili wake sasa hao si wanakua mungu wawili anabaki vipi mungu mmoja kwa imani yenu hivi hii inahitaji nini ili ieleweke ?
Uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU WA PEKEE NA WAKWELI pekee maana yake hakuna mungu mwengine sasa yesu anakuaje mungu wewe ndacha?? hivi inaingia akilini kweli
Nyie watu mungu hamna maelezo mpaka leo hii huyu ndacha ana miungu wawili lakini anaficha kuna kitu anakwepa huyu yesu anaesema sio mungu leo anamtetea huyo kusema ndio mungu 😅
Sasa ndacha mbona uko palepale hajaelewa Mwankema ameelezea vzr sana. Fundisho halina utofauti na unacho kisema hapo ulicho kuelewa ni tofauti na maelezo yakina.huo utatu haupo kwnye bibilia lakini kuielewa utajua jinsi inavyofanya kazi😅
Mwankemwa analinganisha mungu, mwana na roho mtakatifu na jinsi yai lilivyo.
Barikiwa sana mwalimu ndacha.
Mimi nakubaliana na mwalimu Ndacha. Sioni haja ya kusumbuana na akili bure!
Bibilia inadhibitisha uungu wa mwana kwa baba yake. Lakini haijadhibitisha kwamba huyo mwana ndiye mungu baba. Wala huwezi kuwafanya kua nafsi moja. Kwa ufupi baba ni baba na mwana anabaki kuwa mwana.
Mwankemwa wacha kuchanganya watu akili! Mbona kuchezacheza na maandiko yalio dhahiri.? Baba amezungumzia mwana wake na mwana amezungumzia baba yake. Mbona mnateseka kuwafanya kua nafsi moja? Bibllia yenyewe haija taja utatu ila tu kwa akili ya binadamu pasipo andiko.
Hamna jina trinity ndani ya bibilia
Je jina Christianity lipo?
Ndacha acha kukwepa ukweli. Elewa vizuri maandiko. Mwakemwa akufundishe.
Ukweli upo palepale utatu ni fumbo la kiroho na Mungu peke yake ndie anaeweza kulifumbua fumbo hili. Ifahamike katika sifa nyingi za Mungu kwa mfano kutokuwa na mwanzo wa uwepo wake, kuwa na nguvu zote, kuwepo mahali pote, kufahamu yote, nk. na hili la kuwa katika nafsi zaidi ya moja na bado akabakia kuwa mmoja hii nayo pia kati ya sifa zake, na sifa zote hizi akili ya kibinadamu ni lazima ichanganyikiwe na ndio maana Mungu hajidhihirishi moja kwa moja kwetu. Pale maandiko matakatifu yanapokaa kimya tusitumie akili zetu kujadili huo ukimya siyo kila kitu Mungu anakiweka dhahiri kwetu. Kwa nafasi na uwezo alionao Mungu anaweza kuwa katika nafsi zaidi ya moja na akaendelea kubakia Mungu mmoja huo ni uwezo wake na katika hali hii imani ndio njia pekee ya kupokea ukweli huu. Fundisho la kweli la utatu mtakatifu halijawahi kufundisha uwepo wa miungu mitatu isipokuwa linafundisha Mungu mmoja anaejidhihirisha katika nafsi tatu.
Hadi leo hii Mungu wa kweli hamjamjua waulizeni waislamu watawaambia Mungu wa kweli ni nani Mungu wa kweli ni yule aliyeumba kila kiumbe na ndiye aliyeumba mbingu na ardhi nayeye Mungu wa kweli hajazaliwa wala hajazaa na uwezi kumfananisha na kitu chochote kile huyo ndiye Mungu wa kweli wakristo hacheni kudanganyana
Jina la baba ni nani
Hapo ndipo Quran inpokuwa Master formular ya dunia kuwafundisha watu wote mbele ya wakati wote ya kuwa Quran 112:1-6 Sema yeye mwenezi Mungu ni mmoja tu ,anaekusudiwa kwa kila jambo na viumbe vyake,hakuzaa wala hakuzaliwa ,wala hana anaefanana naye hata mmoja
Upo vizuri shida hapo kwako ni Yesu naye kuwa sawa na Mungu wakati Mungu katika Isaya Mungu anauliza je nipo sawa na nani ?
Isaya ngapi mtu wa Mungu?
nahitaji kujifunza zaidi kuhu mada hii
Mwakemwa muelewe Ndacha, unayosema hayakatai wewe unabadilisha kutafuta u ishi
Mnachekesha Sana Mungu Ni mmoja tu na yesu syo Mungu katumwa tu
… Leo nimedhibitisha hakuna miungu mitatu bali miungu ni mikumi.
Siwezi mpinga ndacha maanake hana mpinzani
Mfalme wewe ni baraka
Ndacha hebu achana na huyo mjumbe wa shetani, hayo ayafundishayo huyatoa kwa babaake shetani baba wa uongo
yafaa kujifunza pamoja
Mwalimu Dani kwenye maada hii uko vizuri sana Mimi ni msabato ila umefundisha vizuri ndacha kuna mambo haelewi
Kwer jiko litakuusu
Nahapo umesoma yohana mbona imesema ameshikana na baba
Hakuna aliye kataa yesu si mwana wa Mungu ila ww ndo unatengeneza mambo yako na kutusemea sisi tunasema
Mwalimu Ndacha Mungu ,aendelee kulinda. namtumishi Paul Hasan🙏🙏Mwankemwa ,mada kamlemea,ooiyee
Kitu Cha kwanza hakuna kitu kama utatu mtakativu kitu Cha pili Yesu ni mungu alie kikalia kiti cha Enzi.. Roho mtakativu ni Yesu Mungu baba bado ni Yesu Mwana wa mungu bado ni Yesu(fungeni kifungo mumulize mungu)
Sasa wew ndio huelewi
Mungu pia ni Roho (Yohana 4:24). Roho Mtakatifu ni Sehemu ya Mungu na ni Mungu
Yesu alipokuja duniani alikuja kudhihirisha Baba na aka vaa uunge wa BABAYE ndiposa akawa Mungu lakini katika Mwana.Kwa hivyo Yesu ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6)
Yesu anauungu wa BABAYE
Ndacha na mwalimu wote wako sawa hapa
Wewe ndacha tuambiye uyo baba ni nani
Wewe ndo unafanya wakristo wana slimu ju ukisema mungu ni mmja inamanisa yesu nikama manabi sigine filipo anaomba kumjua mungu kama wewe sasa yesu anamwambia alie niona mimi amemuona mungu . Ju akuna mungu mwengine . Yohana 14-8 yeye yu ndani ya baba na baba ndani yake . Yesu kimwili si mungu kiroo ni mungu baba ni roo mtakatifu ndiyo utukufu ulio biguni.
Fundisho unalolisapoti ndo mbaya kabisa na waislam wana wacharaza na iyo miungu yenu mitatu ambayo hakuna andiko hata moja ndani ya Biblia 😮😊
Ningependa iyo timotheo wa 1 -6 muanze kuisoma 13 -adi 16 ndo mujuwe uyo ambaye ajawai mwanadamu kumuona ni , nani, ni kristo yesu . Ndacha usichanganye watu . Ikiwa na dibet na waislam unamtambua yesu kua ni mungu. Sai unakata Kuna ukisema Kuna baba,
@biblia nuru ya dunia
Kwani YESU akiwa MUNGU kwa sababu ni Mwana wa Mungu, kuna shida ukumwita MUNGU MWANA?
shida ipo kwenye lugha. lakini kwa nini useme MUNGU MWANA ilihali imeandikwa MWANA WA MUNGU?
@@TestimonyTvshuhudaNi Kwa sababu Mwana ni Mungu
@@davidochiengbuoga7165 Au shida ni kiswahili?
Rudi darasani@@TestimonyTvshuhuda
Mungu ni mmoja ila yesu ni mwanae mmoja tu
Kwanza Poleni kwa mjadala. Ni ivi, huwezi kuwa mwanadamu kama huna mwili na roho. Kikitoka hata kimoja maana yake wewe sio mwanadamu. The same to MUNGU, MUNGU yupo, toka mwanzo na yupo katika ukamilifu wake, yupo katika BABA kwa maana ya yeye MUNGU, ndani yake NENO lake ndio MWANA, anasema anatoka katika kifua cha BABA na yupo ROHO wake akaae ndani yake na huyo ndio alikuja baada ya MWANA kutukuzwa. So unaweza mwenye uite nafsi tatu, uite MUNGU mmoja uite BABA, MWANA NA ROHO but all ni zipo kwa MUNGU. Na ili ukamilifu wa MUNGU uwepo ndio sharti awe yeye MUNGU akiwa na NENO lake ambaye ni YESU KRISTO na ROHO YAKE ambaye ndio ROHO MTAKATIFU.
Watu hudhani yesu ni mungu mwingine ambaye ni mdogo naye baba ni mungu mwingine ambaye ni mkuu,ila hapo mwanzo palikuwa na neno,naye neno alikuwa mungu,neno akafanyika mwili,wakati anafanyika na kuwa mwili sio eti alikuwa mwili tangu zamani ila mungu amevaa mwili wa binadamu. Mungu wa wakristo ni mungu ambaye Yuko na uwezo wa kuwa baba,mwana na roho mtakatifu kwa wakati mmoja. Haimaanishi Kuna Mungu Mkubwa ati baba na huyo mungu wa pili anategemea baba kuwa mungu. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mungu eti sababu amezaliwa na Mungu,hamna kabisaa,mungu ni mmoja na hakuna anayeweza kuitwa mungu Sababu ya kuzaliwa na Mungu,yesu anapoitwa mungu ni mungu Kweli,hajazaliwa na yeyote,mungu kuvaa mwili wa binadamu ndikwo kuzaliwa Sasa ila hao Sio mungu wawili,eti Mungu mkuu na Mungu mtegemea kuzaliwa,hio ni injili potovu. Mungu kuzaliwa na kuvaa mwili wa binadamu kwa ajili ya wokovu haimunyanganyi mamlaka, muislamu tu pekeake ndiye anafaa kuuliza,wakati mungu alifanyika mwili ni nani alibaki mbinguni,ila wewe mwanadamu kujibu eti mungu mkuu alibaki mbinguni na Mungu anayeitwa mungu kwa kuzaliwa ndiye alikuja. Ukiweza tofautisha mungu bila mwili ni nani na Mungu akivaa mwili ni nani hutachanganyikiwa ila utaelewa tu ni mungu katika mpango wa wokovu. Jiulize hili swali,iwapo mwanadamu hangeanguka dhambini,je mungu angefanyika mwili ili kumuokoa na je kama hangefanyika mwili je jina yesu lililotabiriwa na manabii lingekuwepo?
Nimekua nikimsikisa uyu ndacha anakampeni ya kumpinga kristo akiwa na diet na waislam akiri kabisa yesu ni mungu sai anapinga Kuna mwana Kuna baba
soma bibilia kataa au ukubali kwa andiko siyo kwa uelewa wako Mungu anajieleza mwenyewe haelezewi na watu
@@user-rv1en7be3f mungu ni mmoja,na ukijua mungu ni mmoja ni rahisi sana kujua yesu roho mtakatifu ni nani
Bibilia inasema hamna mtu yeyote amewai muona mungu kwa hiyo mbona unachanganyikiwa
Jamaani nyoote mmechanganyikiwa hamuoni pa kwenda njooni kwenye Uislam hii confision haipo kabisa Mungu amejieleza na mitume nao wameelezwa vizuri
Mungu baba ndiye tu yesu,kama mwanadamu hangeanguka dhambini,hakungekuwa na haja ya mungu kufanyika mwili,mpango wa wokovu ndio unachanganya wakristo. Baba,mwana na roho mtakatifu ni mungu mmoja tu ila mpango wa wokovu ndio unafanya Wanadamu wasieleme kwamba inakuaje mungu tena awe mwanadamu,inakuaje mungu kuja kwetu kama roho mtakatifu badala ya kukuja yeye mwenyewe moja kwa moja,ila ni dhambi iliyoleta mpango wa wokovu, kama mwanadamu hangetenda dhambi hakungewai kuwa na Mungu katika mwili wa binadamu (yesu),maana kilichomlazimu mungu awe katika mwili ni mpango wa wokovu wa mwanadamu aliyeanguka dhambini
Wajenga hoja wanatoa nukuu wewe unaandika mawazo yako pekee
@@YOMYSTUDIOS Mawazo gani yangu inihali Bibilia inasema mungu ni mmoja aliye baba,Sasa wewe ukisema mwanawe ni mungu Sababu amezaliwa na Mungu ni kuwafanya mungu wawe wawili,baba na mtoto,hio ndio hoja nakataa, Bibilia haiezi jipinga,Heri mtu aseme mwana ni sehemu ya mungu ila kusema yesu ni mungu kwa kuzaliwa na Mungu haiko kwa Bibilia
@@YOMYSTUDIOSkwa mjibu wa hii verse je kuna mungu mmoja hapa ama wawili? Yohana 1:1-5 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Uwo ni upumbavu anaongea ana Alisha dhambi kuwa halali huyo ana akili ata kidogo
Sasa yesu ni mtoto mwanaume,nyinyi mtaacha zenu ,yesu hana jinsia,kuchukua mwili wa kiume na kutahiri haimaanishi yeye ni mtoto mwanaume,yesu ni mungu na ni roho isiyoenekana, mwili ulionekana wa binadamu sio yesu mwenyewe,huo ni mwili tu ila yesu ni roho
Sijawai sikia mtu anayesema kuna mungu watatu,hata waindi na wachina wanajua kuna mungu mmoja tu,Sasa hilo swali gani. Ungeuliza je Kuna Mungu mmoja katikati utatu?
Nakukubali sana mwalimu respct
Mbona kama huyu mch ni mniikolai maana mafundisho yake yafanananao