MZEE WA UPAKO HAYO MAPENDO ( Official Song )

Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Пікірлер: 27

  • @alanalexanderntuule6262
    @alanalexanderntuule6262 Жыл бұрын

    Mzee wa Upako Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana..Ameeen

  • @SenorinaMselle-uz8lg
    @SenorinaMselle-uz8lg Жыл бұрын

    Asante Mungu kutupa mtu huyu

  • @symohsakani
    @symohsakani Жыл бұрын

    Nilianza na mungu nitamaliza na mungu.....Haleluuuyah barikiwa mchungaji

  • @frankmhenga2907
    @frankmhenga29072 жыл бұрын

    Ndiyo kamanda Wa yesu

  • @torathkabelege6648
    @torathkabelege66482 жыл бұрын

    Amina sana 🙏

  • @joycendowo683
    @joycendowo683Ай бұрын

    Nyimbo zinaupako sana hizi. Barikiwa nababa.

  • @NuruMintanga
    @NuruMintanga22 күн бұрын

    AMEEN BABA 👏👏👏👏🙏

  • @nurusalum6729
    @nurusalum6729 Жыл бұрын

    MUNGU mwaminifu💯🙏🏼👏👏👏

  • @emmanuelmbulile1773
    @emmanuelmbulile17733 жыл бұрын

    Ubongo kid

  • @gracemlelwa4383

    @gracemlelwa4383

    2 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba kwa huduma njema

  • @alanalexanderntuule6262
    @alanalexanderntuule6262 Жыл бұрын

    Nishuhuda yangu naitoa yaani nilikuwa 0 🤔kabisa lakini kwa sasa Mungu kabariki maduka 3 na bado nazidi kubarikiwa nipo Gongolamboto Dar es salaam. WATASHINDANAAA LAKINI HAWATASHINDAAA ALELUHYAA

  • @paulkomba9972
    @paulkomba99722 жыл бұрын

    Nyimbo zako zinanibariki sana mtumishi wa Mungu

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42303 жыл бұрын

    Amina sana👏👏

  • @erasmomhagama5893
    @erasmomhagama58933 жыл бұрын

    Ameen nabarikiwa sana Baba

  • @swimamasumira7261
    @swimamasumira72613 жыл бұрын

    Mchungaji wangu wewe ni chaguo la Mungu

  • @ismailihaji3212
    @ismailihaji32124 жыл бұрын

    Mwaminifu Mungu wetu. Ameeen

  • @georgelekwasa3123
    @georgelekwasa31233 жыл бұрын

    Nakuelewa Sana'a Mzee wangu napenda sana kipaji chako naomba mungu na mm anijarie Mara saba zaid

  • @tumainsawe7525
    @tumainsawe75254 жыл бұрын

    Simbaaaaa

  • @fredrickjonasmuhumpa604
    @fredrickjonasmuhumpa6044 жыл бұрын

    Anameremetaa anang'ara ng'ara

  • @bonifacekaberege6508
    @bonifacekaberege65083 жыл бұрын

    Amina baba. Nakupenda sana unanibariki

  • @yahyaabdul9071

    @yahyaabdul9071

    3 жыл бұрын

    Nomaaa

  • @lilianemanuel2928
    @lilianemanuel29284 жыл бұрын

    yanizunguka kama bahari haleluyaa

  • @martinaelia1768
    @martinaelia17683 жыл бұрын

    Baba yangu nakupenda sana uishi miaka mingi ubarikiwe tunakupenda 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿💕

  • @martinaelia1768
    @martinaelia17683 жыл бұрын

    Amen

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily42624 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba🙏🙏

  • @medadiissa324
    @medadiissa3243 жыл бұрын

    Anzisha band yako uwe unaimba na kuingiza sokoni kabisa wengi tuzipate

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara93104 жыл бұрын

    Fire 🔥 🔥🔥🔥