MZEE WA UPAKO HAYO MAPENDO ( Official Song )
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Пікірлер: 27
Mzee wa Upako Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana..Ameeen
Asante Mungu kutupa mtu huyu
Nilianza na mungu nitamaliza na mungu.....Haleluuuyah barikiwa mchungaji
Ndiyo kamanda Wa yesu
Amina sana 🙏
Nyimbo zinaupako sana hizi. Barikiwa nababa.
AMEEN BABA 👏👏👏👏🙏
MUNGU mwaminifu💯🙏🏼👏👏👏
Ubongo kid
@gracemlelwa4383
2 жыл бұрын
Ubarikiwe baba kwa huduma njema
Nishuhuda yangu naitoa yaani nilikuwa 0 🤔kabisa lakini kwa sasa Mungu kabariki maduka 3 na bado nazidi kubarikiwa nipo Gongolamboto Dar es salaam. WATASHINDANAAA LAKINI HAWATASHINDAAA ALELUHYAA
Nyimbo zako zinanibariki sana mtumishi wa Mungu
Amina sana👏👏
Ameen nabarikiwa sana Baba
Mchungaji wangu wewe ni chaguo la Mungu
Mwaminifu Mungu wetu. Ameeen
Nakuelewa Sana'a Mzee wangu napenda sana kipaji chako naomba mungu na mm anijarie Mara saba zaid
Simbaaaaa
Anameremetaa anang'ara ng'ara
Amina baba. Nakupenda sana unanibariki
@yahyaabdul9071
3 жыл бұрын
Nomaaa
yanizunguka kama bahari haleluyaa
Baba yangu nakupenda sana uishi miaka mingi ubarikiwe tunakupenda 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿💕
Amen
Ubarikiwe baba🙏🙏
Anzisha band yako uwe unaimba na kuingiza sokoni kabisa wengi tuzipate
Fire 🔥 🔥🔥🔥