kipindi cha sifa na kuabudu

Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Пікірлер: 25

  • @juniormollel5933
    @juniormollel59333 жыл бұрын

    Barikiwa mnooooo Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo unazomwimbia za kumtukuza Mungu

  • @marymaurice8571
    @marymaurice85712 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe baba Nipo pamoja na kanisa la grc Nabarikiwa Sana na kazi zako Na nyimbo sichoki kuzisikia Nabarikiwa sana Tena Sana tu

  • @priscakomba6927
    @priscakomba69273 жыл бұрын

    Amina, Amina sana

  • @nurusalum6729
    @nurusalum6729 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki BABA MCHUNGAJI 🙏🏼

  • @martinaelia1768
    @martinaelia17683 жыл бұрын

    Ubarikiwe milele baba uliniombeaga wakati nipo Tanzania na wewe ndo ulonifanya niokoke! Cchoki kutizama pia ibada zako zote shukrani sana sana Baba Mzee wa upako, Naamin unqpoimba mm napokea uapako baraka ktk kila eneo la family yangu 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @alanalexanderntuule6262
    @alanalexanderntuule6262 Жыл бұрын

    God Bless you

  • @rojazgabriel8029
    @rojazgabriel80294 жыл бұрын

    Balikiwa mtumishi wa mungu

  • @oscanyakunga9674
    @oscanyakunga96744 жыл бұрын

    Mungu yumwema zaidi

  • @lucasmichael2009
    @lucasmichael20094 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na uimbaji wako mchungaji..

  • @mhs-thehydraulicsolutionsf7243
    @mhs-thehydraulicsolutionsf72433 жыл бұрын

    Wow

  • @ismailihaji3212
    @ismailihaji32124 жыл бұрын

    Mungu amekup aina fulan y uimbaj ambao unaleta hali ya kiMungu au upako was Mungu unaokufany MTU ufanye maombi. Ubarikiw Mtumish was Mungu

  • @hillarymsoffe4808
    @hillarymsoffe48083 жыл бұрын

    Amen amen amen hallelujah

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42304 жыл бұрын

    Safi sana iyo👏👏👏👏

  • @mathiuspeter2623
    @mathiuspeter26234 жыл бұрын

    Nakukubaki Baba wangu wa kiroho

  • @yahayamartin3301
    @yahayamartin33013 жыл бұрын

    Amina

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily42624 жыл бұрын

    Barikiwa dady

  • @godlizeniteete7249
    @godlizeniteete72494 жыл бұрын

    Ameni aleluya

  • @ashanauke7724
    @ashanauke77243 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @anithajohn8503
    @anithajohn85034 жыл бұрын

    Dah uyu mzee kama kaniroga😍

  • @medadiissa324

    @medadiissa324

    3 жыл бұрын

    Unawaza uchawi tu

  • @magrethmasaki7850
    @magrethmasaki78504 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @gracemlelwa4383

    @gracemlelwa4383

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @emmanueljoshua5060

    @emmanueljoshua5060

    4 жыл бұрын

    Mungu akulinde naakujalie nakukuinuwa zaidi nabalikiwa sana na huduma yako Baba.

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi49693 жыл бұрын

    Popote nitakapokua siachi kukukumbuka baba yangu uliniombea nikajenga nyumba

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42304 жыл бұрын

    Safi sana iyo👏👏👏👏