kipindi cha sifa na kuabudu
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Пікірлер: 25
Barikiwa mnooooo Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo unazomwimbia za kumtukuza Mungu
Bwana yesu asifiwe baba Nipo pamoja na kanisa la grc Nabarikiwa Sana na kazi zako Na nyimbo sichoki kuzisikia Nabarikiwa sana Tena Sana tu
Amina, Amina sana
MUNGU akubariki BABA MCHUNGAJI 🙏🏼
Ubarikiwe milele baba uliniombeaga wakati nipo Tanzania na wewe ndo ulonifanya niokoke! Cchoki kutizama pia ibada zako zote shukrani sana sana Baba Mzee wa upako, Naamin unqpoimba mm napokea uapako baraka ktk kila eneo la family yangu 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
God Bless you
Balikiwa mtumishi wa mungu
Mungu yumwema zaidi
Nabarikiwa sana na uimbaji wako mchungaji..
Wow
Mungu amekup aina fulan y uimbaj ambao unaleta hali ya kiMungu au upako was Mungu unaokufany MTU ufanye maombi. Ubarikiw Mtumish was Mungu
Amen amen amen hallelujah
Safi sana iyo👏👏👏👏
Nakukubaki Baba wangu wa kiroho
Amina
Barikiwa dady
Ameni aleluya
🔥🔥
Dah uyu mzee kama kaniroga😍
@medadiissa324
3 жыл бұрын
Unawaza uchawi tu
Ubarikiwe sana mtumishi
@gracemlelwa4383
4 жыл бұрын
Amina
@emmanueljoshua5060
4 жыл бұрын
Mungu akulinde naakujalie nakukuinuwa zaidi nabalikiwa sana na huduma yako Baba.
Popote nitakapokua siachi kukukumbuka baba yangu uliniombea nikajenga nyumba
Safi sana iyo👏👏👏👏