MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Музыка
MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
SHORT AND CLEAR NI NYIMBO AMBAYO INAELEZEA MAISHA YA BWANA WETU YESU KRISTO HASA LAKINI ZAIDI IMEJIKITA KATIKA JINSI AMBAVYO ALIKUA ANAULIZA NA KUJIBU MASWALI .
USISAHAU KU SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUPOKEA NOTIFICATION YA VIDEO MPYA KUTOKA KWANGU MUNGU AKUBARIKI
Пікірлер: 1 000
NDUGU ZANGU NAWASHUKURUNI SANA SANA, ASANTENI KWA PONGEZI, NAMI NAFANYIA KAZI KILA USHAURI MLIONIANDIKIA!! MUNGU AWABARIKI KWA KUNIHESHIMISHA, NAWATAKIA MEMA!!
@janesamwel8307
5 жыл бұрын
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana na Mungu azidi kukuinua
@christophermtabi2809
5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi..hakika nyimbo zako zinanibariki hapa dodoma.
@ambanndola9109
5 жыл бұрын
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana mgaya kwa kazi nzuri
@willey_brandtrue9966
5 жыл бұрын
Short and klia
@habaribongo3611
5 жыл бұрын
BE BLESSED MJUKUU WA MUNGU
Jamani KZread wafanye tuwe tuna like Mara kumi
Wanao penda hii nyimbo kama mimi wagonge like hapa tujuane!
@kulwamalole5127
5 жыл бұрын
Irumva Donciella Kanum! B
@irumvadonciella6960
5 жыл бұрын
Unataka kucheza kigalatia😂😂
@tinanaiwemkeko4549
4 жыл бұрын
Masanja ww ni mbunifu Mungu akutunze
@michaelalex2124
4 жыл бұрын
Irumva Donciella p
@kahoribonga9280
4 жыл бұрын
Hime ni fundisha vingi sana Mungu ambariki sana
Kama umeipenda hii nyimbo kama mm plz gonga like...short & clear
Kupitia wimbo huu ,,unapelekea kukumbuka maneno ya Yesu gonga kukubali(though this song influence to remember the words of Jesus click like)
@paschaldume1015
5 жыл бұрын
Duh! Haposawa endelea mbele
@bitricemunice1520
5 жыл бұрын
Dah kweli we jamaa Ni shida nimeurudia Hadi nimeishiwa bando short Anadclear barikiwa sana
@ellymaz2187
5 жыл бұрын
Nimefurahi umesema "Wimbo huu na siyo Nyimbo hii" kama wasiojua kiswahili wanavyosema. Najisikia kichefuchefu kusikia "Nyimbo hii"
uyo ndio masanja mbunifu anatoa kile usicho kifikilia
@janethmgogosi5334
5 жыл бұрын
masanja nimeikubali nyimbo yako
@upendoignas5014
5 жыл бұрын
mikasa tv kweli Kabsa
@ivancharlespaul8652
5 жыл бұрын
Unaonaje ukiigiza full movie ya yesu gonga like hapa
@jaggaludegula6826
5 жыл бұрын
Umeona eeeeh
Sikutazama kabla huu wimbo nimetazama Leo ni zaidi ya wimbo pia nizaidi ya filamu so ubunifu mzuri sana MUNGU akubaliki kwa aina ya ubunifu wako injili lazima isonge mbele.
Dah safi sana mtumishi wa Mungu nimependa wimbo
kama umerudia mara mingimingi kama mimi gonga like tujuane
Kupitia wimbo huu nimejifuza mengi sana ubarikiwe sana
Masanja wewe ni baraa katika nyimbo zako zote hii ni komesha nikiisikiliza najisikia vizur na haka kabeet kazuri Sana utafikili watu wa Kenya Mungu akubaliki Sana Kama umebalikiwa sema amina
Kama utaiangalia 2020 gonga like APA chin⬇️⬇️
daaa kwel umezaliwa na ubunifuuuu gonga like hapa
@protasndunguru7205
5 жыл бұрын
short and clear😂😂😂😂😂😂😂🙏🏽
Mzee huu wimbo mie niliuona tu,,, nikajua nomaa. ...umeua sana masanja, ,, gonga like twende zetu
daah aise nibonge la ngoma nimebalikiwa kabsa
All of you who are watching this video be blessed and inspired Thanks masanja be blessed bro
@leoniabeda2711
5 жыл бұрын
Aamen mtumishi maneno ulioyoyatumia nimeyaelewa saaaana
Hiv kwa nn tusiwe na sinema ya Yesu ya Kitanzania, ni wazo tu, after all Yesu hakuwa mzungu alikuwa ni brown
@philemonpaulo1790
3 жыл бұрын
Yesu alikuwa?
honger mtumishi wa mungu!
Barikiwa mtumishi imebarikiwa namahubiri yako
je ni halali kuangalia huu wimbo mara kumi SHORT AND CLEAR
@liliansimon8736
5 жыл бұрын
de mau TV Hahahahhahahha
@salmamaulid6961
5 жыл бұрын
de mau TV mi mwenyewe kila nikipata MB nauangalia
Lakini masanja akili zako Mungu ndio anazijia mwenyeweeee aiseee stay blessed broo
@kulwamalole5127
5 жыл бұрын
Nelson shukran w Wanyama
Hongera sana mtumishi wa Mungu zidi kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana atakupeleka viwango vingine vya juu na kukupa mafunuo mapya ya kujenga ufarume wa mbingun ubarikiwe
Daaaaah sijawahi kuipenda nyimbo kama hivi. Kaka ubunifu mzuri midudo ya tofauti na ujumbe unanivutia nizidi kusoma biblia zaid nijue kuhusu Yesu
Nategemea kuona viewers 5M na zaidi
@pendosammy5984
5 жыл бұрын
nyimbo iko tamu atafikisha
Good job ....My God bless you !!! brother Masanja mkandamizaji toka nikujue hujawahi niangusha.
Cheza kiyunani kama mimi au siyo pamoja sana masanja
Naam,,,, chezakigalatia, au kiyaudi short and clear, basi kiyunani, nauzidi mtumwa wa Bwana.🇹🇿
Short and clear kweli . Likes basi ili twende sawa
Haaaaaa haaaaaa oyaaa wee Anae mkubali huyu jamaa agonge like hapa
@gracedelence9163
5 жыл бұрын
Kwani ilifikaje hapa?
Wimbo naupenda sana yaani nimerudia kama mara Mia ivi from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 much love brother
Yesu alisema jitieni nira yangu na mjifunze kwangu .......sasa mbona nyinyi hamvai mavazi mkafanana na yesu.....instead waislamu ndo....
Daaaaah bonge la song. Miaka kama yote nakuelewa sana.hapa nacheza kigalatia,. Kiyaudi, na kiyunani
@upendosilayo1548
5 жыл бұрын
Hahahahaaa
@emanuelmarko8433
5 жыл бұрын
Yaaaani hapa ni shangwe tu
@DiCulture
5 жыл бұрын
Bro,we first kwa comment yako
@heppyshila31
5 жыл бұрын
@@DiCulture ni fireeeee
@DiCulture
5 жыл бұрын
@@heppyshila31 💃
Tunahitaji vitu kama hivi katika tasnia ya Mziki wa Injili🙏Saafi kabisa Masanja God Bless You🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Feelfreechurch
5 жыл бұрын
Sam Marcus Asante Sana
@modesterandrew6865
5 жыл бұрын
Mbarikiwe kazi yenu ni njema
@nuhumkeya8256
5 жыл бұрын
masanja umetisha hii niite tz one kwa jina la yesu
Mungu aliejuu azid kukuinua zaid maana nimeamin Mungu anakutumia sawasawa barkiwa sana short And clear
Huu wimbo umenifanya niache mambo ya kidunia na kumludia mwenyez Mungu
Kama unamkubari masanja gonga like
Uliimba yimbo nyingi tena nzuri ila huu nikiboko yao ....... barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Ujumbe huu umefika 🙏
aisee Masanya yaani unazidi kumuaibisha shetani . safi sana MUNGU ndio anakuongoka maana kazi unazofanya sio kwa uwezo wako . na mwanadamu yeyote pasipo mungu haiwezi hio kazi .
kwakwel ulichokifanya Masanja Mungu ndo anajua. Make naipenda hii nyimbo mpaka nataka kulia.schoki kuangalia kila Mara. Barikiwa sana bro
I am in Kenya I have appreciate it. Be blessed brother.
Kama umetabasamu au kucheeeka kama Mimi gonga dole LA like plz
Hii ndio kali ya Mwaka. Hakika umevunja rekodi kwa hii Song na Video. Hafu napafananisha na maeneo ya Mwanza hayo mawe na ziwa. Kazi nzur sana nimeipenda hakika kipawa unacho duuh
Masanja wewe hakika Ni star mbunifu sanaaa, Kumbe unaweza ukaigiza Move ya Yesu vizuri na watu wakawaelewa Sana ila tu unatumia lugha staha isiyo na matani ndani Yake, Pia Unaweza ukaigiza Move mbali mbali zinaweza zikawa fupi fupi kwa lengo la kufundisha zinazotoka kwenye BIBLIA from Old to New testament!
Ulieangalia kwa kurudia gonga like
@ombolezombwanji9748
4 жыл бұрын
Nakupenda sana was kunyumba hongera sana
Jamani masanja.. iyo biti ya kijaluo😁😁
@jaelnalindi7488
5 жыл бұрын
Jama,jama! katitu za kiluo kabisaaa Short and clear.
we masanja japo wimbo umenibariki ila nimekuwa nikicheka kuanzia mwanzo wa wimbo mpaka mwisho nimekuelewa nivile tu nawe unielewe short and clear.we bonge la mbunifuu barikiwaaaaaaaa shoti endee kiliaaa.
Masanja ur fabulous na mm naomba like yangu
Nyimbo hii unaweza ikakushikia dhamana polisi,n mahakaman Yote kwa yote nyimbo nzuri Sana m bunifu sana wee mtu
Eeeh Mwenyezi Mungu tujalie vinywa visivyo na maneno mengi Kama Bwana wetu Yesu kristo.... yaani Short and clear... Asante mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya
@youngelias1717
5 жыл бұрын
Noma sans
Wanaume wakiwa katika mavazi halis ya kiume.... nimebarikiwa sana na wimbo huu
Nakukubali sana masanja ila kuinga mambo ya yesu umekosea sana ila nitazidi kuwa wako daima
Huu wimbo ni zaidi ya ubunifu! Endelea kubarikiwa pastor
@getrudakikula7723
5 жыл бұрын
Kinyamagoha Amelye T
Dah Ila Nakuelewa sana, unaisambaza Injili kwa aina yake kabisa. Mungu na akuinue.
Nyimbo unazozitoa mgaya hua sichoki kuzisikiliza, ubarikiwe zaidi ndugu
Mzeee umetish bonge la bit nimelipenda
Kama unairudia-rudia hii kui wochi mwanawane gonga like Nikuone (Short and Clear) uwiii hahaha tomaso nimependa naonaaaa....
Safi sana masanja nyimbo ya ubunifu na kuitangaza injili video nzuri sana kabisa ya uwalisia kweri kipaji chako kizuri sana
Huwa nakuelewa sana street pastor Masanja hongera kwa guwimbo guzuri mwanawane ubunifu wako umejitofautisha sana
I love this song i will be waiting for the full movie who else thinks this should be a movie 🙌🙋 😍😍😍😍😍😍
Umeitendea haki kaka.....hongera pia kwa director onessimo
Unaticha sana wangu ubarikiwe
Jamani Mungu akubariki Emanuel nimeuona Leo tu nakujihisi kama nakumbuka kitu flani cha zamani
Hiyo cheza kigalatia imeniacha hoi sana BE BLESSED MASANJA
Hahahaaaa! Step ya kiyunani sijaona mtumishi. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa ujumbe huu wa injili.
@JoseJose-ww3mn
5 жыл бұрын
Masanja noma
@hasinamohammed6469
5 жыл бұрын
Yani nguo za kiislam. Na vilemba kumbe muonekano uislam toka enzi na enzi.mabadiliko yamekuja nyuma tu
😚😃😃Mungu akubariki sanaaa.
Hongera mtumishi nimefurahishwa kile Mungu ameweka ndani yako,safi sana
Haya wajina, mungu akubariki bro, kwa kazi nzuri hakika ujumbe umefika
Kaka hongera nimvivu kukoment ilahii OK big up to you brother
@kephamapogo5333
5 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii ila tutungie nyingine ya Ibada ya Elia na Manabii wa Baali
Daaaah baba umetisha sana yan sikutegemea kitu kama hiki toka kwa MUNGU akuinue zaidi..
Wooooow uyoo ni ye ye yesuuuuu ni ji ji ji Jesus nimeupenda brother bllesed
😘😘😘 i love this song short and clear
@elicemmbuji4796
5 жыл бұрын
Uko vizur Sana
Daaaaah jaman Bro. Masanja aiseee kazi njema sana😂😂😂😂. **KUBALI TU**
Aise huu wimbo mzuri sana yan unafuraisha na ina ujumbe mzuri ndani yake nice song
Hahahahha ,dah wimbo mzuri sana sana sana,yan napata msg huku naburudika kwa kucheka SHORT AND CLEAR. Dah masanja we kiboko
@kulwamalole5127
5 жыл бұрын
Happyness Sulle ftby 6&h)
@hildamuhadi8971
5 жыл бұрын
Safii nzur
Wangapi wamekuja kuona nyimbo baada ya kuona mavazi tu...??
Hii kweli #masanja ni injili mpya kwa kizazi kipya nime barikiwa na nime Cheka nilikuwa na stress nyingi
Hii ndo nyimbo ya masanja bora kabisa kuwahi kutengeneza. Hongera sana
mh Allah wondoe waja wako katka ukafiri
@anthonymuhando826
5 жыл бұрын
Umeonaaa
@florakabado3543
4 жыл бұрын
Wewe achana na sisi,beba mzingo yako mwenyewe
@roseibrahim6653
4 жыл бұрын
Tulia wewe Mungu hafundishwi kazi na mwanadamu,kafiri unamuona wewe ila Kwa Mungu ni mtumishi wake na anamuheshimu.
@teresiaraurent3803
3 жыл бұрын
Amina
Powa sana mchungaji
Hakika masanja umefanya ubunifu mkubwa. Hongera Sana Mungu azidi kukuinua
Jamaa anajitahidi kutafuta pesa za wasio jijua zinaingia mfukoni mwake ..hongera kwa ubunifu wa kurafuata pesa
god bless you brother i can't stop listening this song short and clear from united states
Kaka we ni mmbunifu sana, na unaakiliiiiiiiiiii,,,, nimaombi yangu kwa Mungu asikupite na uishi miaka mingii, maaaana naenjoi saaanaaa na kazi zakoo.
Dah hivi brother unapoandika lisongi hua unakua kwenye mood gan maana ni very short and clear
Big up sana brother #mgayaemanueli you are so creative and you will always remain on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wow wow wow! Short an Clear Glory an Honour to u Jesus
@lucykanuti6138
5 жыл бұрын
Hakika masanja Mungu azidi kukuinua
@kisangileabdallah3163
5 жыл бұрын
Levina Muhonge nic
hongera Sana waliobadilisha huu na kuwa wa gospel naamini sas nitakuwa nausikiliza Kama gospel na sio beat ya kidunia dah mungu ni mwema kahamisha wimbo niloufuta akanidushia Tena mungu akubarik masanja
Nimebarikiwa.sanaaaaaaaa
So creative and inspiring... The whole Bible is summarized... Great job Masanja. From 254... Mob love
kuna jamaa amefananà na Petro wa film ya Jesus hahaha
@cpahappyjonas9676
5 жыл бұрын
kuna mtu hapo kafanana na yule mgelesi
Naona mpaka mjomba yesu anagonga sebene safi sana
Mungu akubariki ila nimecheka maana sikutegemea na mdundo wenyewe n ule wa kule kwa jiran zetu ujaruoni
Stay on Bless Pastor Masanja. Nakukubali
Shoot And Clear Nice Songs
Waaaaaoh Masanja ubarikiweeew
Umetisha sana Masanja mkandamizaji. Wewe ni noma sana. Ni mbunifu wa kutisha. Nimeusikiliza wimbo ni mtamu haswa.
Nyimbo ya 1878 naiskiliza today 2019 mwanawane
Short and clear
Nakupongeza San Kaka mungu akujarie zaid umebuni kitu kizur San hongera san
#masanja #mkandamizaji bwana YESU aimidiwe