MZEE WA UPAKO | Manabii Wachungaji Sio Huduma Ya Kukimbilia | Mchungaji Antony Lusekelo
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZread Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Пікірлер: 13
Amina 🙏🏿 MUNGU akubaliki Sana mzee wetu
Nakuelewa sanaa
Asantheee mchungaji,,,,kila ninapotaka kuanguka mahubir yako yananiinua tena
Amina sana baba
Nakukubali sana mtumishi
Nakukubali mwamba wa injili
Mchungaji fungua tawi mwanza
Nakubali mtumishi
Wanaojiita watumishi wa Mungu mmejaa wivu na kiburi Kwan si ufanye yakwako uliyoitiwa Kwan unadhan unaweza kupendwa na watanzania wote Kuna wajinga wakwako na Kuna wajinga wa mtu mwingine kula Shiba nenda choon huna kitu Cha tofauti na wengine
Nabii hana kanisa.
@goldensensemedia.7906
2 жыл бұрын
Huo ni uongo mkuu.
Mkuu unatudanganya kweupe, kasome 1 Samweli 9:7 na kuendelea. Utamuona Sauli akipeleka Sadaka kwa Samweli. Huo ni mfano mdogo tu. Fundisheni neno acheni kutafuta ujiko wa kupondana na kuchafuliana huduma kwani ninyi Wote mnafanya kazi ya Mungu.
@Najdi358
2 жыл бұрын
Kwan ww unamfuata Sauli au unafuata mafunzo ya Yesu, hebu isomeni bibilia vzr maana yesu hajaja na bibilia, sasa jiulize ni nani aliye kujana bibilia baada ya injili, inamaana Yesu yy hana akili hata akafundusha injili, alie kwambia mutumie bibilia nani