MZEE WA SALUTE: THANK YOU YA MIQUISSONE IMENINYONG'ONYEZA | AWATAJA WANAOTAKIWA KUONDOKA KIKOSINI.
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 14
Nyie mashabik na wapenzi vijana mnayumbisha TIMU mnaongea sana na ivo viTv vyemu
Forward mpya Katili ni muhimu sana. Jobe apewe Thank you!!!!??? Pia katikati No 6 asilia asajiliwe, beki atakayechukua nafasi ya Inonga apatikane na wasaidizi wa Kapombe na Mohammed Hussein wapatikane ili na wao waanze kushindania nafasi. Kuachwa kwa Miquison ni sawa kwa sababu ya gharama yake na performance yake msimu uliopita! Japo ana kipaji.
Bonge la mchezani Simba wamemwacha miquisson atakumbukwa daima .
Mze wa salitu upo sawa juu ya mtadhamo wako
Interview imeanza asubuhi hadi usiku kisha hatuelewani kilichoongelewa.... 😊
Kimbe na ww mzee wa salut kumbe hujui hata mpira na bado unataka ukurugenzi wa mapenzi na wanachama
ubora umepungua kwa ubora wa awamu ya kwanza
Mpeni senkyu Ngungu.
Hata Mimi nimeogopa
Miquison kaponzwa na mkataba wake,akifunga dollar 200,akitoa pass ya goli dollar 100,viongozi wakatoa maagizo asicheze ataitia gharama simba,miquison bonge la mchezaji
Miqson akaricava akikaa sawa atarud
hamna kitu hapa ni muda sana viongozi wamewafuata mashabiki sasa basi sisi tunachohitaji mpira
Eti mzalamo wa Simba nimecheka kwa sauti
Ujinga miquisson hata mm imeniuma that's was Simba era like Sako fck dis