MZEE WA SALUTE: THANK YOU YA MIQUISSONE IMENINYONG'ONYEZA | AWATAJA WANAOTAKIWA KUONDOKA KIKOSINI.

Спорт

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 14

  • @ahmadmasoud1350
    @ahmadmasoud13507 күн бұрын

    Nyie mashabik na wapenzi vijana mnayumbisha TIMU mnaongea sana na ivo viTv vyemu

  • @LeapaRoine
    @LeapaRoine6 күн бұрын

    Forward mpya Katili ni muhimu sana. Jobe apewe Thank you!!!!??? Pia katikati No 6 asilia asajiliwe, beki atakayechukua nafasi ya Inonga apatikane na wasaidizi wa Kapombe na Mohammed Hussein wapatikane ili na wao waanze kushindania nafasi. Kuachwa kwa Miquison ni sawa kwa sababu ya gharama yake na performance yake msimu uliopita! Japo ana kipaji.

  • @romananselimi2433
    @romananselimi24337 күн бұрын

    Bonge la mchezani Simba wamemwacha miquisson atakumbukwa daima .

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor7 күн бұрын

    Mze wa salitu upo sawa juu ya mtadhamo wako

  • @user-iw3kb4kk6d
    @user-iw3kb4kk6d6 күн бұрын

    Interview imeanza asubuhi hadi usiku kisha hatuelewani kilichoongelewa.... 😊

  • @bauchahamad5333
    @bauchahamad53337 күн бұрын

    Kimbe na ww mzee wa salut kumbe hujui hata mpira na bado unataka ukurugenzi wa mapenzi na wanachama

  • @mwanawagurti4959
    @mwanawagurti49597 күн бұрын

    ubora umepungua kwa ubora wa awamu ya kwanza

  • @ExpeditusMpulu
    @ExpeditusMpulu7 күн бұрын

    Mpeni senkyu Ngungu.

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15107 күн бұрын

    Hata Mimi nimeogopa

  • @user-no5xr7qc8y
    @user-no5xr7qc8y6 күн бұрын

    Miquison kaponzwa na mkataba wake,akifunga dollar 200,akitoa pass ya goli dollar 100,viongozi wakatoa maagizo asicheze ataitia gharama simba,miquison bonge la mchezaji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u6 күн бұрын

    Miqson akaricava akikaa sawa atarud

  • @alphoncelushinge1120
    @alphoncelushinge11207 күн бұрын

    hamna kitu hapa ni muda sana viongozi wamewafuata mashabiki sasa basi sisi tunachohitaji mpira

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi1487 күн бұрын

    Eti mzalamo wa Simba nimecheka kwa sauti

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i7 күн бұрын

    Ujinga miquisson hata mm imeniuma that's was Simba era like Sako fck dis

Келесі