DR.MO SIMBA IMEMSAJILI KOCHA IBENGE/MKATABA WA MIAKA 2/MSHAHARA MILIONI 120

Спорт

Пікірлер: 19

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta82604 күн бұрын

    Dr.Mo mm nakukubali sana broo akili nyingi sana nakuombea siku Moja uwe mwenyekiti wa Simba yaani unahakiki nyingi mnomno congrats bro

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta82604 күн бұрын

    Ipoa cku utakua na NAFASI kubwa sana ila kwenye usajili na mtazamo wa mapungufu ya wachezaji nakukubali kaka

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta82604 күн бұрын

    Ingekua ni uwezo wangu hapo simba we jamaa ungekua na NAFASI kubwa sana

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq5 күн бұрын

    Big brain 🧠 doctor

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio91294 күн бұрын

    Ibenge sawa na Robertino

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita39854 күн бұрын

    Manura aondoke tu

  • @liliansahan5770
    @liliansahan57704 күн бұрын

    Kifungo kimeisha😃😃😃

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani26424 күн бұрын

    Huyu jamaa si kafungiwa au?😂

  • @marukawekesa4926

    @marukawekesa4926

    4 күн бұрын

    Alijiuzulu wadhifa fulani ... Simba VIP A... NDIO alifunguwa na Aggy Simba

  • @user-ez2ws1le3n
    @user-ez2ws1le3n5 күн бұрын

    We hamna kitu si yanga

  • @marcobulili4341
    @marcobulili43414 күн бұрын

    Vikombe vya Simba! ni vipi hivyo?au umekosea ni vya ligi? Heshimu mabingwa wako wa ligi mara 30

  • @saimonntani6831

    @saimonntani6831

    4 күн бұрын

    Yanga Nbc haeajachukiwa mara30 Bc limeanzishwa mwakagni?

  • @Sanjey-vp1fm

    @Sanjey-vp1fm

    4 күн бұрын

    Haya mabingwa mara 30, kwaiyo?

  • @davidsimbeye1548

    @davidsimbeye1548

    4 күн бұрын

    Huwa najiuliza ni kwa nini timu moja inashabikiwa na watu wenye akili zinazofanana?

  • @marcobulili4341

    @marcobulili4341

    4 күн бұрын

    @@davidsimbeye1548 ni sawasawa tu na timu nyingine inavyoshabikiwa na akili za kulandana.

  • @marcobulili4341

    @marcobulili4341

    4 күн бұрын

    @@Sanjey-vp1fm akili ni nywele!

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z4 күн бұрын

    Huyu jamaa si amefungiwa mbona anaendelea kujihusha na klabu ya SIMBA?

Келесі