GB 64: Naisubiri 'Thanks You' ya Jobe, Chama miaka miwili Simba, tunamtaka Aziz KI
Shabiki wa Simba maarufu 'GB 64,' ametoa mtazamo wake kuhusu maboresho ya kikosi hicho katika kipindi hiki cha usajili, akidai kuwa anatamani kusikia mshambuliaji, Pa Omar Jobe akipewa mkono wa kwa heri kwani kiwango chake kinazidi kushuka na hana mchango tena ndani ya kikosi hicho msimu ujao 2024/25.
Hata hivyo, anatamani kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI awe miongoni mwa mastaa wa Wekundu wa Msimbazi, huku akitamba tayari kiungo wao Clatous Chama, ameshasaini miaka miwili kuitumikia timu yao.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Пікірлер: 37
Sio shomari law anaitwa lameck law na simba hakuna mchezaj anaeitwa Muhammed hamisi anaitwa abdallah Khamisi we mshabik gan Ambae huwajui wachezaji wa timu yako unanifikirisha sana
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉❤❤❤
Wow, the editing skills are on point!
Huyu Mtangazaji
Mwandishi hana maswali ya kuchimba tupate story iliyoshiba,
HAWA MACHOGO FC ADABU YAO TUMCHUKUWE AZIZI MAFUNGUWO 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Huyo unasema anaongea pumba haya lete madini yako tukusikie
Mdomo unamponza ndio maana uliwekwa ndani
Haikunifurahisha saido kuachwa yulekaka mpira anajuwa aanaweza
GB 64 waambie hao yanga mpaka AVIC TOWN wamefukuzwa wanadaiwa
@salimmalaka256
7 күн бұрын
DENI MPAKA MIKUNDUNI NG'OMBE WA SUPU MKOPO CHAPATI MKOPO 😂😂😂😂😂😂 MACHOGO FC HADI HURUMA
GB kichwa.
Lameck law kayeyuka haaahaaahaaa😂😂😂😂😂😂
@ambwenemwamwimbe153
6 күн бұрын
Bado wew tu kuyeyuka cjui unasubir nn
Na boko vp hana kabila lake au yeye ni mzungu mbona ilikuwa thank you
😂😂😂😂 mpiga kelele huyu...
@salimmalaka256
7 күн бұрын
MKILIPA DENI LA MILIONI 860 NA NYIE UTOPOLO MACHOGO FC MTAPIGA KELELE 😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
😂😂😂😅😅😅😅😅😅😊😂😂 Basi,inatosha 64GB,unawakera watu kuliko Manara!
Wanadaiwa mpaka kausha damu
@salimmalaka256
7 күн бұрын
WANADAIWA NG'OMBE WA SUPU CHAPATI MACHOGO HADI HURUMA 😂😂😂😂😂
Kama wew huli bangi mbichi ulijuaje kama yeye anakula nyani haoni kundure
@mwanangusana
7 күн бұрын
Acha kumtetea ..... Atasema mwenyew kama anatumia au hatumiii 😂
@mwanangusana
7 күн бұрын
1. Athuman idi chuji 2. Kelvin Yondani 3. Ramadhan wasso Sisi tumechukua wakiwa wanawahitaji .... Gb 64 huwa anapiga makelele 😂😂😂
@salimmalaka256
7 күн бұрын
@@mwanangusanaBORA BANGI MBICHI KULIKO MADENI 😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Hizi ni salam zangu kwako mwandishi kwanza ningependa kukusifia coz we ni mzuri na umependeza sana lakin sasa napenda kuchukua nafasi ya kukukosoa kwa madhaifu ulio nayo ili uyafanyie kazi jambo la kwanza mpangilio wa maswal yako hauko sawa pili haumpi nafasi ya kukuelezea yule unae mhoji yani unakua kama unapiga nae story tu tatu huna maswal ya msingi so fanyia kazi hayo mambo na utakua vzr
Mmeshindwa kumnunua Lawi hadi mnataka kumuiba mtamuweza Aziz Ki...huyu nae wamfatilie atakua anavuta masega ya gari🤔
@salimmalaka256
7 күн бұрын
AZIZI K TUTAMCHUKUWA KIULAIIIINI 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC NYIE
@user-mg1yl2rl8s
6 күн бұрын
@@salimmalaka256 Labda azizi lawi chogo na mikia fc nyie
@salimmalaka256
6 күн бұрын
@@user-mg1yl2rl8s MATOPOLO MACHOGOOOOOOOOO
Et havieleweki😅😅😅😅 bas mnataman kuskia chochote 😂😂😂😂
Wewe GB 64 unaongea sana halafu nimekuja gundua ni pumba huna uwezo wa kuongea lolote juu ya Yangu. Kuanzia leo nimekuona huna lolote
@salimmalaka256
7 күн бұрын
TULIZA KIJAMBIO HICHO MATOPOLO MACHOGO FC NYIE
UNAONGEA SANA
Bangi mbichi acha itakuzulu
@salimmalaka256
7 күн бұрын
NA NYIE MACHOGO ACHENI BANGI KAVU ZINAWATIA MADENI 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@proisolution7166
4 күн бұрын
GB 64 YANGA SASA HIVI WAPO LIKIZO,HAWAISHI NYUMBA YA KUPANGA, SIMBA NDIYO WANAANGAIKA MKATABA WA NYUMBA UMEISHA MWENYE NYUMBA ANATAKA NYUMBA YAKE SO WANAHAHA.HUYO DADA MNAMWONEA KAVAMIA FANI,CSE NI KAMA ANAJIFUNZA,NA HUYO POYOYO NDIE WALE UPELE UMEPATA MKUNAJI.