SERIKALI YASITISHA KAMATA KAMATA, UKAGUZI WA RISITI KARIAKOO, MGOMO UMEISHA
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@saidramadhan715 күн бұрын
Hongera sana kiongozi mkuu wa mkoa anatumia kufoka tu uongozi hauitaji ubabe
@josephkulija2935 күн бұрын
Pongezi nyingi sana kwa uamuzi wa Serikali kuweza kutatua mgomo huu kwa BUSARA na HEKIMA. Siku zote busara na hekima huleta ufumbuzi wa tatizo vizuri kuliko vitisho kutoka pande zote.
@alanusrespicius17965 күн бұрын
Charamila hajawahi kuwa kiongozi mzuri. Anakurupuka mno hatumii hakili
@israelkisaila8401
5 күн бұрын
Hajielewi huyo MHEHE,HUWA ANAKUWA KAMA MUHUNI WA MITAANI.😂
@leonidaskwigize18533 күн бұрын
We are continuing praying for our country so as peace can remain our pillar of livelihood
@JUBRANBULAYHl-yb4ke5 күн бұрын
Uadilifu na uadilifu kwa mabwana wa Afrika, wanaume na wanawake, vijana na wazee, kiapo cha yule aliyeteremsha Taurati, Injili, Mtengano, Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Mola wa Mitume na Muhuri. wa Mitume na Mitume, Muhammad, swala na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na ahli zake wote na maswahaba zake, kwa anayestahiki zaidi uadilifu na uadilifu kwake, licha ya kila dhalimu, dhalimu, na dhalimu na amani iwe juu ya Mola wetu Muhammad na aali zake na maswahaba zake wote, Amina, Mola wa walimwengu wote☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
@johnmalembo64645 күн бұрын
Mkiona mnatoa maamuzi wanayotaka wananchi baada ya kugoma. Basi ujue Viongozi waliopewa dhamana katika jambo Hilo ni wavivu kufikiria.
@IbrahimHassan-by5ym4 күн бұрын
ebu Tanzania tusi complicate mambo saaana, hilo soko la kariakoo walio wengi wateja ni sisi wanyonge, so mkijifanya kukaza mtatuuwaa, elekezeni nguvu kwenye mambo mengine sio saana kwa sehem hio, hamfaham kwanini wanagoma always migomo mnaboaaa😢😢
@user-up3kx4ju7m5 күн бұрын
Saf sanaa kiongozi umeeleza umeereweka co wanaoleta komedi
@whatisthetruth.87935 күн бұрын
Serekali hii inaongozwa na mabweha na mafisi . Raisi mwenyewe tundu la choo
@user-id6xo9td6k5 күн бұрын
Charamila asiende katika kadhia hizi,hana busara yule
@MauFundiElectronics5 күн бұрын
Yule mkuu wa mkoa anatumia cheo kwenye kuongea na sio kutumia akili kwenye kutoa maamuzi
@elioimer84235 күн бұрын
Siku zote mlikuwa wapi??? Wafanyi biashara na wananchi wameshajua dawa.
@DeoKimbe-gt4op4 күн бұрын
Mh mama anapenda amani asande mh raisi tunaomba kodi zote ziwekwe seemu moja tra lesenni ya maspaa ,zimamoto,maaliasili ,nk kondi ninyingi kilamoja anakuja na sheria zake kama inhi tofauti bado kodi ya pango tanesko maji mlizi takataka Tanzania kabla hujaaza bishara kwaza lipakodi alafu ukilipa kodi zote alafu fungungua bishara
@FurankoSimbeye5 күн бұрын
Hongera kiongozi kutuwakirisha
@aediayumgo85465 күн бұрын
Xhallamila tengua mama akalete comedy huko😅😅😅
@exaverysimon10645 күн бұрын
SAFI SANA NAONA KUNAMATAHILA YANABEZA UAMZI HUU
@yasiniSwedi-qg5oc4 күн бұрын
Wanaacha kukusanya kodi bandalini na migodni wnadilina wfnyabishala zakawaida
@minazsaid24704 күн бұрын
Chalamila anatumia ubabe kwa wananchi haipendezi
@minazsaid24704 күн бұрын
Kiongozi umeeleweka wasikilizeni wafanyabishara wa hoja za msingi
@jumashedafa5 күн бұрын
Hayo ndio maamuz sahih...mkuu wa mkoa alikuw anazingua
@bestman81824 күн бұрын
Hawa kariakoo wanadeka, tusipokuwa makini watatusumbua sana. Kwanza hizi biashara za kariakoo ni za kina nani? Usijekuta watu wanaojigomesha na kujitolea muafaka wenyewe.😅
@florencemeza65405 күн бұрын
Unajua hata ukilipa kodi pesa zonaliwa tu inakatisha tamaa wananeemeka WALAFI NA WEZI
@StanleyJ2145 күн бұрын
Raisi aaangalie watu anaowachagua maana wanamkosanisha na wananchi
@MusaOgwoko5 күн бұрын
Shida tu maneno mengi
@jeremiah901994 күн бұрын
KINACHOFUATA NI KWAMBA HATUMTAKI MKUU WA MKOA CHALAMILAAA HATUMTAKI APANGIWE KAZI NYINGNE
@mussakimaro55885 күн бұрын
Mueshimiwa rudia tena huku wafanya biashara hawajakuelewa
@maase20235 күн бұрын
Mpk wananchi waandamane ndio mnajua kuchukua hatua kweli tutafika hivi???
@jumannepaskary31825 күн бұрын
Haya yule mkuu wa mkoa alivyokuwa anatishia wafanya biashara haya yangepatiwaje muafaka
@user-xc5tv9dl5k5 күн бұрын
Acheni ujinga
@nomoboy1525 күн бұрын
Hizi kamati ndo zinachelewesha mambo kila kitu kinatakiwa kusolviwa ndani ya week tu .Ita viongozi wa wafanyabiashara kariakoo Ita watu wa TRA Ita watu wa Bandari Ita kila mtu leta watu wa biashara zungumzeni mpaka wote mtoke mmeelewana MOTHER FUCK
@majaliwabwitonde69005 күн бұрын
Kwa hiyo msipokagua EFD makusanyo yatafanyikaje?
@odilomwakamela4889
5 күн бұрын
Kwani kabla ya EFD walikuwa wanakusanya vipi mapato?, Je EFD ni chanzo cha mapato au makusanyo? Usichangie kitu ambacho huna ufaham nacho.
@husseinmkanga7794
5 күн бұрын
@@odilomwakamela4889Sasa kama hakuna mauzo yenye risiti unajuaje mfanya biashara ameuza kiasi gani? Tatizo litakuja baadae tra watakisia kiasi cha wewe kulipwa matokeo yake utalipa nyingi au kidogo na ndio kitakua chanzo cha Rushwa.
@odilomwakamela4889
5 күн бұрын
Issue ya Efd ni kubwa kuliko unavyozani huwezi kumkadilia mtu kodi kwa kuangalia sales peke yake na efd ina record sales pekee yake. Naweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu mbili na mwingine anaweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu 20, sasa hawa watu ukiwakadilia kwa kuangalia sales watakuwa sawa?? Service levy wanacharge 3percent ya sales sio faida angalia hapo anayeuza laki na faida elfu mbili atapata nini?
@husseinmkanga7794
5 күн бұрын
@@odilomwakamela4889 Sasa hapo tatizo ni mfumo wenyewe, lakini katika biashara za mauzo na matumizi risiti ndiyo inayo onyesha mauzo yako na manunuzi ambayo mwisho wa mwaka itaonyesha matumizi yako kodi ambayo umelipa na mauzo uliyo fanya, sasa hapo ndio tra wafanya hesabu kutokana na hivyo vitatu kama je umepata hasara, faida au hauna hasara wala faida. Na hapo kunakuwa na mambo matatu, kama mfanya biashara amelipa kodi nyingi anarudishiwa, kidogo anaongeza, au kama amelipa sawa hakuna mdaiwa. Tatizo letu serikari na baadhi ya wafanya biashara sio waaminifu ndio maana imewekwa mifumo mibovu ya ulipaji kodi ili kutengeneza njia za Rushwa.
@GreceMwalende4 күн бұрын
Charamira huyu wajabu
@wechemakambo21825 күн бұрын
NCHI YA HOVYO HII YAANI WAFANYABIASHARA WANAIVIMBIA SERIKALI KWA KUTISHIA MGOMO,HIZO KODI HUWA HAWAPENDI KULIPA NA HIZO RISITI BADO WANAZIFANYIA UJANJA MWINGI....YAANI TRA HAIJITAMBUI AU WANATUNGA PASIPO BUNGE?AJABU HAWA WAFANYABIASHARA WAKIENDA NCHI NYINGINE HAWAKWEPI KODI NA WANATII MAMLAKA ZA KODI
@kiulazepha6041
4 күн бұрын
Unachokiongea aukielewi kabisaa
@LucyKapinga-fg4dk
4 күн бұрын
Uyu Nae T,r,A Ndio maana@@kiulazepha6041
@user-ux7kg2bw9l5 күн бұрын
Mwisho wa Chalamila Dar ess salaam
@HarunGeorge5 күн бұрын
Mnaongea ujinga tu kila siku japo mnafanya hivyo hata hivyo huo ujinga mmeshindwa kuusimamia
Пікірлер: 42
Hongera sana kiongozi mkuu wa mkoa anatumia kufoka tu uongozi hauitaji ubabe
Pongezi nyingi sana kwa uamuzi wa Serikali kuweza kutatua mgomo huu kwa BUSARA na HEKIMA. Siku zote busara na hekima huleta ufumbuzi wa tatizo vizuri kuliko vitisho kutoka pande zote.
Charamila hajawahi kuwa kiongozi mzuri. Anakurupuka mno hatumii hakili
@israelkisaila8401
5 күн бұрын
Hajielewi huyo MHEHE,HUWA ANAKUWA KAMA MUHUNI WA MITAANI.😂
We are continuing praying for our country so as peace can remain our pillar of livelihood
Uadilifu na uadilifu kwa mabwana wa Afrika, wanaume na wanawake, vijana na wazee, kiapo cha yule aliyeteremsha Taurati, Injili, Mtengano, Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Mola wa Mitume na Muhuri. wa Mitume na Mitume, Muhammad, swala na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na ahli zake wote na maswahaba zake, kwa anayestahiki zaidi uadilifu na uadilifu kwake, licha ya kila dhalimu, dhalimu, na dhalimu na amani iwe juu ya Mola wetu Muhammad na aali zake na maswahaba zake wote, Amina, Mola wa walimwengu wote☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Mkiona mnatoa maamuzi wanayotaka wananchi baada ya kugoma. Basi ujue Viongozi waliopewa dhamana katika jambo Hilo ni wavivu kufikiria.
ebu Tanzania tusi complicate mambo saaana, hilo soko la kariakoo walio wengi wateja ni sisi wanyonge, so mkijifanya kukaza mtatuuwaa, elekezeni nguvu kwenye mambo mengine sio saana kwa sehem hio, hamfaham kwanini wanagoma always migomo mnaboaaa😢😢
Saf sanaa kiongozi umeeleza umeereweka co wanaoleta komedi
Serekali hii inaongozwa na mabweha na mafisi . Raisi mwenyewe tundu la choo
Charamila asiende katika kadhia hizi,hana busara yule
Yule mkuu wa mkoa anatumia cheo kwenye kuongea na sio kutumia akili kwenye kutoa maamuzi
Siku zote mlikuwa wapi??? Wafanyi biashara na wananchi wameshajua dawa.
Mh mama anapenda amani asande mh raisi tunaomba kodi zote ziwekwe seemu moja tra lesenni ya maspaa ,zimamoto,maaliasili ,nk kondi ninyingi kilamoja anakuja na sheria zake kama inhi tofauti bado kodi ya pango tanesko maji mlizi takataka Tanzania kabla hujaaza bishara kwaza lipakodi alafu ukilipa kodi zote alafu fungungua bishara
Hongera kiongozi kutuwakirisha
Xhallamila tengua mama akalete comedy huko😅😅😅
SAFI SANA NAONA KUNAMATAHILA YANABEZA UAMZI HUU
Wanaacha kukusanya kodi bandalini na migodni wnadilina wfnyabishala zakawaida
Chalamila anatumia ubabe kwa wananchi haipendezi
Kiongozi umeeleweka wasikilizeni wafanyabishara wa hoja za msingi
Hayo ndio maamuz sahih...mkuu wa mkoa alikuw anazingua
Hawa kariakoo wanadeka, tusipokuwa makini watatusumbua sana. Kwanza hizi biashara za kariakoo ni za kina nani? Usijekuta watu wanaojigomesha na kujitolea muafaka wenyewe.😅
Unajua hata ukilipa kodi pesa zonaliwa tu inakatisha tamaa wananeemeka WALAFI NA WEZI
Raisi aaangalie watu anaowachagua maana wanamkosanisha na wananchi
Shida tu maneno mengi
KINACHOFUATA NI KWAMBA HATUMTAKI MKUU WA MKOA CHALAMILAAA HATUMTAKI APANGIWE KAZI NYINGNE
Mueshimiwa rudia tena huku wafanya biashara hawajakuelewa
Mpk wananchi waandamane ndio mnajua kuchukua hatua kweli tutafika hivi???
Haya yule mkuu wa mkoa alivyokuwa anatishia wafanya biashara haya yangepatiwaje muafaka
Acheni ujinga
Hizi kamati ndo zinachelewesha mambo kila kitu kinatakiwa kusolviwa ndani ya week tu .Ita viongozi wa wafanyabiashara kariakoo Ita watu wa TRA Ita watu wa Bandari Ita kila mtu leta watu wa biashara zungumzeni mpaka wote mtoke mmeelewana MOTHER FUCK
Kwa hiyo msipokagua EFD makusanyo yatafanyikaje?
@odilomwakamela4889
5 күн бұрын
Kwani kabla ya EFD walikuwa wanakusanya vipi mapato?, Je EFD ni chanzo cha mapato au makusanyo? Usichangie kitu ambacho huna ufaham nacho.
@husseinmkanga7794
5 күн бұрын
@@odilomwakamela4889Sasa kama hakuna mauzo yenye risiti unajuaje mfanya biashara ameuza kiasi gani? Tatizo litakuja baadae tra watakisia kiasi cha wewe kulipwa matokeo yake utalipa nyingi au kidogo na ndio kitakua chanzo cha Rushwa.
@odilomwakamela4889
5 күн бұрын
Issue ya Efd ni kubwa kuliko unavyozani huwezi kumkadilia mtu kodi kwa kuangalia sales peke yake na efd ina record sales pekee yake. Naweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu mbili na mwingine anaweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu 20, sasa hawa watu ukiwakadilia kwa kuangalia sales watakuwa sawa?? Service levy wanacharge 3percent ya sales sio faida angalia hapo anayeuza laki na faida elfu mbili atapata nini?
@husseinmkanga7794
5 күн бұрын
@@odilomwakamela4889 Sasa hapo tatizo ni mfumo wenyewe, lakini katika biashara za mauzo na matumizi risiti ndiyo inayo onyesha mauzo yako na manunuzi ambayo mwisho wa mwaka itaonyesha matumizi yako kodi ambayo umelipa na mauzo uliyo fanya, sasa hapo ndio tra wafanya hesabu kutokana na hivyo vitatu kama je umepata hasara, faida au hauna hasara wala faida. Na hapo kunakuwa na mambo matatu, kama mfanya biashara amelipa kodi nyingi anarudishiwa, kidogo anaongeza, au kama amelipa sawa hakuna mdaiwa. Tatizo letu serikari na baadhi ya wafanya biashara sio waaminifu ndio maana imewekwa mifumo mibovu ya ulipaji kodi ili kutengeneza njia za Rushwa.
Charamira huyu wajabu
NCHI YA HOVYO HII YAANI WAFANYABIASHARA WANAIVIMBIA SERIKALI KWA KUTISHIA MGOMO,HIZO KODI HUWA HAWAPENDI KULIPA NA HIZO RISITI BADO WANAZIFANYIA UJANJA MWINGI....YAANI TRA HAIJITAMBUI AU WANATUNGA PASIPO BUNGE?AJABU HAWA WAFANYABIASHARA WAKIENDA NCHI NYINGINE HAWAKWEPI KODI NA WANATII MAMLAKA ZA KODI
@kiulazepha6041
4 күн бұрын
Unachokiongea aukielewi kabisaa
@LucyKapinga-fg4dk
4 күн бұрын
Uyu Nae T,r,A Ndio maana@@kiulazepha6041
Mwisho wa Chalamila Dar ess salaam
Mnaongea ujinga tu kila siku japo mnafanya hivyo hata hivyo huo ujinga mmeshindwa kuusimamia