MWIJAKU ANAUTAKA USEMAJI SIMBA SC, AMLIPUA VIBAYA MANARA - "HANA ELIMU"...

Ойын-сауық

MWIJAKU ANAUTAKA USEMAJI SIMBA SC, AMLIPUA VIBAYA MANARA - "HANA ELIMU"...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 141

  • @samwelbakari6691
    @samwelbakari66912 жыл бұрын

    Mchane baba!

  • @fakijuma7549
    @fakijuma75492 жыл бұрын

    MWIJAKU UMEFIKA MBALI SANA KWA HAJI MANARA KUENGILIA HADI MAISHA YA FAMILIA ALIYOKUWA NAYO UBORA WA MTU NIKUSAMEHEANA

  • @samiramadenge953
    @samiramadenge9532 жыл бұрын

    Asante mwijaku salute brother simba daima 🦁🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥

  • @emmanuelytunduma8127
    @emmanuelytunduma81272 жыл бұрын

    Saruti kwako mwijaku lopo lopo manara chaliiiii

  • @sophiamgaza3800
    @sophiamgaza38002 жыл бұрын

    Asante Dc

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28522 жыл бұрын

    Manara mswahili Sana mm ndomaana watu wa kkoo siwaamini hata chunguza utaona

  • @ndekelaausi3301
    @ndekelaausi33012 жыл бұрын

    Bora niachane na Simba sasa ujinga umeanza huuu

  • @sefumaiko718
    @sefumaiko7182 жыл бұрын

    haji manala anazingua mm kanikela sana.

  • @saidrunas1414
    @saidrunas14142 жыл бұрын

    Safi sana

  • @bilalysalum9526
    @bilalysalum95262 жыл бұрын

    Hii Simba🦁 mimi nitakuja niache kuwa shabiki wa simba maaba longo longo zimekuwa nyingi

  • @mangimanginyo5656
    @mangimanginyo56562 жыл бұрын

    Wewe akili huna hakuna unachojua

  • @mussamtopelwa8625
    @mussamtopelwa86252 жыл бұрын

    Safiiiiii peleka vyetii . unafaaa kuwa msemaji wetu .# simba nguvu moja kazi iendereeeee

  • @msanifgdf615
    @msanifgdf6152 жыл бұрын

    Huyu jamaa anafanya haya ili kupata umaarufu ila Kuna siku atajuta atakuja kupata pigo ambalo hatokuja kulisahau.

  • @salmacazzy1915

    @salmacazzy1915

    2 жыл бұрын

    Kabisaa boya huyuuu

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza54342 жыл бұрын

    Huwezi kuwa msemaji kaigize bongo muvi

  • @leonardbihanda9021
    @leonardbihanda90212 жыл бұрын

    Haji alikuwa mtu mzuri sana, wenye macho waliona, alijitoa sana ndani ya simba...mtu yule ni mwenye akili ya kuzaliwa...wewe hapo haumwezi Haji,hata kuongea haujui...kifupi hauvutii!!!...kuongea hujui heti "mememe nini wewe hujui kuongea km Haji Manara....kipaji kile ni Mungu mwenyewe, kusoma ni nyongeza..km wewe, Umepewa nini wewe.." Kiswahili hurongo!!! hujui kuongea brother hondoka bhana...mtu kudai haki yake kosa?wacheni bwana..hata km Haji hakuwa tajiri lakini alikuwa tajiri wa kubuni mambo hapo simba, wewe tena haufai kabisa unatukana watu wa bodaboda, mama ntilie, nk aliyemfanya Mo kuwa tajiri ni Mungu na pia aliyewaweka bodaboda ni Mungu huyohuyo...hufai ndugu yangu...hondoka hapo,unaweza kuharibu kabla ya interview ya kuhajiriwa.unaweza kuwa na taharuma lakini hauna busara...hapo umetukana wanasimba wengi tu,kwani washabiki wengi wa simba wamesoma? wengine ndiyo hao bodaboda uliowadharau na ndiyo wengi waliojazana katika vilabu vyetu.Heti Haji hakusoma!! chukua elimu yako na ujuzi wako wowote, humuwezi Haji,aliyofanya hapo simba ni zaidi ya elimu ya darasani..kuna mtu pale bungeni anaitwa Kibajaj elimu ya kawaida tu lakini wenye elimu maprofesa wanamkubali kwa jinsi anavyojua kupangilia maneno,wewe huna lolote,mdomo unaweweseka tu!!.kwa kauli zako za kukashifu bodaboda ambao miongoni mwao ni mashabiki wa simba,hufai...utu wa mtu si utajiri au umasikini...Haki za binadamu wote ni sawa. masikini vilevile kuna maeneo anaweza kumsaidia tajiri,wewe vipi,usiwe limbukeni wa matajiri,narudia kusema huvutiiii !!!!

  • @raphaelwadaunambayakupigas4184
    @raphaelwadaunambayakupigas41842 жыл бұрын

    Duh!Leo Nimejua Ww jamaa Unaakili kubwa.Acha kujizibana na Wakina baba levo.

  • @sospeterchallo3005
    @sospeterchallo30052 жыл бұрын

    Bora umempa za uso

  • @carebomalolage1589
    @carebomalolage15892 жыл бұрын

    Uyoo mjinga sana

  • @salmacazzy1915
    @salmacazzy19152 жыл бұрын

    We Mwijaku kaa kimyaa Ujui ulitendalo acha Unafki Usijitie msemaje wa Simba Nyamaafu ww Umuonye nani Mpumbavu kamuonye Baba ako na family Yako

  • @ammaruledi4499
    @ammaruledi44992 жыл бұрын

    Manara alijiona hana vigezo kweli kubakia simba. Mwijaku Oyeeeee.

  • @shabanseif5774
    @shabanseif57742 жыл бұрын

    Haji ni mkubwa kuliko simba. Juzi mmetambulisha mchezaji hatari lakini watu hawajuwi tena leo hahahaha haji mtqmkumbuka sana

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam68312 жыл бұрын

    Ukiwa mwanaume afu chakula unategemea mkeo basi bila shaka sifa zote zitaenda kwa mkeo na kwa matajiri. Ukiwa na Umaskini wa nafsi, wa fikra na msaka tonge, ni ngumu sana kwako kutambua kwamba Tajiri au Kiongozi anaweza pia kukosea.

  • @yohanaally4544
    @yohanaally45442 жыл бұрын

    Mwikakuuuuh dc wa isntar mkali wa manala domo kaya

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28522 жыл бұрын

    Wewe jamaa nakuonaga chizi kumbe uko vizuri sana nisamehe sana

  • @georgekaguga1647
    @georgekaguga16472 жыл бұрын

    Toa ujinga wako mwijaku unatukera sana

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter5862 жыл бұрын

    Kitendo tu cha kumshambulia diamond kinakunyima sifa ya kua msemaji, Simba wenyew wanajua hawawez kubali

  • @twalhamnyira5318
    @twalhamnyira53182 жыл бұрын

    Wew mwenyewe chawa fara wew hunaakili utadhani ulidumkia chooni

  • @salmacazzy1915

    @salmacazzy1915

    2 жыл бұрын

    😝😂

  • @salmacazzy1915

    @salmacazzy1915

    2 жыл бұрын

    Ajui alitendao anataka Barbra ampe. Cheo

  • @charlesmwaminifu5196
    @charlesmwaminifu51962 жыл бұрын

    Kaka liambie hilo lisilokua na hakili

  • @henrymapunda4602
    @henrymapunda46022 жыл бұрын

    Wewe ni msakatonge... 🤣🤣🤣

  • @emmanuelytunduma8127
    @emmanuelytunduma81272 жыл бұрын

    Semaji la dunia

  • @fredgersimbeye5394
    @fredgersimbeye53942 жыл бұрын

    Mutayakumbuka maneno ya manara. subilini!!!

  • @emalsonjesus4112

    @emalsonjesus4112

    2 жыл бұрын

    Wapi atembee zake, mpira PESA maneno hayana Nafasi.....

  • @robyone7977
    @robyone79772 жыл бұрын

    Kwani huyu si tulikubalian sio mtanzania

  • @fakijuma7549
    @fakijuma75492 жыл бұрын

    LET SEE WHAT IS COMING NEXT IN FEATURES

  • @richardsimon5450
    @richardsimon54502 жыл бұрын

    Ongelasana kwakuliona ilo manara ni yanga

  • @charlesmwaminifu5196
    @charlesmwaminifu51962 жыл бұрын

    Anahofia kupotea

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail44882 жыл бұрын

    Ww kakatike viuno mpira wapi na wapi we toka lini unazungumzia mpira usitafute kiki wala we huyo Barbara unazidi kumtengenezea chuki na unazidi kumpaka mavi

  • @japhetjairos2983
    @japhetjairos29832 жыл бұрын

    Kumamae haji is best always mwijaku mavi 1 tu

  • @PROFESSIONAL792
    @PROFESSIONAL7922 жыл бұрын

    Nakubali

  • @allybakari8558
    @allybakari85582 жыл бұрын

    Alf huyu jmaa unaweza hata ukamwambia ataje first eleven ya Simba asiijue

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa80512 жыл бұрын

    Nilimpenda sana haji lkn kwa hapa alipo fika hapana kwamaslahi ya simba bora aende tuu nasemajee aende tuuu atuachie simba sports club yetu

  • @frankrushunju211
    @frankrushunju2112 жыл бұрын

    Mpira si uropokaji mkuuu, kama unavyofanya kwa konde

  • @saumsaum1916
    @saumsaum19162 жыл бұрын

    Amekuwa mboya alivyowachangisha wkt wa kampeni za uchaguzi

  • @benjaminisululu267
    @benjaminisululu2672 жыл бұрын

    Mi naapa haki ya MUNGU hakuna atakaye mfikia haji manara we unajipendekeza tu kwa mo huwezi kumfikia manara

  • @hamzaabdallah9237
    @hamzaabdallah92372 жыл бұрын

    Huyu chawa kalipwa aje kujibu ujinga hafai anatafuta umaarufu.hufai kila kitu unajifanya kukijua.

  • @saumsaum1916
    @saumsaum19162 жыл бұрын

    Elimu ya manala darasa la 7

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa70582 жыл бұрын

    Mwijaku mbona kama atatufaa usemaji jamani anahaiba huyu jamaa na inaonekana yanga wameanza kumwogopa

  • @juliusskwala4086
    @juliusskwala40862 жыл бұрын

    Good kaka mwijaku

  • @amiribakari2528
    @amiribakari25282 жыл бұрын

    Wewe ni mnafiki sana kwanza ungefaa kuwa mwanamke kwa tabia yako ya umbea.hatukutaki simba...kwa kumsema tu haji wewe hufaiii

  • @charlesesigira5418
    @charlesesigira54182 жыл бұрын

    Hiki kiingereza cha ma entrepreneurship na across the country hiki.. nyieee

  • @Moon-rp5tm
    @Moon-rp5tm2 жыл бұрын

    Mbona kama mweu uyu mr bean

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi86362 жыл бұрын

    keep up bro kweli waseme wanafiki

  • @reganshao
    @reganshao2 жыл бұрын

    Tatizo ulishajihatibia kwa kumshambulia diamond hata Kama alikuwa ana makosa lakin ulichokifanya kiliwashangaza wengi Sana utafikiri we sio mtanzania

  • @nkengurutsewilliam6370
    @nkengurutsewilliam63702 жыл бұрын

    Unajifanya unajua kusema ila ayo unaseme uko kinyume na ukweli sana

  • @rotycompany3202
    @rotycompany32022 жыл бұрын

    msaka tonge Manara ameongea wakati sahihi sana katoa manyanyaso alioyapata huyu vp?

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya65972 жыл бұрын

    Msemaji hawe huyu mropokaji mbwa

  • @henrymapunda4602
    @henrymapunda46022 жыл бұрын

    Mwijaku. Baki kwenye udaku.

  • @neemakyando7328
    @neemakyando73282 жыл бұрын

    Ugali unatafutwa kwa nguvu

  • @gracetanyungu4727
    @gracetanyungu47272 жыл бұрын

    Mwijaku mjinga wacha uchonganishi

  • @saidkizota3595
    @saidkizota35952 жыл бұрын

    Elimu haidanganyi...Kaka elimu yako itakulipa

  • @hassanhusein3448
    @hassanhusein34482 жыл бұрын

    Bravo! Mwijaku. Points tupu 👏👏👏👏👏👏👏

  • @KINYOTA_MEDIA_OG
    @KINYOTA_MEDIA_OG2 жыл бұрын

    We mento kweli yan hukumbuki hata mchango wa manara haya endeleeni kushikwa makalio na mo pia hata wewe inapaswa kumshukuru manara Kwa hatua tuliofikia Simba nae kamwaga jasho lake pia

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar37382 жыл бұрын

    Mwijaku umeongea kisomi sana

  • @venture5667

    @venture5667

    2 жыл бұрын

    Khaaah usomi gani jmn achen unafk

  • @kay170
    @kay1702 жыл бұрын

    Mfyuuu😏😏,mbona tulikua hatukuoni hapo mwanzo,ushubwada tuuu

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi63942 жыл бұрын

    Nilicho kielewa kwako n kwamba mo wamemfollow wasomi halafu manara wamemfollow bodaboda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umeongea pumba tu

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam68312 жыл бұрын

    Global kama chombo cha habari kinachokubarika nawaombeni tafiti zenu ili tujue tangu 2017 kulingana na hisa 51 % za wanachama, wameingiza fedha kiasi gani ? Mwekezaji yeye kataja alizotumia kipindi hicho chote karibu B 21 Tsh. Tuone kama ile kauli yake ya "Sitokubari" inazihilisha kweli ni Timu ya Ukoo kupitia kwake au ni Timu ya wanasimba.

  • @pascalmgassa8441
    @pascalmgassa84412 жыл бұрын

    Kweli Haji amechemka ameonyesha udhaifu mkubwa sana hata kama amekosewa, kitendo cha kuwachafua wenzake kwenye Media

  • @richardsimon5450
    @richardsimon54502 жыл бұрын

    Uyo kasoea haliazia kwawandishi wahabali kawatukana sass wandishiwahabali

  • @charlesmwaminifu5196
    @charlesmwaminifu51962 жыл бұрын

    Kajipaka mavi huyo

  • @saumsaum1916
    @saumsaum19162 жыл бұрын

    Babla ana ufahamu elimu iko juu si manala

  • @omarjumbe4903
    @omarjumbe49032 жыл бұрын

    Hujui machafu na uhuni ndani ya kampuni hizo za mo..aliyosema manara ni Picha ndogo Tu aliyofanyiwa yy..

  • @yustinomohamed8940

    @yustinomohamed8940

    2 жыл бұрын

    Kampuni za mo zinamuhusu nn manala

  • @mbaraktaher4911
    @mbaraktaher49112 жыл бұрын

    Humuwezi manara hata kidogo

  • @johnpangalas9687
    @johnpangalas96872 жыл бұрын

    Uyo mzungu poli zeluzelu hana akili

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha27332 жыл бұрын

    Haji hana adabu, anajua tu kiarabu wala hahitajiki Simba

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail44882 жыл бұрын

    Tena tusikuone tena kuongelea masuala ya simba pumbavu weee

  • @davidmwiniko6941
    @davidmwiniko69412 жыл бұрын

    Afadhali umelichana

  • @samwelmloti2318
    @samwelmloti23182 жыл бұрын

    Utaolewa na huyo mo

  • @allybakari8558
    @allybakari85582 жыл бұрын

    Shobo nyingi mpr utaisha hamasa we endelea kujibishana na kina gea abibu tu ila mpr hujui unaongea ujinga tu

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Mwijaku apewe nafasi hiyo, awe msemaji wacSimba Ezekiel amepwaya sana

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz10182 жыл бұрын

    Nikweli umeongea sahihi, huwezi kutoka kwenye tasisi unaenda kuzungumzia vitu ambavyo havimuhusu kabisa sisi mashabiki wa Simba tunaitaji timu kufanya vizuri Basi mengine tunaacha wadhamini

  • @mbaraktaher4911
    @mbaraktaher49112 жыл бұрын

    So kwa mshahara wa laki saba

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi11372 жыл бұрын

    Hv hz njaa mpk lin?

  • @davismccode1354
    @davismccode13542 жыл бұрын

    Ivi ni mimi au na nyie mmesikia "over my god body"? 47:57

  • @sistersade9039

    @sistersade9039

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @paulmathew3720

    @paulmathew3720

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu dah jamani watu mpo makini hapo aliongea haraka sana ngumu sana kusikia 👏👏👏

  • @paulmathew3720

    @paulmathew3720

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu dah jamani watu mpo makini hapo aliongea haraka sana ngumu sana kusikia 👏👏👏

  • @simbamaduhu1600
    @simbamaduhu16002 жыл бұрын

    Asante kwa comments, manara aende zake ametuhujumu sana

  • @venture5667
    @venture56672 жыл бұрын

    Uyu jamaa n mjinga axee af ety utackia watu wansema n msomi uyu msom gan ata aelw manar na mo nan kamkuta mwnzie, af senzo akua msemaji alikua c.e.o, kingn mkopo manara ajaonglea kuw mo ajakop au kukopa, nyie mna fitina na uyu dem wenu, anawdngny ukwel lzm uwekw waz uwez ukafukuz, watu 9 mpk kumi ko yy babra ndo clean , amn cha promoted bn acheni usaniii, manar cio wa kuhujumu simba acheni unafk, bn

  • @ibrahimtesha2733

    @ibrahimtesha2733

    2 жыл бұрын

    Wewe pia feki, huelewi anachosema huyu msomi. Acha ulofa!

  • @ibrahimtesha2733

    @ibrahimtesha2733

    2 жыл бұрын

    Haji hana akili, anakojolea kikombe chenye chai yake

  • @waltercyril5783

    @waltercyril5783

    2 жыл бұрын

    Elimu Elimu Elimu 🤣🤣🤣🤣🤣 Ongeza taaluma aisee

  • @kusirielimmari1294

    @kusirielimmari1294

    2 жыл бұрын

    We ndo huna elim asee!, walimkuta manara lakini elim yao ikawaweka juu yake mzee!

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha27332 жыл бұрын

    Baba nakupongeza kwa kumfunda huyo kibaraka wa Yanga. Haki ana maono mafupi ya kichawi! Haki ni mhuni

  • @EmmanuelMassawe
    @EmmanuelMassawe2 жыл бұрын

    bruh, ulikuwa unapoint ila poroja ni nyingi sasa “huyu ni mwanamke” cmon

  • @IbrahimAli-ns1lj
    @IbrahimAli-ns1lj2 жыл бұрын

    Wewe hayakuhusu hujui yalokuemo ndani mnafiki wewe

  • @marifundi1074

    @marifundi1074

    2 жыл бұрын

    Yanga kaeni kimya simba hamuiwezi

  • @damaspmtz1018

    @damaspmtz1018

    2 жыл бұрын

    Mnafiki ni yule anatoka kwenye tasisi anaanza kubeza alipokuwa

  • @gracetanyungu4727
    @gracetanyungu47272 жыл бұрын

    Wewe ndo utoe kauli

  • @mophatzizou6768
    @mophatzizou67682 жыл бұрын

    Saluuuut broo Manara kawa shabiki tu hana jipya anatapatapa asije kupotea mtandaoni anajuwa SIMBA kubwa kuliko yeye amepata umaarufu kwa ajili ya Simba

  • @raujohn8238
    @raujohn82382 жыл бұрын

    Wewe kipapa tu unampango

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail44882 жыл бұрын

    Kuongea hujui ww kamsifie diamond ali kiba ndio kazi yako yani kama kuadi tusikuone tena unaongelea masuala ya simba pumbavu weee

  • @sophiamgaza3800
    @sophiamgaza38002 жыл бұрын

    Ananyoosha huo

  • @sponsor7882
    @sponsor78822 жыл бұрын

    Huyu kijana msomi sna.

  • @venture5667

    @venture5667

    2 жыл бұрын

    Usomi upi nyie nao achen unafki

  • @bizooonline6070
    @bizooonline60702 жыл бұрын

    Ukikaaaa kwa makin ukamsikiliza huyu jamaaa anapoint nying San za msingi

  • @deogratiusboniphace37
    @deogratiusboniphace372 жыл бұрын

    Manara ni zuzu kumbe yule.

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free2 жыл бұрын

    Why!mnakuja kumusikiliza chawa huu

  • @salmacazzy1915

    @salmacazzy1915

    2 жыл бұрын

    Hawana Akil hawa wotee

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Kwa hili Mwijaku nipo pamoja na wewe, nna wasi wasi Manara atakuwa ana upoyoyo fulani Mild Learning Difficulties ila tatizo. Bongo hatupimwi.

  • @davidmwiniko6941
    @davidmwiniko69412 жыл бұрын

    Huyu jamaa Yuko vizur sana

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza54342 жыл бұрын

    Nwinjaku ww unaelimu gani .kwahiyo kunya anye kuku bata kaharisha eti

  • @praygodlema941

    @praygodlema941

    2 жыл бұрын

    Graduate

  • @fakijuma7549
    @fakijuma75492 жыл бұрын

    MIMI LANGU NI JICHO TU NAPITA NATOKA BANDARINI NAKWENDA JANGWANI

Келесі