MWIJAKU ANAUTAKA USEMAJI SIMBA SC, AMLIPUA VIBAYA MANARA - "HANA ELIMU"...
Ойын-сауық
MWIJAKU ANAUTAKA USEMAJI SIMBA SC, AMLIPUA VIBAYA MANARA - "HANA ELIMU"...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 141
Mchane baba!
MWIJAKU UMEFIKA MBALI SANA KWA HAJI MANARA KUENGILIA HADI MAISHA YA FAMILIA ALIYOKUWA NAYO UBORA WA MTU NIKUSAMEHEANA
Asante mwijaku salute brother simba daima 🦁🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥
Saruti kwako mwijaku lopo lopo manara chaliiiii
Asante Dc
Manara mswahili Sana mm ndomaana watu wa kkoo siwaamini hata chunguza utaona
Bora niachane na Simba sasa ujinga umeanza huuu
haji manala anazingua mm kanikela sana.
Safi sana
Hii Simba🦁 mimi nitakuja niache kuwa shabiki wa simba maaba longo longo zimekuwa nyingi
Wewe akili huna hakuna unachojua
Safiiiiii peleka vyetii . unafaaa kuwa msemaji wetu .# simba nguvu moja kazi iendereeeee
Huyu jamaa anafanya haya ili kupata umaarufu ila Kuna siku atajuta atakuja kupata pigo ambalo hatokuja kulisahau.
@salmacazzy1915
2 жыл бұрын
Kabisaa boya huyuuu
Huwezi kuwa msemaji kaigize bongo muvi
Haji alikuwa mtu mzuri sana, wenye macho waliona, alijitoa sana ndani ya simba...mtu yule ni mwenye akili ya kuzaliwa...wewe hapo haumwezi Haji,hata kuongea haujui...kifupi hauvutii!!!...kuongea hujui heti "mememe nini wewe hujui kuongea km Haji Manara....kipaji kile ni Mungu mwenyewe, kusoma ni nyongeza..km wewe, Umepewa nini wewe.." Kiswahili hurongo!!! hujui kuongea brother hondoka bhana...mtu kudai haki yake kosa?wacheni bwana..hata km Haji hakuwa tajiri lakini alikuwa tajiri wa kubuni mambo hapo simba, wewe tena haufai kabisa unatukana watu wa bodaboda, mama ntilie, nk aliyemfanya Mo kuwa tajiri ni Mungu na pia aliyewaweka bodaboda ni Mungu huyohuyo...hufai ndugu yangu...hondoka hapo,unaweza kuharibu kabla ya interview ya kuhajiriwa.unaweza kuwa na taharuma lakini hauna busara...hapo umetukana wanasimba wengi tu,kwani washabiki wengi wa simba wamesoma? wengine ndiyo hao bodaboda uliowadharau na ndiyo wengi waliojazana katika vilabu vyetu.Heti Haji hakusoma!! chukua elimu yako na ujuzi wako wowote, humuwezi Haji,aliyofanya hapo simba ni zaidi ya elimu ya darasani..kuna mtu pale bungeni anaitwa Kibajaj elimu ya kawaida tu lakini wenye elimu maprofesa wanamkubali kwa jinsi anavyojua kupangilia maneno,wewe huna lolote,mdomo unaweweseka tu!!.kwa kauli zako za kukashifu bodaboda ambao miongoni mwao ni mashabiki wa simba,hufai...utu wa mtu si utajiri au umasikini...Haki za binadamu wote ni sawa. masikini vilevile kuna maeneo anaweza kumsaidia tajiri,wewe vipi,usiwe limbukeni wa matajiri,narudia kusema huvutiiii !!!!
Duh!Leo Nimejua Ww jamaa Unaakili kubwa.Acha kujizibana na Wakina baba levo.
Bora umempa za uso
Uyoo mjinga sana
We Mwijaku kaa kimyaa Ujui ulitendalo acha Unafki Usijitie msemaje wa Simba Nyamaafu ww Umuonye nani Mpumbavu kamuonye Baba ako na family Yako
Manara alijiona hana vigezo kweli kubakia simba. Mwijaku Oyeeeee.
Haji ni mkubwa kuliko simba. Juzi mmetambulisha mchezaji hatari lakini watu hawajuwi tena leo hahahaha haji mtqmkumbuka sana
Ukiwa mwanaume afu chakula unategemea mkeo basi bila shaka sifa zote zitaenda kwa mkeo na kwa matajiri. Ukiwa na Umaskini wa nafsi, wa fikra na msaka tonge, ni ngumu sana kwako kutambua kwamba Tajiri au Kiongozi anaweza pia kukosea.
Mwikakuuuuh dc wa isntar mkali wa manala domo kaya
Wewe jamaa nakuonaga chizi kumbe uko vizuri sana nisamehe sana
Toa ujinga wako mwijaku unatukera sana
Kitendo tu cha kumshambulia diamond kinakunyima sifa ya kua msemaji, Simba wenyew wanajua hawawez kubali
Wew mwenyewe chawa fara wew hunaakili utadhani ulidumkia chooni
@salmacazzy1915
2 жыл бұрын
😝😂
@salmacazzy1915
2 жыл бұрын
Ajui alitendao anataka Barbra ampe. Cheo
Kaka liambie hilo lisilokua na hakili
Wewe ni msakatonge... 🤣🤣🤣
Semaji la dunia
Mutayakumbuka maneno ya manara. subilini!!!
@emalsonjesus4112
2 жыл бұрын
Wapi atembee zake, mpira PESA maneno hayana Nafasi.....
Kwani huyu si tulikubalian sio mtanzania
LET SEE WHAT IS COMING NEXT IN FEATURES
Ongelasana kwakuliona ilo manara ni yanga
Anahofia kupotea
Ww kakatike viuno mpira wapi na wapi we toka lini unazungumzia mpira usitafute kiki wala we huyo Barbara unazidi kumtengenezea chuki na unazidi kumpaka mavi
Kumamae haji is best always mwijaku mavi 1 tu
Nakubali
Alf huyu jmaa unaweza hata ukamwambia ataje first eleven ya Simba asiijue
Nilimpenda sana haji lkn kwa hapa alipo fika hapana kwamaslahi ya simba bora aende tuu nasemajee aende tuuu atuachie simba sports club yetu
Mpira si uropokaji mkuuu, kama unavyofanya kwa konde
Amekuwa mboya alivyowachangisha wkt wa kampeni za uchaguzi
Mi naapa haki ya MUNGU hakuna atakaye mfikia haji manara we unajipendekeza tu kwa mo huwezi kumfikia manara
Huyu chawa kalipwa aje kujibu ujinga hafai anatafuta umaarufu.hufai kila kitu unajifanya kukijua.
Elimu ya manala darasa la 7
Mwijaku mbona kama atatufaa usemaji jamani anahaiba huyu jamaa na inaonekana yanga wameanza kumwogopa
Good kaka mwijaku
Wewe ni mnafiki sana kwanza ungefaa kuwa mwanamke kwa tabia yako ya umbea.hatukutaki simba...kwa kumsema tu haji wewe hufaiii
Hiki kiingereza cha ma entrepreneurship na across the country hiki.. nyieee
Mbona kama mweu uyu mr bean
keep up bro kweli waseme wanafiki
Tatizo ulishajihatibia kwa kumshambulia diamond hata Kama alikuwa ana makosa lakin ulichokifanya kiliwashangaza wengi Sana utafikiri we sio mtanzania
Unajifanya unajua kusema ila ayo unaseme uko kinyume na ukweli sana
msaka tonge Manara ameongea wakati sahihi sana katoa manyanyaso alioyapata huyu vp?
Msemaji hawe huyu mropokaji mbwa
Mwijaku. Baki kwenye udaku.
Ugali unatafutwa kwa nguvu
Mwijaku mjinga wacha uchonganishi
Elimu haidanganyi...Kaka elimu yako itakulipa
Bravo! Mwijaku. Points tupu 👏👏👏👏👏👏👏
We mento kweli yan hukumbuki hata mchango wa manara haya endeleeni kushikwa makalio na mo pia hata wewe inapaswa kumshukuru manara Kwa hatua tuliofikia Simba nae kamwaga jasho lake pia
Mwijaku umeongea kisomi sana
@venture5667
2 жыл бұрын
Khaaah usomi gani jmn achen unafk
Mfyuuu😏😏,mbona tulikua hatukuoni hapo mwanzo,ushubwada tuuu
Nilicho kielewa kwako n kwamba mo wamemfollow wasomi halafu manara wamemfollow bodaboda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umeongea pumba tu
Global kama chombo cha habari kinachokubarika nawaombeni tafiti zenu ili tujue tangu 2017 kulingana na hisa 51 % za wanachama, wameingiza fedha kiasi gani ? Mwekezaji yeye kataja alizotumia kipindi hicho chote karibu B 21 Tsh. Tuone kama ile kauli yake ya "Sitokubari" inazihilisha kweli ni Timu ya Ukoo kupitia kwake au ni Timu ya wanasimba.
Kweli Haji amechemka ameonyesha udhaifu mkubwa sana hata kama amekosewa, kitendo cha kuwachafua wenzake kwenye Media
Uyo kasoea haliazia kwawandishi wahabali kawatukana sass wandishiwahabali
Kajipaka mavi huyo
Babla ana ufahamu elimu iko juu si manala
Hujui machafu na uhuni ndani ya kampuni hizo za mo..aliyosema manara ni Picha ndogo Tu aliyofanyiwa yy..
@yustinomohamed8940
2 жыл бұрын
Kampuni za mo zinamuhusu nn manala
Humuwezi manara hata kidogo
Uyo mzungu poli zeluzelu hana akili
Haji hana adabu, anajua tu kiarabu wala hahitajiki Simba
Tena tusikuone tena kuongelea masuala ya simba pumbavu weee
Afadhali umelichana
Utaolewa na huyo mo
Shobo nyingi mpr utaisha hamasa we endelea kujibishana na kina gea abibu tu ila mpr hujui unaongea ujinga tu
Mwijaku apewe nafasi hiyo, awe msemaji wacSimba Ezekiel amepwaya sana
Nikweli umeongea sahihi, huwezi kutoka kwenye tasisi unaenda kuzungumzia vitu ambavyo havimuhusu kabisa sisi mashabiki wa Simba tunaitaji timu kufanya vizuri Basi mengine tunaacha wadhamini
So kwa mshahara wa laki saba
Hv hz njaa mpk lin?
Ivi ni mimi au na nyie mmesikia "over my god body"? 47:57
@sistersade9039
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@paulmathew3720
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu dah jamani watu mpo makini hapo aliongea haraka sana ngumu sana kusikia 👏👏👏
@paulmathew3720
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu dah jamani watu mpo makini hapo aliongea haraka sana ngumu sana kusikia 👏👏👏
Asante kwa comments, manara aende zake ametuhujumu sana
Uyu jamaa n mjinga axee af ety utackia watu wansema n msomi uyu msom gan ata aelw manar na mo nan kamkuta mwnzie, af senzo akua msemaji alikua c.e.o, kingn mkopo manara ajaonglea kuw mo ajakop au kukopa, nyie mna fitina na uyu dem wenu, anawdngny ukwel lzm uwekw waz uwez ukafukuz, watu 9 mpk kumi ko yy babra ndo clean , amn cha promoted bn acheni usaniii, manar cio wa kuhujumu simba acheni unafk, bn
@ibrahimtesha2733
2 жыл бұрын
Wewe pia feki, huelewi anachosema huyu msomi. Acha ulofa!
@ibrahimtesha2733
2 жыл бұрын
Haji hana akili, anakojolea kikombe chenye chai yake
@waltercyril5783
2 жыл бұрын
Elimu Elimu Elimu 🤣🤣🤣🤣🤣 Ongeza taaluma aisee
@kusirielimmari1294
2 жыл бұрын
We ndo huna elim asee!, walimkuta manara lakini elim yao ikawaweka juu yake mzee!
Baba nakupongeza kwa kumfunda huyo kibaraka wa Yanga. Haki ana maono mafupi ya kichawi! Haki ni mhuni
bruh, ulikuwa unapoint ila poroja ni nyingi sasa “huyu ni mwanamke” cmon
Wewe hayakuhusu hujui yalokuemo ndani mnafiki wewe
@marifundi1074
2 жыл бұрын
Yanga kaeni kimya simba hamuiwezi
@damaspmtz1018
2 жыл бұрын
Mnafiki ni yule anatoka kwenye tasisi anaanza kubeza alipokuwa
Wewe ndo utoe kauli
Saluuuut broo Manara kawa shabiki tu hana jipya anatapatapa asije kupotea mtandaoni anajuwa SIMBA kubwa kuliko yeye amepata umaarufu kwa ajili ya Simba
Wewe kipapa tu unampango
Kuongea hujui ww kamsifie diamond ali kiba ndio kazi yako yani kama kuadi tusikuone tena unaongelea masuala ya simba pumbavu weee
Ananyoosha huo
Huyu kijana msomi sna.
@venture5667
2 жыл бұрын
Usomi upi nyie nao achen unafki
Ukikaaaa kwa makin ukamsikiliza huyu jamaaa anapoint nying San za msingi
Manara ni zuzu kumbe yule.
Why!mnakuja kumusikiliza chawa huu
@salmacazzy1915
2 жыл бұрын
Hawana Akil hawa wotee
Kwa hili Mwijaku nipo pamoja na wewe, nna wasi wasi Manara atakuwa ana upoyoyo fulani Mild Learning Difficulties ila tatizo. Bongo hatupimwi.
Huyu jamaa Yuko vizur sana
Nwinjaku ww unaelimu gani .kwahiyo kunya anye kuku bata kaharisha eti
@praygodlema941
2 жыл бұрын
Graduate
MIMI LANGU NI JICHO TU NAPITA NATOKA BANDARINI NAKWENDA JANGWANI