Johari Rotana: Hoteli mpya ya Nyota 5 iliyofunguliwa Dar es Salaam, Inavutia, ni BALAA!
Dar es Salaam imepata mgeni mpya, hoteli ya nyota tano iitwayo Johari Rotana. Macho yako hayatokudanganya uzuri wa hoteli hii iliyopambwa kwa nakshi za kuvutia.
Ikipatikana katikati kabisa mwa jiji Dar es Salaam, Posta, Johari Rotana inakupa uoni kamili wa jinsi bahari ya Hindi inavyovutia kwa kutazama meli zikipishana kuingia na kutoka kwenye bandari ya Dar es Salaam. Johari Rotana inakupa tafsiri halisi ya bandari ya salama.
Пікірлер: 54
Maa shaa Allah Bola wajee tu wageni wabadirishee nchi 😍😍😍😍😍
Woow MashaAllah nimekuwa wa kwanza, hongera kwa hotel nzuri, can't wait to visit there
@maimuna3753
4 жыл бұрын
Bei zake
Wakwa naomba like zangu jamani
Woow nice
So beautiful soon ntakuwa mgeni wa hapo Kwa kweli 😍🤝
Very awesome Hotel
MashaAllah
nice tz
Mashaallah
Lazima nije nilale hapo sh ngapi wow makufuli huyu ana mchezo mchezo so nice ongera tz tupanda juu kila siku
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wezangu na mimi tutaishiaa kuona kwa macho
@user-us9gl8jg4l
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-us9gl8jg4l
4 жыл бұрын
Pesa ya kulala hapo kwa mwenzangu na mie unanunua kiwanja mbondole
@hezrongaston4963
4 жыл бұрын
wenzako na wewe ni watu gani hao na mbona una ongea kama mtu alie kata tamaa asie na matumaini yoyote juu ya siku za husoni? chamsingi kufahamu nikua madam una ishi una weza kua chochote uki taka lakini pia uki mtanguliza na ku mwamini mungu
@josephjames5393
3 жыл бұрын
No
👏👏👏👏
Hummmm pazuri sana. 😊😊🏩
What's background sound in this video???
Jaman mbona Raha sana Embu baby wedding yetu twende hapo 👌👌
Hiteli na nusu aisee🔥🔥
💥💥💥💥💥💥
Yakawaida mbona
Km vile hatufii jmni daah pazur sana
Jamani pazuri sana shingapi hotel
Inaanzia laki 5 na elfu 30 per night. Iga ufe
Vipi imeshafunguliwa? Maana ilifungwa
H@ya jmn pesa zao🏃🏃🏃
Hii ndo tanzania mpya ya maguful bhana
Inapendeza san ila wengi bahaz yetu tunaona kwamacha labr ukitembelea sehemu yamtaa ule najengo ilo ila ndani auta ingia piya kuna wengine wameishia kusikia watu wakiongelea kuna wengine watasikia mitandaon aswa yan na ist
Ina vyumba miambili na aaa na sio miamoja 156...
Mnapokea wanafunz wafrid
Jamani togwa mbona hakuna kuna vyakula na vinjwaji vya kigeni au mwataka kuweka nini cha kiasili basi mbege iwepo
Hoteli Bab kubwa sana
Masha Allah
Shingap kwa kulala usiku mmoja
Mjini patamu
Duh bei yake sasa
Hakuna nafasi zakazi
My dear wife panatosha kwa honey__moon..?
Nzuri atali nilikuw naitaj kz mm nip vizur kweny sect ya House keeping
@paschazianestorymatunda6490
6 ай бұрын
Kuna watu watu wao wameisha Enda kuwa train kwenye hotel zao zilizoko nje YA nchi ili wajue namna wanatakiwa kutoa service
Shingap kwa kulala siku moja
Bala mamamamamam
Kuuliza tu japo niko nje ya mada: Huko kwenye 40 kunaendaje mbona ziii🤣🤣🤣🤣🤣
@feisalbaruan7227
4 жыл бұрын
Mimi nimeweka bundles za kutosha ili nisipitwe ila mpk sasa sion notification yoyote
@freelancer6368
4 жыл бұрын
Kuna pesa yako ilienda huko?
@binthassancollection.6308
4 жыл бұрын
@@freelancer6368 Tena nyingi sana🤣🤣🤣🤣🤣
@binthassancollection.6308
4 жыл бұрын
@@feisalbaruan7227 Toka asubuhi niko na cmu lkn ziiiii🤣🤣🤣🤣🤣
@freelancer6368
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Very awesome Hotel