Johari Rotana: Hoteli mpya ya Nyota 5 iliyofunguliwa Dar es Salaam, Inavutia, ni BALAA!

Dar es Salaam imepata mgeni mpya, hoteli ya nyota tano iitwayo Johari Rotana. Macho yako hayatokudanganya uzuri wa hoteli hii iliyopambwa kwa nakshi za kuvutia.
Ikipatikana katikati kabisa mwa jiji Dar es Salaam, Posta, Johari Rotana inakupa uoni kamili wa jinsi bahari ya Hindi inavyovutia kwa kutazama meli zikipishana kuingia na kutoka kwenye bandari ya Dar es Salaam. Johari Rotana inakupa tafsiri halisi ya bandari ya salama.

Пікірлер: 54

  • @maryamalhabsi4364
    @maryamalhabsi43642 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Bola wajee tu wageni wabadirishee nchi 😍😍😍😍😍

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Woow MashaAllah nimekuwa wa kwanza, hongera kwa hotel nzuri, can't wait to visit there

  • @maimuna3753

    @maimuna3753

    4 жыл бұрын

    Bei zake

  • @beatricechristian9257
    @beatricechristian92574 жыл бұрын

    Wakwa naomba like zangu jamani

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Woow nice

  • @florandayishimiye4993
    @florandayishimiye49934 жыл бұрын

    So beautiful soon ntakuwa mgeni wa hapo Kwa kweli 😍🤝

  • @profnditu1106
    @profnditu11063 жыл бұрын

    Very awesome Hotel

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70834 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    nice tz

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani85874 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @dn.n4983
    @dn.n49834 жыл бұрын

    Lazima nije nilale hapo sh ngapi wow makufuli huyu ana mchezo mchezo so nice ongera tz tupanda juu kila siku

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wezangu na mimi tutaishiaa kuona kwa macho

  • @user-us9gl8jg4l

    @user-us9gl8jg4l

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-us9gl8jg4l

    @user-us9gl8jg4l

    4 жыл бұрын

    Pesa ya kulala hapo kwa mwenzangu na mie unanunua kiwanja mbondole

  • @hezrongaston4963

    @hezrongaston4963

    4 жыл бұрын

    wenzako na wewe ni watu gani hao na mbona una ongea kama mtu alie kata tamaa asie na matumaini yoyote juu ya siku za husoni? chamsingi kufahamu nikua madam una ishi una weza kua chochote uki taka lakini pia uki mtanguliza na ku mwamini mungu

  • @josephjames5393

    @josephjames5393

    3 жыл бұрын

    No

  • @OmanOman-fu8xy
    @OmanOman-fu8xy4 жыл бұрын

    👏👏👏👏

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende23884 жыл бұрын

    Hummmm pazuri sana. 😊😊🏩

  • @kemasmuhammadnajwanhawary7747
    @kemasmuhammadnajwanhawary77474 жыл бұрын

    What's background sound in this video???

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81064 жыл бұрын

    Jaman mbona Raha sana Embu baby wedding yetu twende hapo 👌👌

  • @officialjaygravity1915
    @officialjaygravity19154 жыл бұрын

    Hiteli na nusu aisee🔥🔥

  • @chainbre275
    @chainbre2754 жыл бұрын

    💥💥💥💥💥💥

  • @user-jt5we5hg4v
    @user-jt5we5hg4v2 ай бұрын

    Yakawaida mbona

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija62124 жыл бұрын

    Km vile hatufii jmni daah pazur sana

  • @mwinyibwakila2689
    @mwinyibwakila26894 жыл бұрын

    Jamani pazuri sana shingapi hotel

  • @letthedeadburythedead2148
    @letthedeadburythedead21484 жыл бұрын

    Inaanzia laki 5 na elfu 30 per night. Iga ufe

  • @shabanponera2895
    @shabanponera28952 ай бұрын

    Vipi imeshafunguliwa? Maana ilifungwa

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi48094 жыл бұрын

    H@ya jmn pesa zao🏃🏃🏃

  • @sumathedony8245
    @sumathedony82454 жыл бұрын

    Hii ndo tanzania mpya ya maguful bhana

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45494 жыл бұрын

    Inapendeza san ila wengi bahaz yetu tunaona kwamacha labr ukitembelea sehemu yamtaa ule najengo ilo ila ndani auta ingia piya kuna wengine wameishia kusikia watu wakiongelea kuna wengine watasikia mitandaon aswa yan na ist

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda64906 ай бұрын

    Ina vyumba miambili na aaa na sio miamoja 156...

  • @nilamnilani
    @nilamnilani Жыл бұрын

    Mnapokea wanafunz wafrid

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv10674 жыл бұрын

    Jamani togwa mbona hakuna kuna vyakula na vinjwaji vya kigeni au mwataka kuweka nini cha kiasili basi mbege iwepo

  • @fedricklubigisa139
    @fedricklubigisa1394 жыл бұрын

    Hoteli Bab kubwa sana

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63084 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @aishasaid1727
    @aishasaid1727 Жыл бұрын

    Shingap kwa kulala usiku mmoja

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын

    Mjini patamu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela1794 жыл бұрын

    Duh bei yake sasa

  • @zickmalik4901
    @zickmalik490111 ай бұрын

    Hakuna nafasi zakazi

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie85804 жыл бұрын

    My dear wife panatosha kwa honey__moon..?

  • @HadijaMohamedi-ox8mt
    @HadijaMohamedi-ox8mt Жыл бұрын

    Nzuri atali nilikuw naitaj kz mm nip vizur kweny sect ya House keeping

  • @paschazianestorymatunda6490

    @paschazianestorymatunda6490

    6 ай бұрын

    Kuna watu watu wao wameisha Enda kuwa train kwenye hotel zao zilizoko nje YA nchi ili wajue namna wanatakiwa kutoa service

  • @aishasaid1727
    @aishasaid1727 Жыл бұрын

    Shingap kwa kulala siku moja

  • @abdallahmohamed5267
    @abdallahmohamed52674 жыл бұрын

    Bala mamamamamam

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63084 жыл бұрын

    Kuuliza tu japo niko nje ya mada: Huko kwenye 40 kunaendaje mbona ziii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @feisalbaruan7227

    @feisalbaruan7227

    4 жыл бұрын

    Mimi nimeweka bundles za kutosha ili nisipitwe ila mpk sasa sion notification yoyote

  • @freelancer6368

    @freelancer6368

    4 жыл бұрын

    Kuna pesa yako ilienda huko?

  • @binthassancollection.6308

    @binthassancollection.6308

    4 жыл бұрын

    @@freelancer6368 Tena nyingi sana🤣🤣🤣🤣🤣

  • @binthassancollection.6308

    @binthassancollection.6308

    4 жыл бұрын

    @@feisalbaruan7227 Toka asubuhi niko na cmu lkn ziiiii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @freelancer6368

    @freelancer6368

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @profnditu1106
    @profnditu11063 жыл бұрын

    Very awesome Hotel