No video

CHUMBA CHA KULALA CHENYE THAMANI YA MILIONI 24 DAR, "WAPENDANAO TUMEWAPA NAFASI HII"

Пікірлер: 403

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Tusiwasahau masikini ,mafukara,wajane na watoto yatima.Kutumia mahela mengi kama hayo kulala siku moja tu ni kufuru.Turudi Kwa mungu na tuwape sadaka wanaohitaji

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja70052 жыл бұрын

    Mhhh..Yaan juzi tu ukoo watu wote tulishindwa kufikisha lakin Tano kwa ajili ya mgonjwa lakin Kuna watu wanaziachia siku moja tuh.ml24...Kweli.....maisha tupo tofauti sanaaa.

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43422 жыл бұрын

    Usiseme hatuna hela,Sema sina hela,Mtu anatoa 24Millioni kulala kwa usiku mmoja tuu,pesa ambayo wengi wetu hatuna ndoto ya kuishika na hata Ukoo wenu Mzima uchange haufikishi 🙆🏻‍♂️

  • @zainayolamu6486

    @zainayolamu6486

    2 жыл бұрын

    Kwakweli watu cjui bangi wanavuta sangapi

  • @MauFundiElectronics

    @MauFundiElectronics

    2 жыл бұрын

    👏👏👏👏

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    2 жыл бұрын

    Sasa ukoo unakujaje braza.... Mbona hivyo tena!!!!

  • @reginapiusi6750

    @reginapiusi6750

    2 жыл бұрын

    Hatariiii tutafika mbinguni tumechoka sana 🤣🤣🤣🤣🙌

  • @borntown6945
    @borntown69452 жыл бұрын

    AOMBE MKEKA USICHANIKE NDO TUTAKUEPO KINYUME NI HAPANA! PESA SAIZ UKIIPATA ITUNZE 👊

  • @sallygrace1495
    @sallygrace14952 жыл бұрын

    "People need to ask God for Wisdom" Watu wanalala chumba cha hiyo Pesa na kuna watu wengi wanaitaji msaada, Mungu ametuleta hapa duniani tusaidie wengine sio ku spend pesa kwa ufahari na wengine wanapata shida..

  • @hallin9561

    @hallin9561

    2 жыл бұрын

    Ni vile tu tumetokea kwenye taifa masikin, wenzetu uko ilo ni jambo la kawaida,

  • @yohanakobero3387

    @yohanakobero3387

    2 жыл бұрын

    Ndugu we unasema hivyo Ni kwasababu hauna hiyo hela. Wewe mwenyewe unalala kwenye kitanda, kwanini unalala kwenye kitanda wakati wengine wapo wanaolala chini? Wewe pengine unakula mara tatu kwa siku au zaidi. Kwanini unakula Milo 3 wakati wapo ambao hata mlo mmoja kwao ni shida? Kwahiyo mwisho wa siku ufahari unauona kwasababu unaona hizo Ni fedha nyingi ambazo wewe huna. Ila mwisho wa siku kila mtu anacho Cha kutoa kwa mwingine.

  • @star_guide1

    @star_guide1

    2 жыл бұрын

    @@yohanakobero3387 Well said

  • @atenalinaftali1356

    @atenalinaftali1356

    2 жыл бұрын

    Kila mmoja aishi maisha yake mzee hatuishi milele hap duniani usiumie tafuta pesa nyingi

  • @RuzoOwzy

    @RuzoOwzy

    2 жыл бұрын

    @@yohanakobero3387 Umenena vyema.

  • @kanyawanamachel5369
    @kanyawanamachel53692 жыл бұрын

    Hata kama Mungu amanita pesa naomba anipe hekima kwenye matumizi nisaidie wenye uhitaji na kutoa zaka sitolala kwa 24 milioni

  • @fatmakhanii1676

    @fatmakhanii1676

    2 жыл бұрын

    Kabisa ndugu yangu nikumuomba mungu maana mtihani

  • @sallygrace1495

    @sallygrace1495

    2 жыл бұрын

    I agree, hekima "wisdom" Ndio kila kitu 👏

  • @yagwishaheke2524

    @yagwishaheke2524

    2 жыл бұрын

    Hata Kama namiliki pesa zote za dunia siwezi Fanya hii ujinga

  • @titomathiastitomathias593

    @titomathiastitomathias593

    2 жыл бұрын

    Zaka mnapekeka kanisani kupeleka majaribu kwa wachungaji wenu wanaishi maisha ya kifahari badala zaka mpeleke kwa wajane na yatima

  • @ferdinand1880

    @ferdinand1880

    7 ай бұрын

    Maskini wana ushauri sana😂😂😂😂

  • @chizashungu1236
    @chizashungu12362 жыл бұрын

    This is for billionaires,thats why we say the world is so unfair.We struggles for medical facilities,education facilities and many more social walfare services.24 MILLIONS I CAN START A VIABLE BUSINESS, For example buy a Tractor,find a farm somewhere in kilombero district and start Rice farming.I tell you in one year you double that amount.

  • @Burner_Acc

    @Burner_Acc

    2 жыл бұрын

    Pambana na Hali yako kama ambavyo matajiri walipambana na Hali zao. Dunia sio fair and never will be deal with it.

  • @chizashungu1236

    @chizashungu1236

    2 жыл бұрын

    @@Burner_Acc fact mate.

  • @jayjay4313

    @jayjay4313

    2 жыл бұрын

    Watu wanaiba ma trillion kwenye miradi ya serikali si ulie nao hao jomba. Wacha watu wajigalagaze na mfweza yao, tena ningekuwa manager ningewaandalia hata Dar tour Kwa helikopter siku nzima bureee. Moshi Sana wewe. Cheka sana mimi leo mana hizi coment. Oyooooooooo

  • @lawabidingcitizen3427

    @lawabidingcitizen3427

    2 жыл бұрын

    @@chizashungu1236 my friend, it doesn't need to be fair but considerate... Those with this amount of money must have taken "opportunities" from the havenots. I bet politicians and those related to them are the ones who sleep on such bookings... "Pambana na hali yako my foot", only a loser before humanity and inconsiderate prick may think like that...

  • @emmanurichares6589

    @emmanurichares6589

    2 жыл бұрын

    🤣🤣 tractor m24 labda toy

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa8472 жыл бұрын

    Ml24 nanunua kiwanja cha m2 najenga nyumba ya vyumba 3 na kuezeka na subili kuhamia madirisha naweka nikiwa ndani.

  • @gamma9590

    @gamma9590

    2 жыл бұрын

    Tatzo huna hela, wenye nao hio sio hela.

  • @mumyhendry2919

    @mumyhendry2919

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... nmependa hyo idea yako best

  • @jumaramadhani5861

    @jumaramadhani5861

    2 жыл бұрын

    Ushafanya manunuzi tayari,hongera yako dada Mary Mfugwa

  • @0656033716

    @0656033716

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @gloryswai2553
    @gloryswai25532 жыл бұрын

    Watu wakubwa ni watu gani,ni mungu au

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel61532 жыл бұрын

    Kweli nimeamini Mungu ameturuhusu kufanya chochote tutakacho duniani khaaa lkn hiii ni kufuruuu.....🤔🤔🤔

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha65292 жыл бұрын

    Sema nimekufa.usiseme tumekufa watu wana kufuru!!!

  • @natafutapesa9678

    @natafutapesa9678

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @nayadmason6015
    @nayadmason60152 жыл бұрын

    Hiyo milioni 24 naenda Dubai na spend wiki nzima hotel nyota 3 au 4 na starehe kama zote last day before I leave shoping ya mana 🤣🤣🤣

  • @ferdinand1880

    @ferdinand1880

    7 ай бұрын

    Wazo zuri hili😂

  • @mwanalyimo2432
    @mwanalyimo24322 жыл бұрын

    Duu kweli Mungu nipe macho na masikio na hofu Yako Mungu.

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba68022 жыл бұрын

    Alafu mbona mnauza mbuzi kwmenye gunia? Hujui unanunua nini🤔 mtu kweli anafanya booking bila kuona hicho chumba kikoje, 🙄

  • @paulm.9791
    @paulm.97912 жыл бұрын

    Don't be duped by an 'ocean-view' room Think you have been Scammed ?? Hotels are not cheap to run. I don’t get why people think hotels should be cheap. Not only are you paying to stay there, people have to be paid to make sure the place runs. Hotel equipment, furnishing and amenities have to be bought. Why are u paying $12,000.00 for a hotel. While u should invest . I called , poor financial decisions! Even some billionaires can’t do that , otherwise these Government people who’s mostly used our taxed money !! Poverty is bleak and cuts off your long-term brain. It’s why you see people with four different mindset like these who spent $12k for one freaking night ! None sense!!

  • @ericron6115

    @ericron6115

    2 жыл бұрын

    What if you have already invested, i realy dont understand your point. You dont know that that staying in that room will create a memory with love of your life for the rest of lifetime.

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya12862 жыл бұрын

    Watanzania Acheni uvivu watu wanapoamka mapema nakupambana watu wanalima mpaka wanapata mil 200 mpaka Bi ,Tafuteni pesa Omba Mungu pia Sulemani alikuwa Tajiri pia hakuna Yeyote aliyewahi kuishi duniab mwenue utajiri kama Mtumishi wa Mungu.

  • @sideboy2739

    @sideboy2739

    2 жыл бұрын

    Husomeki wewe

  • @ericron6115

    @ericron6115

    2 жыл бұрын

    Point sanaaaa

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya93292 жыл бұрын

    Ila wateja wenu wengi ni Wezi (Mafisadi) na wenye utajiri usio wa halali 😂😂🏃🏻‍♀️

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    Kwel kabisa labda uwe na hela za haramu ndo utalala apo

  • @kiri5807
    @kiri58072 жыл бұрын

    wamsubiri Irene Uwoya .

  • @anitamwehonge8287

    @anitamwehonge8287

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @ahmadnassor6004

    @ahmadnassor6004

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @zuwenaalesrizuwenaalesri7461
    @zuwenaalesrizuwenaalesri74612 жыл бұрын

    Bora nilale konyemkeka nitoe pesa zote hizo jamani Tunaenda wapi tutowe sadaka kunawatu wa naumwa wanalia hawanapesa za matibabu

  • @hannanommy9678
    @hannanommy96782 жыл бұрын

    Milion 24 chumba cha kulala? Labda walale wauza sembe sio mtanzania anaetoka jasho la Damu leo ukamtangazie kuna Room milion 24🙄🙄

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani58612 жыл бұрын

    Mungu atujaarie tu nasi tupate hela,na tusiwakejeli hao wenye hela zaoi jamani,hela ni matumizi ila matumizi yako yanategemea na vile mfuko wako jinsi ulivyo

  • @suleimanmuhammed1347

    @suleimanmuhammed1347

    2 жыл бұрын

    Hata nikiwa nazo natafuta maskinyi nawapa

  • @isackboniphace516
    @isackboniphace5162 жыл бұрын

    hakuna ata package moja naiweza mpaka sasa😂😂😂😂

  • @marieheiss6560

    @marieheiss6560

    2 жыл бұрын

    Naam, mimi pia😂😂😂😂😂

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63522 жыл бұрын

    Du! Jamaa ana sauti kama Millard Ayo.

  • @nasrahozza9231

    @nasrahozza9231

    2 жыл бұрын

    Tatiz ndio hilo mtu anaiga had sauti ,

  • @rajabually8659
    @rajabually86592 жыл бұрын

    Sisi wengine twatafuta laki tano tu kwa ajili ya matibabu hatupati lakini kuna watu wanatoa milioni 24 kwa ajili ya kulala tu usiku mmoja dah 😭 ama kweli usiseme twafa sema nafa

  • @sandalalutubija235
    @sandalalutubija2352 жыл бұрын

    Mbuzi anakula kuligana na ulefu wa kamba yake

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Anaelala Apo Niyule Asiejua Samani Ya Kutoa Sadaka Mwenye Kujipenda Yeye Na Tumbo Lake Na Asiejua Mbere Yake Kama Kiko Kifo Akatumia Matunda Yake Kwa Jamii Nisawa Kulingana Na Mazingira Lakini Kwa Mtanzania Atafosi Maisha Bandia

  • @gamma9590

    @gamma9590

    2 жыл бұрын

    Hayo ni maneno ya kimasikini, Tena jitahid uyaondoe. Ukisema hivo hata kumliki smartphone na Kuna mtu Hana uhakika wa kula ni anasa.

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    Haswaa

  • @raniamohamed9848

    @raniamohamed9848

    2 жыл бұрын

    @@gamma9590 no ndugu kuna basic needs na kuna extra which both kama unauwezo haijakatazwa wala haina madhara but too much is harmful 24ml for a room? Acha bwana hata kama unauwezo gani lazima uwe na discipline with money na kama zinachaji kichwani lazima ugive back to society.

  • @gamma9590

    @gamma9590

    2 жыл бұрын

    @@raniamohamed9848 nakuelewa unachokimaanisha lakin, ndio utofauti tunaouzungumzia, mfano Kuna mtu mshara wake ni laki 5, na anamiliki gari ya m5, na Kuna mtu mshahara wake ni m40, so huyu akienda kulala hapo ni kama ametumia tu portion ya mshahara wa mwezi

  • @gamma9590

    @gamma9590

    2 жыл бұрын

    @@raniamohamed9848 kiufupi hakuna matumizi mabaya kama haunyantasi asie nacho,

  • @staralive9260
    @staralive92602 жыл бұрын

    Hiki chumba nikilala mimi ndugu yangu, kesho nikiamka wakati nakabidhi chumba nakufa hapo hapi mimi jamani!!

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone28312 жыл бұрын

    Hapo mimi nimeshamalizia mjengo wangu kigamboni🏃‍♀🏃‍♀🏃‍♀ nani akachome hiyo mil 24 kwa ajili ya mapenzi🤑🤑🤑🤑

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai31192 жыл бұрын

    All the best friend who will be ready and able to pay and use the room. But i wish to have that money loves. When i get it, i will tell what to do with. Somebody to try giving me? 🙆‍♀️

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri23442 жыл бұрын

    No poverty before Trilion dollars home,aliye sema maneno hayo pengine kashakufa na ukweli tunauona sasa,wakati akiyaongea watu walidhani ni porojo sasa yamedhihir.

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula78482 жыл бұрын

    Ni poverty mentality personalities that are arguing with this. Even the price is a discount

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua20022 жыл бұрын

    It's okay there is a lot to cover up first you pay for the brand, your status, security etc so it's okay We live in different Glory so calm down guys just work hard and when the Grace of Lord is upon you one day you will sleep there.

  • @mottotv1055

    @mottotv1055

    2 жыл бұрын

    thats it Broo People should understand this

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu43722 жыл бұрын

    Mmmmh Mungu ni shujaa sana yaani hiii dunia watu wasingekuwa wanakufa sijui binadamu wengine wangeishije

  • @fatmaramadhani9720
    @fatmaramadhani97202 жыл бұрын

    2019 Michael jackson alilala akiwa hai au skeleton?

  • @umojamedia4167

    @umojamedia4167

    2 жыл бұрын

    Kachanganya nadhan kipindi cha mwinyi ndo alikujaga

  • @josbertjohn7207

    @josbertjohn7207

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂aseee umempatia sana

  • @magrethjackson1517

    @magrethjackson1517

    2 жыл бұрын

    Hujaelewa,kasema wameanza kutoa hii huduma kwa Valentine's toka 2019 hajasema Jackson alilala 2019 ila waliowahi kulala kwenye hiki chumba ndo wapo wengi maarufu

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe38192 жыл бұрын

    Cyo bei ghali sana, hata ukikaa kwa cku moja ni sawa maana kupanga ni kuchagua...ila tusiwasahau watu wahitaji wa maisha, ukipewa na Mungu, pia katoe kwa MASKINI.

  • @eliofootz6519
    @eliofootz65192 жыл бұрын

    Okay okay let see me at next year !! God is Good 🪴🪴

  • @justinejackson1731
    @justinejackson17312 жыл бұрын

    Ni sawa tu kwa mtu mwenye "exposure"... Kama ni mgeni wa haya mambo au haujawahi ata kutoka kwenda "out" ata na mpenzi wako au ata ww binafs, bas hapa lazma uone kama ni anasa za ajabu dunian lkn ni kawaida sana...sema kinachoamua ni uwezo wa mfuko wako ndg..

  • @reeckstar931

    @reeckstar931

    2 жыл бұрын

    Soma vizuri comment yako

  • @majaliwawilson9372

    @majaliwawilson9372

    2 жыл бұрын

    Kama unahof yamungu huwez sema haya hiyopesa nibola mtu aitowe kwa watoto yatima wazee wagonjwa kunawatu wanahitaj milion 7 tuu kunusulu maisha halaf mnasema habal yamfuko endeleeni kuipenda dunia nakusahau babuyako bibiyako hayupo duniani nalikuwacha wewe nawe utaacha hayo unayoyasifia

  • @rehaniabeta

    @rehaniabeta

    2 жыл бұрын

    Acha utumwa, hatuna neno Exposure kwenye Kiswahili. Kajifunze Kiingereza uandike sentesi zilizo kamili sio kuchanganya lugha.

  • @ramazanidjanirajabu999
    @ramazanidjanirajabu9992 жыл бұрын

    Daah uyo Dada ana mguu wa atari utafikiriya mtwangiyo

  • @Salmakikuli

    @Salmakikuli

    5 ай бұрын

    😅😅 ila nyie wat

  • @merryabiaza711
    @merryabiaza711 Жыл бұрын

    Kwan mm nikilala chumba Cha elfu 5000 tu siniusingizi ni uleule au Kuna usingizi gan huko jaman tumuogope mungu Kuna watu wakosa hata hela ya chai Ila Kuna kitu nataka kusema. Hii dunia sote tunapota hakuna kitakacho baki tuaangalie na wenzetu ambao wapo chin Zaid. Jaman ....

  • @shabanmakoye4410
    @shabanmakoye44102 жыл бұрын

    Ukilala kwenye hicho chumba unapata uzima wa milele?

  • @kisakim5660

    @kisakim5660

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂haufi kabisa

  • @marieheiss6560

    @marieheiss6560

    2 жыл бұрын

    @@kisakim5660 na pia mtu hautazeeka kamwe😂😂😂😃

  • @kisakim5660

    @kisakim5660

    2 жыл бұрын

    @@marieheiss6560 kabisa 😂😂😂😂 na utaishi humo kama paradiso no kuumwa no shida

  • @felistershayo8222
    @felistershayo82222 жыл бұрын

    Mmmmmmm yaan hii ni kiwanja n nyumba yke kwa maisha ya kawida n chenji juu

  • @mwanakomborashid7053
    @mwanakomborashid70532 жыл бұрын

    Iyoo ni kwajili ya wale wanao itwa beba honey sweetheart ila sisi akina mama jumaa tusubirii mwisho wa mwaka tukasalimie wakwee na kuangalia mashambaa

  • @najuf8021
    @najuf80212 жыл бұрын

    Barakoa kwaajili yakujikinga nacorona sasa mnaposhikana mikono umejikinga nini wabongo kuiga tu

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Жыл бұрын

    Mmmh!!! Umaskini Ndio unanifanya galiii. Mpaka niseme nikipata hiyo PESA ntapata nyumba Ya kudum mjini na kijijini watu wanapesa kwakweli Na Mm MUNGU aniinue

  • @DM_15
    @DM_152 жыл бұрын

    Yaani nigharamikiemimi kwa demu wangu hizo pesa halafu mwisho shukurani kwa mteja apple dem wangu 😂😂😂wanaume chunweni tuu mimi huo upuuz sifanyi

  • @aristarkamanzi1762
    @aristarkamanzi17622 жыл бұрын

    Ukifika hapo ukalala unaweza kuwa na akili pungufu kama yule jamaa aliyeandika kunya mafungu mafungu mpaka Kigoma

  • @fctlinesfactlines2817
    @fctlinesfactlines28172 жыл бұрын

    Ningekuwa mfanyakazi ningekuwa najilaza hapo kila siku wageni wakitoka bila kulipa hata 10

  • @mzalendoentartainment32

    @mzalendoentartainment32

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣, unamawazo mazuri kwel an

  • @natafutapesa9678

    @natafutapesa9678

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 жыл бұрын

    UKIFANYA HIVYO GUST HOUSE ZA MITAANI UTAFUKUZWA KAZI.

  • @natamushi1894
    @natamushi18942 жыл бұрын

    Mm jamani mm nikilipiwa iko chumba naenda nawanakijiji wangu woteeee staki ujinga kabisa sheeeee

  • @happynelson1136
    @happynelson11362 жыл бұрын

    Hata kama ningekuwa na hizo hela ningekuja bongo nisingefikia kwenye hicho chumba cha milioni 24 siwezi kupoteza hela zote hizo wakati kuna watu masikini na yatima wanahitaji misaada

  • @judithedison518

    @judithedison518

    2 жыл бұрын

    Unasema kwa vile huna, kama unawezo wa kupata 200mil per month what's 24mil???

  • @happynelson1136

    @happynelson1136

    2 жыл бұрын

    @@judithedison518 hata kama ningepata milioni 200 kwa mwezi lakini siwezi kulipia milioni 24 kwenye chumba cha hotell tena kwa siku moja tu huko ndiyo kuitwa kukosa akili kwa hizo hela ni heri niwasaidie ndugu zangu wasome wapate elimu itakayowasaidia baadaye

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu23802 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @lazandasweet9308
    @lazandasweet9308 Жыл бұрын

    On day na mimi sijui kama ni leo au kesho au mwezi ujao lakini naaidi nami Mungu wangu nitafika apo

  • @safiniasinyangwe4359
    @safiniasinyangwe43592 жыл бұрын

    Apo nakua nimesha enda mbeya na ndege kujenga nyumba ya wazazi wanguna naludi na ndege Bado nachenji ya kutumia fungu la kumi bila kusahau

  • @jumaramadhani5861

    @jumaramadhani5861

    2 жыл бұрын

    matumizi yako nimeyapenda bi Safinia

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes16402 жыл бұрын

    Millard mje muende na gulmet fund iko serenget sehem iitwayo nata io n chamtoto nenda gulmet utupe report

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka17122 жыл бұрын

    Huyo dada hafai kuwa meneja masoko maana anaulizwa kitu kingine anajibu kingine jibu swali la msingi watu wajue

  • @laurakisasa3162

    @laurakisasa3162

    2 жыл бұрын

    lkn ndio kashakua meneja for Over 5 yrs hyatt, ww Umekua nani??

  • @mohamedhassani2179
    @mohamedhassani21792 жыл бұрын

    Wapumbavu nyie wenye Hotel million 24 najenga banda la vyumba vitatu na kuhamia.

  • @geofreysomi5915
    @geofreysomi59152 жыл бұрын

    Cm yake haina charge

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33032 жыл бұрын

    hii rahic pia kwa wa2 ambao wanatumia credit card zao hao ukajipatia point bac huwezi lipa hii bei points zinakubeba sana jifunzeni km muna uwezo wa kulipa credit card zenye faida km hivi ata ukienda vacation na familia unachagua hotel zozote for free kwa point zako

  • @modestmkali3436

    @modestmkali3436

    2 жыл бұрын

    Sio rahisi pia kupata point zakukurahisishia kupata mambo expensive for free, maana inategemea na credit limit yako, huwezi ukawa na credit card yenye dola elfu 3 mpaka elfu 10 ukategemea eti utapata point nyingi, point za maana unazipata ukiwa na credit card limit yakuanzia dola elfu 50 na kuendelea, matajiri tu ndio hufaidika na point, lakini wengine, hupata point za kawaida tu ambapo at the end ukizi redeem Unaweza ukapata dola 100 mpaka 500 na hii ni baada ya mwaka mpaka miaka mi2

  • @brianm3160

    @brianm3160

    2 жыл бұрын

    Ivi Tanzania kuna credit cards za points?

  • @zacharianyanda5424
    @zacharianyanda54246 ай бұрын

    Hee hayo ni matumizi mabaya ya fedha. Hela kama ya kuiba, free mason au wazungu waliotuibia. 24 million ni nyingi sana usiku mmoja. Kama Rais wa nch sawa halipi yeye.

  • @onesmoakwilini7197
    @onesmoakwilini71972 жыл бұрын

    Hiyo hela unanua kiwanja na kujenga kanyumba

  • @maisarahnassoro814
    @maisarahnassoro814 Жыл бұрын

    Hata nikiwa nazo bora niwasaidie Ndugu zangu na wenye kuhitaji hizi pesa hizi matajiri kuingia peponi mtihani siwezi kuzilaani pesa hivo kuna watu wana uhitaji tele hayo ni mwazo yangu

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22212 жыл бұрын

    Unapeleka dem ama mke hapo na bado anakuacha Yeleeeuuuwwiiiiiii

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa96782 жыл бұрын

    😂😂😂 jamani eti kesho yake unaondoka asubuhi tu 24 inakua imeishia hapo duuh hatariii

  • @williamkeita1519

    @williamkeita1519

    2 жыл бұрын

    Kila saa moja ni 1milion

  • @mohamedaden5881
    @mohamedaden58812 жыл бұрын

    Nini eti milioni 24 kwa siku moja tu mimwenye laki mbili

  • @giztony2009
    @giztony20093 ай бұрын

    Nimegundua watu wote walio-Comment humu wana mawazo ya kimaskini mara ningenunua ist mara ningejenga nyumba ya vyumba 03 ila wanasahau kuwa kwenye maisha kuna levels ndo maana humu humu kuna watu tunakula kisinia cha shishi food cha 50,000 lakini kwa mtu wa kawaida let's say boda boda ataona ni kufuru kwa hiyo msishangae ni kawaida kwa mtu mwenye hiyo level

  • @benedictmhina8940
    @benedictmhina89402 жыл бұрын

    Ngoja mkeka wangu wa mill 200 utiki nikaweke heshima siku Moja tu

  • @alexvarisanga6537
    @alexvarisanga65372 жыл бұрын

    Mzee aliye chomewa nyumba

  • @athumaninyangasi6727
    @athumaninyangasi67272 жыл бұрын

    Kila mtu anautafutaji wake katika maisha kwahiyo tuwaache wale bata.

  • @meshack3266
    @meshack32662 жыл бұрын

    Kwanza ata uyo dada anavyoongea ananikela tu

  • @blaizerballer4248

    @blaizerballer4248

    Жыл бұрын

    Kwa sababu huna hela 😂

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly14882 жыл бұрын

    Tafuteni ela jaman mpunguze malalamiko na makasiriko ya matumiz ya ela za wenzenuu.... 😅😅

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94892 жыл бұрын

    Kwani kinakuja na sleeping pills, sleeping songs na life insurance?

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid81572 жыл бұрын

    Nadhani hiyo inamfaa sana MONDI & ZUCHU ktk siku yao ya tarehe 14. 😀😁😀

  • @stellamassoro5801
    @stellamassoro58012 жыл бұрын

    Duhhh..! 300,000 = Dinner tu...! Kulala kwenu 700,000 = Dinner + Pool...! Kulala kwenu

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah76642 жыл бұрын

    Elfu 5000 nalala vizuri kabisa mniache

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22212 жыл бұрын

    Mm nkajua hiyo 24mil napewa na kigari changu cha mil 20 alaf hiyo 4mil ndio inabaki kwao

  • @sideboy2739
    @sideboy27392 жыл бұрын

    Sasa jamani Chumba anasema kimeanzishwa 2019 alafu anasema washalala kina Michael Jackson na Michael kafa kitambo au Michael Wa buza Huyo aliotajwa hapo

  • @romanambelle6356

    @romanambelle6356

    2 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sauti

  • @romanambelle6356

    @romanambelle6356

    2 жыл бұрын

    Hiyo kitxhen mm nilipe halafu nipike tena

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu49412 жыл бұрын

    Royal sweet!! nililala hiko chumba mwaka Jana.Valentine ya mwaka huu naenda Dubai.

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98982 жыл бұрын

    Hata kama nikilipiwa siwezi kulala umo

  • @evidencemaimu1883
    @evidencemaimu18832 жыл бұрын

    Mtu kwa siku anaingiza ml 5 au 10 kwani ml 24 n nn kwake😂😂😂😂

  • @himidijenga535
    @himidijenga5352 жыл бұрын

    Mbona kawaida mwaka Jana nililala hapo.

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly32582 жыл бұрын

    Haya Ni yakitambo. Nendeni mkasaidie watu walio na shida,na watu wasio jiweza,

  • @HasonNyuki
    @HasonNyuki2 жыл бұрын

    🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @marieheiss6560

    @marieheiss6560

    2 жыл бұрын

    🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️

  • @kivumbigutta7780
    @kivumbigutta77802 жыл бұрын

    Show time show bize bei gani 🤣🤣

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz9792 жыл бұрын

    Irene Uu....🤑

  • @wilsonmaduhu4921
    @wilsonmaduhu49212 жыл бұрын

    Daah

  • @deospackle2158
    @deospackle21582 жыл бұрын

    ingekuwa kipindi ileeeee kesho yake check in book tungeikuta central watu waliolala umo kama ni walipa kodi na wanapiga issues gani 😃😃😃

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын

    Dada tumeshika uwongo wa kwanza tu huo ni wizi munao tumia kwa mtu wa kwanza tu ulio mtaja amefariki kabla hajaanza kufungua

  • @motivationtv4437
    @motivationtv44372 жыл бұрын

    Ngoja najiandaa njiee

  • @aristarkamanzi1762
    @aristarkamanzi17622 жыл бұрын

    Hawana akili hao ,na atakae kwenda kulala ni mpumbafu, Nenda kasaidie maskini,wajane na yatima

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 жыл бұрын

    Unasumbuliwa na umaskini

  • @gambonmgaya1286

    @gambonmgaya1286

    2 жыл бұрын

    jamaangu kuna watu wanahela wanamihela

  • @liliankessy1255

    @liliankessy1255

    2 жыл бұрын

    Washasaudiwa ndomana mtu anataka ajipongeze😂

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong39172 жыл бұрын

    Nipeni namba ya kulipia💸💸

  • @agnesskiginga3890
    @agnesskiginga38902 жыл бұрын

    Dada plz naomba namba nataka kulipia nalipia kupitia njia gan Niko tayar kulipa hata sasa hivi plz dear

  • @uwezotv
    @uwezotv Жыл бұрын

    HUYU DADA JAMANI MWENDO WAKE TU HII KWELI HUU MTEMBEO UNAITWAJE KITAALAM WENZANGU WA MITINDO MJE HAPA

  • @mohamednatwalla5121

    @mohamednatwalla5121

    3 ай бұрын

    Huo mwendo unaitwa . Kila kwa macho

  • @mbarakausein6534
    @mbarakausein65342 жыл бұрын

    Sasa kama nalala 24 izo sehem zote za vyumba ntazitumia kweli ?😃😃😃😃😃😃😃😃😃 Ila umasikini wangu huu unafanya nawaza NEGATIVE TU mnisamehe lkn

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    2 жыл бұрын

    Usjali🤣🤣🤣mi mwenyewe milion 2 tu sitowi🤣

  • @iddimgombero6853

    @iddimgombero6853

    2 жыл бұрын

    Hakiyanan

  • @mbarakausein6534

    @mbarakausein6534

    2 жыл бұрын

    @@nasraabdallah850 😆😆😆😆😆😆😆😅😊 Mungu tusaidie na sisi wooie

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    2 жыл бұрын

    Ndo apoo sasa etii kuna jiko etii choo cha pablic utafikili nakaa wiki kwaiyoo nitatembelewa na marafikii

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy8952 жыл бұрын

    Kiruuu, nanunua ist moja nabaki na change ya kujenga room mbili mwabepande

  • @jarsjam8894
    @jarsjam88942 жыл бұрын

    It's too expensive. Hao Marais hawatowi mfukoni mwao

  • @sallygrace1495

    @sallygrace1495

    2 жыл бұрын

    Pesa ya kodi ya wanaichi..

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын

    Haya mambo muongee yaishe kuna wamachinga wapo na hasira zao ukuu wasije kufunga barabara

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha29582 жыл бұрын

    Baby wangu akiniambia twende kwenye hicho chumba namwambia nipe hiyo pesa tumalizane kichakaniiiiii

  • @hemedisalim5522

    @hemedisalim5522

    2 жыл бұрын

    Sasa kichakani ukigongwa na nyoka je

  • @nadiaamisha2958

    @nadiaamisha2958

    2 жыл бұрын

    @@hemedisalim5522 hakuna kitu kama hicho🤣🤣🤣🤣

  • @ericalexandre2166

    @ericalexandre2166

    Жыл бұрын

    @@nadiaamisha2958 uko tayari kupigwa kichakani

  • @laurakisasa3162
    @laurakisasa31622 жыл бұрын

    Mdogo ako nakuangalia tu Sis😩

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita98942 жыл бұрын

    Bado sjaamini kuwa kunawatu wakubwa ambao niwajingi kiasi hiki hao ndoutawapata majinga kiwango Cha lami

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79102 жыл бұрын

    Yangu macho tu mimi sina comment😀😃😄😁😆😅🤣😂

  • @marwamaisa659
    @marwamaisa6592 жыл бұрын

    Nibola ununuwe nyumba ml 20 ml 4 ununuwe gali upatekula raha ya dunia kuliko kutema bigij kwa kalanga za kuonjeshwa

Келесі