MWANAFUNZI WA CHUO AZUA GUMZO ASHTAKI KWA CHALAMILA KUTONGOZWA FIELD NA MABABU "TUNAPATA TABU SANA"

Пікірлер: 121

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmkАй бұрын

    Hili tatizo NI KWA TANZANIA NZIMA SIO chuo hicho tu . Nahuyo dada alindwe .viongozi wa wanavyo Tanzania Wamelala sanaaaaaa

  • @froma3732

    @froma3732

    Ай бұрын

    Hili sio tatizo la Tanzania ni Ulimwengu mzima Watu wamekuwa ni kama Hayawani ndio Hali tulliyokuwa nayo hali ni Mbaya sana

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8kАй бұрын

    Daah hii ilinikuta firstyear tena lecture😢😢daah hadi sup hadi kuhama chuo nyie😢😢😢wanaume baadhi jieshimu🙌🙌

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753Ай бұрын

    Tatizo sio uzee nadhani tatizo ni kulazimisha au kutumia madaraka vibaya na kumnyima mwanafunzi nafasi mpaka akupe penzi hilo ni kosa la jinai

  • @darajalakidatukilomgi2362

    @darajalakidatukilomgi2362

    Ай бұрын

    Sio kuomba penzi ni kutaka kubaka watoto wadogo

  • @Bilioneabichwa331

    @Bilioneabichwa331

    Ай бұрын

    ​@@darajalakidatukilomgi2362zaidi ya miaka 18 sio mtoto mdogo, kasome sheria, mapenz hayana umri, ishu ni kufosi

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2nАй бұрын

    Chalamila na Makonda naona kama wanapiga kazi vizuri au Media haziwafuati wakuu wa mikoa wengine? mbona kama hawa wamechangamka zaidi❤❤

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4gАй бұрын

    Anajielewa sawa mdada. Ajengewe sanam

  • @abdsalaamndalusanye2883
    @abdsalaamndalusanye2883Ай бұрын

    Huyu Kawasemea Wengi Sana katika mabint ambao wanashindwa Kusema. Jambo hili Nichangamoto Kubwa kwenye Office za Umma. Kuna HaJa kubwa Kuwakumbusha watumishi Kusimamia Maadili. Jambo hilo limeenea Lisichukuliwe Tu personal

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123Ай бұрын

    Hicho kitu kipo miaka migi.

  • @GAYOTV2023
    @GAYOTV2023Ай бұрын

    RUSHWA YA NGONO IPO SEHEMU UNAWEZA KWENDA ILA UWE NA UHAKIKA NA USHAIDI WA KILA KITU

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880Ай бұрын

    Uyo unaemshtakia mwenyewe demu hampi nafasi hadi amuingize kwenye mfumo😂 chezea Chalamila ww😮

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1nАй бұрын

    Hayo yapo kabisa, ifikie wakati sasa wawajibishwe wenye tabia hizo kwenye Vyuo . Umri siyo tatizo jambo baya sana rushwa ya ngono.

  • @toonstz7
    @toonstz7Ай бұрын

    hivi vitu vipo sehem nyingi sana ndo maana vijana wana haribika kwa kasi sana maana

  • @MuminMuminamduni-hx4pk
    @MuminMuminamduni-hx4pkАй бұрын

    Wanatakiwa waolewe wameishakuwa

  • @user-sv3sv4xd1q
    @user-sv3sv4xd1qАй бұрын

    Mbona kama amechelewa kujua Hilo tatizo mbona limeanza toka enzi za mababu? Kuripoti TAKUKURU piga 113.

  • @user-qg3nu1kv2n
    @user-qg3nu1kv2nАй бұрын

    Wazee kawataja tu kama sehem ya kuwakilisha hili suala kwamba linafanywa na rika zote hapa haimaanishi kwamba ukiwa kijana ni ruhusa kuomba rushwa ya ngono la hasha kuomba rushwa ya ngono ni kosa kisheria na inakemewa vikali 😡😡😡

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    Ай бұрын

    Sasa sanaa ni watu wazimaaaa maan vijana badooo hawanaaa madarakaaa makbwa wengi ndo wapo kwenye ajira zakawaidaaa ilaaa hiv viboss , wakuuuu wa idaraaa oooooooooh God save us

  • @Mumewangu
    @MumewanguАй бұрын

    Mwanaume hana ubabu na kwasababu humtaki tu ndio unamwita babu

  • @kunpeter4071

    @kunpeter4071

    Ай бұрын

    Sikubmwanao akipew maambukizi na watu wa namna hio mkuu ndo utaelew hii hali

  • @leebronkasianh5296

    @leebronkasianh5296

    Ай бұрын

    Mbona wenzake wanaolewa na vibabu vya kizungu,waafrika ndio mnawaita babu,au mwanaume akiwa Hana hela ndio wanamuita babu

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    @@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    @@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    @@kunpeter4071 maambukizi haya rika ndugu siku izi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Safi sana wanatuharibia watoto wetu ujana walie wapi uzeeni wanakuja kutusulubu vijana wetu. Naomba Huyu DADA ALINDWE Maana atateseka na kunyanyeswa sana

  • @1000Brain
    @1000BrainАй бұрын

    Kesi ya tumbili kapelekewa ngedere 😂😂

  • @joachimsironga1560

    @joachimsironga1560

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 ukatuni huu sasa

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    Ай бұрын

    😅😅😅

  • @UzzaNassor

    @UzzaNassor

    Ай бұрын

    😅😅😅😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044Ай бұрын

    Nakaongea kweli kabsa hajakosea

  • @bilid4128
    @bilid4128Ай бұрын

    😅😅😅 Utajua ng'ombe hazeeki maini

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi6532Ай бұрын

    Kuna disco ....inamsubiri😂😂😂

  • @azamomar9920
    @azamomar9920Ай бұрын

    Mashaa Allah

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmkАй бұрын

    SHERIA KARI ZITUNGWE KUWALINDA WANAWAKE HUKO MASHULENI KWA TAQARIFA YENU SI KWAMBA RC HAJUI HAYO AU HAJASOMA

  • @Ambeniwatano
    @AmbeniwatanoАй бұрын

    Si unakataaa tu bibie alafu lingine ulijali auna babu au bibi

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    Hakika ndugu umesema ukweli

  • @dedoxinmatola2811
    @dedoxinmatola2811Ай бұрын

    Pole

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047Ай бұрын

    Ta Raby tusaidie kuwalinda watoto wetu.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362Ай бұрын

    Binti jasiri na mwenye kujiamini, hujampa jibu akashitaki wapi? Sio kwa mmoja na wengine tunaosikiliza tukashitaki wapi?

  • @ConfusedKelpie-is3db
    @ConfusedKelpie-is3dbАй бұрын

    Daah! Amakweli wamezidi so ukotu jamani 😂😂😂😂😂

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4pАй бұрын

    Ivi mnazani hao mnaowashtakia hawajui au wanajua ila wanajichetua t

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121Ай бұрын

    Ongera sana dada kwakujitoleya africa inalaana kubwa ifika mahala mambo kama hayo yaishe.kwanini umaskini ni mwingi tena tatizo siyo waomba rushwa ya ngono ni mabinti wanaopenda ngono kisha wanaziwiya rizki za wengine.

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын

    Nanyie wanawake muache kuwatamanixha wanaume vinguo vyenu vinaxhawixhi sisi wanaume tufanyaje jaman mjilekebixhe na mavazi yenu😁 na ivi nagombea ubunge nikipita 2 mnao vaa vimini wote mumeixha lazima niweke oja bungeni wamama wote wanao fanya taasisi yoyote katika inchi hii 🇹🇿 lazima mfunge kanga wakati munaenda makazini nipo pale labda nisipite🙏🙏🙏

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1nАй бұрын

    kweli kabisa Hilo Jambo lizingatiwe wengi una kuta ana ukimwi anatafuta wa kufanae

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293Ай бұрын

    Me tu ctak kusema kipind nasoma secondary mpak kuna wakat nilikuwa naogopa kwenda shule maana ukifika tu unaanza kujiuliza cku ya leo itaishaje

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084Ай бұрын

    madingi wanazingua sana😃, maofisini kumejaa wazinzi..kama taifa tumekuwa kama wanyama..hovyo sana (kuoa na kuolewa imekuwa sio sababu tena)...umri nao umekuwa sio sababu..mijitu ni uzinzi tu

  • @joelmgimba5297
    @joelmgimba5297Ай бұрын

    Mmmh sio kweliii😂😂😂😂

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597Ай бұрын

    Pazeni sauti mnao pitia mazingira ya namna hiiii

  • @Fks856
    @Fks856Ай бұрын

    Duh wazee wa siku izi jamani

  • @dn.n4983
    @dn.n4983Ай бұрын

    Yaani hongera ujasiri kwa Mkubwa naomba nasa hawajibike

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322Ай бұрын

    Yan issue sensitive kama hiyo, kiongozi unaanźa story za alinacha 😢,..

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752Ай бұрын

    Mkuu acha upuhuzi huyo uliye mtuma akamuhoji mwanafuzi amuhoji hapoapo na uwamuzi utowe hapohapo mkuu unasubiri kaojiwe lini na uwamuzi utautowa lini na ni wapi mkuu acha panganga mingi mwanafuzi haki hapate hapo ulipo sasa hivi vinginevyo wewe hufai kamwe. MKUU UDUMIA WATANZANIA KAMA MAKONDA JIBU KUPATIKANA HAPO KWA HAPO .

  • @paulzacharia5897
    @paulzacharia5897Ай бұрын

    Old is Gold 🎉🎉 like zangu weka apa

  • @dereva0
    @dereva0Ай бұрын

    NAMUONA MKUU WANGU WA CHUO

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331Ай бұрын

    TafutA pesa, hakuna mwanaume mzee

  • @QuithernVeronicahwatulomer
    @QuithernVeronicahwatulomerАй бұрын

    😢

  • @BarnelPharmacy-uh3mp
    @BarnelPharmacy-uh3mpАй бұрын

    Hi

  • @worldherotv
    @worldherotvАй бұрын

    Tatizo mnavyojiweka mabinti.

  • @azimioalbertongellangella8970
    @azimioalbertongellangella8970Ай бұрын

    Mfano-ni wimbo wa Faunder Tz

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678Ай бұрын

    jibu swal ?

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Kina anti Ezekiel na kina kusah😂😂😂viuchafu kabisa

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaASАй бұрын

    Yeah hiyo ni KERO KUBWA. NA WADADA WANATESEKA WAKIENDA KUOMBA KAZI

  • @acreyjohnson7407
    @acreyjohnson7407Ай бұрын

    Huyo atopata kaz maisha ameyatimba tyr😂

  • @0656033716

    @0656033716

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @muksinimbaruku1233

    @muksinimbaruku1233

    Ай бұрын

    Biashara hatofanya pia? Mbna kama akili zako zinatoka kwenye kinembe, so asiseme changamoto kisa kazi? Kuna watu hawajayasema haya na hawana kazi maisha

  • @winnerlucas5924

    @winnerlucas5924

    Ай бұрын

    Malaya wewe kwani lazima aajiriwe

  • @user-vl5tz6xt2m

    @user-vl5tz6xt2m

    Ай бұрын

    Kwa hio asiseme ukweli kwa kuogopa kukandamizwa akili gani hiyo wewe!

  • @topesafi9742
    @topesafi9742Ай бұрын

    Huyu mwanafunzi hajaongea kisomi,elimu yake bado haijambadili fikra na akili.NI AIBU KWA CHUO AU NCHI KUWA NA MWANACHUO WA UWEZO HUO.

  • @pendo8082
    @pendo8082Ай бұрын

    Kasema ukweli

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524Ай бұрын

    Duh dogo pole ndo hurka zenu mlizoumbiw Cha umuhim wajib vizur usiwatukan

  • @tembasimba9462
    @tembasimba9462Ай бұрын

    MNMA mnazinguaaa😂😂😂😂

  • @JACKOB724
    @JACKOB724Ай бұрын

    Duh huyu anajielewa kigogo

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678Ай бұрын

    kama makonda hapo hadi raha

  • @AtuMwakwenda
    @AtuMwakwendaАй бұрын

    Ww kweri

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717Ай бұрын

    Mkuu wa mkoa kajibu ki hekima zaidi.....inaweza kuwa nje ya chuo au ndani lakini ukweli muulizaji kaamaanisha ndani ya chuo.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Alafu unakuta mtu ameshaathirika lakini bado anataka kuharibu na watoto wetu

  • @fifo262
    @fifo262Ай бұрын

    Huyu binti kaamua kujitumbua ukweli ni changamoto sana

  • @SamwelSospeter-lz9fm
    @SamwelSospeter-lz9fmАй бұрын

    Mm huwa nashangaa wanaume tukitimiza wajibu wetu linakuwa ni tatizo lkn pia tukishindwa kufanya hivyo hao hao viumbe wanasema tuna matatizo hatuna lolote ktk idara hiyo je tufanyie kazi tatizo lipi?

  • @khamisswalehe
    @khamisswaleheАй бұрын

    sasa hao wanaume wanaombwa nini mbona katueka njia panda

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737Ай бұрын

    Hyo ndio rushwa ya ngono

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Niseme sio chuoni tuu hata kazini huko kuna vijitabia hivyo

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8gАй бұрын

    Chalamila nitofauti na makonda,angekuwa makonda mudahuoguo angemaliza

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Sehemu zote za kazi wanaume wanatufanyia hivyo mpaka mkutane kimwili ndo akupe kazi

  • @mohammednassor3614
    @mohammednassor3614Ай бұрын

    Toa namba ya takukuru ibandikwe kila darasa na kwenye mabweni

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    Ай бұрын

    113 piga namba hiyo ya TAKUKURU

  • @paschalkusolota877
    @paschalkusolota877Ай бұрын

    Mkuu apo bado hujatatua, swali, hivi hakuna sheria inayomshtaki moja kwa moja mtu wa hivyo..

  • @5ffGg-uy7mf

    @5ffGg-uy7mf

    Ай бұрын

    Ni kweli hapana utatuzi bado apo

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTIONАй бұрын

    We ni mwanamke ndio hivo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578Ай бұрын

    Mababu yanapenda vitoto

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hdАй бұрын

    Field skuiz imekua kama ajiraaa fyuuu tz shameless

  • @ProsperUlungi
    @ProsperUlungiАй бұрын

    Kwani ulishikiwa bunduki ukikataa utalazimishwa au ndio njaa zako

  • @AndasonMartine-vz2bq
    @AndasonMartine-vz2bqАй бұрын

    MALECTUR WENU WAMUWASEMEI APO😂

  • @tahiyasaidi6532

    @tahiyasaidi6532

    Ай бұрын

    Waseme wadisko😂😂

  • @NasraKhamis-mf3so
    @NasraKhamis-mf3soАй бұрын

    Huyo dada kashazingua nahisi ajipange tu kujiajiri Wala sio kuajiriwa kashaharibu hiii clip itadumu kwake miaka yote 😂😆😆😆🫣🫣🫣

  • @issandule1750

    @issandule1750

    Ай бұрын

    Maisha matamu sana nje ya ajira ndugu ww umekalili tu kuajiriwa kwenda kutimiza malengo ya mtu pole

  • @dereva0
    @dereva0Ай бұрын

    CHUO CHANGU MNMA...NAMUONA MADAM WANGU DEAN

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138Ай бұрын

    safi sana dada

  • @user-mv2ou6jw7p
    @user-mv2ou6jw7pАй бұрын

    Wana taka utamu tu

  • @SaidyIddy-bx5db
    @SaidyIddy-bx5dbАй бұрын

    Nice moment

  • @user13375
    @user13375Ай бұрын

    Nchi inazidi rushwa kila uchwao

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    Ай бұрын

    Rushwa mpaka ya utupu

  • @JohnMpongwe-sr7qx
    @JohnMpongwe-sr7qxАй бұрын

    Huyuu nimjingaa Kwan yy ni mtotoo

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064Ай бұрын

    Sasa si ukatae.. mkubwa wewe

  • @user-tw9wu2gz4g

    @user-tw9wu2gz4g

    Ай бұрын

    Elewa mada. Akikataa vikwazo vingi hao watu umeshikilia izo nafasi. Inamana wew hujui chochote.

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @jonasmgogosi7762
    @jonasmgogosi7762Ай бұрын

    Fuct

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945Ай бұрын

    Tatizo mavazi mnapoenda kwa wazee wa heshima vaeni kiheshima

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @nin6324

    @nin6324

    Ай бұрын

    Acha upuuzi wewe humuoni anaeshitaki alivyojihifadhi. Hayo ni matabia ya kishenzi tuu ya tamaa za baadhi ya wanaume

  • @SamwelSospeter-lz9fm

    @SamwelSospeter-lz9fm

    Ай бұрын

    Wewe huna tamaaa?

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9plАй бұрын

    Ila niwe tu mkweli mimi Nina miaka 39. Nataka kuolewa na mwanaume kuanzia miaka 40 mpaka 70

  • @thomasndabulike4735

    @thomasndabulike4735

    Ай бұрын

    Hai

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933Ай бұрын

    Imani hakuna, uzinifu umejaa Kila Kona Tena ni mwepesi kuliko ndoa, acheni kuvaa uchi wa dada

  • @BarnelPharmacy-uh3mp
    @BarnelPharmacy-uh3mpАй бұрын

    Hi

Келесі