MWANAFUNZI WA CHUO AZUA GUMZO ASHTAKI KWA CHALAMILA KUTONGOZWA FIELD NA MABABU "TUNAPATA TABU SANA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@richarddavidmkАй бұрын
Hili tatizo NI KWA TANZANIA NZIMA SIO chuo hicho tu . Nahuyo dada alindwe .viongozi wa wanavyo Tanzania Wamelala sanaaaaaa
@froma3732
Ай бұрын
Hili sio tatizo la Tanzania ni Ulimwengu mzima Watu wamekuwa ni kama Hayawani ndio Hali tulliyokuwa nayo hali ni Mbaya sana
@user-sn6dc9gh8kАй бұрын
Daah hii ilinikuta firstyear tena lecture😢😢daah hadi sup hadi kuhama chuo nyie😢😢😢wanaume baadhi jieshimu🙌🙌
@saidsuleiman1753Ай бұрын
Tatizo sio uzee nadhani tatizo ni kulazimisha au kutumia madaraka vibaya na kumnyima mwanafunzi nafasi mpaka akupe penzi hilo ni kosa la jinai
@darajalakidatukilomgi2362
Ай бұрын
Sio kuomba penzi ni kutaka kubaka watoto wadogo
@Bilioneabichwa331
Ай бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362zaidi ya miaka 18 sio mtoto mdogo, kasome sheria, mapenz hayana umri, ishu ni kufosi
@user-zs4qz4wm2nАй бұрын
Chalamila na Makonda naona kama wanapiga kazi vizuri au Media haziwafuati wakuu wa mikoa wengine? mbona kama hawa wamechangamka zaidi❤❤
@user-tw9wu2gz4gАй бұрын
Anajielewa sawa mdada. Ajengewe sanam
@abdsalaamndalusanye2883Ай бұрын
Huyu Kawasemea Wengi Sana katika mabint ambao wanashindwa Kusema. Jambo hili Nichangamoto Kubwa kwenye Office za Umma. Kuna HaJa kubwa Kuwakumbusha watumishi Kusimamia Maadili. Jambo hilo limeenea Lisichukuliwe Tu personal
@albertinamichael6123Ай бұрын
Hicho kitu kipo miaka migi.
@GAYOTV2023Ай бұрын
RUSHWA YA NGONO IPO SEHEMU UNAWEZA KWENDA ILA UWE NA UHAKIKA NA USHAIDI WA KILA KITU
@abdulmohd6880Ай бұрын
Uyo unaemshtakia mwenyewe demu hampi nafasi hadi amuingize kwenye mfumo😂 chezea Chalamila ww😮
@user-ly2tv5og1nАй бұрын
Hayo yapo kabisa, ifikie wakati sasa wawajibishwe wenye tabia hizo kwenye Vyuo . Umri siyo tatizo jambo baya sana rushwa ya ngono.
@toonstz7Ай бұрын
hivi vitu vipo sehem nyingi sana ndo maana vijana wana haribika kwa kasi sana maana
@MuminMuminamduni-hx4pkАй бұрын
Wanatakiwa waolewe wameishakuwa
@user-sv3sv4xd1qАй бұрын
Mbona kama amechelewa kujua Hilo tatizo mbona limeanza toka enzi za mababu? Kuripoti TAKUKURU piga 113.
@user-qg3nu1kv2nАй бұрын
Wazee kawataja tu kama sehem ya kuwakilisha hili suala kwamba linafanywa na rika zote hapa haimaanishi kwamba ukiwa kijana ni ruhusa kuomba rushwa ya ngono la hasha kuomba rushwa ya ngono ni kosa kisheria na inakemewa vikali 😡😡😡
@mwanaidimussa
Ай бұрын
Sasa sanaa ni watu wazimaaaa maan vijana badooo hawanaaa madarakaaa makbwa wengi ndo wapo kwenye ajira zakawaidaaa ilaaa hiv viboss , wakuuuu wa idaraaa oooooooooh God save us
@MumewanguАй бұрын
Mwanaume hana ubabu na kwasababu humtaki tu ndio unamwita babu
@kunpeter4071
Ай бұрын
Sikubmwanao akipew maambukizi na watu wa namna hio mkuu ndo utaelew hii hali
@leebronkasianh5296
Ай бұрын
Mbona wenzake wanaolewa na vibabu vya kizungu,waafrika ndio mnawaita babu,au mwanaume akiwa Hana hela ndio wanamuita babu
@Mumewangu
Ай бұрын
@@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi
@Mumewangu
Ай бұрын
@@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi
@Mumewangu
Ай бұрын
@@kunpeter4071 maambukizi haya rika ndugu siku izi
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Safi sana wanatuharibia watoto wetu ujana walie wapi uzeeni wanakuja kutusulubu vijana wetu. Naomba Huyu DADA ALINDWE Maana atateseka na kunyanyeswa sana
@1000BrainАй бұрын
Kesi ya tumbili kapelekewa ngedere 😂😂
@joachimsironga1560
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 ukatuni huu sasa
@Sheba4651
Ай бұрын
😅😅😅
@UzzaNassor
Ай бұрын
😅😅😅😂
@omanoman2044Ай бұрын
Nakaongea kweli kabsa hajakosea
@bilid4128Ай бұрын
😅😅😅 Utajua ng'ombe hazeeki maini
@tahiyasaidi6532Ай бұрын
Kuna disco ....inamsubiri😂😂😂
@azamomar9920Ай бұрын
Mashaa Allah
@richarddavidmkАй бұрын
SHERIA KARI ZITUNGWE KUWALINDA WANAWAKE HUKO MASHULENI KWA TAQARIFA YENU SI KWAMBA RC HAJUI HAYO AU HAJASOMA
@AmbeniwatanoАй бұрын
Si unakataaa tu bibie alafu lingine ulijali auna babu au bibi
@Mumewangu
Ай бұрын
Hakika ndugu umesema ukweli
@dedoxinmatola2811Ай бұрын
Pole
@salimharrasy7047Ай бұрын
Ta Raby tusaidie kuwalinda watoto wetu.
@darajalakidatukilomgi2362Ай бұрын
Binti jasiri na mwenye kujiamini, hujampa jibu akashitaki wapi? Sio kwa mmoja na wengine tunaosikiliza tukashitaki wapi?
@ConfusedKelpie-is3dbАй бұрын
Daah! Amakweli wamezidi so ukotu jamani 😂😂😂😂😂
@user-wr3jp6tg4pАй бұрын
Ivi mnazani hao mnaowashtakia hawajui au wanajua ila wanajichetua t
@lunangabenjamin3121Ай бұрын
Ongera sana dada kwakujitoleya africa inalaana kubwa ifika mahala mambo kama hayo yaishe.kwanini umaskini ni mwingi tena tatizo siyo waomba rushwa ya ngono ni mabinti wanaopenda ngono kisha wanaziwiya rizki za wengine.
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
Nanyie wanawake muache kuwatamanixha wanaume vinguo vyenu vinaxhawixhi sisi wanaume tufanyaje jaman mjilekebixhe na mavazi yenu😁 na ivi nagombea ubunge nikipita 2 mnao vaa vimini wote mumeixha lazima niweke oja bungeni wamama wote wanao fanya taasisi yoyote katika inchi hii 🇹🇿 lazima mfunge kanga wakati munaenda makazini nipo pale labda nisipite🙏🙏🙏
@user-ji1mq4sk1nАй бұрын
kweli kabisa Hilo Jambo lizingatiwe wengi una kuta ana ukimwi anatafuta wa kufanae
@femidayahaya9293Ай бұрын
Me tu ctak kusema kipind nasoma secondary mpak kuna wakat nilikuwa naogopa kwenda shule maana ukifika tu unaanza kujiuliza cku ya leo itaishaje
@paulmadundo8084Ай бұрын
madingi wanazingua sana😃, maofisini kumejaa wazinzi..kama taifa tumekuwa kama wanyama..hovyo sana (kuoa na kuolewa imekuwa sio sababu tena)...umri nao umekuwa sio sababu..mijitu ni uzinzi tu
@joelmgimba5297Ай бұрын
Mmmh sio kweliii😂😂😂😂
@philemornmutta1597Ай бұрын
Pazeni sauti mnao pitia mazingira ya namna hiiii
@Fks856Ай бұрын
Duh wazee wa siku izi jamani
@dn.n4983Ай бұрын
Yaani hongera ujasiri kwa Mkubwa naomba nasa hawajibike
@abdulkheri7322Ай бұрын
Yan issue sensitive kama hiyo, kiongozi unaanźa story za alinacha 😢,..
@babuuosama8752Ай бұрын
Mkuu acha upuhuzi huyo uliye mtuma akamuhoji mwanafuzi amuhoji hapoapo na uwamuzi utowe hapohapo mkuu unasubiri kaojiwe lini na uwamuzi utautowa lini na ni wapi mkuu acha panganga mingi mwanafuzi haki hapate hapo ulipo sasa hivi vinginevyo wewe hufai kamwe. MKUU UDUMIA WATANZANIA KAMA MAKONDA JIBU KUPATIKANA HAPO KWA HAPO .
@paulzacharia5897Ай бұрын
Old is Gold 🎉🎉 like zangu weka apa
@dereva0Ай бұрын
NAMUONA MKUU WANGU WA CHUO
@Bilioneabichwa331Ай бұрын
TafutA pesa, hakuna mwanaume mzee
@QuithernVeronicahwatulomerАй бұрын
😢
@BarnelPharmacy-uh3mpАй бұрын
Hi
@worldherotvАй бұрын
Tatizo mnavyojiweka mabinti.
@azimioalbertongellangella8970Ай бұрын
Mfano-ni wimbo wa Faunder Tz
@majidimussa8678Ай бұрын
jibu swal ?
@annamussa185Ай бұрын
Kina anti Ezekiel na kina kusah😂😂😂viuchafu kabisa
@itanzaniaASАй бұрын
Yeah hiyo ni KERO KUBWA. NA WADADA WANATESEKA WAKIENDA KUOMBA KAZI
@acreyjohnson7407Ай бұрын
Huyo atopata kaz maisha ameyatimba tyr😂
@0656033716
Ай бұрын
😂😂😂😂
@muksinimbaruku1233
Ай бұрын
Biashara hatofanya pia? Mbna kama akili zako zinatoka kwenye kinembe, so asiseme changamoto kisa kazi? Kuna watu hawajayasema haya na hawana kazi maisha
@winnerlucas5924
Ай бұрын
Malaya wewe kwani lazima aajiriwe
@user-vl5tz6xt2m
Ай бұрын
Kwa hio asiseme ukweli kwa kuogopa kukandamizwa akili gani hiyo wewe!
@topesafi9742Ай бұрын
Huyu mwanafunzi hajaongea kisomi,elimu yake bado haijambadili fikra na akili.NI AIBU KWA CHUO AU NCHI KUWA NA MWANACHUO WA UWEZO HUO.
@pendo8082Ай бұрын
Kasema ukweli
@salimmbilu4524Ай бұрын
Duh dogo pole ndo hurka zenu mlizoumbiw Cha umuhim wajib vizur usiwatukan
@tembasimba9462Ай бұрын
MNMA mnazinguaaa😂😂😂😂
@JACKOB724Ай бұрын
Duh huyu anajielewa kigogo
@majidimussa8678Ай бұрын
kama makonda hapo hadi raha
@AtuMwakwendaАй бұрын
Ww kweri
@abdullayahya8717Ай бұрын
Mkuu wa mkoa kajibu ki hekima zaidi.....inaweza kuwa nje ya chuo au ndani lakini ukweli muulizaji kaamaanisha ndani ya chuo.
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Alafu unakuta mtu ameshaathirika lakini bado anataka kuharibu na watoto wetu
@fifo262Ай бұрын
Huyu binti kaamua kujitumbua ukweli ni changamoto sana
@SamwelSospeter-lz9fmАй бұрын
Mm huwa nashangaa wanaume tukitimiza wajibu wetu linakuwa ni tatizo lkn pia tukishindwa kufanya hivyo hao hao viumbe wanasema tuna matatizo hatuna lolote ktk idara hiyo je tufanyie kazi tatizo lipi?
@khamisswaleheАй бұрын
sasa hao wanaume wanaombwa nini mbona katueka njia panda
@barikilangoy4737Ай бұрын
Hyo ndio rushwa ya ngono
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Niseme sio chuoni tuu hata kazini huko kuna vijitabia hivyo
@user-yw3qh6qj8gАй бұрын
Chalamila nitofauti na makonda,angekuwa makonda mudahuoguo angemaliza
@annamussa185Ай бұрын
Sehemu zote za kazi wanaume wanatufanyia hivyo mpaka mkutane kimwili ndo akupe kazi
@mohammednassor3614Ай бұрын
Toa namba ya takukuru ibandikwe kila darasa na kwenye mabweni
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
113 piga namba hiyo ya TAKUKURU
@paschalkusolota877Ай бұрын
Mkuu apo bado hujatatua, swali, hivi hakuna sheria inayomshtaki moja kwa moja mtu wa hivyo..
@5ffGg-uy7mf
Ай бұрын
Ni kweli hapana utatuzi bado apo
@BONGOINMOTIONАй бұрын
We ni mwanamke ndio hivo
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Mababu yanapenda vitoto
@HabibuHoseni-sv8hdАй бұрын
Field skuiz imekua kama ajiraaa fyuuu tz shameless
@ProsperUlungiАй бұрын
Kwani ulishikiwa bunduki ukikataa utalazimishwa au ndio njaa zako
@AndasonMartine-vz2bqАй бұрын
MALECTUR WENU WAMUWASEMEI APO😂
@tahiyasaidi6532
Ай бұрын
Waseme wadisko😂😂
@NasraKhamis-mf3soАй бұрын
Huyo dada kashazingua nahisi ajipange tu kujiajiri Wala sio kuajiriwa kashaharibu hiii clip itadumu kwake miaka yote 😂😆😆😆🫣🫣🫣
@issandule1750
Ай бұрын
Maisha matamu sana nje ya ajira ndugu ww umekalili tu kuajiriwa kwenda kutimiza malengo ya mtu pole
Пікірлер: 121
Hili tatizo NI KWA TANZANIA NZIMA SIO chuo hicho tu . Nahuyo dada alindwe .viongozi wa wanavyo Tanzania Wamelala sanaaaaaa
@froma3732
Ай бұрын
Hili sio tatizo la Tanzania ni Ulimwengu mzima Watu wamekuwa ni kama Hayawani ndio Hali tulliyokuwa nayo hali ni Mbaya sana
Daah hii ilinikuta firstyear tena lecture😢😢daah hadi sup hadi kuhama chuo nyie😢😢😢wanaume baadhi jieshimu🙌🙌
Tatizo sio uzee nadhani tatizo ni kulazimisha au kutumia madaraka vibaya na kumnyima mwanafunzi nafasi mpaka akupe penzi hilo ni kosa la jinai
@darajalakidatukilomgi2362
Ай бұрын
Sio kuomba penzi ni kutaka kubaka watoto wadogo
@Bilioneabichwa331
Ай бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362zaidi ya miaka 18 sio mtoto mdogo, kasome sheria, mapenz hayana umri, ishu ni kufosi
Chalamila na Makonda naona kama wanapiga kazi vizuri au Media haziwafuati wakuu wa mikoa wengine? mbona kama hawa wamechangamka zaidi❤❤
Anajielewa sawa mdada. Ajengewe sanam
Huyu Kawasemea Wengi Sana katika mabint ambao wanashindwa Kusema. Jambo hili Nichangamoto Kubwa kwenye Office za Umma. Kuna HaJa kubwa Kuwakumbusha watumishi Kusimamia Maadili. Jambo hilo limeenea Lisichukuliwe Tu personal
Hicho kitu kipo miaka migi.
RUSHWA YA NGONO IPO SEHEMU UNAWEZA KWENDA ILA UWE NA UHAKIKA NA USHAIDI WA KILA KITU
Uyo unaemshtakia mwenyewe demu hampi nafasi hadi amuingize kwenye mfumo😂 chezea Chalamila ww😮
Hayo yapo kabisa, ifikie wakati sasa wawajibishwe wenye tabia hizo kwenye Vyuo . Umri siyo tatizo jambo baya sana rushwa ya ngono.
hivi vitu vipo sehem nyingi sana ndo maana vijana wana haribika kwa kasi sana maana
Wanatakiwa waolewe wameishakuwa
Mbona kama amechelewa kujua Hilo tatizo mbona limeanza toka enzi za mababu? Kuripoti TAKUKURU piga 113.
Wazee kawataja tu kama sehem ya kuwakilisha hili suala kwamba linafanywa na rika zote hapa haimaanishi kwamba ukiwa kijana ni ruhusa kuomba rushwa ya ngono la hasha kuomba rushwa ya ngono ni kosa kisheria na inakemewa vikali 😡😡😡
@mwanaidimussa
Ай бұрын
Sasa sanaa ni watu wazimaaaa maan vijana badooo hawanaaa madarakaaa makbwa wengi ndo wapo kwenye ajira zakawaidaaa ilaaa hiv viboss , wakuuuu wa idaraaa oooooooooh God save us
Mwanaume hana ubabu na kwasababu humtaki tu ndio unamwita babu
@kunpeter4071
Ай бұрын
Sikubmwanao akipew maambukizi na watu wa namna hio mkuu ndo utaelew hii hali
@leebronkasianh5296
Ай бұрын
Mbona wenzake wanaolewa na vibabu vya kizungu,waafrika ndio mnawaita babu,au mwanaume akiwa Hana hela ndio wanamuita babu
@Mumewangu
Ай бұрын
@@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi
@Mumewangu
Ай бұрын
@@leebronkasianh5296 hahaha ukiwa huna utaitwa kibabu tena kibabu kichawi
@Mumewangu
Ай бұрын
@@kunpeter4071 maambukizi haya rika ndugu siku izi
Safi sana wanatuharibia watoto wetu ujana walie wapi uzeeni wanakuja kutusulubu vijana wetu. Naomba Huyu DADA ALINDWE Maana atateseka na kunyanyeswa sana
Kesi ya tumbili kapelekewa ngedere 😂😂
@joachimsironga1560
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 ukatuni huu sasa
@Sheba4651
Ай бұрын
😅😅😅
@UzzaNassor
Ай бұрын
😅😅😅😂
Nakaongea kweli kabsa hajakosea
😅😅😅 Utajua ng'ombe hazeeki maini
Kuna disco ....inamsubiri😂😂😂
Mashaa Allah
SHERIA KARI ZITUNGWE KUWALINDA WANAWAKE HUKO MASHULENI KWA TAQARIFA YENU SI KWAMBA RC HAJUI HAYO AU HAJASOMA
Si unakataaa tu bibie alafu lingine ulijali auna babu au bibi
@Mumewangu
Ай бұрын
Hakika ndugu umesema ukweli
Pole
Ta Raby tusaidie kuwalinda watoto wetu.
Binti jasiri na mwenye kujiamini, hujampa jibu akashitaki wapi? Sio kwa mmoja na wengine tunaosikiliza tukashitaki wapi?
Daah! Amakweli wamezidi so ukotu jamani 😂😂😂😂😂
Ivi mnazani hao mnaowashtakia hawajui au wanajua ila wanajichetua t
Ongera sana dada kwakujitoleya africa inalaana kubwa ifika mahala mambo kama hayo yaishe.kwanini umaskini ni mwingi tena tatizo siyo waomba rushwa ya ngono ni mabinti wanaopenda ngono kisha wanaziwiya rizki za wengine.
Nanyie wanawake muache kuwatamanixha wanaume vinguo vyenu vinaxhawixhi sisi wanaume tufanyaje jaman mjilekebixhe na mavazi yenu😁 na ivi nagombea ubunge nikipita 2 mnao vaa vimini wote mumeixha lazima niweke oja bungeni wamama wote wanao fanya taasisi yoyote katika inchi hii 🇹🇿 lazima mfunge kanga wakati munaenda makazini nipo pale labda nisipite🙏🙏🙏
kweli kabisa Hilo Jambo lizingatiwe wengi una kuta ana ukimwi anatafuta wa kufanae
Me tu ctak kusema kipind nasoma secondary mpak kuna wakat nilikuwa naogopa kwenda shule maana ukifika tu unaanza kujiuliza cku ya leo itaishaje
madingi wanazingua sana😃, maofisini kumejaa wazinzi..kama taifa tumekuwa kama wanyama..hovyo sana (kuoa na kuolewa imekuwa sio sababu tena)...umri nao umekuwa sio sababu..mijitu ni uzinzi tu
Mmmh sio kweliii😂😂😂😂
Pazeni sauti mnao pitia mazingira ya namna hiiii
Duh wazee wa siku izi jamani
Yaani hongera ujasiri kwa Mkubwa naomba nasa hawajibike
Yan issue sensitive kama hiyo, kiongozi unaanźa story za alinacha 😢,..
Mkuu acha upuhuzi huyo uliye mtuma akamuhoji mwanafuzi amuhoji hapoapo na uwamuzi utowe hapohapo mkuu unasubiri kaojiwe lini na uwamuzi utautowa lini na ni wapi mkuu acha panganga mingi mwanafuzi haki hapate hapo ulipo sasa hivi vinginevyo wewe hufai kamwe. MKUU UDUMIA WATANZANIA KAMA MAKONDA JIBU KUPATIKANA HAPO KWA HAPO .
Old is Gold 🎉🎉 like zangu weka apa
NAMUONA MKUU WANGU WA CHUO
TafutA pesa, hakuna mwanaume mzee
😢
Hi
Tatizo mnavyojiweka mabinti.
Mfano-ni wimbo wa Faunder Tz
jibu swal ?
Kina anti Ezekiel na kina kusah😂😂😂viuchafu kabisa
Yeah hiyo ni KERO KUBWA. NA WADADA WANATESEKA WAKIENDA KUOMBA KAZI
Huyo atopata kaz maisha ameyatimba tyr😂
@0656033716
Ай бұрын
😂😂😂😂
@muksinimbaruku1233
Ай бұрын
Biashara hatofanya pia? Mbna kama akili zako zinatoka kwenye kinembe, so asiseme changamoto kisa kazi? Kuna watu hawajayasema haya na hawana kazi maisha
@winnerlucas5924
Ай бұрын
Malaya wewe kwani lazima aajiriwe
@user-vl5tz6xt2m
Ай бұрын
Kwa hio asiseme ukweli kwa kuogopa kukandamizwa akili gani hiyo wewe!
Huyu mwanafunzi hajaongea kisomi,elimu yake bado haijambadili fikra na akili.NI AIBU KWA CHUO AU NCHI KUWA NA MWANACHUO WA UWEZO HUO.
Kasema ukweli
Duh dogo pole ndo hurka zenu mlizoumbiw Cha umuhim wajib vizur usiwatukan
MNMA mnazinguaaa😂😂😂😂
Duh huyu anajielewa kigogo
kama makonda hapo hadi raha
Ww kweri
Mkuu wa mkoa kajibu ki hekima zaidi.....inaweza kuwa nje ya chuo au ndani lakini ukweli muulizaji kaamaanisha ndani ya chuo.
Alafu unakuta mtu ameshaathirika lakini bado anataka kuharibu na watoto wetu
Huyu binti kaamua kujitumbua ukweli ni changamoto sana
Mm huwa nashangaa wanaume tukitimiza wajibu wetu linakuwa ni tatizo lkn pia tukishindwa kufanya hivyo hao hao viumbe wanasema tuna matatizo hatuna lolote ktk idara hiyo je tufanyie kazi tatizo lipi?
sasa hao wanaume wanaombwa nini mbona katueka njia panda
Hyo ndio rushwa ya ngono
Niseme sio chuoni tuu hata kazini huko kuna vijitabia hivyo
Chalamila nitofauti na makonda,angekuwa makonda mudahuoguo angemaliza
Sehemu zote za kazi wanaume wanatufanyia hivyo mpaka mkutane kimwili ndo akupe kazi
Toa namba ya takukuru ibandikwe kila darasa na kwenye mabweni
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
113 piga namba hiyo ya TAKUKURU
Mkuu apo bado hujatatua, swali, hivi hakuna sheria inayomshtaki moja kwa moja mtu wa hivyo..
@5ffGg-uy7mf
Ай бұрын
Ni kweli hapana utatuzi bado apo
We ni mwanamke ndio hivo
Mababu yanapenda vitoto
Field skuiz imekua kama ajiraaa fyuuu tz shameless
Kwani ulishikiwa bunduki ukikataa utalazimishwa au ndio njaa zako
MALECTUR WENU WAMUWASEMEI APO😂
@tahiyasaidi6532
Ай бұрын
Waseme wadisko😂😂
Huyo dada kashazingua nahisi ajipange tu kujiajiri Wala sio kuajiriwa kashaharibu hiii clip itadumu kwake miaka yote 😂😆😆😆🫣🫣🫣
@issandule1750
Ай бұрын
Maisha matamu sana nje ya ajira ndugu ww umekalili tu kuajiriwa kwenda kutimiza malengo ya mtu pole
CHUO CHANGU MNMA...NAMUONA MADAM WANGU DEAN
safi sana dada
Wana taka utamu tu
Nice moment
Nchi inazidi rushwa kila uchwao
@Sheba4651
Ай бұрын
Rushwa mpaka ya utupu
Huyuu nimjingaa Kwan yy ni mtotoo
Sasa si ukatae.. mkubwa wewe
@user-tw9wu2gz4g
Ай бұрын
Elewa mada. Akikataa vikwazo vingi hao watu umeshikilia izo nafasi. Inamana wew hujui chochote.
@Mumewangu
Ай бұрын
Kweli kabisa
Fuct
Tatizo mavazi mnapoenda kwa wazee wa heshima vaeni kiheshima
@Mumewangu
Ай бұрын
Kweli kabisa
@nin6324
Ай бұрын
Acha upuuzi wewe humuoni anaeshitaki alivyojihifadhi. Hayo ni matabia ya kishenzi tuu ya tamaa za baadhi ya wanaume
@SamwelSospeter-lz9fm
Ай бұрын
Wewe huna tamaaa?
Ila niwe tu mkweli mimi Nina miaka 39. Nataka kuolewa na mwanaume kuanzia miaka 40 mpaka 70
@thomasndabulike4735
Ай бұрын
Hai
Imani hakuna, uzinifu umejaa Kila Kona Tena ni mwepesi kuliko ndoa, acheni kuvaa uchi wa dada
Hi