Mwalimu huyu ni kiboko ona anavyotumia mbinu mbadala kurahisisha watoto kuelewa hisabati
Unaamini kuwa somo la hisabati ni gumu sana?
Huenda hukupata msingi mzuri wa kusoma somo hilo na kama hivyo ndivyo tazama ubunifu huu wa kusomesha hisabati kwa watoto wadogo.
Пікірлер: 6
Hongera
Asante
Vizuri
Hongera sana baba
Hongera sana
Hisabati kipindi nnasoma alikuwa mama mkwe