MSHIKEMSHIKE VIWANJANI 05/07/2024

Спорт

Tazama kipindi ch Mshikemshike viwanjani ambapo habari kubwa ni hafla ya uzinduzi wa Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya AFCON 2027 iliyofanyika katika hoteli ya Johari Rotana Dar es Salaam.
Yanga SC, yafanya dua ya kumuombea aliyekuwa Mwenyekiti na Mfadhili wao marehemu Yusuf Manji.

Пікірлер: 5

  • @Sarivelame-ci9zv
    @Sarivelame-ci9zv3 күн бұрын

    Nice news ❤

  • @SINGLEBOY75458
    @SINGLEBOY754583 күн бұрын

    Thank kwa taharifa n zzz uli

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa3 күн бұрын

    Yanga msajili ambangula

  • @HassanRamadhani-xn3cg
    @HassanRamadhani-xn3cg2 күн бұрын

    Kufigia nyumba yako mpaka mgeni afike Hapo Mh, Waziri panatakiwa miundo mbinu hiyo isiwe panapo fika wageni tu isiwe unakula nyama siku ya mgeni.

  • @shaibumaulid3
    @shaibumaulid33 күн бұрын

    Tuimalike pia katika miundombinu ya viwanja jamani bado kuna mikoa iko chini sana kwenye ubora wa viwango vyake.

Келесі