Asante sana barikiwa mwalimu kwa sisi wazazi inatuhusu sana kwa kweli
@ashuraiddy13713 жыл бұрын
Kaka mie mtoto wangu anaumri wa mwaka mmoja na miez 7 ni mkali Sana kwa Kaka yke na nikweli inatokana na Mimi mwenyewe nikiwa na hasira nakua mkali Sana kwa watoto nimejaribu kuacha hii Hali nimeshindwa na inanikera Sana naomba unisaidie kuepukana na hii hali
@latifachilala2015
Жыл бұрын
Wewe ni Mimi kabisa itakuwa singo maza kama mimi
@bonifaceferdinand566
Жыл бұрын
Mtoto hawezi kulelewa na mama peke yake,Kuna umuhimu mkubwa mtoto kulelewa mama na baba.
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
ELOHIM Wakolosai 1:13-17, EL-GIBBOR Isaiah 9:6, LUKE 1:32-33, YEHOVAH YIRE Zaburi 71:1-24, Mwanzo 22:8-14, 3:22-23.JOEL NANAUKA NAKUPENDA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI (Yohana 14:13-14).
@omarimadiva53523 жыл бұрын
Ni kweli kaka lakini Tiba kubwa Ni kuwapa maneno ya mungu,kuwaepusha na watu wa ovyo na yote kwa yote, mzazi askose Maombi kwa ajili ya mtoto
@awalimunishi2 жыл бұрын
Mfano hilo neno hivi wewe una akili kweli au pumbavu kabsaa niligundua mwanangu anapenda kuyasema hayo na nilipochunguza nikagundua mimi ndiye msababishi basi nikamuomba Mungu anisaidie kubadilika utu wangu wa ndani,nilipobadilika mimi na mwanangu akabadilika.
@liberatussylvanus54773 жыл бұрын
Hiyotabia ipo mpakakwawatuwazima especially bullying
@benostanslaus36323 жыл бұрын
saf sana nanauka kwa elimu unayotupa kila sku God bless you
@khadijamtumwa94213 жыл бұрын
Mwanangu anaupenda sana uongo cjui nimsaidiaje naomba msaada wako.
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii, umenifumbua ktk somo hili kwa malezi ya mtoto.
@mwanaimaabdallah78253 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa Ubarikiwe brother Joel
@juliethfrank66263 жыл бұрын
Uko sahihi sana brother mnoo,mimi napenda kuongea zaidi na watoto wangu kuliko kuchapa hii nadhani ni nzuri sana,lkn ni vema ungetufundisha pia na namna ya kuwasaidia watoto kuondokana na tabia hizi
@ruthmwakyusa7053 жыл бұрын
Nashukuru Sana kwa kunifumbua macho,kunatabia naiona kwa mwanangu, sasa nachukua hatua ya Kiroho na kimwili ili afunguliwe.Mungu azidi kukutumia
@rehemamwasomola43623 жыл бұрын
THANKS SOMO NI ZURI NA NI MUHIMU SANA
@thuwaibawadi96722 жыл бұрын
Asante Sana kaka...mm mtoto wangu anahasira kama mtu mzima ila tutajitahidi
@michaelshayo1873 жыл бұрын
Kweli kaka leo nimejifunza kikubwa sana kuhusu kuwatambua watoto
@avelinalukanazya48893 жыл бұрын
Nimejifunza jambo kubwa ila pia watu wanaowazunguka uchangia Sana hii tabia ya bullying.
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Big sana brother Joel nanauka daima sintochoka kuangalia video zako. Maana huwa zinanipeleka katika safari ya maisha yangu ambayo siwezi kwenda mwenyewe
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel Nanauka......
@johnmanase28743 жыл бұрын
Aksante bro. Hii somo zuri sana.
@ladslauspius48453 жыл бұрын
Vipi kwa zile taibia ambazo ni kurithi toka kwa wazazi wake?
@nursechunga44702 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka Joel, umenielimisha Sana🙏
@Udindigwa8 ай бұрын
Amina Baba
@singasinga26633 жыл бұрын
Thnks bro
@fatmakessy9813 жыл бұрын
Asante sn kk Joel nimejifunza mengi sn kwako lkn naitaj kuwasilina na wewe zaid ilikujifunza zaid plz
@rachelysanga50699 ай бұрын
Nimepata somo kubwa sana kaka mungu akubariki mlezi muelimishaji 🙌
@veronicambendule88532 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka kwa elimu
@TeacherHeroTz3 жыл бұрын
Ukweli mtupu brother Joel
@aash4145 Жыл бұрын
Shukrani kaka kwa elimu unayotupa
@fathiyaabdallah46832 ай бұрын
Naomba no mwalimu
@Alama_Tv_online3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, ni somo zuri sana. Hongera mwalimu lakini nina swali. Wanaotazama hizi videos au haya masomo kwa asilimia kubwa ni vijana , Vipi umejipanga vingi kuwafikia watu ambao hawatumii social networks ? I wish kila mmoja angepata hili somo
@chuggapjt3782
3 жыл бұрын
Dunia ya sasa hivi?
@abdultandala96003 жыл бұрын
Brother hajawahi kuvuluga mada zako big up''
@deborakasambula74313 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa maelekezo nikwel kabisa
@zabronsuleiman6643 жыл бұрын
Thanks bro
@mchmwal...z.a.ndelwa78383 жыл бұрын
Kalibu tunduma
@ushindielia9886 Жыл бұрын
Nimejifunza that xo much
@mchmwal...z.a.ndelwa78383 жыл бұрын
Asante sana
@marselinakinyagha828424 күн бұрын
Thanks
@elibaricksadock95623 жыл бұрын
Nakubali
@aminatumbo74103 жыл бұрын
Duuh ushasema wangu..huvunja ama hata kuharibu nilivopanga nyumba..na mmoja hujiangusha chini yani natatizika pia..
@user-dx9lf4wq1n8 ай бұрын
Hongera brother mm nilikutana na tabia ya bullying tena alikua mtu mkubwa sanaa kwang lakin alikua akiniona na furaha na aman anatafuta kitu cha kunikatisha furaha na aman
@dainessgift79403 жыл бұрын
Barikiwa
@bernadethajackson8702 Жыл бұрын
Nimekuelewa Sana nashkur kwa ushaur
@zainabujuma23593 жыл бұрын
Asante
@michaelmatheo2 ай бұрын
Kaka me mtoto wangu ana mwaka mmoja lk anatokwa naa jasho nying akiwa ananyonya au akiwa amelala mchana ata wakati wa baridi sijui shida nini
@ombeniestomih89343 жыл бұрын
Hiyo bullying watu wengi wanayo kwa kweli hasa watu wazima
@manenolugendo63963 жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@neemankya55512 жыл бұрын
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha..anarud Yuko sawa kabisaa afu ana miaka miwili
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa😊
@ernestmbwete44803 жыл бұрын
Kaka mm wenzangu walikuwawananisaidia kuosha vyombo mdamwingine adi kufua ili2 nkacheze mpila sababu dada alikuwa anasema aiwezekani kwenda kucheza adi nimalize kazi
@mwamvuakibenga97883 жыл бұрын
Tabia ya uongo nimekutana nazo kwa watoto niliokua nawalea yaani mtoto anadanganya hadi ANALIA
@rashidmashaka12643 жыл бұрын
Mi naomba somo la kulea mtoto wa kike
@mfaume70572 жыл бұрын
Na Amini Maneno yako mm mama angu alikua ana nikataza uwongo akiwa ameondo ameniacha na mtu akirud mama angu nikimuhadisia kitu ananigomba ana mbia anaenda mania mwenyewe nilikua naogopa sana hadi leo nimepatwa na woga sana wa kusema uwongo sa
@husseinshabani95223 жыл бұрын
Itabidi tubadirike...Mimi niko kwenye kukaripia..Mungu Aniongoze siwezi kuongea taratibu..
@yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын
Physical aggression nimewahi kushuhudia kwa mtoto mmoja aisee ni mbaya
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Nimuhimu sana Somo Lako
@hammyyombe52293 жыл бұрын
🙏
@mgallason...56863 жыл бұрын
Kuba tabia ya watoto wengi kuwa na tabia ya kudeka Yaani unakuta Mtoto analialia tu bila sababu, akinyimwa kitu Hata kisichomuhusu yeye anaangua kilio kama kafinywa Halafu unakuta mama anamuangalia tu, Tatizo Mtoto kama huyu ukutane naye kwenye daladala anaweza kulia kutoka makumbusho mpaka gongo la mboto.
@bakarirutengwe30362 жыл бұрын
SWADAKTA MASHALLAH
@josephmoshi1503 жыл бұрын
Seeuatthetop
@RosemaryLema-qp2df Жыл бұрын
Hzo za hasira nliona kwa mwanangu akiwa na mwaka nlkemea akabadlka
@wardawarda45153 жыл бұрын
Kwakweli kina kitu nimejifunza hapa mana Kuna baadhi ya watu nimeishi nao ambao wanakera Kwa harisa zisizo na manaa na unakuta mzazi anamsifia mwangu bwanA anahasira mara mwogeaji sana
@aash4145 Жыл бұрын
Hio changamoto ni kubwa mnooo, kwa watoto tulioshuhudia kuwaona,,,, wanafany lolote wazaz wanaona sawatu, kumbe badae ni changamoto kubwa
@juniormaduhu3047 Жыл бұрын
Mimi mwanangu Ana mwaka mmoja na miezi mitatu yaani akikasirika anatupa vitu na anajiangusha mwenyewe chini analia then anaondoka anaenda mbali na mimi
@lembrismatayan88953 жыл бұрын
Look!
@sarahmsangi72433 жыл бұрын
Nashukuru kaka Joel kwa somo zuri
@lailaseif7892 жыл бұрын
Ndio Tania zao wakichukia
@mshigilakarume44252 жыл бұрын
It is constractive
@neemankya55512 жыл бұрын
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha anarud anacheka ni ishara gani?
@bahatihengwe15003 жыл бұрын
je mtoto akiwamkimya sana nifanye nini ilikumsaidia ?
@emmysam1510
3 жыл бұрын
Ndyo mzuri ni ishara ya kuwa mstaarabu
@user-wn4rk1ww8p11 ай бұрын
Mungu wangu abusive language jmn uwiiii niache sasa
@kamobcooler10773 жыл бұрын
Umesoka kaka
@nimubonainnocent2183 Жыл бұрын
Sasa kaka ninjiya gani ya kukabiliyana nahiyo hali kuwatoto
@zulfarazalo-lp7if Жыл бұрын
Mambo haya yapo Mimi mwanangu ana nisumbua adi naisi anatatizo la akili ana hasila sana na nimkolofi sana
@jamesbwigane58583 жыл бұрын
Ndio yapo mwanangu akichukia anavyunja kitu kilichopo jirani yake
@antonianombo66453 жыл бұрын
Ivi unaweza kuishi na mtu usie mpenda
@antonianombo6645
3 жыл бұрын
Kunawezekana mtu kuishi na mtu usie mpenda
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
Mmh izi tabia zote umewagusa watt wakiarabu😒
@azizakwileka16863 жыл бұрын
Barikiwa kaka
@zukrabuethi50683 жыл бұрын
Je unatamani kupata fursa ya biashara ya karne ya 21? . Karne ya 21 tuliopo ipo katika uchumi wa Connected economy, Je unatamani nawe kufanikiwa au kutengeneza kipato endelevu? . Tengeneza tabia mpya na kipato endelevu WhatsApp number 0683138300 . Nikupe elimu, tuma neno 'kipato endelevu' WhatsApp number 0683138300 nikuonyeshe. . Tumetoka uchumi wa viwada tupo uchumi wa Connected economy.
@ummusamira35183 жыл бұрын
Kwakweli mwalim haya yamenigusa wanangu watatu wako hivyo hivyo wananivunjia jila kitu najitahidi niwarekebishe siwezi nifanyeje?! Nakuhusu kusema uongo nakweli namwambia ukisema ukweli sikuchapi na nitakupa zawadi simpigi na nampa zawadi Ila kidogo namgombeza na kumsihi asirejee naomba unipe ushauri nifanyeje?
@emanuelykandola65843 жыл бұрын
Thanks bro
@restutamjuni47393 жыл бұрын
Asante
@edwirjefrancis81563 жыл бұрын
Mtoto akiwa na hizi tabia unamsaidiaje
@adrienmukangwa6475 Жыл бұрын
Ndio biothérapies n'a mimi ninaye mmoja wa kiume hachelewi kufoka kwa sauti gali sana n'a kuchukia sana.
Пікірлер: 90
Asante sana barikiwa mwalimu kwa sisi wazazi inatuhusu sana kwa kweli
Kaka mie mtoto wangu anaumri wa mwaka mmoja na miez 7 ni mkali Sana kwa Kaka yke na nikweli inatokana na Mimi mwenyewe nikiwa na hasira nakua mkali Sana kwa watoto nimejaribu kuacha hii Hali nimeshindwa na inanikera Sana naomba unisaidie kuepukana na hii hali
@latifachilala2015
Жыл бұрын
Wewe ni Mimi kabisa itakuwa singo maza kama mimi
@bonifaceferdinand566
Жыл бұрын
Mtoto hawezi kulelewa na mama peke yake,Kuna umuhimu mkubwa mtoto kulelewa mama na baba.
ELOHIM Wakolosai 1:13-17, EL-GIBBOR Isaiah 9:6, LUKE 1:32-33, YEHOVAH YIRE Zaburi 71:1-24, Mwanzo 22:8-14, 3:22-23.JOEL NANAUKA NAKUPENDA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI (Yohana 14:13-14).
Ni kweli kaka lakini Tiba kubwa Ni kuwapa maneno ya mungu,kuwaepusha na watu wa ovyo na yote kwa yote, mzazi askose Maombi kwa ajili ya mtoto
Mfano hilo neno hivi wewe una akili kweli au pumbavu kabsaa niligundua mwanangu anapenda kuyasema hayo na nilipochunguza nikagundua mimi ndiye msababishi basi nikamuomba Mungu anisaidie kubadilika utu wangu wa ndani,nilipobadilika mimi na mwanangu akabadilika.
Hiyotabia ipo mpakakwawatuwazima especially bullying
saf sana nanauka kwa elimu unayotupa kila sku God bless you
Mwanangu anaupenda sana uongo cjui nimsaidiaje naomba msaada wako.
Ahsante kwa Elimu hii, umenifumbua ktk somo hili kwa malezi ya mtoto.
Nimejifunza kitu hapa Ubarikiwe brother Joel
Uko sahihi sana brother mnoo,mimi napenda kuongea zaidi na watoto wangu kuliko kuchapa hii nadhani ni nzuri sana,lkn ni vema ungetufundisha pia na namna ya kuwasaidia watoto kuondokana na tabia hizi
Nashukuru Sana kwa kunifumbua macho,kunatabia naiona kwa mwanangu, sasa nachukua hatua ya Kiroho na kimwili ili afunguliwe.Mungu azidi kukutumia
THANKS SOMO NI ZURI NA NI MUHIMU SANA
Asante Sana kaka...mm mtoto wangu anahasira kama mtu mzima ila tutajitahidi
Kweli kaka leo nimejifunza kikubwa sana kuhusu kuwatambua watoto
Nimejifunza jambo kubwa ila pia watu wanaowazunguka uchangia Sana hii tabia ya bullying.
Big sana brother Joel nanauka daima sintochoka kuangalia video zako. Maana huwa zinanipeleka katika safari ya maisha yangu ambayo siwezi kwenda mwenyewe
Ahsante sana kaka Joel Nanauka......
Aksante bro. Hii somo zuri sana.
Vipi kwa zile taibia ambazo ni kurithi toka kwa wazazi wake?
Mungu akubariki Kaka Joel, umenielimisha Sana🙏
Amina Baba
Thnks bro
Asante sn kk Joel nimejifunza mengi sn kwako lkn naitaj kuwasilina na wewe zaid ilikujifunza zaid plz
Nimepata somo kubwa sana kaka mungu akubariki mlezi muelimishaji 🙌
Ubarikiwe Sana kaka kwa elimu
Ukweli mtupu brother Joel
Shukrani kaka kwa elimu unayotupa
Naomba no mwalimu
Ni kweli kabisa, ni somo zuri sana. Hongera mwalimu lakini nina swali. Wanaotazama hizi videos au haya masomo kwa asilimia kubwa ni vijana , Vipi umejipanga vingi kuwafikia watu ambao hawatumii social networks ? I wish kila mmoja angepata hili somo
@chuggapjt3782
3 жыл бұрын
Dunia ya sasa hivi?
Brother hajawahi kuvuluga mada zako big up''
Asante sana kaka kwa maelekezo nikwel kabisa
Thanks bro
Kalibu tunduma
Nimejifunza that xo much
Asante sana
Thanks
Nakubali
Duuh ushasema wangu..huvunja ama hata kuharibu nilivopanga nyumba..na mmoja hujiangusha chini yani natatizika pia..
Hongera brother mm nilikutana na tabia ya bullying tena alikua mtu mkubwa sanaa kwang lakin alikua akiniona na furaha na aman anatafuta kitu cha kunikatisha furaha na aman
Barikiwa
Nimekuelewa Sana nashkur kwa ushaur
Asante
Kaka me mtoto wangu ana mwaka mmoja lk anatokwa naa jasho nying akiwa ananyonya au akiwa amelala mchana ata wakati wa baridi sijui shida nini
Hiyo bullying watu wengi wanayo kwa kweli hasa watu wazima
Ujumbe mzuri
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha..anarud Yuko sawa kabisaa afu ana miaka miwili
Ni kweli kabisa😊
Kaka mm wenzangu walikuwawananisaidia kuosha vyombo mdamwingine adi kufua ili2 nkacheze mpila sababu dada alikuwa anasema aiwezekani kwenda kucheza adi nimalize kazi
Tabia ya uongo nimekutana nazo kwa watoto niliokua nawalea yaani mtoto anadanganya hadi ANALIA
Mi naomba somo la kulea mtoto wa kike
Na Amini Maneno yako mm mama angu alikua ana nikataza uwongo akiwa ameondo ameniacha na mtu akirud mama angu nikimuhadisia kitu ananigomba ana mbia anaenda mania mwenyewe nilikua naogopa sana hadi leo nimepatwa na woga sana wa kusema uwongo sa
Itabidi tubadirike...Mimi niko kwenye kukaripia..Mungu Aniongoze siwezi kuongea taratibu..
Physical aggression nimewahi kushuhudia kwa mtoto mmoja aisee ni mbaya
Nimuhimu sana Somo Lako
🙏
Kuba tabia ya watoto wengi kuwa na tabia ya kudeka Yaani unakuta Mtoto analialia tu bila sababu, akinyimwa kitu Hata kisichomuhusu yeye anaangua kilio kama kafinywa Halafu unakuta mama anamuangalia tu, Tatizo Mtoto kama huyu ukutane naye kwenye daladala anaweza kulia kutoka makumbusho mpaka gongo la mboto.
SWADAKTA MASHALLAH
Seeuatthetop
Hzo za hasira nliona kwa mwanangu akiwa na mwaka nlkemea akabadlka
Kwakweli kina kitu nimejifunza hapa mana Kuna baadhi ya watu nimeishi nao ambao wanakera Kwa harisa zisizo na manaa na unakuta mzazi anamsifia mwangu bwanA anahasira mara mwogeaji sana
Hio changamoto ni kubwa mnooo, kwa watoto tulioshuhudia kuwaona,,,, wanafany lolote wazaz wanaona sawatu, kumbe badae ni changamoto kubwa
Mimi mwanangu Ana mwaka mmoja na miezi mitatu yaani akikasirika anatupa vitu na anajiangusha mwenyewe chini analia then anaondoka anaenda mbali na mimi
Look!
Nashukuru kaka Joel kwa somo zuri
Ndio Tania zao wakichukia
It is constractive
Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha anarud anacheka ni ishara gani?
je mtoto akiwamkimya sana nifanye nini ilikumsaidia ?
@emmysam1510
3 жыл бұрын
Ndyo mzuri ni ishara ya kuwa mstaarabu
Mungu wangu abusive language jmn uwiiii niache sasa
Umesoka kaka
Sasa kaka ninjiya gani ya kukabiliyana nahiyo hali kuwatoto
Mambo haya yapo Mimi mwanangu ana nisumbua adi naisi anatatizo la akili ana hasila sana na nimkolofi sana
Ndio yapo mwanangu akichukia anavyunja kitu kilichopo jirani yake
Ivi unaweza kuishi na mtu usie mpenda
@antonianombo6645
3 жыл бұрын
Kunawezekana mtu kuishi na mtu usie mpenda
Mmh izi tabia zote umewagusa watt wakiarabu😒
Barikiwa kaka
Je unatamani kupata fursa ya biashara ya karne ya 21? . Karne ya 21 tuliopo ipo katika uchumi wa Connected economy, Je unatamani nawe kufanikiwa au kutengeneza kipato endelevu? . Tengeneza tabia mpya na kipato endelevu WhatsApp number 0683138300 . Nikupe elimu, tuma neno 'kipato endelevu' WhatsApp number 0683138300 nikuonyeshe. . Tumetoka uchumi wa viwada tupo uchumi wa Connected economy.
Kwakweli mwalim haya yamenigusa wanangu watatu wako hivyo hivyo wananivunjia jila kitu najitahidi niwarekebishe siwezi nifanyeje?! Nakuhusu kusema uongo nakweli namwambia ukisema ukweli sikuchapi na nitakupa zawadi simpigi na nampa zawadi Ila kidogo namgombeza na kumsihi asirejee naomba unipe ushauri nifanyeje?
Thanks bro
Asante
Mtoto akiwa na hizi tabia unamsaidiaje
Ndio biothérapies n'a mimi ninaye mmoja wa kiume hachelewi kufoka kwa sauti gali sana n'a kuchukia sana.
🙏