Ukiona Tabia Hizi Kwa Mtoto Hutakiwi Kupuuzia

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 90

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania29243 жыл бұрын

    Asante sana barikiwa mwalimu kwa sisi wazazi inatuhusu sana kwa kweli

  • @ashuraiddy1371
    @ashuraiddy13713 жыл бұрын

    Kaka mie mtoto wangu anaumri wa mwaka mmoja na miez 7 ni mkali Sana kwa Kaka yke na nikweli inatokana na Mimi mwenyewe nikiwa na hasira nakua mkali Sana kwa watoto nimejaribu kuacha hii Hali nimeshindwa na inanikera Sana naomba unisaidie kuepukana na hii hali

  • @latifachilala2015

    @latifachilala2015

    Жыл бұрын

    Wewe ni Mimi kabisa itakuwa singo maza kama mimi

  • @bonifaceferdinand566

    @bonifaceferdinand566

    Жыл бұрын

    Mtoto hawezi kulelewa na mama peke yake,Kuna umuhimu mkubwa mtoto kulelewa mama na baba.

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter22722 жыл бұрын

    ELOHIM Wakolosai 1:13-17, EL-GIBBOR Isaiah 9:6, LUKE 1:32-33, YEHOVAH YIRE Zaburi 71:1-24, Mwanzo 22:8-14, 3:22-23.JOEL NANAUKA NAKUPENDA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI (Yohana 14:13-14).

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva53523 жыл бұрын

    Ni kweli kaka lakini Tiba kubwa Ni kuwapa maneno ya mungu,kuwaepusha na watu wa ovyo na yote kwa yote, mzazi askose Maombi kwa ajili ya mtoto

  • @awalimunishi
    @awalimunishi2 жыл бұрын

    Mfano hilo neno hivi wewe una akili kweli au pumbavu kabsaa niligundua mwanangu anapenda kuyasema hayo na nilipochunguza nikagundua mimi ndiye msababishi basi nikamuomba Mungu anisaidie kubadilika utu wangu wa ndani,nilipobadilika mimi na mwanangu akabadilika.

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus54773 жыл бұрын

    Hiyotabia ipo mpakakwawatuwazima especially bullying

  • @benostanslaus3632
    @benostanslaus36323 жыл бұрын

    saf sana nanauka kwa elimu unayotupa kila sku God bless you

  • @khadijamtumwa9421
    @khadijamtumwa94213 жыл бұрын

    Mwanangu anaupenda sana uongo cjui nimsaidiaje naomba msaada wako.

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark63983 жыл бұрын

    Ahsante kwa Elimu hii, umenifumbua ktk somo hili kwa malezi ya mtoto.

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah78253 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu hapa Ubarikiwe brother Joel

  • @juliethfrank6626
    @juliethfrank66263 жыл бұрын

    Uko sahihi sana brother mnoo,mimi napenda kuongea zaidi na watoto wangu kuliko kuchapa hii nadhani ni nzuri sana,lkn ni vema ungetufundisha pia na namna ya kuwasaidia watoto kuondokana na tabia hizi

  • @ruthmwakyusa705
    @ruthmwakyusa7053 жыл бұрын

    Nashukuru Sana kwa kunifumbua macho,kunatabia naiona kwa mwanangu, sasa nachukua hatua ya Kiroho na kimwili ili afunguliwe.Mungu azidi kukutumia

  • @rehemamwasomola4362
    @rehemamwasomola43623 жыл бұрын

    THANKS SOMO NI ZURI NA NI MUHIMU SANA

  • @thuwaibawadi9672
    @thuwaibawadi96722 жыл бұрын

    Asante Sana kaka...mm mtoto wangu anahasira kama mtu mzima ila tutajitahidi

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo1873 жыл бұрын

    Kweli kaka leo nimejifunza kikubwa sana kuhusu kuwatambua watoto

  • @avelinalukanazya4889
    @avelinalukanazya48893 жыл бұрын

    Nimejifunza jambo kubwa ila pia watu wanaowazunguka uchangia Sana hii tabia ya bullying.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Big sana brother Joel nanauka daima sintochoka kuangalia video zako. Maana huwa zinanipeleka katika safari ya maisha yangu ambayo siwezi kwenda mwenyewe

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe47673 жыл бұрын

    Ahsante sana kaka Joel Nanauka......

  • @johnmanase2874
    @johnmanase28743 жыл бұрын

    Aksante bro. Hii somo zuri sana.

  • @ladslauspius4845
    @ladslauspius48453 жыл бұрын

    Vipi kwa zile taibia ambazo ni kurithi toka kwa wazazi wake?

  • @nursechunga4470
    @nursechunga44702 жыл бұрын

    Mungu akubariki Kaka Joel, umenielimisha Sana🙏

  • @Udindigwa
    @Udindigwa8 ай бұрын

    Amina Baba

  • @singasinga2663
    @singasinga26633 жыл бұрын

    Thnks bro

  • @fatmakessy981
    @fatmakessy9813 жыл бұрын

    Asante sn kk Joel nimejifunza mengi sn kwako lkn naitaj kuwasilina na wewe zaid ilikujifunza zaid plz

  • @rachelysanga5069
    @rachelysanga50699 ай бұрын

    Nimepata somo kubwa sana kaka mungu akubariki mlezi muelimishaji 🙌

  • @veronicambendule8853
    @veronicambendule88532 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana kaka kwa elimu

  • @TeacherHeroTz
    @TeacherHeroTz3 жыл бұрын

    Ukweli mtupu brother Joel

  • @aash4145
    @aash4145 Жыл бұрын

    Shukrani kaka kwa elimu unayotupa

  • @fathiyaabdallah4683
    @fathiyaabdallah46832 ай бұрын

    Naomba no mwalimu

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa, ni somo zuri sana. Hongera mwalimu lakini nina swali. Wanaotazama hizi videos au haya masomo kwa asilimia kubwa ni vijana , Vipi umejipanga vingi kuwafikia watu ambao hawatumii social networks ? I wish kila mmoja angepata hili somo

  • @chuggapjt3782

    @chuggapjt3782

    3 жыл бұрын

    Dunia ya sasa hivi?

  • @abdultandala9600
    @abdultandala96003 жыл бұрын

    Brother hajawahi kuvuluga mada zako big up''

  • @deborakasambula7431
    @deborakasambula74313 жыл бұрын

    Asante sana kaka kwa maelekezo nikwel kabisa

  • @zabronsuleiman664
    @zabronsuleiman6643 жыл бұрын

    Thanks bro

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa78383 жыл бұрын

    Kalibu tunduma

  • @ushindielia9886
    @ushindielia9886 Жыл бұрын

    Nimejifunza that xo much

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa78383 жыл бұрын

    Asante sana

  • @marselinakinyagha8284
    @marselinakinyagha828424 күн бұрын

    Thanks

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock95623 жыл бұрын

    Nakubali

  • @aminatumbo7410
    @aminatumbo74103 жыл бұрын

    Duuh ushasema wangu..huvunja ama hata kuharibu nilivopanga nyumba..na mmoja hujiangusha chini yani natatizika pia..

  • @user-dx9lf4wq1n
    @user-dx9lf4wq1n8 ай бұрын

    Hongera brother mm nilikutana na tabia ya bullying tena alikua mtu mkubwa sanaa kwang lakin alikua akiniona na furaha na aman anatafuta kitu cha kunikatisha furaha na aman

  • @dainessgift7940
    @dainessgift79403 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @bernadethajackson8702
    @bernadethajackson8702 Жыл бұрын

    Nimekuelewa Sana nashkur kwa ushaur

  • @zainabujuma2359
    @zainabujuma23593 жыл бұрын

    Asante

  • @michaelmatheo
    @michaelmatheo2 ай бұрын

    Kaka me mtoto wangu ana mwaka mmoja lk anatokwa naa jasho nying akiwa ananyonya au akiwa amelala mchana ata wakati wa baridi sijui shida nini

  • @ombeniestomih8934
    @ombeniestomih89343 жыл бұрын

    Hiyo bullying watu wengi wanayo kwa kweli hasa watu wazima

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo63963 жыл бұрын

    Ujumbe mzuri

  • @neemankya5551
    @neemankya55512 жыл бұрын

    Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha..anarud Yuko sawa kabisaa afu ana miaka miwili

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa😊

  • @ernestmbwete4480
    @ernestmbwete44803 жыл бұрын

    Kaka mm wenzangu walikuwawananisaidia kuosha vyombo mdamwingine adi kufua ili2 nkacheze mpila sababu dada alikuwa anasema aiwezekani kwenda kucheza adi nimalize kazi

  • @mwamvuakibenga9788
    @mwamvuakibenga97883 жыл бұрын

    Tabia ya uongo nimekutana nazo kwa watoto niliokua nawalea yaani mtoto anadanganya hadi ANALIA

  • @rashidmashaka1264
    @rashidmashaka12643 жыл бұрын

    Mi naomba somo la kulea mtoto wa kike

  • @mfaume7057
    @mfaume70572 жыл бұрын

    Na Amini Maneno yako mm mama angu alikua ana nikataza uwongo akiwa ameondo ameniacha na mtu akirud mama angu nikimuhadisia kitu ananigomba ana mbia anaenda mania mwenyewe nilikua naogopa sana hadi leo nimepatwa na woga sana wa kusema uwongo sa

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani95223 жыл бұрын

    Itabidi tubadirike...Mimi niko kwenye kukaripia..Mungu Aniongoze siwezi kuongea taratibu..

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын

    Physical aggression nimewahi kushuhudia kwa mtoto mmoja aisee ni mbaya

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid29063 жыл бұрын

    Nimuhimu sana Somo Lako

  • @hammyyombe5229
    @hammyyombe52293 жыл бұрын

    🙏

  • @mgallason...5686
    @mgallason...56863 жыл бұрын

    Kuba tabia ya watoto wengi kuwa na tabia ya kudeka Yaani unakuta Mtoto analialia tu bila sababu, akinyimwa kitu Hata kisichomuhusu yeye anaangua kilio kama kafinywa Halafu unakuta mama anamuangalia tu, Tatizo Mtoto kama huyu ukutane naye kwenye daladala anaweza kulia kutoka makumbusho mpaka gongo la mboto.

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe30362 жыл бұрын

    SWADAKTA MASHALLAH

  • @josephmoshi150
    @josephmoshi1503 жыл бұрын

    Seeuatthetop

  • @RosemaryLema-qp2df
    @RosemaryLema-qp2df Жыл бұрын

    Hzo za hasira nliona kwa mwanangu akiwa na mwaka nlkemea akabadlka

  • @wardawarda4515
    @wardawarda45153 жыл бұрын

    Kwakweli kina kitu nimejifunza hapa mana Kuna baadhi ya watu nimeishi nao ambao wanakera Kwa harisa zisizo na manaa na unakuta mzazi anamsifia mwangu bwanA anahasira mara mwogeaji sana

  • @aash4145
    @aash4145 Жыл бұрын

    Hio changamoto ni kubwa mnooo, kwa watoto tulioshuhudia kuwaona,,,, wanafany lolote wazaz wanaona sawatu, kumbe badae ni changamoto kubwa

  • @juniormaduhu3047
    @juniormaduhu3047 Жыл бұрын

    Mimi mwanangu Ana mwaka mmoja na miezi mitatu yaani akikasirika anatupa vitu na anajiangusha mwenyewe chini analia then anaondoka anaenda mbali na mimi

  • @lembrismatayan8895
    @lembrismatayan88953 жыл бұрын

    Look!

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi72433 жыл бұрын

    Nashukuru kaka Joel kwa somo zuri

  • @lailaseif789
    @lailaseif7892 жыл бұрын

    Ndio Tania zao wakichukia

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume44252 жыл бұрын

    It is constractive

  • @neemankya5551
    @neemankya55512 жыл бұрын

    Eti bro Joel Kama mtoto anatabia ya kukimbia akiwa na hasira anaenda mbali kdgo anakaa Kama dakika 2 anarud hasira imeisha anarud anacheka ni ishara gani?

  • @bahatihengwe1500
    @bahatihengwe15003 жыл бұрын

    je mtoto akiwamkimya sana nifanye nini ilikumsaidia ?

  • @emmysam1510

    @emmysam1510

    3 жыл бұрын

    Ndyo mzuri ni ishara ya kuwa mstaarabu

  • @user-wn4rk1ww8p
    @user-wn4rk1ww8p11 ай бұрын

    Mungu wangu abusive language jmn uwiiii niache sasa

  • @kamobcooler1077
    @kamobcooler10773 жыл бұрын

    Umesoka kaka

  • @nimubonainnocent2183
    @nimubonainnocent2183 Жыл бұрын

    Sasa kaka ninjiya gani ya kukabiliyana nahiyo hali kuwatoto

  • @zulfarazalo-lp7if
    @zulfarazalo-lp7if Жыл бұрын

    Mambo haya yapo Mimi mwanangu ana nisumbua adi naisi anatatizo la akili ana hasila sana na nimkolofi sana

  • @jamesbwigane5858
    @jamesbwigane58583 жыл бұрын

    Ndio yapo mwanangu akichukia anavyunja kitu kilichopo jirani yake

  • @antonianombo6645
    @antonianombo66453 жыл бұрын

    Ivi unaweza kuishi na mtu usie mpenda

  • @antonianombo6645

    @antonianombo6645

    3 жыл бұрын

    Kunawezekana mtu kuishi na mtu usie mpenda

  • @hidayakisensi2747
    @hidayakisensi27472 жыл бұрын

    Mmh izi tabia zote umewagusa watt wakiarabu😒

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka16863 жыл бұрын

    Barikiwa kaka

  • @zukrabuethi5068
    @zukrabuethi50683 жыл бұрын

    Je unatamani kupata fursa ya biashara ya karne ya 21? . Karne ya 21 tuliopo ipo katika uchumi wa Connected economy, Je unatamani nawe kufanikiwa au kutengeneza kipato endelevu? . Tengeneza tabia mpya na kipato endelevu WhatsApp number 0683138300 . Nikupe elimu, tuma neno 'kipato endelevu' WhatsApp number 0683138300 nikuonyeshe. . Tumetoka uchumi wa viwada tupo uchumi wa Connected economy.

  • @ummusamira3518
    @ummusamira35183 жыл бұрын

    Kwakweli mwalim haya yamenigusa wanangu watatu wako hivyo hivyo wananivunjia jila kitu najitahidi niwarekebishe siwezi nifanyeje?! Nakuhusu kusema uongo nakweli namwambia ukisema ukweli sikuchapi na nitakupa zawadi simpigi na nampa zawadi Ila kidogo namgombeza na kumsihi asirejee naomba unipe ushauri nifanyeje?

  • @emanuelykandola6584
    @emanuelykandola65843 жыл бұрын

    Thanks bro

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni47393 жыл бұрын

    Asante

  • @edwirjefrancis8156
    @edwirjefrancis81563 жыл бұрын

    Mtoto akiwa na hizi tabia unamsaidiaje

  • @adrienmukangwa6475
    @adrienmukangwa6475 Жыл бұрын

    Ndio biothérapies n'a mimi ninaye mmoja wa kiume hachelewi kufoka kwa sauti gali sana n'a kuchukia sana.

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka14883 жыл бұрын

    🙏

Келесі