MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 50

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf6 күн бұрын

    Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder70225 күн бұрын

    Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili50836 күн бұрын

    Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55674 күн бұрын

    Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa6 күн бұрын

    Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka

  • @LenatussylivesterPetro
    @LenatussylivesterPetro6 күн бұрын

    Umeongea point san

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala73836 күн бұрын

    Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️

  • @venancemwanya4212

    @venancemwanya4212

    5 күн бұрын

    Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel13745 күн бұрын

    Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂

  • @user-ve7kb4jm2r
    @user-ve7kb4jm2r6 күн бұрын

    Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee

  • @alenjoel3777
    @alenjoel37775 күн бұрын

    Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu

  • @frankkiundo3240
    @frankkiundo324022 сағат бұрын

    very good mr mhindi

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn86386 күн бұрын

    Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua

  • @ivanminja7954
    @ivanminja79546 күн бұрын

    Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15108 сағат бұрын

    Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah43576 күн бұрын

    Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae

  • @sangaelly8548

    @sangaelly8548

    6 күн бұрын

    Mchukue tu tutapata mwingine

  • @HarunaMbwana-s6y
    @HarunaMbwana-s6y4 күн бұрын

    Safi sana mwarabu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2566 күн бұрын

    TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    6 күн бұрын

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DM_15
    @DM_156 күн бұрын

    Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza

  • @johnmwita9370
    @johnmwita93706 күн бұрын

    Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi1485 күн бұрын

    Kabisa kaka manala nikirusi

  • @shabaninangomwa4136
    @shabaninangomwa41365 күн бұрын

    Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh6 күн бұрын

    Yanga wanachukua tusiowataka

  • @MlekwaMlekwa-d1k
    @MlekwaMlekwa-d1kКүн бұрын

    Upo sawa

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m6 күн бұрын

    Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe

  • @shimoamos9109
    @shimoamos91094 күн бұрын

    mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2566 күн бұрын

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s5 күн бұрын

    Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15108 сағат бұрын

    Kweli kabisa

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y5 күн бұрын

    Uko poa mkuu simba nguvu moja

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s5 күн бұрын

    Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el2 күн бұрын

    Pmj sanaa

  • @HairuIssa-f9y
    @HairuIssa-f9y5 күн бұрын

    Upo xahih mtu wa maan xan

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe65046 күн бұрын

    Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,

  • @user-pn3wz2eb5z
    @user-pn3wz2eb5z6 күн бұрын

    Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye

  • @SalumMkugwa-i9i
    @SalumMkugwa-i9i6 күн бұрын

    Points

  • @IssaDede
    @IssaDede5 күн бұрын

    kweli kabisaa tusome albadirii

  • @BADAWY575
    @BADAWY5756 күн бұрын

    Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu74335 күн бұрын

    mbona makofi machacheeeeee....?

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe81886 күн бұрын

    Sawa sawa chama hakua wetu

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh6 күн бұрын

    Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo

  • @BADAWY575
    @BADAWY5756 күн бұрын

    Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha

  • @neemaben9989
    @neemaben99896 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐

  • @BADAWY575
    @BADAWY5756 күн бұрын

    Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa

  • @BADAWY575
    @BADAWY5756 күн бұрын

    Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael56 күн бұрын

    Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili

Келесі