MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA
KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Жүктеу.....
Пікірлер: 50
@MajidMajid-ll8mf6 күн бұрын
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
@mustaphawelder70225 күн бұрын
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
@tanzaniakwanzamaadili50836 күн бұрын
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
@aminaomary55674 күн бұрын
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
@AbbasyMdabwa6 күн бұрын
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
@LenatussylivesterPetro6 күн бұрын
Umeongea point san
@hassanabdala73836 күн бұрын
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
@venancemwanya4212
5 күн бұрын
Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.
@loishiyesamwel13745 күн бұрын
Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
@user-ve7kb4jm2r6 күн бұрын
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
@alenjoel37775 күн бұрын
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
@frankkiundo324022 сағат бұрын
very good mr mhindi
@levocatuspjohn86386 күн бұрын
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
@ivanminja79546 күн бұрын
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
@adrophinamwanguse15108 сағат бұрын
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira
@allyabdallah43576 күн бұрын
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
@sangaelly8548
6 күн бұрын
Mchukue tu tutapata mwingine
@HarunaMbwana-s6y4 күн бұрын
Safi sana mwarabu
@salimmalaka2566 күн бұрын
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
@salimmalaka256
6 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DM_156 күн бұрын
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
@johnmwita93706 күн бұрын
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
@vumiliamgendi1485 күн бұрын
Kabisa kaka manala nikirusi
@shabaninangomwa41365 күн бұрын
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
@IssaAbdallah-rt2sh6 күн бұрын
Yanga wanachukua tusiowataka
@MlekwaMlekwa-d1kКүн бұрын
Upo sawa
@user-ib7kx9dc5m6 күн бұрын
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
@shimoamos91094 күн бұрын
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
@salimmalaka2566 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ld6fy2fi5s5 күн бұрын
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
@adrophinamwanguse15108 сағат бұрын
Kweli kabisa
@user-xv2zm5ec9y5 күн бұрын
Uko poa mkuu simba nguvu moja
@user-ld6fy2fi5s5 күн бұрын
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
@SalimRamsei-ok9el2 күн бұрын
Pmj sanaa
@HairuIssa-f9y5 күн бұрын
Upo xahih mtu wa maan xan
@josepahatmargwe65046 күн бұрын
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
@user-pn3wz2eb5z6 күн бұрын
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
@SalumMkugwa-i9i6 күн бұрын
Points
@IssaDede5 күн бұрын
kweli kabisaa tusome albadirii
@BADAWY5756 күн бұрын
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ushiwamarandu74335 күн бұрын
mbona makofi machacheeeeee....?
@fredrickipembe81886 күн бұрын
Sawa sawa chama hakua wetu
@IssaAbdallah-rt2sh6 күн бұрын
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
@BADAWY5756 күн бұрын
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
@neemaben99896 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
@BADAWY5756 күн бұрын
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
@BADAWY5756 күн бұрын
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
@avitusmichael56 күн бұрын
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili
Пікірлер: 50
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
Umeongea point san
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
@venancemwanya4212
5 күн бұрын
Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.
Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
very good mr mhindi
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
@sangaelly8548
6 күн бұрын
Mchukue tu tutapata mwingine
Safi sana mwarabu
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
@salimmalaka256
6 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
Kabisa kaka manala nikirusi
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
Yanga wanachukua tusiowataka
Upo sawa
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
Kweli kabisa
Uko poa mkuu simba nguvu moja
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
Pmj sanaa
Upo xahih mtu wa maan xan
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
Points
kweli kabisaa tusome albadirii
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
mbona makofi machacheeeeee....?
Sawa sawa chama hakua wetu
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili