MURO: BOSS KAMALIZA SAJILI ZOTE 12 ZA SIMBA MSIMU 2024/25 | SIMBA MPYAA BALAA KWA WAPINZANI...

Спорт

Пікірлер: 37

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw6 күн бұрын

    Jobe na Michael Kublan wanaweza kufanya maajabu msimu ujao.

  • @suitbertmaro5792

    @suitbertmaro5792

    6 күн бұрын

    Sina shaka na MICHAEL

  • @vitalisantony239
    @vitalisantony2396 күн бұрын

    Waliokwishaondoka ni Mickson, Saido, Chama na Inonga

  • @WizkidMwkalundwa
    @WizkidMwkalundwa5 күн бұрын

    Simba were the best all time

  • @babaabro8847
    @babaabro88476 күн бұрын

    Kuna Augustine kutoka River United katangazwa mchana huu Muna lala sana

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila3 күн бұрын

    Kanut anastaili kubaki putin kama putin abaki

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos6 күн бұрын

    Jobe. Babacar sar. fredy tumfikilie kwanz 🤣

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et6 күн бұрын

    Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka

  • @Zuberiluambano
    @Zuberiluambano2 күн бұрын

    Jobe apewe abubakar apewe

  • @LabaniNdama
    @LabaniNdama5 күн бұрын

    Hatutakimatangazoyenu kwenyemabandoyetu

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania6 күн бұрын

    Jobe,babakar sar

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi9955 күн бұрын

    Acheni viongozi wafanye kazi unakazana sijui nani aondoke, viongozi wanajua wanacho fanya

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel55033 күн бұрын

    Aziz ki in, babacar sarr out

  • @user-xj5vu6vl5j
    @user-xj5vu6vl5j5 күн бұрын

    Jobe xx

  • @LufunzamachibyaNhumbi
    @LufunzamachibyaNhumbi5 күн бұрын

    kramo abaki

  • @user-oe2ty7ds4g
    @user-oe2ty7ds4g6 күн бұрын

    Pacome hajawa mvp

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford6 күн бұрын

    Aondoke jobe na babakasar. Kanuti Onana,Fred wabaki

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    5 күн бұрын

    Wote hao waondoke

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas67295 күн бұрын

    Babacar, Jobe, Onana hawa waondoke chap

  • @ezzepuritykamwene2121

    @ezzepuritykamwene2121

    5 күн бұрын

    @@erasmusleonidas6729 onana ana kitu,, hawezi kukuangusha ndani ya mechi 3 bila goli

  • @ludobudege1662
    @ludobudege16626 күн бұрын

    Natamani jobe aondoke

  • @ezzepuritykamwene2121

    @ezzepuritykamwene2121

    6 күн бұрын

    Mungu wa ajab unaweza kukuta jobe akaja kukiwasha msim ujao

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    6 күн бұрын

    Bora abakiii

  • @CikeTanzania

    @CikeTanzania

    6 күн бұрын

    Ashasepa mda mbina

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford6 күн бұрын

    Kama Kuna mashine Kali zimekuja wapewe thank you

  • @kokolosaid7265
    @kokolosaid72656 күн бұрын

    Pa omari Jobe,Kramo,Babakari ,fredy Maiko na Onana ni lazima watoke na lasivyo Simba SC haitafanya lolote mssimu huu unaoanza hivi karibuni

  • @EmmaPallanjo

    @EmmaPallanjo

    5 күн бұрын

    Upo sawa ila Kwa Kramo abaki ana kitu apewe muda

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul60326 күн бұрын

    Aondoke Jobe kanoute babaccar Sarr

  • @flova7022

    @flova7022

    6 күн бұрын

    Keep kanoute hajapata watu Sahihi tu

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    6 күн бұрын

    ​@@flova7022😂😂😂😂 sajilini vzr ndo la muhimu

  • @flova7022

    @flova7022

    6 күн бұрын

    @@mwanangusana Simba hujawahi sajili vibaya..sema tunashindwa kulinda wachezaji. Jifunze Kwa kramo .

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    6 күн бұрын

    @@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    6 күн бұрын

    @@flova7022 kramo kafanyaje ?? Ina maaana Doumbia , konkoni kule yanga walikosa ulinzi??

Келесі