No video

🚨Uchambuzi Crownfm, Kiufundi Usajili wa Simba,namna wachezaji watachezeshwa kwenye nafasi zao.

#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

Пікірлер: 6

  • @yohanakiureimoon-mo4py
    @yohanakiureimoon-mo4py14 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ZamlaKifurago
    @ZamlaKifurago21 күн бұрын

    Duwa ndio muimu kala kitu mungu tu ishaallh mungu atatusaidia

  • @khalidfundi2600
    @khalidfundi260024 күн бұрын

    Viongozi wetu wa Simba tunashukuru kwa usajili wa kimkakati tusisahau Dua kwa wachezaji wetu maana macho ya USDA ni mengi

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi26 күн бұрын

    Tupe madini

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege69021 күн бұрын

    Nimemsoma kiundani sana KIBU Nina maoni binafsi hivyo napendekeza Kwa kocha Davids amrudishe KIBU acheze half beki 4 nadhani ana sifa zote za kucheza namba hizo za nyuma. 1. Ana nguvu mwepesi, mbio na urefu wa kuridhisha kupiga vichwa 2. Mpambanaji ana jihad 3. Anafundishika anaweza kuwa sawa hata kumzidi Baka wa yanga. 4. Kwa kuwa Kibu ana tatizo ktk finishing ama kupasia kule mbele, lakini akiwa nyuma no 4 atakuwa swipa hivyo tatizo atakuwa kaliepuka

  • @browntv1119

    @browntv1119

    21 күн бұрын

    achana na bacca ww

Келесі