mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana
@maxmia10029 күн бұрын
Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi
@mtumenyagaly9217Ай бұрын
Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha kama vipi timu angeachiwa Mgunda
@DadiIssa-t5zАй бұрын
Hap hakuna mchambuz
@JonayMbelwa29 күн бұрын
Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz
@user-xr2hw3om9zАй бұрын
Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!
@user-ib7kx9dc5mАй бұрын
Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada
@user-pj4mx2ro4hАй бұрын
Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya
@abbydullax8546Ай бұрын
Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters
Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:
@richardvallerian1003
Ай бұрын
Sina imani nae kabisa
@adventureernest5599
Ай бұрын
Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja
@flova7022
Ай бұрын
Arteta unamjua
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa
@emmanueliman7408
29 күн бұрын
Hujui chochote ww
@user-qi3wv8sf5jАй бұрын
HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU
@lucymsheshi5871Ай бұрын
Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe
@emmanuelnkwabi8610Ай бұрын
Hakuna mchambuzi apa
@williamreuben4866
Ай бұрын
Daah yaan nimekuelewa vyema,haujui kabisa
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?
@franccoz94Ай бұрын
SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY
@sadih5333
Ай бұрын
Hatuna haraka kombe lipo tu.
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo
@taseleli9181
Ай бұрын
Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja
@franccoz94
Ай бұрын
@@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo
@selemaniSalumu-p2eАй бұрын
Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile
@gorettimtungwe9011
28 күн бұрын
Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake
@gorettimtungwe901128 күн бұрын
yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo
@nadilhassan6414Ай бұрын
Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha
Пікірлер: 35
mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana
Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi
Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha kama vipi timu angeachiwa Mgunda
Hap hakuna mchambuz
Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz
Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!
Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote
Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada
Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya
Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters
hakuna wachezaji hapo
Oluma acha ujinga huyo kocha anawajua hao wachezaji? Nyie ndo ndo wachambuzi mnaoharibu simba
Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:
@richardvallerian1003
Ай бұрын
Sina imani nae kabisa
@adventureernest5599
Ай бұрын
Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja
@flova7022
Ай бұрын
Arteta unamjua
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa
@emmanueliman7408
29 күн бұрын
Hujui chochote ww
HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU
Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe
Hakuna mchambuzi apa
@williamreuben4866
Ай бұрын
Daah yaan nimekuelewa vyema,haujui kabisa
Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?
SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY
@sadih5333
Ай бұрын
Hatuna haraka kombe lipo tu.
@samwelchiamba6866
Ай бұрын
Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo
@taseleli9181
Ай бұрын
Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja
@franccoz94
Ай бұрын
@@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo
Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile
@gorettimtungwe9011
28 күн бұрын
Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake
yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo
Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha