"SIMBA WASEME UKWELI" | HAWASHINDI KOMBE LOLOTE | ORUMA APASUKA |"FADLU DAVIDS KOCHA WA KAWAIDA TU"

Спорт

Пікірлер: 35

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdallaАй бұрын

    mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana

  • @maxmia100
    @maxmia10029 күн бұрын

    Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi

  • @mtumenyagaly9217
    @mtumenyagaly9217Ай бұрын

    Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha kama vipi timu angeachiwa Mgunda

  • @DadiIssa-t5z
    @DadiIssa-t5zАй бұрын

    Hap hakuna mchambuz

  • @JonayMbelwa
    @JonayMbelwa29 күн бұрын

    Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9zАй бұрын

    Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5mАй бұрын

    Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7ebАй бұрын

    Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4hАй бұрын

    Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya

  • @abbydullax8546
    @abbydullax8546Ай бұрын

    Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231Ай бұрын

    hakuna wachezaji hapo

  • @maxmia100
    @maxmia10029 күн бұрын

    Oluma acha ujinga huyo kocha anawajua hao wachezaji? Nyie ndo ndo wachambuzi mnaoharibu simba

  • @medardjustinemakonge9900
    @medardjustinemakonge9900Ай бұрын

    Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:

  • @richardvallerian1003

    @richardvallerian1003

    Ай бұрын

    Sina imani nae kabisa

  • @adventureernest5599

    @adventureernest5599

    Ай бұрын

    Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja

  • @flova7022

    @flova7022

    Ай бұрын

    Arteta unamjua

  • @samwelchiamba6866

    @samwelchiamba6866

    Ай бұрын

    Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa

  • @emmanueliman7408

    @emmanueliman7408

    29 күн бұрын

    Hujui chochote ww

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5jАй бұрын

    HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871Ай бұрын

    Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610Ай бұрын

    Hakuna mchambuzi apa

  • @williamreuben4866

    @williamreuben4866

    Ай бұрын

    Daah yaan nimekuelewa vyema,haujui kabisa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7ebАй бұрын

    Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi

  • @samwelchiamba6866

    @samwelchiamba6866

    Ай бұрын

    Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?

  • @franccoz94
    @franccoz94Ай бұрын

    SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY

  • @sadih5333

    @sadih5333

    Ай бұрын

    Hatuna haraka kombe lipo tu.

  • @samwelchiamba6866

    @samwelchiamba6866

    Ай бұрын

    Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Ай бұрын

    Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja

  • @franccoz94

    @franccoz94

    Ай бұрын

    @@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo

  • @selemaniSalumu-p2e
    @selemaniSalumu-p2eАй бұрын

    Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile

  • @gorettimtungwe9011

    @gorettimtungwe9011

    28 күн бұрын

    Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe901128 күн бұрын

    yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo

  • @nadilhassan6414
    @nadilhassan6414Ай бұрын

    Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha

Келесі