MBWADUKE: PERFECT SIGNING! AISEE HUYU SERGE POKOU KATIKA SIMBA MPYA ANA BALAA/ NGOMA, KIBU...
Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
Жүктеу.....
Пікірлер: 52
@harunamshahara183726 күн бұрын
Bro ww ni mwamba Sana....unatakiwa uwe mchambuzi wa UEFA
@SimonSaguda15 күн бұрын
Nakubari kioo cha jamiii Mbwaduke👏🏻
@BilaliBaruani29 күн бұрын
Shukran jaziilan
@Abuu-gs1yi29 күн бұрын
Hivi Simba haina viungo wa pembeni?haya!baadaye Sasa ooh Yanga hivi ooh Yanga vile
@bahatimshali2731
28 күн бұрын
Nafikiri Simba wenyewe wanajua zaidi
@joshuasamson961816 күн бұрын
Ngoma kibu Thanks your
@abiolasereman257526 күн бұрын
Watafika maana kirasiku tetesi simba ❤❤❤
@user-zb3zp8yo1l
24 күн бұрын
We kwan humuamini mbwaduke
@devisjoseph578729 күн бұрын
Simba yangu fanya mambo yenye maana zaidi
@AmaniSylivester26 күн бұрын
Nimchezaji Mzuri lakin apewe mda wa kutosha kwenye mech
@jumbemachano920729 күн бұрын
😢Jee kafunga mangapi ?. shida ni mfungaji.
@user-sh1kg7lx4c29 күн бұрын
😊😊😊😊
@HabibuHassan-qr1tw23 күн бұрын
Tutashukuru kama ni tarifa za kweli mana kwa simba kama mabango2
@rubenemanuel224017 күн бұрын
Wameshindwa tayar kaenda Al hillal
@AndreaMadeni12 күн бұрын
km inakukela nenda ww
@abdallahonga639529 күн бұрын
Viungo wa pembeni simba wanatosha
@allymtunge553026 күн бұрын
Yani lile kundi alio baki ligi ya mabingwa na Galaxy
@sangaelly854828 күн бұрын
Wewe Mbwaduke hatari sana hawa ndo walitakiwa sana kwenye ualimu
@bahatimshali2731
28 күн бұрын
Hata kama somo ni gumu, lazima wanafunzi wake wafaulu vzr. Anajua sana kuelekeza soccer
@ThePlants-zc3rp29 күн бұрын
usitutajie hao matapeli wa ziwani
@MouriceDaniel17 күн бұрын
Mnaxem kwel,,???
@PartickMungure26 күн бұрын
Siku zote mashabik wa yang hawataki maendeleo yetu
@SalimRamsei-ok9el28 күн бұрын
Kumbe ana usishwa tu
@IsaacJames-lp6zr26 күн бұрын
kwan mo hamuoni mbwaduke amuajili
@user-bt6dq6ki6d29 күн бұрын
mathematics ulipata alam gan maan 😅😅😅
@dominickiungulia101629 күн бұрын
Akisajiliwa, ataongeza Nguvu kwa wale wachezaji watakao bakia.
@ramadhanimohamedi1397
27 күн бұрын
Binafsi namkubali shida wanazubaa hadi wengine wanawasajili sasa
@NashonyNashon27 күн бұрын
nakubali Sana mbwaduke
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️❤❤❤❤❤❤❤❤
@AndreaMadeni12 күн бұрын
D
@zakayomgaya275828 күн бұрын
Natamani wewe mchambuzi wangu pendwa ukawe unatusajilia wachezaji pale simba maana unadata halisi
@merckmdamu2942
16 күн бұрын
Fatilia uchambuzi wake wamsimu uliopita akinaonana alivokua anawabariki, kinajobe, uje ulinganishe na kazizao,. Usajiri huwanikubahatishatu ndugu
@user-wl4yo4zp9t13 күн бұрын
Kama hujashawishika chukia familia yako ikacheze
@ELIUDISIAME22 күн бұрын
acha kutuchosha twambiye anamangori mngapi
@amanikivuyo8141
15 күн бұрын
Subiria kunywa supu chini utakuta nyama..mwaduke ni mwamba
@anithawidambe754327 күн бұрын
TATIZO LA SIMBA HUWA WANAWAHUSISHA LAKINI WANAACHIA HADI WANACHUKULIWA
@ramadhanimohamedi1397
27 күн бұрын
Hilo ndo tatizo lakini huyu serge pouku ni mashine hiyo
@DavidGershon28 күн бұрын
Mimi huyo sergy wenu hajanishawishi kuja simba Maana huu uchambuzi wako mzee kama vile unatoa risala wewe tuambie huyu mchezaji ana magoli mangapi na je hii taarifa za kuja kwake ninkweli au tetesi hatutaki uchambuzi kama fundi ujenzi unapiga plaster unatuchosha Sasa hizo tackling sis yanatuhusu nn
@MbwadukeStats
27 күн бұрын
Duuh! Yaani Bro hujui umuhimu wa tackling kwa mchezaji wa nafasi ya kiungo? Ni kweli hujui kwamba katuika dunia ya football wakati wa kluelekea dirisha la usajili huwa kuna taarifsa rasmi na tetesi katika ligi zote duniani? Ni kweli hujui? Na pia hujui kwamba siyo kila nafasi uwanjani wahusika hupimwa kwa idadi ya mabao? Anyway... maoni yako tunayaheshimu sana Mkuu! Tuendelee kulisongesha klupitia jukwaa hili.
@user-wl4yo4zp9t13 күн бұрын
Kama anakuchosha nenda wewe katueleweshe mbwa wewe
@DanielWamungu-ub3wf22 күн бұрын
🍍🍍🚜🚜🍍🚜❤❤❤❤❤
@abdallahonga639529 күн бұрын
Simba haiitaji viungo wa pembeni
@muhammadkassim6291
29 күн бұрын
Chini ya uongozi huu tegemea sajili sehemu ambazo hazina uhitaji
@jonamnyone8014
28 күн бұрын
Je hao waliopo wanaweza kumuweka benchi Sergi Pokue?
@SimonEmilyo
28 күн бұрын
Kwa nn unasema haitaji viungo wa pembeni?ebu wataje hao viungo wapembeni
@user-et9xz7wv7q
28 күн бұрын
Inahitaji viungo gani,,,na hao waliopo wamefanya nn,,broo😮use your common sense
@prospermujungu7787
24 күн бұрын
Huyu Mwaduke mi ananiudhi sana. Kila gharasha liletwalo na viongozi wabovu wa Simba yeye huwafagilia kumbe bomu tu. Nikikumbuka alivyowapamba Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omar Jobe na yule beki wa Zolan sina hamu naye huyu ovyo kabisa. Nadhani yupo kama kibaraka kuwadanganya wafuasi wa Simba kwa faida ya wapinzani.
Пікірлер: 52
Bro ww ni mwamba Sana....unatakiwa uwe mchambuzi wa UEFA
Nakubari kioo cha jamiii Mbwaduke👏🏻
Shukran jaziilan
Hivi Simba haina viungo wa pembeni?haya!baadaye Sasa ooh Yanga hivi ooh Yanga vile
@bahatimshali2731
28 күн бұрын
Nafikiri Simba wenyewe wanajua zaidi
Ngoma kibu Thanks your
Watafika maana kirasiku tetesi simba ❤❤❤
@user-zb3zp8yo1l
24 күн бұрын
We kwan humuamini mbwaduke
Simba yangu fanya mambo yenye maana zaidi
Nimchezaji Mzuri lakin apewe mda wa kutosha kwenye mech
😢Jee kafunga mangapi ?. shida ni mfungaji.
😊😊😊😊
Tutashukuru kama ni tarifa za kweli mana kwa simba kama mabango2
Wameshindwa tayar kaenda Al hillal
km inakukela nenda ww
Viungo wa pembeni simba wanatosha
Yani lile kundi alio baki ligi ya mabingwa na Galaxy
Wewe Mbwaduke hatari sana hawa ndo walitakiwa sana kwenye ualimu
@bahatimshali2731
28 күн бұрын
Hata kama somo ni gumu, lazima wanafunzi wake wafaulu vzr. Anajua sana kuelekeza soccer
usitutajie hao matapeli wa ziwani
Mnaxem kwel,,???
Siku zote mashabik wa yang hawataki maendeleo yetu
Kumbe ana usishwa tu
kwan mo hamuoni mbwaduke amuajili
mathematics ulipata alam gan maan 😅😅😅
Akisajiliwa, ataongeza Nguvu kwa wale wachezaji watakao bakia.
@ramadhanimohamedi1397
27 күн бұрын
Binafsi namkubali shida wanazubaa hadi wengine wanawasajili sasa
nakubali Sana mbwaduke
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DanielWamungu-ub3wf
22 күн бұрын
🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️❤❤❤❤❤❤❤❤
D
Natamani wewe mchambuzi wangu pendwa ukawe unatusajilia wachezaji pale simba maana unadata halisi
@merckmdamu2942
16 күн бұрын
Fatilia uchambuzi wake wamsimu uliopita akinaonana alivokua anawabariki, kinajobe, uje ulinganishe na kazizao,. Usajiri huwanikubahatishatu ndugu
Kama hujashawishika chukia familia yako ikacheze
acha kutuchosha twambiye anamangori mngapi
@amanikivuyo8141
15 күн бұрын
Subiria kunywa supu chini utakuta nyama..mwaduke ni mwamba
TATIZO LA SIMBA HUWA WANAWAHUSISHA LAKINI WANAACHIA HADI WANACHUKULIWA
@ramadhanimohamedi1397
27 күн бұрын
Hilo ndo tatizo lakini huyu serge pouku ni mashine hiyo
Mimi huyo sergy wenu hajanishawishi kuja simba Maana huu uchambuzi wako mzee kama vile unatoa risala wewe tuambie huyu mchezaji ana magoli mangapi na je hii taarifa za kuja kwake ninkweli au tetesi hatutaki uchambuzi kama fundi ujenzi unapiga plaster unatuchosha Sasa hizo tackling sis yanatuhusu nn
@MbwadukeStats
27 күн бұрын
Duuh! Yaani Bro hujui umuhimu wa tackling kwa mchezaji wa nafasi ya kiungo? Ni kweli hujui kwamba katuika dunia ya football wakati wa kluelekea dirisha la usajili huwa kuna taarifsa rasmi na tetesi katika ligi zote duniani? Ni kweli hujui? Na pia hujui kwamba siyo kila nafasi uwanjani wahusika hupimwa kwa idadi ya mabao? Anyway... maoni yako tunayaheshimu sana Mkuu! Tuendelee kulisongesha klupitia jukwaa hili.
Kama anakuchosha nenda wewe katueleweshe mbwa wewe
🍍🍍🚜🚜🍍🚜❤❤❤❤❤
Simba haiitaji viungo wa pembeni
@muhammadkassim6291
29 күн бұрын
Chini ya uongozi huu tegemea sajili sehemu ambazo hazina uhitaji
@jonamnyone8014
28 күн бұрын
Je hao waliopo wanaweza kumuweka benchi Sergi Pokue?
@SimonEmilyo
28 күн бұрын
Kwa nn unasema haitaji viungo wa pembeni?ebu wataje hao viungo wapembeni
@user-et9xz7wv7q
28 күн бұрын
Inahitaji viungo gani,,,na hao waliopo wamefanya nn,,broo😮use your common sense
@prospermujungu7787
24 күн бұрын
Huyu Mwaduke mi ananiudhi sana. Kila gharasha liletwalo na viongozi wabovu wa Simba yeye huwafagilia kumbe bomu tu. Nikikumbuka alivyowapamba Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omar Jobe na yule beki wa Zolan sina hamu naye huyu ovyo kabisa. Nadhani yupo kama kibaraka kuwadanganya wafuasi wa Simba kwa faida ya wapinzani.
Hamna mchezaji hapo
@kingclassicwear2774
26 күн бұрын
Utasajiliwa wewe tukuone
@user-zb3zp8yo1l
24 күн бұрын
Kacheze wewe tukuone