MBWADUKE: PERFECT SIGNING! AISEE HUYU SERGE POKOU KATIKA SIMBA MPYA ANA BALAA/ NGOMA, KIBU...

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 52

  • @harunamshahara1837
    @harunamshahara183726 күн бұрын

    Bro ww ni mwamba Sana....unatakiwa uwe mchambuzi wa UEFA

  • @SimonSaguda
    @SimonSaguda15 күн бұрын

    Nakubari kioo cha jamiii Mbwaduke👏🏻

  • @BilaliBaruani
    @BilaliBaruani29 күн бұрын

    Shukran jaziilan

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi29 күн бұрын

    Hivi Simba haina viungo wa pembeni?haya!baadaye Sasa ooh Yanga hivi ooh Yanga vile

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    28 күн бұрын

    Nafikiri Simba wenyewe wanajua zaidi

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson961816 күн бұрын

    Ngoma kibu Thanks your

  • @abiolasereman2575
    @abiolasereman257526 күн бұрын

    Watafika maana kirasiku tetesi simba ❤❤❤

  • @user-zb3zp8yo1l

    @user-zb3zp8yo1l

    24 күн бұрын

    We kwan humuamini mbwaduke

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph578729 күн бұрын

    Simba yangu fanya mambo yenye maana zaidi

  • @AmaniSylivester
    @AmaniSylivester26 күн бұрын

    Nimchezaji Mzuri lakin apewe mda wa kutosha kwenye mech

  • @jumbemachano9207
    @jumbemachano920729 күн бұрын

    😢Jee kafunga mangapi ?. shida ni mfungaji.

  • @user-sh1kg7lx4c
    @user-sh1kg7lx4c29 күн бұрын

    😊😊😊😊

  • @HabibuHassan-qr1tw
    @HabibuHassan-qr1tw23 күн бұрын

    Tutashukuru kama ni tarifa za kweli mana kwa simba kama mabango2

  • @rubenemanuel2240
    @rubenemanuel224017 күн бұрын

    Wameshindwa tayar kaenda Al hillal

  • @AndreaMadeni
    @AndreaMadeni12 күн бұрын

    km inakukela nenda ww

  • @abdallahonga6395
    @abdallahonga639529 күн бұрын

    Viungo wa pembeni simba wanatosha

  • @allymtunge5530
    @allymtunge553026 күн бұрын

    Yani lile kundi alio baki ligi ya mabingwa na Galaxy

  • @sangaelly8548
    @sangaelly854828 күн бұрын

    Wewe Mbwaduke hatari sana hawa ndo walitakiwa sana kwenye ualimu

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    28 күн бұрын

    Hata kama somo ni gumu, lazima wanafunzi wake wafaulu vzr. Anajua sana kuelekeza soccer

  • @ThePlants-zc3rp
    @ThePlants-zc3rp29 күн бұрын

    usitutajie hao matapeli wa ziwani

  • @MouriceDaniel
    @MouriceDaniel17 күн бұрын

    Mnaxem kwel,,???

  • @PartickMungure
    @PartickMungure26 күн бұрын

    Siku zote mashabik wa yang hawataki maendeleo yetu

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el28 күн бұрын

    Kumbe ana usishwa tu

  • @IsaacJames-lp6zr
    @IsaacJames-lp6zr26 күн бұрын

    kwan mo hamuoni mbwaduke amuajili

  • @user-bt6dq6ki6d
    @user-bt6dq6ki6d29 күн бұрын

    mathematics ulipata alam gan maan 😅😅😅

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia101629 күн бұрын

    Akisajiliwa, ataongeza Nguvu kwa wale wachezaji watakao bakia.

  • @ramadhanimohamedi1397

    @ramadhanimohamedi1397

    27 күн бұрын

    Binafsi namkubali shida wanazubaa hadi wengine wanawasajili sasa

  • @NashonyNashon
    @NashonyNashon27 күн бұрын

    nakubali Sana mbwaduke

  • @DanielWamungu-ub3wf

    @DanielWamungu-ub3wf

    22 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @DanielWamungu-ub3wf

    @DanielWamungu-ub3wf

    22 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DanielWamungu-ub3wf

    @DanielWamungu-ub3wf

    22 күн бұрын

    🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AndreaMadeni
    @AndreaMadeni12 күн бұрын

    D

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya275828 күн бұрын

    Natamani wewe mchambuzi wangu pendwa ukawe unatusajilia wachezaji pale simba maana unadata halisi

  • @merckmdamu2942

    @merckmdamu2942

    16 күн бұрын

    Fatilia uchambuzi wake wamsimu uliopita akinaonana alivokua anawabariki, kinajobe, uje ulinganishe na kazizao,. Usajiri huwanikubahatishatu ndugu

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t13 күн бұрын

    Kama hujashawishika chukia familia yako ikacheze

  • @ELIUDISIAME
    @ELIUDISIAME22 күн бұрын

    acha kutuchosha twambiye anamangori mngapi

  • @amanikivuyo8141

    @amanikivuyo8141

    15 күн бұрын

    Subiria kunywa supu chini utakuta nyama..mwaduke ni mwamba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754327 күн бұрын

    TATIZO LA SIMBA HUWA WANAWAHUSISHA LAKINI WANAACHIA HADI WANACHUKULIWA

  • @ramadhanimohamedi1397

    @ramadhanimohamedi1397

    27 күн бұрын

    Hilo ndo tatizo lakini huyu serge pouku ni mashine hiyo

  • @DavidGershon
    @DavidGershon28 күн бұрын

    Mimi huyo sergy wenu hajanishawishi kuja simba Maana huu uchambuzi wako mzee kama vile unatoa risala wewe tuambie huyu mchezaji ana magoli mangapi na je hii taarifa za kuja kwake ninkweli au tetesi hatutaki uchambuzi kama fundi ujenzi unapiga plaster unatuchosha Sasa hizo tackling sis yanatuhusu nn

  • @MbwadukeStats

    @MbwadukeStats

    27 күн бұрын

    Duuh! Yaani Bro hujui umuhimu wa tackling kwa mchezaji wa nafasi ya kiungo? Ni kweli hujui kwamba katuika dunia ya football wakati wa kluelekea dirisha la usajili huwa kuna taarifsa rasmi na tetesi katika ligi zote duniani? Ni kweli hujui? Na pia hujui kwamba siyo kila nafasi uwanjani wahusika hupimwa kwa idadi ya mabao? Anyway... maoni yako tunayaheshimu sana Mkuu! Tuendelee kulisongesha klupitia jukwaa hili.

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t13 күн бұрын

    Kama anakuchosha nenda wewe katueleweshe mbwa wewe

  • @DanielWamungu-ub3wf
    @DanielWamungu-ub3wf22 күн бұрын

    🍍🍍🚜🚜🍍🚜❤❤❤❤❤

  • @abdallahonga6395
    @abdallahonga639529 күн бұрын

    Simba haiitaji viungo wa pembeni

  • @muhammadkassim6291

    @muhammadkassim6291

    29 күн бұрын

    Chini ya uongozi huu tegemea sajili sehemu ambazo hazina uhitaji

  • @jonamnyone8014

    @jonamnyone8014

    28 күн бұрын

    Je hao waliopo wanaweza kumuweka benchi Sergi Pokue?

  • @SimonEmilyo

    @SimonEmilyo

    28 күн бұрын

    Kwa nn unasema haitaji viungo wa pembeni?ebu wataje hao viungo wapembeni

  • @user-et9xz7wv7q

    @user-et9xz7wv7q

    28 күн бұрын

    Inahitaji viungo gani,,,na hao waliopo wamefanya nn,,broo😮use your common sense

  • @prospermujungu7787

    @prospermujungu7787

    24 күн бұрын

    Huyu Mwaduke mi ananiudhi sana. Kila gharasha liletwalo na viongozi wabovu wa Simba yeye huwafagilia kumbe bomu tu. Nikikumbuka alivyowapamba Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omar Jobe na yule beki wa Zolan sina hamu naye huyu ovyo kabisa. Nadhani yupo kama kibaraka kuwadanganya wafuasi wa Simba kwa faida ya wapinzani.

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume128227 күн бұрын

    Hamna mchezaji hapo

  • @kingclassicwear2774

    @kingclassicwear2774

    26 күн бұрын

    Utasajiliwa wewe tukuone

  • @user-zb3zp8yo1l

    @user-zb3zp8yo1l

    24 күн бұрын

    Kacheze wewe tukuone

Келесі