MURO: TOBAAH!! SIMBA YAFANYA KUFURU ,KUMSHUSHA ELIE MPANZU WINGA BORA DR CONGO/ AKITUA TU MMEKWISHA
Спорт
#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
Пікірлер: 14
Ila mwamba anaogopesha mhuuu sjui watu watalia nakusaga meno amto amin
Jamani msiifanye hii channel kuwa ya ubabaishaji, tunawaamini sanaaa, muwe na heading na habari za ukweli
Pia nijazie Ayo muro anaongea sana kipindi kizina msisahau tunatumia bando apa 😂
Jitahidini kujielekeza kwenye mada husika bila kupoteza sana muda
sima nguvu moja😅😮
Mkiona tayari ndipo mtujuze
Nauyo fei Sasa hapo nyuma du kule fasika kt kwamba nadebora du
sas hii timu inasajili bila ya pendekezo la mwalimu
@nkoydavid9658
Ай бұрын
Timu nyingi zinasajili hivyo siku hizi.. wanafata project yao siyo mwalimu
@MuammaryAbdalla
Ай бұрын
@@nkoydavid9658 km wanafata project yao kwnn mwalim anapofeli wanamfukuza si wafukuze wachezaj waliowasajili wenyewe
@ramadhanmusa8505
Ай бұрын
We ushaona wap team za tanzania 🇹🇿au kwengime km Kenya wanasajili kutona nakocha kutaka angalia sary Kaletwa na kocha benchikha hadi sasa tunamtukana
Una danganya apo eti bujimayi njo Muji wapili kotoka Kinshasa 😢😢😢
Nyie tunaomba uyo mtu mtupe tarifa sahihi màan kwajins nilivomtizma pakome na Aziz awamuwez
Hatutaki tetesi bali tunataka vitendo au walisia