MURO: TOBAAH!! SIMBA YAFANYA KUFURU ,KUMSHUSHA ELIE MPANZU WINGA BORA DR CONGO/ AKITUA TU MMEKWISHA

Спорт

#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi

Пікірлер: 14

  • @geofreymwamengo
    @geofreymwamengo2 күн бұрын

    Ila mwamba anaogopesha mhuuu sjui watu watalia nakusaga meno amto amin

  • @damasmayanja2930
    @damasmayanja2930Ай бұрын

    Jamani msiifanye hii channel kuwa ya ubabaishaji, tunawaamini sanaaa, muwe na heading na habari za ukweli

  • @DavidKibaha
    @DavidKibahaАй бұрын

    Pia nijazie Ayo muro anaongea sana kipindi kizina msisahau tunatumia bando apa 😂

  • @hafidhmtunzi9889
    @hafidhmtunzi98893 күн бұрын

    Jitahidini kujielekeza kwenye mada husika bila kupoteza sana muda

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1sАй бұрын

    sima nguvu moja😅😮

  • @user-kb4vi4zz7m
    @user-kb4vi4zz7mАй бұрын

    Mkiona tayari ndipo mtujuze

  • @geofreymwamengo
    @geofreymwamengo2 күн бұрын

    Nauyo fei Sasa hapo nyuma du kule fasika kt kwamba nadebora du

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdallaАй бұрын

    sas hii timu inasajili bila ya pendekezo la mwalimu

  • @nkoydavid9658

    @nkoydavid9658

    Ай бұрын

    Timu nyingi zinasajili hivyo siku hizi.. wanafata project yao siyo mwalimu

  • @MuammaryAbdalla

    @MuammaryAbdalla

    Ай бұрын

    @@nkoydavid9658 km wanafata project yao kwnn mwalim anapofeli wanamfukuza si wafukuze wachezaj waliowasajili wenyewe

  • @ramadhanmusa8505

    @ramadhanmusa8505

    Ай бұрын

    We ushaona wap team za tanzania 🇹🇿au kwengime km Kenya wanasajili kutona nakocha kutaka angalia sary Kaletwa na kocha benchikha hadi sasa tunamtukana

  • @gentilmikoka1247
    @gentilmikoka124728 күн бұрын

    Una danganya apo eti bujimayi njo Muji wapili kotoka Kinshasa 😢😢😢

  • @geofreymwamengo
    @geofreymwamengo2 күн бұрын

    Nyie tunaomba uyo mtu mtupe tarifa sahihi màan kwajins nilivomtizma pakome na Aziz awamuwez

  • @user-kb4vi4zz7m
    @user-kb4vi4zz7mАй бұрын

    Hatutaki tetesi bali tunataka vitendo au walisia

Келесі