HIZI HAPA TAKWIMU ZA AUGUSTINE OKEJEPHA MKATA UMEME MPYA WA SIMBA SC

Спорт

Simba Pro tunafahamu kua Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustin Okejepha kutoka Rivers United ya Nigeria na kwa kulitambua hilo tumeona tuje na Takwimu zake akiwa na Rivers United msimu uliopita katika kombe la Shirikisho barani Afrika
Dullah anatupitisha katika Takwimu hizo zinazopima ubora wake akiwa dimbani
Kama unataka kuungwa katika group letu la Simba Pro tucheki kwa namba 0626629644 tuweze kukuunga pamoja na mashabiki wengine wa Simba

Пікірлер: 25

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa82807 күн бұрын

    Nafurahia sana usajili unaofanywa na viongozi. Simba inatengenezwa timu ya ushindani ya muda mrefu

  • @LeonardJustice-v1g
    @LeonardJustice-v1g11 күн бұрын

    Niunge na Simba proo

  • @user-vv8js4cz2h
    @user-vv8js4cz2h13 күн бұрын

    Naomba kujiunga na Simba pro

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki653114 күн бұрын

    Mtafika mbali Sana, mko vizuri

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k14 күн бұрын

    Naomba kujiunga na group lá Simba pro

  • @sangaelly8548
    @sangaelly854812 күн бұрын

    Wote bora

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt14 күн бұрын

    Naombakujiungansgropyasimba

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO14 күн бұрын

    Good signing 👍

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt14 күн бұрын

    Yupo vizuri

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid361914 күн бұрын

    Huyo akejepha na babacar sarr nani bora zaidi

  • @joshuamtagwa347
    @joshuamtagwa34714 күн бұрын

    Hakuna mchezaji asie na weakness ya kimchezo na hiyo ndiyo kazi ya kocha sasa kuzirekebisha kasoro za mchezaji!

  • @hamisiabdallah1337
    @hamisiabdallah133714 күн бұрын

    Naomba uniunge kwenye grop

  • @boazmpazi260
    @boazmpazi2608 күн бұрын

    Kwnn mnaomba hela kujiungabna hilo group?

  • @agreymwanga
    @agreymwanga13 күн бұрын

    Yuko vizuri kwa maelezo hayo lkn mpira sio mchezo wa maneno, ni wahadharani hivyo tusubiri

  • @SeifKarata-fr7dv
    @SeifKarata-fr7dv12 күн бұрын

    Huyo sio mchezaji hata hapa tunao wengi mfano yule kiungo wa ihefu nashon bonge la kiungo mkabaji sijui mnahangaika nn

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege69014 күн бұрын

    Kwa data hizo huyo mnigeria hafai anaporwa mipira mara nyingi tutafungwa sana jamani. Maana yake hawezi kuhold vizuri kati. Huyo ni jipu tafuteni mwingine kama fraga vile.

  • @SimbaProSupporters

    @SimbaProSupporters

    14 күн бұрын

    Ana miaka 20 masta

  • @edgarmbegu1974

    @edgarmbegu1974

    14 күн бұрын

    😂😂😂

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye519014 күн бұрын

    Hela zake wamsajiri Kapumbu na huyu miaka 20 tatuteni Watanzania au Wageni wanaocheza hapa TZ walioko Ihefu, Singida au Azam kuliko huyu sogo

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye519014 күн бұрын

    Big disaappointment! Huyu atamshinda Kalabaha wa Simba yule Mzazibar? Achene bwana huyu hakuna kitu.

  • @rashiditekway3242
    @rashiditekway324214 күн бұрын

    Labda namb8

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki653114 күн бұрын

    Yeye na kapumbu nani bora?

  • @AliceTatiana-m7y

    @AliceTatiana-m7y

    8 күн бұрын

    Bora kapumbu.kapumbu tayari Ana uzoefu zaidi

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye519014 күн бұрын

    Hapa Simba wana fail. Hawa ndiyo wachezaji ambao Rage anasema utawakuta hata Manzese. Unafikiri watanzania kama hao hawapo?

  • @user-ct4he5dx6p

    @user-ct4he5dx6p

    2 күн бұрын

    Mchezaji Gani manzese ni MVP nigelia

Келесі