HIZI HAPA TAKWIMU ZA AUGUSTINE OKEJEPHA MKATA UMEME MPYA WA SIMBA SC
Спорт
Simba Pro tunafahamu kua Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustin Okejepha kutoka Rivers United ya Nigeria na kwa kulitambua hilo tumeona tuje na Takwimu zake akiwa na Rivers United msimu uliopita katika kombe la Shirikisho barani Afrika
Dullah anatupitisha katika Takwimu hizo zinazopima ubora wake akiwa dimbani
Kama unataka kuungwa katika group letu la Simba Pro tucheki kwa namba 0626629644 tuweze kukuunga pamoja na mashabiki wengine wa Simba
Пікірлер: 25
Nafurahia sana usajili unaofanywa na viongozi. Simba inatengenezwa timu ya ushindani ya muda mrefu
Niunge na Simba proo
Naomba kujiunga na Simba pro
Mtafika mbali Sana, mko vizuri
Naomba kujiunga na group lá Simba pro
Wote bora
Naombakujiungansgropyasimba
Good signing 👍
Yupo vizuri
Huyo akejepha na babacar sarr nani bora zaidi
Hakuna mchezaji asie na weakness ya kimchezo na hiyo ndiyo kazi ya kocha sasa kuzirekebisha kasoro za mchezaji!
Naomba uniunge kwenye grop
Kwnn mnaomba hela kujiungabna hilo group?
Yuko vizuri kwa maelezo hayo lkn mpira sio mchezo wa maneno, ni wahadharani hivyo tusubiri
Huyo sio mchezaji hata hapa tunao wengi mfano yule kiungo wa ihefu nashon bonge la kiungo mkabaji sijui mnahangaika nn
Kwa data hizo huyo mnigeria hafai anaporwa mipira mara nyingi tutafungwa sana jamani. Maana yake hawezi kuhold vizuri kati. Huyo ni jipu tafuteni mwingine kama fraga vile.
@SimbaProSupporters
14 күн бұрын
Ana miaka 20 masta
@edgarmbegu1974
14 күн бұрын
😂😂😂
Hela zake wamsajiri Kapumbu na huyu miaka 20 tatuteni Watanzania au Wageni wanaocheza hapa TZ walioko Ihefu, Singida au Azam kuliko huyu sogo
Big disaappointment! Huyu atamshinda Kalabaha wa Simba yule Mzazibar? Achene bwana huyu hakuna kitu.
Labda namb8
Yeye na kapumbu nani bora?
@AliceTatiana-m7y
8 күн бұрын
Bora kapumbu.kapumbu tayari Ana uzoefu zaidi
Hapa Simba wana fail. Hawa ndiyo wachezaji ambao Rage anasema utawakuta hata Manzese. Unafikiri watanzania kama hao hawapo?
@user-ct4he5dx6p
2 күн бұрын
Mchezaji Gani manzese ni MVP nigelia