Hapa utapata Habari za Simba kwa kina.Hakuna channel utakayopata Habari za Simba kwa kina kuzidi Simba Pro⚽☑️ Tetesi za usajili Takwimu Ubora na udhaifu wa timu pamoja na wachezaji Karibuni sana #simba
Sasa vip kuhusiana na Onana mbona hajapewa thank you
@EzekielEzekiel-yd1xt57 минут бұрын
Ausyo😊
@lucastungera4495Сағат бұрын
Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua
@Mvukaharuna2 сағат бұрын
Kwa hiyo ww wangekupa nafasi ya uongozi ungetufaa UK vzr
@AmaniKasekwa-uw8hp3 сағат бұрын
Watuletee huyo dogo kwasababu onana hawezi kutusaidia ikifunga Leo analizika tusubili ata mechi tano ndio aje afunge Tena kwasababu tume mkosa Elia mpanzu baxi baxi wa musajili huyo dogo ata tusaidia
@JosephTimotheo-t4j5 сағат бұрын
Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport
@audaxbizimana80845 сағат бұрын
Simba kwenye pochi nene hawataki na tutabaki hivyooooooh hivyo
@israelmunuo79386 сағат бұрын
Dogo anahatari na uchama mdani yake
@user-bf3mm5wu1s14 сағат бұрын
simbaa nguvu moja 😊😅
@EustakiTaslo-fq5cy14 сағат бұрын
we huwez kuwaambia viongoz wa shawishi
@josephatbitegeko644614 сағат бұрын
Vipi usajili umeisha?? Na vipi tetesi za Eli Mpanzu ni kweli mnahusika nae ??? Make mimi bado nina mashaka kidogo namba nane tulizonazo
@usvictorphoto94614 сағат бұрын
Wape maelekezo hao
@alhimnamussasaid361915 сағат бұрын
Yule dogo lekwery sijui ni mali sana kaenda timu gani
@alhimnamussasaid361915 сағат бұрын
Ahsante Mr dulla hassan kwa madini haya ya dhahabu ✨️ na kuna yule dogo wa Mauritania ulie muelezea ni dogo hatari sana
@RolethaRevelian15 сағат бұрын
Uongozi Tafadhali fuatilia kijana huyo atakuwa na faida baadae
@nikky475716 сағат бұрын
Chakufanya ni kumtag huyu mchezaji kwa viongozi
@kristofuraha16 сағат бұрын
Aisee anatisha kuliko Mpanzu!🙄 Sasa tunafanyaje?! Viongozi wetu mnafuatilia hii?!
@kristofuraha16 сағат бұрын
Magori kama unafuatilia hii chanel na umeona hii, pls fuatilia hii mali!
@kristofuraha16 сағат бұрын
Kama vip naomba uwaambie viongozi wamfuatilie chap! Pls pls pls! Huwa SIMBA inanifanya naugua ikidorora, sasa kama kuna mali kama hii sijui nawezaje kuongea na viongozi wa SIMBA!🤔
@JohnJoseph-qq7ow16 сағат бұрын
Simba mumuchukueni huyo achana na mpanzu wakongo wanamambo mengi malingo kibao chukueni huyo dogo
@charleskuyeko440016 сағат бұрын
Niwaombe Mashabiki wenzangu walio karibu na Viongozi wakati huu wawafikishie video hii ili mchezaji huyu asajiliwe. Atatufaa sana. Tukichelewa basi dirisha dogo apewe kipaumbele kama atakuwa hajachukuliwa na timu nyingine.
@SimbaProSupporters15 сағат бұрын
@@charleskuyeko4400 Fanya namna mzee wangu
@KHALIDMULILO16 сағат бұрын
Dogo kweli anauwezo❤👍
@SadockNtagayeКүн бұрын
Hapo saw mzee dula
@yohanamabula7088Күн бұрын
Hens hana kosa manara alisema yanga hakuna mweny elimu ukitoa babake haji manara na kikwete sasa hao wamezeeka hawawezi kuingia madarakani tena ndio maana engeneer kawa na yote hayo
@HappyDominoes-jf1ji2 күн бұрын
Wazee wapambane ase awa vijana hawaelewi kitu mtu mzima hakosei 😂😂😂😂
@ErnestFaraji2 күн бұрын
Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba
@ismailhassan52092 күн бұрын
Dulla ngao tarehe 8/8/24
@SimbaProSupporters2 күн бұрын
Nlikosea Shukran sana
@ismailhassan52092 күн бұрын
Kaka Dull kwa hiyo Simba wamempata David Beckham yule wa Manchester united?
@SimbaProSupporters2 күн бұрын
@@ismailhassan5209 Hahahha kwann kaka
@mmsfuzzsba38162 күн бұрын
NGAO TRH 8/8 SIMBA DAY TRH 3
@dominickiungulia10162 күн бұрын
Dulla kuhusu Mpanzu! Vipi?
@SimbaProSupporters2 күн бұрын
@@dominickiungulia1016 Dili limeshindikana
@JovinusJoseph19922 күн бұрын
Wa Kwanza 😂
@RamadKasim-t2x3 күн бұрын
VP kibu yupo??
@KhadijaKhadijamussa3 күн бұрын
Ndiioooo
@HassanAthuman-p2d3 күн бұрын
Apo safi
@AmaniKasekwa-uw8hp4 күн бұрын
Huyo Hana Kiwango Cha kuchezea simba
@BleanceKigwila-u2l4 күн бұрын
Muachen asitumiize vichwa
@Jafari-t3x4 күн бұрын
Mwana unajua kichambua mpira kaka
@user-sm2cn4zi3e4 күн бұрын
Rais wa heshima kwa kuwa umehamua kuijenga simba mlete Elie mpanzu tuna kukubali.
@user-yz6ds9hn9l4 күн бұрын
Jamani hiyo michango ya kuongeza nguvu vipi tumlete mpanzu ?
@YahyaMndevu4 күн бұрын
Naomba kuunwa kwenye gupu lasima
@AndrewMabula-ls8ju4 күн бұрын
Vip kuhusuuu kramo
@JuventusJerm5 күн бұрын
Rgddgid2&+$3-(3
@audaxbizimana80845 күн бұрын
Ila Mpanzu imeshindakana nini au mkwanja hatuna
@abdallahathumani3005 күн бұрын
Hapa sijapaerewa ebu rekebishini iri tuerewane
@user-zt2lu7oq1d5 күн бұрын
Idadi ya WACHEZAJI wa kigeni mwisho ni 12, hadi Sasa Simba inawachezaji 11... Onana akienda Kambi misri watakuwa wamekamilika 12. Mpanzu na Aluku inabidi atolewe Mchezaji mmoja au wawili.
@KibibiMwalimu-pg8fg5 күн бұрын
Naomba kuungwa kwenye group
@ArafaMkomwele-vi2hp5 күн бұрын
Umesahau wenyeji unajua Kuna wageni wengi kuliko wazawa lkn kikosi ni kizuri
Пікірлер
Anthon singano
Mtumie hiyo kripu MO amuoneatuletee huyo KIJANA
Sasa vip kuhusiana na Onana mbona hajapewa thank you
Ausyo😊
Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua
Kwa hiyo ww wangekupa nafasi ya uongozi ungetufaa UK vzr
Watuletee huyo dogo kwasababu onana hawezi kutusaidia ikifunga Leo analizika tusubili ata mechi tano ndio aje afunge Tena kwasababu tume mkosa Elia mpanzu baxi baxi wa musajili huyo dogo ata tusaidia
Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport
Simba kwenye pochi nene hawataki na tutabaki hivyooooooh hivyo
Dogo anahatari na uchama mdani yake
simbaa nguvu moja 😊😅
we huwez kuwaambia viongoz wa shawishi
Vipi usajili umeisha?? Na vipi tetesi za Eli Mpanzu ni kweli mnahusika nae ??? Make mimi bado nina mashaka kidogo namba nane tulizonazo
Wape maelekezo hao
Yule dogo lekwery sijui ni mali sana kaenda timu gani
Ahsante Mr dulla hassan kwa madini haya ya dhahabu ✨️ na kuna yule dogo wa Mauritania ulie muelezea ni dogo hatari sana
Uongozi Tafadhali fuatilia kijana huyo atakuwa na faida baadae
Chakufanya ni kumtag huyu mchezaji kwa viongozi
Aisee anatisha kuliko Mpanzu!🙄 Sasa tunafanyaje?! Viongozi wetu mnafuatilia hii?!
Magori kama unafuatilia hii chanel na umeona hii, pls fuatilia hii mali!
Kama vip naomba uwaambie viongozi wamfuatilie chap! Pls pls pls! Huwa SIMBA inanifanya naugua ikidorora, sasa kama kuna mali kama hii sijui nawezaje kuongea na viongozi wa SIMBA!🤔
Simba mumuchukueni huyo achana na mpanzu wakongo wanamambo mengi malingo kibao chukueni huyo dogo
Niwaombe Mashabiki wenzangu walio karibu na Viongozi wakati huu wawafikishie video hii ili mchezaji huyu asajiliwe. Atatufaa sana. Tukichelewa basi dirisha dogo apewe kipaumbele kama atakuwa hajachukuliwa na timu nyingine.
@@charleskuyeko4400 Fanya namna mzee wangu
Dogo kweli anauwezo❤👍
Hapo saw mzee dula
Hens hana kosa manara alisema yanga hakuna mweny elimu ukitoa babake haji manara na kikwete sasa hao wamezeeka hawawezi kuingia madarakani tena ndio maana engeneer kawa na yote hayo
Wazee wapambane ase awa vijana hawaelewi kitu mtu mzima hakosei 😂😂😂😂
Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba
Dulla ngao tarehe 8/8/24
Nlikosea Shukran sana
Kaka Dull kwa hiyo Simba wamempata David Beckham yule wa Manchester united?
@@ismailhassan5209 Hahahha kwann kaka
NGAO TRH 8/8 SIMBA DAY TRH 3
Dulla kuhusu Mpanzu! Vipi?
@@dominickiungulia1016 Dili limeshindikana
Wa Kwanza 😂
VP kibu yupo??
Ndiioooo
Apo safi
Huyo Hana Kiwango Cha kuchezea simba
Muachen asitumiize vichwa
Mwana unajua kichambua mpira kaka
Rais wa heshima kwa kuwa umehamua kuijenga simba mlete Elie mpanzu tuna kukubali.
Jamani hiyo michango ya kuongeza nguvu vipi tumlete mpanzu ?
Naomba kuunwa kwenye gupu lasima
Vip kuhusuuu kramo
Rgddgid2&+$3-(3
Ila Mpanzu imeshindakana nini au mkwanja hatuna
Hapa sijapaerewa ebu rekebishini iri tuerewane
Idadi ya WACHEZAJI wa kigeni mwisho ni 12, hadi Sasa Simba inawachezaji 11... Onana akienda Kambi misri watakuwa wamekamilika 12. Mpanzu na Aluku inabidi atolewe Mchezaji mmoja au wawili.
Naomba kuungwa kwenye group
Umesahau wenyeji unajua Kuna wageni wengi kuliko wazawa lkn kikosi ni kizuri
Naskia asha baraka anaanzisha redio yake..mzee utakuwa mchambuzi
Ushabiki ndio unaokuuma😂