SIMBA PRO

SIMBA PRO

Hapa utapata Habari za Simba kwa kina.Hakuna channel utakayopata Habari za Simba kwa kina kuzidi Simba Pro⚽☑️
Tetesi za usajili
Takwimu
Ubora na udhaifu wa timu pamoja na wachezaji
Karibuni sana
#simba

Пікірлер

  • @AntonySingano
    @AntonySingano3 минут бұрын

    Anthon singano

  • @magrethsteven1186
    @magrethsteven118636 минут бұрын

    Mtumie hiyo kripu MO amuoneatuletee huyo KIJANA

  • @SalumKhamis-jz1zb
    @SalumKhamis-jz1zb37 минут бұрын

    Sasa vip kuhusiana na Onana mbona hajapewa thank you

  • @EzekielEzekiel-yd1xt
    @EzekielEzekiel-yd1xt57 минут бұрын

    Ausyo😊

  • @lucastungera4495
    @lucastungera4495Сағат бұрын

    Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua

  • @Mvukaharuna
    @Mvukaharuna2 сағат бұрын

    Kwa hiyo ww wangekupa nafasi ya uongozi ungetufaa UK vzr

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp3 сағат бұрын

    Watuletee huyo dogo kwasababu onana hawezi kutusaidia ikifunga Leo analizika tusubili ata mechi tano ndio aje afunge Tena kwasababu tume mkosa Elia mpanzu baxi baxi wa musajili huyo dogo ata tusaidia

  • @JosephTimotheo-t4j
    @JosephTimotheo-t4j5 сағат бұрын

    Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80845 сағат бұрын

    Simba kwenye pochi nene hawataki na tutabaki hivyooooooh hivyo

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo79386 сағат бұрын

    Dogo anahatari na uchama mdani yake

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s14 сағат бұрын

    simbaa nguvu moja 😊😅

  • @EustakiTaslo-fq5cy
    @EustakiTaslo-fq5cy14 сағат бұрын

    we huwez kuwaambia viongoz wa shawishi

  • @josephatbitegeko6446
    @josephatbitegeko644614 сағат бұрын

    Vipi usajili umeisha?? Na vipi tetesi za Eli Mpanzu ni kweli mnahusika nae ??? Make mimi bado nina mashaka kidogo namba nane tulizonazo

  • @usvictorphoto946
    @usvictorphoto94614 сағат бұрын

    Wape maelekezo hao

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid361915 сағат бұрын

    Yule dogo lekwery sijui ni mali sana kaenda timu gani

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid361915 сағат бұрын

    Ahsante Mr dulla hassan kwa madini haya ya dhahabu ✨️ na kuna yule dogo wa Mauritania ulie muelezea ni dogo hatari sana

  • @RolethaRevelian
    @RolethaRevelian15 сағат бұрын

    Uongozi Tafadhali fuatilia kijana huyo atakuwa na faida baadae

  • @nikky4757
    @nikky475716 сағат бұрын

    Chakufanya ni kumtag huyu mchezaji kwa viongozi

  • @kristofuraha
    @kristofuraha16 сағат бұрын

    Aisee anatisha kuliko Mpanzu!🙄 Sasa tunafanyaje?! Viongozi wetu mnafuatilia hii?!

  • @kristofuraha
    @kristofuraha16 сағат бұрын

    Magori kama unafuatilia hii chanel na umeona hii, pls fuatilia hii mali!

  • @kristofuraha
    @kristofuraha16 сағат бұрын

    Kama vip naomba uwaambie viongozi wamfuatilie chap! Pls pls pls! Huwa SIMBA inanifanya naugua ikidorora, sasa kama kuna mali kama hii sijui nawezaje kuongea na viongozi wa SIMBA!🤔

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow16 сағат бұрын

    Simba mumuchukueni huyo achana na mpanzu wakongo wanamambo mengi malingo kibao chukueni huyo dogo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko440016 сағат бұрын

    Niwaombe Mashabiki wenzangu walio karibu na Viongozi wakati huu wawafikishie video hii ili mchezaji huyu asajiliwe. Atatufaa sana. Tukichelewa basi dirisha dogo apewe kipaumbele kama atakuwa hajachukuliwa na timu nyingine.

  • @SimbaProSupporters
    @SimbaProSupporters15 сағат бұрын

    @@charleskuyeko4400 Fanya namna mzee wangu

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO16 сағат бұрын

    Dogo kweli anauwezo❤👍

  • @SadockNtagaye
    @SadockNtagayeКүн бұрын

    Hapo saw mzee dula

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088Күн бұрын

    Hens hana kosa manara alisema yanga hakuna mweny elimu ukitoa babake haji manara na kikwete sasa hao wamezeeka hawawezi kuingia madarakani tena ndio maana engeneer kawa na yote hayo

  • @HappyDominoes-jf1ji
    @HappyDominoes-jf1ji2 күн бұрын

    Wazee wapambane ase awa vijana hawaelewi kitu mtu mzima hakosei 😂😂😂😂

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji2 күн бұрын

    Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52092 күн бұрын

    Dulla ngao tarehe 8/8/24

  • @SimbaProSupporters
    @SimbaProSupporters2 күн бұрын

    Nlikosea Shukran sana

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52092 күн бұрын

    Kaka Dull kwa hiyo Simba wamempata David Beckham yule wa Manchester united?

  • @SimbaProSupporters
    @SimbaProSupporters2 күн бұрын

    @@ismailhassan5209 Hahahha kwann kaka

  • @mmsfuzzsba3816
    @mmsfuzzsba38162 күн бұрын

    NGAO TRH 8/8 SIMBA DAY TRH 3

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia10162 күн бұрын

    Dulla kuhusu Mpanzu! Vipi?

  • @SimbaProSupporters
    @SimbaProSupporters2 күн бұрын

    @@dominickiungulia1016 Dili limeshindikana

  • @JovinusJoseph1992
    @JovinusJoseph19922 күн бұрын

    Wa Kwanza 😂

  • @RamadKasim-t2x
    @RamadKasim-t2x3 күн бұрын

    VP kibu yupo??

  • @KhadijaKhadijamussa
    @KhadijaKhadijamussa3 күн бұрын

    Ndiioooo

  • @HassanAthuman-p2d
    @HassanAthuman-p2d3 күн бұрын

    Apo safi

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp4 күн бұрын

    Huyo Hana Kiwango Cha kuchezea simba

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l4 күн бұрын

    Muachen asitumiize vichwa

  • @Jafari-t3x
    @Jafari-t3x4 күн бұрын

    Mwana unajua kichambua mpira kaka

  • @user-sm2cn4zi3e
    @user-sm2cn4zi3e4 күн бұрын

    Rais wa heshima kwa kuwa umehamua kuijenga simba mlete Elie mpanzu tuna kukubali.

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l4 күн бұрын

    Jamani hiyo michango ya kuongeza nguvu vipi tumlete mpanzu ?

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu4 күн бұрын

    Naomba kuunwa kwenye gupu lasima

  • @AndrewMabula-ls8ju
    @AndrewMabula-ls8ju4 күн бұрын

    Vip kuhusuuu kramo

  • @JuventusJerm
    @JuventusJerm5 күн бұрын

    Rgddgid2&+$3-(3

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80845 күн бұрын

    Ila Mpanzu imeshindakana nini au mkwanja hatuna

  • @abdallahathumani300
    @abdallahathumani3005 күн бұрын

    Hapa sijapaerewa ebu rekebishini iri tuerewane

  • @user-zt2lu7oq1d
    @user-zt2lu7oq1d5 күн бұрын

    Idadi ya WACHEZAJI wa kigeni mwisho ni 12, hadi Sasa Simba inawachezaji 11... Onana akienda Kambi misri watakuwa wamekamilika 12. Mpanzu na Aluku inabidi atolewe Mchezaji mmoja au wawili.

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg5 күн бұрын

    Naomba kuungwa kwenye group

  • @ArafaMkomwele-vi2hp
    @ArafaMkomwele-vi2hp5 күн бұрын

    Umesahau wenyeji unajua Kuna wageni wengi kuliko wazawa lkn kikosi ni kizuri

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10695 күн бұрын

    Naskia asha baraka anaanzisha redio yake..mzee utakuwa mchambuzi

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu27314 күн бұрын

    Ushabiki ndio unaokuuma😂