HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA

Спорт

Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga

Пікірлер: 46

  • @HamisiMakela
    @HamisiMakela26 күн бұрын

    Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25

  • @JosephTimotheo-t4j
    @JosephTimotheo-t4j15 күн бұрын

    Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport

  • @DaudiMkama-k6f
    @DaudiMkama-k6f24 күн бұрын

    Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig21 күн бұрын

    Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright26 күн бұрын

    SIMBA FOR LIFE ❤

  • @ShadrackSonga-v6f
    @ShadrackSonga-v6f25 күн бұрын

    🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira

  • @lutiak7618
    @lutiak761825 күн бұрын

    Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel906424 күн бұрын

    Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow26 күн бұрын

    MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri

  • @sangaelly8548

    @sangaelly8548

    25 күн бұрын

    Hawalogi tena hao

  • @JoseHaule-tx7lu

    @JoseHaule-tx7lu

    24 күн бұрын

    Hawa yangaaa hawa tutaonana mwaka huu wametuzalilisha sana

  • @janekimwaga6246

    @janekimwaga6246

    18 күн бұрын

    MUNGU aeñdelee kuwa nasi

  • @user-ol8xg4ez3i
    @user-ol8xg4ez3i25 күн бұрын

    Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.

  • @deogratiusGodfrey

    @deogratiusGodfrey

    5 күн бұрын

    Amina

  • @user-vt4bx1xl7j
    @user-vt4bx1xl7j25 күн бұрын

    Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba

  • @zainabuShabani-x9c
    @zainabuShabani-x9c21 күн бұрын

    Mungu awe pamoja nanyi

  • @irfaanhasham1346
    @irfaanhasham134624 күн бұрын

    Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja

  • @allyrugaba
    @allyrugaba7 күн бұрын

    Msimu huu ni wa simba

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el23 күн бұрын

    Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa

  • @user-oi5zh5zh7j
    @user-oi5zh5zh7j25 күн бұрын

    Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig21 күн бұрын

    Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta93923 күн бұрын

    Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu

  • @IsakaMiseho
    @IsakaMiseho11 күн бұрын

    Niunge kwenye group ya simba

  • @ErastoMapunda-rj1mj
    @ErastoMapunda-rj1mj25 күн бұрын

    Naomba nijiunge😅

  • @user-hu3kb4qi2t
    @user-hu3kb4qi2t22 күн бұрын

    Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa25 күн бұрын

    mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea

  • @user-uj1pj3wr6y
    @user-uj1pj3wr6y23 күн бұрын

    🎉 na wewe pia

  • @lucastungera4495
    @lucastungera449515 күн бұрын

    Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys23 күн бұрын

    Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes

  • @anyagenyekalangali-zt1xo
    @anyagenyekalangali-zt1xo23 күн бұрын

    Nilikuwa napita tu

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene485525 күн бұрын

    safi sana

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io23 күн бұрын

    Naomba kujiunga na group

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene212126 күн бұрын

    Watuletee aziz

  • @marcobulili4341
    @marcobulili434111 күн бұрын

    Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?

  • @AbuuLugala
    @AbuuLugala24 күн бұрын

    Mungu yup nas

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io23 күн бұрын

    Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji18 күн бұрын

    Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa25 күн бұрын

    niue gulupu simba

  • @user-pi4dv3oh1u
    @user-pi4dv3oh1u25 күн бұрын

    Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi

  • @browntv1119
    @browntv111921 күн бұрын

    hatari mliwaona wapi acha tuwaone

  • @hamisnagave-bl1sq
    @hamisnagave-bl1sq24 күн бұрын

    Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu

  • @vicengelime4580
    @vicengelime458025 күн бұрын

    Mziki mnene wenye kijan mjiandae

  • @EdigaKambimtoni
    @EdigaKambimtoni23 күн бұрын

    najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990
    @aishaomaryyousefomaryloiru199024 күн бұрын

    Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l25 күн бұрын

    Niunge

  • @MwanahamisHussein-dp2if

    @MwanahamisHussein-dp2if

    22 күн бұрын

    Niunge

Келесі