BALAA LA CHAMBOU KARABOUE BEKI MPYA WA SIMBA/MRITHI WA HENOCK INONGA BAKA

Simba imemalizana na kitasa kutoka nchini Ivory Coast Chambou Karaboue kama mbadala wa beki mkongomani Henock Inonga alietimkia nchini Morocco kujiunga na Mabingwa wa mwaka 2023 FAR Rabat
Simba walipoona hivo ndipo walipoamua kumvuta fundi Chambou Karaboue ambae ndie mshindi wa tuzo ya beki bora wa mwaka 2024 nchini Ivory Coast na Mshindi wa kombe la Coupe nationale nchini Ivory Coast
Dullah anatupa undani wa nyota huyu
Kuungwa kwenye group la Simba PRO tutafute kwa namba 0626629644 ili uweze kupewa utaratibu wa jinsi ya kujiunga

Пікірлер: 8

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO28 күн бұрын

    Kiukweli awamu hii viongozi wetu naona wako serious na usajili, kikubwa tuwaombee sana hawa wachezaji wetu wasiathiriwe na fitna za wapinzani wetu.❤

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon788121 күн бұрын

    Fasika Idumba ni bora zaidi, huyu mzito sana.

  • @kristofuraha
    @kristofuraha28 күн бұрын

    We jamaa huwa unibariki sana sana sana! Hujawahi kuniangusha!

  • @mohdmussa-e9o
    @mohdmussa-e9o21 күн бұрын

    Una kitu kaka but unapswa kujiongeza badilisha location hio

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas916428 күн бұрын

    Hivi kweli mpanzu anakuja Simba?

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford28 күн бұрын

    Safari mh! Tusubil tuone naona WACHEZAJI wanaosajiliwa ni wazuri

  • @DavidGabriel-m8u
    @DavidGabriel-m8u28 күн бұрын

    Usajili WETU ni balaa lakini tunajua wenzetu WA upande wa pili jinsi wanavyo pambania kuwaharibu kwa kuwapiga misumari.Wanasimba wenzangu naomba hilo mlijue.Kama Kuna mtu anabisha aangalie matukio ya MORISSON kuvishwa busha, wengine akina BALEKE, PHIRI,ONANA kushusha viwango lakini pia MAYELE dhidi ya Majini.

Келесі