Nyinyi ata mmfanye nini, Azizi K ni bora tu, MVP anamagoli 19 akamshinde mwenye 21? Sasa mashuti mengi uyo Fei alishinda, msilete huruma mwenye haki yake apewe ata kama sio mtanzania.
@ezzepuritykamwene2121Күн бұрын
Mbona mzk mtupu
@ElyrehemaMartinКүн бұрын
Mbona mnapiga piano badla ya kuongea
@adamlubawa1281Күн бұрын
SIMBA HAIMPATI MPANZU MPANZU AMEISHA SAJILI YANGA DILISHA DOGO ANAJIUNGA RASMI UKIBISHA NIPO PALEEEE HANS RAFAEL CHANZO CHAKO BUTU
@adamlubawa1281Күн бұрын
Yanga na As Vita ni damu damu
@Joe-tr2vk18 сағат бұрын
Umekaa zako Buza umeshiba mihogo unabishana hata na wenye taarifa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika? Meneja wa Mpanzu mwenyewe kathibitisha Mpanzu kutua Simba
@adamlubawa128114 сағат бұрын
@@Joe-tr2vk WEWE BISHA BEST YANGU ILA MWISHO WA SIKU UTAONA HANA CHANZO CHA KUAMINIKA NI KUBASHIRI TU KAMA ALIVYO JEMEDALI ALUSEMA MANARA HAJALIPA
@anithawidambe7543Күн бұрын
Hance wewe ni mchambuzi bora sana tupangie kikosi cha mauaji. na mayele vp?
@SalimuRamadhani-nl7bpКүн бұрын
Oscar we tak: tu,alafu huwa wajifanyaga wajua kweli
@athmanimkangara9290Күн бұрын
Fred apewe muda
@samwelnyaulasmaiko9968Күн бұрын
Fredy is a 20+ striker
@AUGUSTINEMARTINJIKAКүн бұрын
Hans raphael hajui kitu kuhusu mpira huyoo jamaa ila huwaga anazungumzia mpira kishabiki huwezi kumuhukumu mtu kwa kipindi kifupi hichi pia angalia movement zake uwanjani ni kwamba anajua boli huyo fredy acha apewe muda kwanza
@DStarTz-if2koКүн бұрын
Ubaya wavmsimu umetokana na wafungaji wabov ninyi mnaemsifia fredy nna waswas ni wapinzani mnataka abak ili tuharibu tena
@velxempire8995Күн бұрын
hans tunz maneno na umeskia wap koch kamkataa au ndo sias umeanza
@velxempire8995Күн бұрын
na fred akiwa fit je itakuaje
@velxempire8995Күн бұрын
hans wew akij hat mayele atasem tu hivy
@velxempire8995Күн бұрын
ampe heshima fred bhna
@velxempire8995Күн бұрын
anauwezo wakutafuta mpira na touch zake zik vzr shid tu ni umbo kubwa ambalo akiwap mabek wanaonyesha ni faul ila anajua movement
@velxempire8995Күн бұрын
huy jamaa anajifany anajua sana mpira af hat hajasomea ukocha fred ni mzur
@samwelnyaulasmaiko9968Күн бұрын
Fredy ni mzuri sana uyo anaekandia ni mpumbavu mmoja tu, tuwe wavumilivu
@suitbertmaro5792Күн бұрын
Geof anauelewa mpana sana wa mpira, fredy ni mtu anajua boli.
@mpisyeshabani3004Күн бұрын
😂
@CheerfulAcorn-sk6frКүн бұрын
Mambo ni motoo
@nyangesaidi5792Күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥mpanzu on 🔥
@JeffFerdinandКүн бұрын
Nakukubal kaka upo vizuri sio kaka baba levo
@stivinmilembeКүн бұрын
Kuna watu huwa wanasema wewe ni shabiki wa Simba ila cyo hvyo sema brazaa unajua kuchambua mpira, napenda sana kukufuatilia ukiwa unachambua mpira "Hans"
@omarihabibumfaume479Күн бұрын
Kwn dili lishakamilika
@omarihabibumfaume479Күн бұрын
Kwn dili lishakamilika
@abdallaHassan-es7voКүн бұрын
Kumbe dirisha bd halijafungwa. Eeee
@saidsuleiman1753Күн бұрын
@@abdallaHassan-es7vo Dirisha la.CAF tayari lishafungwa ila dirisha la ligi y Bongo bado halijafungwa, kwa maana hiyo hata Mpannzu akisajiliwa sasa hatoweza kucheza shirikisho maana jina lake lishachelewa
@user-xq8pq2ey6tКүн бұрын
@@saidsuleiman1753mh makubwa
@RashidSalum-ih8spКүн бұрын
Mutale ntu
@user-wn9bp5cl1jКүн бұрын
Daaah tunampenda sana mpanzu wana simba
@ElizaYangaКүн бұрын
Kwhy Oscar akiwakataa ndio nn...wavae jez za yanga wazitumikie km walivyo kubaliana bc Oscar si cocha si mdhamini kwhy afate maisha yake
@AshaSeif-ww7quКүн бұрын
Anajua sana mpira uyo Hans Rafael nakubali
@shaffihiddy9281Күн бұрын
Wakala mwenyewe anaonekana ni shabiki wa ubaya ubwela oya weee🔥🔥🔥
@user-pn8ux8of7fКүн бұрын
Lazima tuwe joto misim mitatu likolo wapo ju hinyo tukimpata mpazu faitoto likolo tumewapata talehe 8 mbali sana
@kassidpandu866Күн бұрын
Aondoke tu yanga ni Timu ya wazee hapo atakuja kuchukuwa nafasi Mzee Mpili
@MartineShijaКүн бұрын
C watumie ileile njia iliyomaliza mgogolo wa Feisal
@ZahorAbdallahКүн бұрын
Ww unajua mpiraa brooo
@saidsuleiman1753Күн бұрын
Huyu ni Wakala au mshabiki
@kassidpandu866Күн бұрын
Amekuumiza Mpanzu eee
@omarylyeme1015Күн бұрын
¹1😊😊😊@@kassidpandu866
@godsonmolla1594Күн бұрын
Ndo futuboli ya hii masiku
@japharyramadhan3437Күн бұрын
Iwe nisiri😂
@anithawidambe7543Күн бұрын
MLETE NA MAYELE SIMBA WEWE WAKALA WAWACHEZAJI HAWA.
@JoseHaule-tx7luКүн бұрын
Iwe kweli jmani huyo kiumbe tunampendaaa wana simbaaaaaaa
Пікірлер
Wapi hizo jezi za Yanga?, mbona unaleta uhuni!!!
Nyinyi ata mmfanye nini, Azizi K ni bora tu, MVP anamagoli 19 akamshinde mwenye 21? Sasa mashuti mengi uyo Fei alishinda, msilete huruma mwenye haki yake apewe ata kama sio mtanzania.
Mbona mzk mtupu
Mbona mnapiga piano badla ya kuongea
SIMBA HAIMPATI MPANZU MPANZU AMEISHA SAJILI YANGA DILISHA DOGO ANAJIUNGA RASMI UKIBISHA NIPO PALEEEE HANS RAFAEL CHANZO CHAKO BUTU
Yanga na As Vita ni damu damu
Umekaa zako Buza umeshiba mihogo unabishana hata na wenye taarifa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika? Meneja wa Mpanzu mwenyewe kathibitisha Mpanzu kutua Simba
@@Joe-tr2vk WEWE BISHA BEST YANGU ILA MWISHO WA SIKU UTAONA HANA CHANZO CHA KUAMINIKA NI KUBASHIRI TU KAMA ALIVYO JEMEDALI ALUSEMA MANARA HAJALIPA
Hance wewe ni mchambuzi bora sana tupangie kikosi cha mauaji. na mayele vp?
Oscar we tak: tu,alafu huwa wajifanyaga wajua kweli
Fred apewe muda
Fredy is a 20+ striker
Hans raphael hajui kitu kuhusu mpira huyoo jamaa ila huwaga anazungumzia mpira kishabiki huwezi kumuhukumu mtu kwa kipindi kifupi hichi pia angalia movement zake uwanjani ni kwamba anajua boli huyo fredy acha apewe muda kwanza
Ubaya wavmsimu umetokana na wafungaji wabov ninyi mnaemsifia fredy nna waswas ni wapinzani mnataka abak ili tuharibu tena
hans tunz maneno na umeskia wap koch kamkataa au ndo sias umeanza
na fred akiwa fit je itakuaje
hans wew akij hat mayele atasem tu hivy
ampe heshima fred bhna
anauwezo wakutafuta mpira na touch zake zik vzr shid tu ni umbo kubwa ambalo akiwap mabek wanaonyesha ni faul ila anajua movement
huy jamaa anajifany anajua sana mpira af hat hajasomea ukocha fred ni mzur
Fredy ni mzuri sana uyo anaekandia ni mpumbavu mmoja tu, tuwe wavumilivu
Geof anauelewa mpana sana wa mpira, fredy ni mtu anajua boli.
😂
Mambo ni motoo
🔥🔥🔥🔥🔥mpanzu on 🔥
Nakukubal kaka upo vizuri sio kaka baba levo
Kuna watu huwa wanasema wewe ni shabiki wa Simba ila cyo hvyo sema brazaa unajua kuchambua mpira, napenda sana kukufuatilia ukiwa unachambua mpira "Hans"
Kwn dili lishakamilika
Kwn dili lishakamilika
Kumbe dirisha bd halijafungwa. Eeee
@@abdallaHassan-es7vo Dirisha la.CAF tayari lishafungwa ila dirisha la ligi y Bongo bado halijafungwa, kwa maana hiyo hata Mpannzu akisajiliwa sasa hatoweza kucheza shirikisho maana jina lake lishachelewa
@@saidsuleiman1753mh makubwa
Mutale ntu
Daaah tunampenda sana mpanzu wana simba
Kwhy Oscar akiwakataa ndio nn...wavae jez za yanga wazitumikie km walivyo kubaliana bc Oscar si cocha si mdhamini kwhy afate maisha yake
Anajua sana mpira uyo Hans Rafael nakubali
Wakala mwenyewe anaonekana ni shabiki wa ubaya ubwela oya weee🔥🔥🔥
Lazima tuwe joto misim mitatu likolo wapo ju hinyo tukimpata mpazu faitoto likolo tumewapata talehe 8 mbali sana
Aondoke tu yanga ni Timu ya wazee hapo atakuja kuchukuwa nafasi Mzee Mpili
C watumie ileile njia iliyomaliza mgogolo wa Feisal
Ww unajua mpiraa brooo
Huyu ni Wakala au mshabiki
Amekuumiza Mpanzu eee
¹1😊😊😊@@kassidpandu866
Ndo futuboli ya hii masiku
Iwe nisiri😂
MLETE NA MAYELE SIMBA WEWE WAKALA WAWACHEZAJI HAWA.
Iwe kweli jmani huyo kiumbe tunampendaaa wana simbaaaaaaa