MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 220
@yasinkihupi95833 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@janemugoya1316
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jsmfarms71263
2 жыл бұрын
Kabisa
@davidkabuka3792
2 жыл бұрын
👍👍👍
@abdillahhussein3020
2 жыл бұрын
@@davidkabuka3792 usiseme pressure inayo result tunataka uende kujaribu kuvuka sawa kijana
@sikuchachekazikubwa5603
2 жыл бұрын
Ina maana Mkuu wa Wikaya naye haelewi hapo???
@hindisaid24133 жыл бұрын
Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Jamani😁😁😁😁😁😁
@barnabasstanslaus68952 жыл бұрын
Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄
@munaahmed84993 жыл бұрын
Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia
@deniserick61153 жыл бұрын
Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪
@latifamohammed61
3 жыл бұрын
Kajaribu uwone kama utavuka
@superbillionairea5987
2 жыл бұрын
Ukivuka na kupa million. Mimi nipo maeneo hayo. Hapavukikii
Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
nenda ukunyooshe
@eliajason32873 жыл бұрын
Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans
@valenakomba92182 жыл бұрын
Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.
@djdisboy255tz3 жыл бұрын
Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣
@bockernyarusahi3655
3 жыл бұрын
Umetisha mkuu
@clintonjoas90203 жыл бұрын
Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke,,,wakishindwa waiteni wachina watandike fly over.........vusheni mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu,serikari wapafunge na sio kivutio.
@yasinkihupi9583
3 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@ashachitemo7816
2 жыл бұрын
Khaa
@sophy112
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@agesag.m2476
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 very true
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@yasinkihupi9583 elimu hatuna halafu wewe unakuja kueka comment za English,sasa tutajifunza vipi?
@missmoona44972 жыл бұрын
Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako
@joycekalembo22253 жыл бұрын
Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..
@husnaabdallah1079
3 жыл бұрын
kwa hiyo unataka kusema anatudanganya?
@samyspesho16983 жыл бұрын
SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU
@qimramaa668
2 жыл бұрын
Kwani nn maana ya utalii?? Acheni tabia za kupenda kupinga kila mnachikiskia bila sababu za msingi
@edlumala94283 жыл бұрын
Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!
@brysonuronu5862
2 жыл бұрын
Uongo uongo ..tuliambiwa madaraja yanajengwa usiku nk..wafanye madaraja yote vivutio pia...mbona ubungo flyover na mengine yalijengwa usiku na mchana hatukushangaa ..maarifa
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Mapato unawazimu kweli,mapato ayo kwio
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji
@kingcopper_tz
2 жыл бұрын
Jibu ni rahisi tu, Hatuna hela za kujenga miundombinu kutoka kwenye vyanzo vya maji hadi kwa watumiaji, ila vyanzo tunavyo vyakutosha shida ni mtonyo
@valentinetesha8536
2 жыл бұрын
@@kingcopper_tz akili hatuna sie waswahili tunawaza kupiga ela tuu
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
Ya kwa kweli sisi ni watu wa ajabu sana
@issazakaria8633 жыл бұрын
Hongeai waume
@sampachino51842 жыл бұрын
Milard mpo juuu 🔥🔥🔥
@geoffreythuku92982 жыл бұрын
Hapa mimi navuka kwa urahisi sana aisee. Ntawaita mchukue video nikivuka.
@juliusmaiko95573 жыл бұрын
Mmaasai na kuogelea wapi na wapi... Mmaasae mpe simba amuue sio kuvuka mto.
@freduallughano23013 жыл бұрын
Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!
@emmanuelmtonyole9958
2 жыл бұрын
🤣🤣
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje
@gamma9590
2 жыл бұрын
Sijui watanzania tumerogwa na Nan? Huhijaji akili nyingi kuona speed ya maji
@valenakomba92182 жыл бұрын
Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.
@jameskuria16643 жыл бұрын
It's so disgusting to see how people believe in wickedness rather than God.
@emmykundy4273
Жыл бұрын
I thought you were in Shakahola on way to see Jesus!?
@zedekiannyagawa3521
Жыл бұрын
the god of shakahola.
@kalwinzigiti57103 жыл бұрын
Mzee hajatwahi kutoka zaidi ya maeneo mengine kazaliwa hapo naanazeekea hapohapo utalii gani hapo sasa
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Hamna historia hapo hapo Maji yamejikusanya ,,maeneo mengine Maji yametawanyika
@a.s.afishfarming6225
3 жыл бұрын
Nenda karuke pale kama ni uongo
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
@@a.s.afishfarming6225 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashakakayeba9616
3 жыл бұрын
Nenda ukapite uwone sisi watu wa tanga ndio tunajua hap
@heyumi2340
3 жыл бұрын
hapo unapita vizuri sana
@dstaroficial2 жыл бұрын
Ukisoma bila ya elimu ya kuzaliwa nisaw mtoto mdogo Baba anaita papa yan no saw kama huna akili japo umesoma lands nikupe pakuanzia huenda ukawa naakili ukitupa kitu kinavuka haina shida Ila mtu ndio havuki serekal yenyewe imeweka alama au huioni na Wana wasomi wakutosha sio ww chizi .ndo nyie mkiingiaga 4m one mnaongea broken halafu mnawaina wenzenu hawajui kumbe mnaonekana hamjielew
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@seifchembela43463 жыл бұрын
Tuna maliziana mb tuwe siliasi Sasa apo nakuja kutalii nini nawakat hii nchi inamaeneo yenye vivutio kibao alaf munapost ujinga
@dastanlufunda88467 ай бұрын
Tuachen utan kamto tu ako mwanaume najinyosha naruka tu , vip muraa tuwe serious bana
@assundy6923 Жыл бұрын
Huu sio mto pangani bali ni mchepuko wa mto pangani tuu
@kamaumwenjerwa70322 жыл бұрын
UPUZI MTUPU MTANZANIA AKO NYUMA AKILI DUNI
@centlaz16783 жыл бұрын
njooni kwetu kunae mto unavuka ila maji hayalowanishi ata ufanyeje
@born_drip
Ай бұрын
Kaka wapi huko
@ahmedhassan26192 жыл бұрын
Sisi tunavuka mto wa mita 35 Leo hapo watu wanafeli
@avisone23343 жыл бұрын
Mnitafte mm nije chap kuvuka fasta naruka chap msije mkasema natumia mazindiko maana wabongo kuamn ujinga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
@mustaphareua23703 жыл бұрын
Noma
@kenmwangzy10012 жыл бұрын
Hiyo naweza vuka nikiwa nimeketi
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Yaani watu wamebezi kwenye mapato basi du,
@YusuphMarcOgaga3 жыл бұрын
Hapo navuka vizur kabisa ....izo imani za kihuni
@latifamohammed61
3 жыл бұрын
Kavuke 😂😂😂
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
Labda PAWE palefu ila kama chini nakanyaga Insha'Allah navuka kbsa
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
@@ummuhkhalfan5542 siwezi jaribu ila watu kwa imani potofu wanayaweza huko tabora kuna kijimto frani kilivuma kwajiri ya mvuwa walitutisha kwamba ukiingia kuvuka kinajaa gafra ila sijawahi sikia aliekutwa na hilo hatamie niliwahi kupita kiwoga kumbe hakuna chochote rorote ushizi tu🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
@kilimoajira24572 жыл бұрын
Watz bwana kwahiyo tuko busy kutangaza ushirikina ndio kivutio? Daaaaaa twendeni shule jamani
@benjaminkimaro50743 жыл бұрын
Mm Naruka Nifate Nikawe DEMO😂😂😂😂
@mbarakaubuguyu74482 жыл бұрын
Alafu huyo msimulizi si muandishi wa staa TV
@mussakasimu28113 жыл бұрын
maajabu kila kitu jaman
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Bhana we hapo unavuka ukimtegemea mungu co kumezeshana habar za sungura
@zedhabari8140
3 жыл бұрын
Hapo unavuka vizuri sana
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
nenda kavuke
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
Twende wote utajuaje kama nmeenda kweli
@sefoo80843 жыл бұрын
Hahahha eti havuki mtu kisa wamasai hawakuweza. Sasa wamasai ndo manguli wa kuogelea au?
@loxlox3414
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@andemarley2705
3 жыл бұрын
😅😅😅
@babenealoyce8895 жыл бұрын
Historia ya ushirikina korogwe
@festovenas502
3 жыл бұрын
Hahaha
@qimramaa668
2 жыл бұрын
Sio ushirkina ila ni tamaduni za waafrika hicho ndicho mlichoaminishwa na waarabu na wazungu ili kutukana na kukejeri tamaduni zenu
@donaldelias66892 жыл бұрын
Yaan mnatamaaa.eti Serikali ijipatie kipato kupitia hapo😂😂😂😂😂🤣
@sophy1122 жыл бұрын
Hawaja pafence wanaongelea nini ...na anaawa mikono hapa mbona hio maji haijamvuta ... Kwanza waafrika na mambo ya uwanga waweke Kando .... Mnavuta watalii aje na mambo ya kichawi ... Andika mambo ya sayansi hapo ondoa uchawi
@user-rd3hk5qt5pАй бұрын
Ni mlango wa kuzimu sio maajabu
@dulladulla41343 жыл бұрын
Huwez vuka coz kuna pull force inayotengenezwa na hayo maji
@ghelimafilemon9653
2 жыл бұрын
Pia mwamba unaozunguka hilo eneo Una iron au chuma, hivyo force ya maji inazalisha magnet na umeme
@jumakessy75602 жыл бұрын
Mimi nimemsikia huyo mzee anasema hapo juu kuna upana wa mita3 tu lakini hajatuambia upana wa chini upoje, kwa upana wa mita3 mtu akijivuta kwa umbali na akakimbia anaweza kuruka ila ukiteleza ukatumbukia kwnye maji kutokana na kina kasi ya maji huwezi kutoka hapo
@mahadshekh3982 жыл бұрын
Ndio yale yale ya chunusi. Eti jini anayevuta watu kwenye maji. Kukosa elimu ni janga kubwa.
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
I AGREE 1000%
@fetychina32732 жыл бұрын
Sasa kwanini wamasai si mjaribishe ili tuhakikishe🤣🤣
@ancomagu31555 жыл бұрын
HATANYELITE BHUKOMU😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂😂
@abuuashyam84173 жыл бұрын
mm nimuislam na nachukia ushirikina ila kwahapo wallah navuka bila kudhuriwa na chchote kwa uwezo wa allah labda iwe maji yake yanakasi au pana shimo hapo itakua najidhuru ila kwasababu ilotajwa hapo eti pamezindikwa wallah napita kwa idhni ya allah hapana chchte kile
@yasinkihupi9583
3 жыл бұрын
upungufu wa elimu pole
@IbrahimMohamed-yy2il
2 жыл бұрын
Maji yana nguvu na Kasi hiyo yanapita hapo hakuna jambo zaidi ni akili tu ya kawaida huwezi vuka hapo. Mazindiko na mengine yanaweza yamefanyika Ila sio sababu kubwa ni maji tu yanakasi na nguvu hilo eneo isingekuwa hivyo maji yametulia tu na mtu huwezi vuka hiyo ingekuwa stori nyengine kabisa
@brysonuronu58622 жыл бұрын
Haya ni kweli kiwe kivutio sawa kabisa lkn kwenda kuangalia nini? Ikiwa msumulizi anasema Kuna vitu wazee waliweka je Hivi tunaweza hakikisha au andika mahali na kuelezea mauza uza au uchawi na nguvu za Giza. Kweli hapo hapana hata level ya kua kivutio au eneo la utalii wa Kijiji. Tunaona promotion ya nguvu za Giza . Maana baada ya kujifunza hapo unatoka na nini kichwani..
@ridhywizzytz5473 жыл бұрын
sio uongo ni kweli napajua hapo nilipita nikiwa natoka kijijin mgobe wenyeji wa korogwe wanapafahamu sana
@KANTANA97
3 жыл бұрын
Mbona we ulipita lkn wengine walishindwa
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
@@KANTANA97 😅😅😅
@isamony583 жыл бұрын
acheni uongooo kunakivutiyo gani hapo mjee kwetu mtwara mujionee mito na milima na mashimo yanayotoka moshiii
@aishaamwalimu2887
3 жыл бұрын
Mimi natamani Kuja kuona tafadhari.
@josephmhando6299
3 жыл бұрын
Nawewe chukua waandishi uvutie kwenu apo tumeonyeshwa ww hayo mashimo yako yanayo to a moshi uako wapi mnapenda kupondaponda vitu msivyo vijua
@khamisihaji29053 жыл бұрын
Dawa yake ni mzungu 2 mumuone km atapita au hapiti mzungu 2.
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
good 👍👍
@mwanaamasanja76293 жыл бұрын
Maajabu yako mengi sana jamn huku kwetu kuna maji yana chemka kutoka chini ukiyagusa ata kama umeshiba kias gan lazma njaa ianze moja na inaaminika maji hayo yanatoa mkos asilimia mia
@jamecmhro7021
2 жыл бұрын
Ni wap huko
@rehemamgaya5289
2 жыл бұрын
Wapi huko
@dianaaloycemakoi19852 жыл бұрын
Good
@mdathirhassan21873 жыл бұрын
Yasemekana hakuna ushahidi wajanja mwataka hela tu acheni urongo
@faridikatumbili4611
3 жыл бұрын
nenda karuke ndio utajua kama niuongo
@heyumi2340
3 жыл бұрын
uongo kila kitu utalii mnataka pesa tu njaaaa
@ot83963 жыл бұрын
watu mabonge bana😃😃😃😃
@hilalidismas94903 жыл бұрын
Hamna kitu hapo hata hapaendan
@faustinmsigwa87643 жыл бұрын
Kutoka barabaran pana mita ngapi🤔 tatu au nne!!???
Sasa c wamasai ila kabila liningine ndugu zake wanavuka fresh tu
@adamalfred93483 жыл бұрын
Mnacheza nyinyi wazungu hapa wanaselelela mpaka
@lawrencegwerino16562 жыл бұрын
Toka lini wamasai wakajuwa kuogelea ?😁😁
@gloriamwanjali93712 жыл бұрын
Ukiangalia tu maji yanazunguka inamaanisha maji marefu
@deniserick61153 жыл бұрын
Alafu we kibonge mafuta kuturusha sisi😀😀😀😀, nyang'au
@ramamtoo939
3 жыл бұрын
sio nyege nenda kavuke sio uwongo unacho ambiwa
@steventibenda52 жыл бұрын
ina maana hapo ukiweka kitu mfano machuma au mbao huvuki yote yanasombwa na maji ya kichawi? kisha wazungu wakituita nyani tunachukia sasa kwa mawazo haya wataacha kutuita nyani wazungu?
@titomfilinge90482 жыл бұрын
Ama kweli tunaachia maji yotekwendabaharini badala ya kuyatumia kwa kilimo.na kunywa. Whandisi na wachumi hii fursa nzuro kichapusha kilimo kwanza
@emmykundy4273
Жыл бұрын
Wewe huoendi hiyo Fursa au ndio ulishakufa?
@zolongOne3 жыл бұрын
Tatizo ni kwamba asilimia 95% ya watanzania hawajui kuogelea
@gamma9590
2 жыл бұрын
Huwez kuogolea hapo
@issufomussa52272 жыл бұрын
Kirakitu pesa wekeni bure
@evamakoi6682 жыл бұрын
Heeeeeee
@fasamifaudy6058 Жыл бұрын
physics hiyooo
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
Na hapo kuna vijiji utaambiwa vina shida kubwa ya maji
@kikiderreck99303 жыл бұрын
Kama ni mnguu ama mkilindi unapita" ila kabila zingine hazivuki
@salehesalehe29672 жыл бұрын
Ninyi mnaompinga ni malofa simwende mkavuke korogwe so mnaijua
@aimew.55153 жыл бұрын
Ningekuepo nngevuka mbele yao 😀
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Mh hiyo sio imani tu jamani
@victorjames3730
3 жыл бұрын
Nenda Jaribu kuvuka utajua ni imani au LA!
@tezuramziray87002 жыл бұрын
Si ajaribu mtu kuvuka tuone?
@drevapatrick51992 жыл бұрын
Navuka hapo mda huu
@naimaheka65493 жыл бұрын
Navuka vzr sema sjaamuwa tu
@shekiffu3 жыл бұрын
Bonhe afanye mazoez aache porojo
@saidmohamed4619
3 жыл бұрын
Acha us***nge bro,mambo ya unene na ubonge wake yanakuhusu nini wewe...
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Wamasai hawawezi kuogelea
@mwanaamasanja76293 жыл бұрын
#milad ayo karibu na kwetu sikumoja uone maajabu ya majan ukiyagusa yanajikunja
@emmanueltheonas7130
3 жыл бұрын
Yanaitwa kifa uongo hayo😅😅
@abdurahmanhasan3273
3 жыл бұрын
😂😂😂hayo mbona yapo mengi tu
@simonnembomadola75123 жыл бұрын
Unavuka tu acheni mbwembwe
@sheengazi42452 жыл бұрын
Imani potofu hiyo,Amin Allah tu
@tjtv26943 жыл бұрын
Adisi yako inatufundisha nn?
@benybenedict81703 жыл бұрын
Kuna maagano hpo ya kimiungu
@mbarakaubuguyu74482 жыл бұрын
Hapo huvuki razima ufe na hutoonekana kabisa napajua vizuri,,Pako njiani ukiwa unaenda arusha ukitokea korogwe mjini chezea tanga wewe
@embeothman36313 жыл бұрын
navuka vizuri tena huku nimefumba macho
@ramadhankakai7303
3 жыл бұрын
😂😂😂😂nenda kavuke utuletee habari
@embeothman3631
3 жыл бұрын
@@ramadhankakai7303 😂😂😂😂
@laymangoodmusictz33393 жыл бұрын
Sasa nije kuangalia nn apo
@sirajsh56333 жыл бұрын
Napajua hapo uyojamaa alikuaga muwindaji sasakatika halakati zake akatokea katika kijiji kimoja wanachoishi wamasai basijamaa akawa akinda kuwinda anakuja na nyamawanakula wote na wenyeji wake ilaikatokea sikumoja wakatiyuko kwenyemawindo alirusha mshalebahati mbaya ukamkosa mnyama ukampata mtu wamasai hawajata kuelewa wakaaza kumfukuza iliwamuue ndipoalipofika kwenye eneohili akafanyavyakufanya ilikunusuru nafsi yake#
@farajamwakagile9647
3 жыл бұрын
Ooh kumbe!? Na wewe ulikuwepo kipindi hicho? Au umesimuliwa kama tunavyosimuliwa sisi tu boss?
Пікірлер: 220
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@janemugoya1316
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jsmfarms71263
2 жыл бұрын
Kabisa
@davidkabuka3792
2 жыл бұрын
👍👍👍
@abdillahhussein3020
2 жыл бұрын
@@davidkabuka3792 usiseme pressure inayo result tunataka uende kujaribu kuvuka sawa kijana
@sikuchachekazikubwa5603
2 жыл бұрын
Ina maana Mkuu wa Wikaya naye haelewi hapo???
Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Jamani😁😁😁😁😁😁
Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄
Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia
Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪
@latifamohammed61
3 жыл бұрын
Kajaribu uwone kama utavuka
@superbillionairea5987
2 жыл бұрын
Ukivuka na kupa million. Mimi nipo maeneo hayo. Hapavukikii
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
@@superbillionairea5987😁😁😁😁😁 tuma namba yako nikija nikupigie
Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
nenda ukunyooshe
Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans
Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.
Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣
@bockernyarusahi3655
3 жыл бұрын
Umetisha mkuu
Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke,,,wakishindwa waiteni wachina watandike fly over.........vusheni mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu,serikari wapafunge na sio kivutio.
@yasinkihupi9583
3 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@ashachitemo7816
2 жыл бұрын
Khaa
@sophy112
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@agesag.m2476
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 very true
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@yasinkihupi9583 elimu hatuna halafu wewe unakuja kueka comment za English,sasa tutajifunza vipi?
Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu
Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako
Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..
@husnaabdallah1079
3 жыл бұрын
kwa hiyo unataka kusema anatudanganya?
SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU
@qimramaa668
2 жыл бұрын
Kwani nn maana ya utalii?? Acheni tabia za kupenda kupinga kila mnachikiskia bila sababu za msingi
Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!
@brysonuronu5862
2 жыл бұрын
Uongo uongo ..tuliambiwa madaraja yanajengwa usiku nk..wafanye madaraja yote vivutio pia...mbona ubungo flyover na mengine yalijengwa usiku na mchana hatukushangaa ..maarifa
Mapato unawazimu kweli,mapato ayo kwio
Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji
@kingcopper_tz
2 жыл бұрын
Jibu ni rahisi tu, Hatuna hela za kujenga miundombinu kutoka kwenye vyanzo vya maji hadi kwa watumiaji, ila vyanzo tunavyo vyakutosha shida ni mtonyo
@valentinetesha8536
2 жыл бұрын
@@kingcopper_tz akili hatuna sie waswahili tunawaza kupiga ela tuu
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
Ya kwa kweli sisi ni watu wa ajabu sana
Hongeai waume
Milard mpo juuu 🔥🔥🔥
Hapa mimi navuka kwa urahisi sana aisee. Ntawaita mchukue video nikivuka.
Mmaasai na kuogelea wapi na wapi... Mmaasae mpe simba amuue sio kuvuka mto.
Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!
@emmanuelmtonyole9958
2 жыл бұрын
🤣🤣
Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje
@gamma9590
2 жыл бұрын
Sijui watanzania tumerogwa na Nan? Huhijaji akili nyingi kuona speed ya maji
Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.
It's so disgusting to see how people believe in wickedness rather than God.
@emmykundy4273
Жыл бұрын
I thought you were in Shakahola on way to see Jesus!?
@zedekiannyagawa3521
Жыл бұрын
the god of shakahola.
Mzee hajatwahi kutoka zaidi ya maeneo mengine kazaliwa hapo naanazeekea hapohapo utalii gani hapo sasa
Hamna historia hapo hapo Maji yamejikusanya ,,maeneo mengine Maji yametawanyika
@a.s.afishfarming6225
3 жыл бұрын
Nenda karuke pale kama ni uongo
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
@@a.s.afishfarming6225 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashakakayeba9616
3 жыл бұрын
Nenda ukapite uwone sisi watu wa tanga ndio tunajua hap
@heyumi2340
3 жыл бұрын
hapo unapita vizuri sana
Ukisoma bila ya elimu ya kuzaliwa nisaw mtoto mdogo Baba anaita papa yan no saw kama huna akili japo umesoma lands nikupe pakuanzia huenda ukawa naakili ukitupa kitu kinavuka haina shida Ila mtu ndio havuki serekal yenyewe imeweka alama au huioni na Wana wasomi wakutosha sio ww chizi .ndo nyie mkiingiaga 4m one mnaongea broken halafu mnawaina wenzenu hawajui kumbe mnaonekana hamjielew
THE BIGGEST BOSS NASRI
Tuna maliziana mb tuwe siliasi Sasa apo nakuja kutalii nini nawakat hii nchi inamaeneo yenye vivutio kibao alaf munapost ujinga
Tuachen utan kamto tu ako mwanaume najinyosha naruka tu , vip muraa tuwe serious bana
Huu sio mto pangani bali ni mchepuko wa mto pangani tuu
UPUZI MTUPU MTANZANIA AKO NYUMA AKILI DUNI
njooni kwetu kunae mto unavuka ila maji hayalowanishi ata ufanyeje
@born_drip
Ай бұрын
Kaka wapi huko
Sisi tunavuka mto wa mita 35 Leo hapo watu wanafeli
Mnitafte mm nije chap kuvuka fasta naruka chap msije mkasema natumia mazindiko maana wabongo kuamn ujinga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
Noma
Hiyo naweza vuka nikiwa nimeketi
Yaani watu wamebezi kwenye mapato basi du,
Hapo navuka vizur kabisa ....izo imani za kihuni
@latifamohammed61
3 жыл бұрын
Kavuke 😂😂😂
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
Labda PAWE palefu ila kama chini nakanyaga Insha'Allah navuka kbsa
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
@@ummuhkhalfan5542 siwezi jaribu ila watu kwa imani potofu wanayaweza huko tabora kuna kijimto frani kilivuma kwajiri ya mvuwa walitutisha kwamba ukiingia kuvuka kinajaa gafra ila sijawahi sikia aliekutwa na hilo hatamie niliwahi kupita kiwoga kumbe hakuna chochote rorote ushizi tu🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Watz bwana kwahiyo tuko busy kutangaza ushirikina ndio kivutio? Daaaaaa twendeni shule jamani
Mm Naruka Nifate Nikawe DEMO😂😂😂😂
Alafu huyo msimulizi si muandishi wa staa TV
maajabu kila kitu jaman
Bhana we hapo unavuka ukimtegemea mungu co kumezeshana habar za sungura
@zedhabari8140
3 жыл бұрын
Hapo unavuka vizuri sana
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
nenda kavuke
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
Twende wote utajuaje kama nmeenda kweli
Hahahha eti havuki mtu kisa wamasai hawakuweza. Sasa wamasai ndo manguli wa kuogelea au?
@loxlox3414
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@andemarley2705
3 жыл бұрын
😅😅😅
Historia ya ushirikina korogwe
@festovenas502
3 жыл бұрын
Hahaha
@qimramaa668
2 жыл бұрын
Sio ushirkina ila ni tamaduni za waafrika hicho ndicho mlichoaminishwa na waarabu na wazungu ili kutukana na kukejeri tamaduni zenu
Yaan mnatamaaa.eti Serikali ijipatie kipato kupitia hapo😂😂😂😂😂🤣
Hawaja pafence wanaongelea nini ...na anaawa mikono hapa mbona hio maji haijamvuta ... Kwanza waafrika na mambo ya uwanga waweke Kando .... Mnavuta watalii aje na mambo ya kichawi ... Andika mambo ya sayansi hapo ondoa uchawi
Ni mlango wa kuzimu sio maajabu
Huwez vuka coz kuna pull force inayotengenezwa na hayo maji
@ghelimafilemon9653
2 жыл бұрын
Pia mwamba unaozunguka hilo eneo Una iron au chuma, hivyo force ya maji inazalisha magnet na umeme
Mimi nimemsikia huyo mzee anasema hapo juu kuna upana wa mita3 tu lakini hajatuambia upana wa chini upoje, kwa upana wa mita3 mtu akijivuta kwa umbali na akakimbia anaweza kuruka ila ukiteleza ukatumbukia kwnye maji kutokana na kina kasi ya maji huwezi kutoka hapo
Ndio yale yale ya chunusi. Eti jini anayevuta watu kwenye maji. Kukosa elimu ni janga kubwa.
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
I AGREE 1000%
Sasa kwanini wamasai si mjaribishe ili tuhakikishe🤣🤣
HATANYELITE BHUKOMU😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂😂
mm nimuislam na nachukia ushirikina ila kwahapo wallah navuka bila kudhuriwa na chchote kwa uwezo wa allah labda iwe maji yake yanakasi au pana shimo hapo itakua najidhuru ila kwasababu ilotajwa hapo eti pamezindikwa wallah napita kwa idhni ya allah hapana chchte kile
@yasinkihupi9583
3 жыл бұрын
upungufu wa elimu pole
@IbrahimMohamed-yy2il
2 жыл бұрын
Maji yana nguvu na Kasi hiyo yanapita hapo hakuna jambo zaidi ni akili tu ya kawaida huwezi vuka hapo. Mazindiko na mengine yanaweza yamefanyika Ila sio sababu kubwa ni maji tu yanakasi na nguvu hilo eneo isingekuwa hivyo maji yametulia tu na mtu huwezi vuka hiyo ingekuwa stori nyengine kabisa
Haya ni kweli kiwe kivutio sawa kabisa lkn kwenda kuangalia nini? Ikiwa msumulizi anasema Kuna vitu wazee waliweka je Hivi tunaweza hakikisha au andika mahali na kuelezea mauza uza au uchawi na nguvu za Giza. Kweli hapo hapana hata level ya kua kivutio au eneo la utalii wa Kijiji. Tunaona promotion ya nguvu za Giza . Maana baada ya kujifunza hapo unatoka na nini kichwani..
sio uongo ni kweli napajua hapo nilipita nikiwa natoka kijijin mgobe wenyeji wa korogwe wanapafahamu sana
@KANTANA97
3 жыл бұрын
Mbona we ulipita lkn wengine walishindwa
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
@@KANTANA97 😅😅😅
acheni uongooo kunakivutiyo gani hapo mjee kwetu mtwara mujionee mito na milima na mashimo yanayotoka moshiii
@aishaamwalimu2887
3 жыл бұрын
Mimi natamani Kuja kuona tafadhari.
@josephmhando6299
3 жыл бұрын
Nawewe chukua waandishi uvutie kwenu apo tumeonyeshwa ww hayo mashimo yako yanayo to a moshi uako wapi mnapenda kupondaponda vitu msivyo vijua
Dawa yake ni mzungu 2 mumuone km atapita au hapiti mzungu 2.
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
good 👍👍
Maajabu yako mengi sana jamn huku kwetu kuna maji yana chemka kutoka chini ukiyagusa ata kama umeshiba kias gan lazma njaa ianze moja na inaaminika maji hayo yanatoa mkos asilimia mia
@jamecmhro7021
2 жыл бұрын
Ni wap huko
@rehemamgaya5289
2 жыл бұрын
Wapi huko
Good
Yasemekana hakuna ushahidi wajanja mwataka hela tu acheni urongo
@faridikatumbili4611
3 жыл бұрын
nenda karuke ndio utajua kama niuongo
@heyumi2340
3 жыл бұрын
uongo kila kitu utalii mnataka pesa tu njaaaa
watu mabonge bana😃😃😃😃
Hamna kitu hapo hata hapaendan
Kutoka barabaran pana mita ngapi🤔 tatu au nne!!???
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
😄😄😄Imwenibid nicheke tuu kwa kweeliii
Mmmh navuka vzr uku tena uku nikiwa naimba
waaaah😨😨😨😨😨😨😨
Ayo nenda na ziwa ngosi mbeya ujionee maajabu
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Kabisaa ndugu Mbeyaa ndo kunavivutio hataree aisee
Sasa c wamasai ila kabila liningine ndugu zake wanavuka fresh tu
Mnacheza nyinyi wazungu hapa wanaselelela mpaka
Toka lini wamasai wakajuwa kuogelea ?😁😁
Ukiangalia tu maji yanazunguka inamaanisha maji marefu
Alafu we kibonge mafuta kuturusha sisi😀😀😀😀, nyang'au
@ramamtoo939
3 жыл бұрын
sio nyege nenda kavuke sio uwongo unacho ambiwa
ina maana hapo ukiweka kitu mfano machuma au mbao huvuki yote yanasombwa na maji ya kichawi? kisha wazungu wakituita nyani tunachukia sasa kwa mawazo haya wataacha kutuita nyani wazungu?
Ama kweli tunaachia maji yotekwendabaharini badala ya kuyatumia kwa kilimo.na kunywa. Whandisi na wachumi hii fursa nzuro kichapusha kilimo kwanza
@emmykundy4273
Жыл бұрын
Wewe huoendi hiyo Fursa au ndio ulishakufa?
Tatizo ni kwamba asilimia 95% ya watanzania hawajui kuogelea
@gamma9590
2 жыл бұрын
Huwez kuogolea hapo
Kirakitu pesa wekeni bure
Heeeeeee
physics hiyooo
Na hapo kuna vijiji utaambiwa vina shida kubwa ya maji
Kama ni mnguu ama mkilindi unapita" ila kabila zingine hazivuki
Ninyi mnaompinga ni malofa simwende mkavuke korogwe so mnaijua
Ningekuepo nngevuka mbele yao 😀
Mh hiyo sio imani tu jamani
@victorjames3730
3 жыл бұрын
Nenda Jaribu kuvuka utajua ni imani au LA!
Si ajaribu mtu kuvuka tuone?
Navuka hapo mda huu
Navuka vzr sema sjaamuwa tu
Bonhe afanye mazoez aache porojo
@saidmohamed4619
3 жыл бұрын
Acha us***nge bro,mambo ya unene na ubonge wake yanakuhusu nini wewe...
Wamasai hawawezi kuogelea
#milad ayo karibu na kwetu sikumoja uone maajabu ya majan ukiyagusa yanajikunja
@emmanueltheonas7130
3 жыл бұрын
Yanaitwa kifa uongo hayo😅😅
@abdurahmanhasan3273
3 жыл бұрын
😂😂😂hayo mbona yapo mengi tu
Unavuka tu acheni mbwembwe
Imani potofu hiyo,Amin Allah tu
Adisi yako inatufundisha nn?
Kuna maagano hpo ya kimiungu
Hapo huvuki razima ufe na hutoonekana kabisa napajua vizuri,,Pako njiani ukiwa unaenda arusha ukitokea korogwe mjini chezea tanga wewe
navuka vizuri tena huku nimefumba macho
@ramadhankakai7303
3 жыл бұрын
😂😂😂😂nenda kavuke utuletee habari
@embeothman3631
3 жыл бұрын
@@ramadhankakai7303 😂😂😂😂
Sasa nije kuangalia nn apo
Napajua hapo uyojamaa alikuaga muwindaji sasakatika halakati zake akatokea katika kijiji kimoja wanachoishi wamasai basijamaa akawa akinda kuwinda anakuja na nyamawanakula wote na wenyeji wake ilaikatokea sikumoja wakatiyuko kwenyemawindo alirusha mshalebahati mbaya ukamkosa mnyama ukampata mtu wamasai hawajata kuelewa wakaaza kumfukuza iliwamuue ndipoalipofika kwenye eneohili akafanyavyakufanya ilikunusuru nafsi yake#
@farajamwakagile9647
3 жыл бұрын
Ooh kumbe!? Na wewe ulikuwepo kipindi hicho? Au umesimuliwa kama tunavyosimuliwa sisi tu boss?
@mchezakamaliog265
3 жыл бұрын
Kwahiyo unamaana mto huo hakuna penye daraja?
Mambo gani uchawi tu