MTEGONI [10]

Пікірлер: 179

  • @AhmadaOmar-it5jl
    @AhmadaOmar-it5jlАй бұрын

    Ktk funzo zito na kubwa amablo tyr nimelipata ktk hii move n kuw chanzo cha yote n zinaaa km chado hakutembea na mke wa gozi hy yote yesengetokea anaekubaliana na mm naomba coment apo 👇

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    Ай бұрын

    Mashallah

  • @ayaleelizee9585

    @ayaleelizee9585

    Ай бұрын

    Kweli

  • @user-jp6mh3bn3p

    @user-jp6mh3bn3p

    Ай бұрын

    True❤

  • @AshrafHakim-gq7jv

    @AshrafHakim-gq7jv

    Ай бұрын

    Uhakika

  • @JescahEddah

    @JescahEddah

    Ай бұрын

    Fact

  • @japhetmweke52
    @japhetmweke52Ай бұрын

    Series nzuri sana kama imekubamba gonga like twende pamojaaaaa

  • @user-jg1no4uw1t
    @user-jg1no4uw1tАй бұрын

    Kama unamkubali chado master gonga like apo chado MTU wangu azisha lingine bro unajuwa sana tu

  • @ammytheboy3098
    @ammytheboy3098Ай бұрын

    Kaka uko vzr sana hongera

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649Ай бұрын

    Chado kaka unajua unajua adi lahaaaa

  • @safiasafiya7904
    @safiasafiya7904Ай бұрын

    Waoooooo anifa nakubali😊😊😊😊

  • @user-lo9kv9vv3n
    @user-lo9kv9vv3nАй бұрын

    Bwana mchezo mtamu sana, Mungu azidi kuwajaza vitu vitamu zaid

  • @AzizaShaban-hf1lu
    @AzizaShaban-hf1luАй бұрын

    Imeisha patam jaman wabong kumaliza sirise bad sana

  • @user-lo9kv9vv3n
    @user-lo9kv9vv3nАй бұрын

    Mwanamke mpelelez wew khaaaaa😊

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981Ай бұрын

    Umetisha Sana Bro...Good story.

  • @asiakhamissalim2319
    @asiakhamissalim2319Ай бұрын

    huyu jamaa anajua. anajua na anajua tena

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3iАй бұрын

    Nihatariiii hiiii ieeendeeeleee nzuriii mnoooo

  • @BienvenuAmisi-dl7oh
    @BienvenuAmisi-dl7ohАй бұрын

    Kwakwel nimeifatilia vizur hii movie daah mmenifunza sana,ongereni

  • @user-le8fq7vb3o
    @user-le8fq7vb3oАй бұрын

    Move nzuri sana hii

  • @rajabkiswanya1646
    @rajabkiswanya1646Ай бұрын

    kazi nzuri yenye mafunzo ktk jamii,,,kukosea ni tumeumbiwa wanaadamu lkn kikubwa ni vp tunaweza kusamehe na kuendelea na maisha mengne,,,director tinxin sagwai man hakika waitendea haki nafac ako,,,chadow master always haunaga show mbovu,,,nifah dada ùê are de best for any scene ùê play,,,lizzy nawe kaaah jmn wanogewaje na utamu wa kaka'yo😂...ALL IN ALL mtegoni ni bonge la series,,,i'm appreciate äll...

  • @BienvenuAmisi-dl7oh
    @BienvenuAmisi-dl7ohАй бұрын

    Sema nn chado umeuwa sana 🎉

  • @zubedasaid1724
    @zubedasaid1724Ай бұрын

    Mpo vizuri

  • @eliaskirato4070
    @eliaskirato4070Ай бұрын

    Ebwanaaaa weeee ngoma tam san

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7qАй бұрын

    Nime ipenda iyoo❤❤❤ chado auna baya

  • @augustineipaata6657
    @augustineipaata6657Ай бұрын

    Gozi the script writer uko fity sana kaka

  • @NdayishimiyeNatasha-ll7gz
    @NdayishimiyeNatasha-ll7gzАй бұрын

    Kaka chado chukuwa maua yako 🎉🎉 naomba like

  • @JOHAREHfilms2023
    @JOHAREHfilms2023Ай бұрын

    ImeiSha vizur sanaa 🎉

  • @user-tc5le7sv7t
    @user-tc5le7sv7tАй бұрын

    Kaka chado hiii kitu kali kaka tu asante sana mkuu 🤴🏾

  • @user-js6lu4my3o
    @user-js6lu4my3oАй бұрын

    Jamani movie tamu ivi Bona inakwisha haraka

  • @OmarShevo
    @OmarShevoАй бұрын

    Kupitia nyinyi du,,,,,chado bnh nakukubali kaka

  • @michaelmwakayinga1814
    @michaelmwakayinga1814Ай бұрын

    Jamaa noma sana mzee baba

  • @ButoyiRukiya

    @ButoyiRukiya

    Ай бұрын

    Movie nzuri saana ❤❤❤❤❤

  • @luckylucky7153
    @luckylucky7153Ай бұрын

    Chado wee mkali sana uko vizuri

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3iАй бұрын

    Hapa kutoka south Africa tunakukubaliii saaaaaana

  • @HelenaMhando
    @HelenaMhandoАй бұрын

    Honger chado upo vizuli,💯🌹🌹

  • @SuleimanMwaperu
    @SuleimanMwaperuАй бұрын

    Hawa wameipanga vyema, Good work!

  • @user-wp2fr3si8v
    @user-wp2fr3si8vАй бұрын

    Oya we chado hakka unasitaili mauwa yako 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ niunajitaidi sana oyaaaa we gonzi nawakubari sana jamaaaa

  • @user-rs1pf1zi9d
    @user-rs1pf1zi9dАй бұрын

    Kama umeikubali mtegoni na watu wake gonga like zote😂😂

  • @sebastiangodfrey4600
    @sebastiangodfrey4600Ай бұрын

    Dahaa bdy imeisha jamani daah wanaweza sana

  • @bishopsamuelmburuofficial.1145
    @bishopsamuelmburuofficial.1145Ай бұрын

    Tumejifunza mengi Mola awajalie.tena tuwe na moyo wa kusamehe

  • @aljabryaljabry8780
    @aljabryaljabry8780Ай бұрын

    Daahh safi sana, Big up kwa wote

  • @user-zz5sc7fg8t
    @user-zz5sc7fg8tАй бұрын

    ila kumamae zenu nyie 🎉🎉hamujjui kumaliza movie kuma kabisa

  • @AbuuSalum-gp8du
    @AbuuSalum-gp8duАй бұрын

    Chado umeyabananga mwamba

  • @AhmadaOmar-it5jl
    @AhmadaOmar-it5jlАй бұрын

    Mm niliwahi kusema ktk part 9 iliopita kuwa chado aspo kuw makin lazm mkewe atafaham mapema hy ss wife wake kashajua duh yaan najiic km mm yan 😢

  • @lilianwanjala2396
    @lilianwanjala2396Ай бұрын

    Lizy mbona ivo Tena ila kazi nzuri Lizy lakin

  • @freddywizzyTz255
    @freddywizzyTz255Ай бұрын

    Kazi nzuri sana!!! Naomba mtupe nyingine kali zaidi ya hii

  • @ErickLeonidasimukiza
    @ErickLeonidasimukizaАй бұрын

    Naomba iendelee adi lizzy ajifungue 😂😂😂

  • @NduwumusiFrancois
    @NduwumusiFrancoisАй бұрын

    Muongeze dakika jameni

  • @mwanamkemuislamutv9369
    @mwanamkemuislamutv9369Ай бұрын

    Masha llahu, movie mzuri sana tena sanaaa....umewapita wengi chado....Na nimependa unapenda kuchukuwa mawazo yetu tofauti na chumvi hata ukimpa mawazo hana khabari anashikilia akili yake inavyo ona.

  • @kavunyalalojuniorstalentgr8271
    @kavunyalalojuniorstalentgr8271Ай бұрын

    watching from kenya..funzo kubwa sana...

  • @Lucky_japhet
    @Lucky_japhetАй бұрын

    Yani natoa shukran sanaaaaa kiukweli mnawez saaanaa tena sana mngetupatia season2 hatutak iishie hapo

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vkАй бұрын

    Duu Hii Karata Mumeibadilishaje Apa Big Up Sana ❤❤❤❤❤

  • @fa.fa.9713
    @fa.fa.9713Ай бұрын

    ❤❤❤❤mashaAllah nmejfunza😊😊🎉🎉🎉

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2mlАй бұрын

    Hongereni kwa kazi nzuri ,barikiwa

  • @user-ec7cg2kj5x
    @user-ec7cg2kj5xАй бұрын

    Kazi jema kaka zangu muko sawa knc❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZАй бұрын

    kaka nimeikubali hii story we nihatari sana dah

  • @user-rl4ii9xj5n
    @user-rl4ii9xj5nАй бұрын

    Much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇿🇦

  • @TalwaSuzana
    @TalwaSuzanaАй бұрын

    Usikubali Mtukujuwa siriyako nimakosa sana pole sana

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859Ай бұрын

    Hakika hii storii ni Funzo kubwa sana haswa kwa sisi vijana tuache kuendekeza Zinaaa maana ni uchafu

  • @user-cg4wt5en9l
    @user-cg4wt5en9lАй бұрын

    Dah!!!! Huyu mwamba kudadeki namkubali mpaka so pouwa!!!!! Nipe movie ingine niendelee kufuatilia

  • @japhetmweke52
    @japhetmweke52Ай бұрын

    Mmeua sana kwenye hii movie wallah

  • @YuscoPaivo
    @YuscoPaivoАй бұрын

    Movie Kaliiii Sanaa Hii🔥🔥🔥

  • @emmystationary7634
    @emmystationary7634Ай бұрын

    Sijawai kukomenti ila kaka chado we ni bonge la mtunzi unajua bless kwako

  • @user-sc5dr6dn3w
    @user-sc5dr6dn3wАй бұрын

    Kaka chado mungu akubariki sana unajua mpaka unajua tena bigpu sana.

  • @MustafaMvulla-fv8eh
    @MustafaMvulla-fv8ehАй бұрын

    Oya series ni kali sana nimependa sana

  • @sadikabdallah8061
    @sadikabdallah8061Ай бұрын

    Duh!!! yani tuna wakubali sana

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8fАй бұрын

    Daah,mbn imeisha patam,safi san chado na gng lako❤❤❤❤❤❤ tunasbir ingne .much love 4rm knya

  • @NiyibiziIsaWangyu
    @NiyibiziIsaWangyuАй бұрын

    Kwa kweli movies zenu zinanifurahisha mno zina busara na kila moja wenu anacheza nafasi yake kisawasawa eh songs mbele ndugu zangu!

  • @boxdad
    @boxdadАй бұрын

    Ila imeisha ki4 Sana cjapenda dogo angendelea kumng'ang'ania brother iishe mbelen bn

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846Ай бұрын

    Safi sana jamani nawapenda mnoo

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926Ай бұрын

    Bonge la series congratulations xaaaan brow 🙏🙏

  • @mathiaskiuwa1353
    @mathiaskiuwa1353Ай бұрын

    Salamu zangu ziwafikie kutoka Kenya

  • @shidashida6060
    @shidashida6060Ай бұрын

    Mmeweza sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @CharoJohnson
    @CharoJohnsonАй бұрын

    Maua kwa chadooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-nk6vz2qs2h
    @user-nk6vz2qs2hАй бұрын

    haaaaaa jamn stor nzur sanaaaa

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1mАй бұрын

    Ni kazi nzuru angalau Congrats🎉🎉❤

  • @RamadhanRamsobady
    @RamadhanRamsobadyАй бұрын

    Daah mbn imewah kuisha jamn😢

  • @user-nk6vz2qs2h
    @user-nk6vz2qs2hАй бұрын

    Kaz nzur hongeren San wote

  • @user-hv4et9fx7t
    @user-hv4et9fx7tАй бұрын

    Miye nakubali sana ila siyapenda

  • @aakramjfox8029
    @aakramjfox8029Ай бұрын

    Tisha sana chado

  • @hamadihamisiambale8943
    @hamadihamisiambale8943Ай бұрын

    Chado master uko juu one love ❤

  • @EvEmmanuelNjue
    @EvEmmanuelNjueАй бұрын

    hii ilikuwa kali chadooooooo

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122Ай бұрын

    Chado master mbona kigugumizo eeee

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZАй бұрын

    nawakubali sana kaka

  • @GilberthRajab
    @GilberthRajabАй бұрын

    Wapi LIKE Kwa chado wakuu🎉🎉🎉

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5uiАй бұрын

    Kitu kizuri sana mmejua kupangiria ackishen mnafanya vizuri sana🎉🎉🎉🎉

  • @user-fw9co8mt7g
    @user-fw9co8mt7gАй бұрын

    Nzuri mno nainafindisha

  • @user-by6bg2fq6b
    @user-by6bg2fq6bАй бұрын

    good job chado, 2nasubr mzigo mpyaaa

  • @alexmlonga6633
    @alexmlonga6633Ай бұрын

    Imeuaaaaaaa hii kalii

  • @kingjunior3898
    @kingjunior3898Ай бұрын

    Kaka unajua unajua ten👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @ballygenius2546
    @ballygenius2546Ай бұрын

    This literally good work, showing love from Kenya

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9yАй бұрын

    Kweli beb lizy kakio ni mshenzi tu

  • @MtumbaMayonjo-gi3ji
    @MtumbaMayonjo-gi3jiАй бұрын

    Huyu jama ukimtazama unataman umtazame tena

  • @SalluDullah
    @SalluDullahАй бұрын

    Huu mzigo unachkua namba moja kwa michezo ya kiswahili

  • @baboubakari1103

    @baboubakari1103

    Ай бұрын

    Kbssaaa

  • @ismailmazina4178

    @ismailmazina4178

    Ай бұрын

    Movie kali

  • @thomasnizigiyimana5122
    @thomasnizigiyimana5122Ай бұрын

    Gozzi gozzzi nakubali Iyi historia nzuri.sana kaka I like it

  • @BrianOscar-oj2xd
    @BrianOscar-oj2xdАй бұрын

    Huyo Liz ukweli tu ni kazuri sana.

  • @juliusmumba4668
    @juliusmumba4668Ай бұрын

    Kazi nzur🥰🥰

  • @noellameckkapinga8672
    @noellameckkapinga8672Ай бұрын

    Makini sana

  • @user-gt6qt6yu8b
    @user-gt6qt6yu8bАй бұрын

    Chado bhna😂😂😂eti mi naona tungemskiliza mtoto😂😂😂

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    Ай бұрын

    Mtoto walopeana utam😂

  • @user-gt6qt6yu8b

    @user-gt6qt6yu8b

    Ай бұрын

    Yan nmecheka San

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    Ай бұрын

    @@user-gt6qt6yu8b acha watuchekeshe tusukume life

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2gАй бұрын

    Nawapenda❤❤❤❤❤

  • @SamuelKasangaki
    @SamuelKasangakiАй бұрын

    Chado and clam nawakubali kutoka Congo

  • @RizikiZiki
    @RizikiZikiАй бұрын

    Mambo ni moto🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyiАй бұрын

    Mwisho aje sada!

  • @user-qm2kb1ln7p
    @user-qm2kb1ln7pАй бұрын

    Kazi nzuri. Chado🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-oj8uk6fq5x
    @user-oj8uk6fq5xАй бұрын

    Nawapenda ❤❤❤

  • @VeroJohn-mz7hu
    @VeroJohn-mz7huАй бұрын

    Saw kaz nzr