Келесі
- 35:03
- 133 М.
- 18:12
- 49 М.
- 00:18
- 3,7 МЛН
- 2 күн бұрын
- 00:16
- 110 МЛН
- 23 күн бұрын
- 00:17
- 13 МЛН
- 6 күн бұрын
- 00:32
- 47 МЛН
- 22 күн бұрын
- 30:06
- 43 М.
- 19:53
- 973
- 21:32
- 65 М.
- 15:01
- 14 М.
- 16:28
- 48 М.
- 25:03
- 4,5 М.
- 14:44
- 186 М.
- 00:18
- 3,7 МЛН
- 2 күн бұрын
Пікірлер: 179
Ktk funzo zito na kubwa amablo tyr nimelipata ktk hii move n kuw chanzo cha yote n zinaaa km chado hakutembea na mke wa gozi hy yote yesengetokea anaekubaliana na mm naomba coment apo 👇
@aishaomar2287
Ай бұрын
Mashallah
@ayaleelizee9585
Ай бұрын
Kweli
@user-jp6mh3bn3p
Ай бұрын
True❤
@AshrafHakim-gq7jv
Ай бұрын
Uhakika
@JescahEddah
Ай бұрын
Fact
Series nzuri sana kama imekubamba gonga like twende pamojaaaaa
Kama unamkubali chado master gonga like apo chado MTU wangu azisha lingine bro unajuwa sana tu
Kaka uko vzr sana hongera
Chado kaka unajua unajua adi lahaaaa
Waoooooo anifa nakubali😊😊😊😊
Bwana mchezo mtamu sana, Mungu azidi kuwajaza vitu vitamu zaid
Imeisha patam jaman wabong kumaliza sirise bad sana
Mwanamke mpelelez wew khaaaaa😊
Umetisha Sana Bro...Good story.
huyu jamaa anajua. anajua na anajua tena
Nihatariiii hiiii ieeendeeeleee nzuriii mnoooo
Kwakwel nimeifatilia vizur hii movie daah mmenifunza sana,ongereni
Move nzuri sana hii
kazi nzuri yenye mafunzo ktk jamii,,,kukosea ni tumeumbiwa wanaadamu lkn kikubwa ni vp tunaweza kusamehe na kuendelea na maisha mengne,,,director tinxin sagwai man hakika waitendea haki nafac ako,,,chadow master always haunaga show mbovu,,,nifah dada ùê are de best for any scene ùê play,,,lizzy nawe kaaah jmn wanogewaje na utamu wa kaka'yo😂...ALL IN ALL mtegoni ni bonge la series,,,i'm appreciate äll...
Sema nn chado umeuwa sana 🎉
Mpo vizuri
Ebwanaaaa weeee ngoma tam san
Nime ipenda iyoo❤❤❤ chado auna baya
Gozi the script writer uko fity sana kaka
Kaka chado chukuwa maua yako 🎉🎉 naomba like
ImeiSha vizur sanaa 🎉
Kaka chado hiii kitu kali kaka tu asante sana mkuu 🤴🏾
Jamani movie tamu ivi Bona inakwisha haraka
Kupitia nyinyi du,,,,,chado bnh nakukubali kaka
Jamaa noma sana mzee baba
@ButoyiRukiya
Ай бұрын
Movie nzuri saana ❤❤❤❤❤
Chado wee mkali sana uko vizuri
Hapa kutoka south Africa tunakukubaliii saaaaaana
Honger chado upo vizuli,💯🌹🌹
Hawa wameipanga vyema, Good work!
Oya we chado hakka unasitaili mauwa yako 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ niunajitaidi sana oyaaaa we gonzi nawakubari sana jamaaaa
Kama umeikubali mtegoni na watu wake gonga like zote😂😂
Dahaa bdy imeisha jamani daah wanaweza sana
Tumejifunza mengi Mola awajalie.tena tuwe na moyo wa kusamehe
Daahh safi sana, Big up kwa wote
ila kumamae zenu nyie 🎉🎉hamujjui kumaliza movie kuma kabisa
Chado umeyabananga mwamba
Mm niliwahi kusema ktk part 9 iliopita kuwa chado aspo kuw makin lazm mkewe atafaham mapema hy ss wife wake kashajua duh yaan najiic km mm yan 😢
Lizy mbona ivo Tena ila kazi nzuri Lizy lakin
Kazi nzuri sana!!! Naomba mtupe nyingine kali zaidi ya hii
Naomba iendelee adi lizzy ajifungue 😂😂😂
Muongeze dakika jameni
Masha llahu, movie mzuri sana tena sanaaa....umewapita wengi chado....Na nimependa unapenda kuchukuwa mawazo yetu tofauti na chumvi hata ukimpa mawazo hana khabari anashikilia akili yake inavyo ona.
watching from kenya..funzo kubwa sana...
Yani natoa shukran sanaaaaa kiukweli mnawez saaanaa tena sana mngetupatia season2 hatutak iishie hapo
Duu Hii Karata Mumeibadilishaje Apa Big Up Sana ❤❤❤❤❤
❤❤❤❤mashaAllah nmejfunza😊😊🎉🎉🎉
Hongereni kwa kazi nzuri ,barikiwa
Kazi jema kaka zangu muko sawa knc❤❤❤❤❤❤❤❤
kaka nimeikubali hii story we nihatari sana dah
Much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇿🇦
Usikubali Mtukujuwa siriyako nimakosa sana pole sana
Hakika hii storii ni Funzo kubwa sana haswa kwa sisi vijana tuache kuendekeza Zinaaa maana ni uchafu
Dah!!!! Huyu mwamba kudadeki namkubali mpaka so pouwa!!!!! Nipe movie ingine niendelee kufuatilia
Mmeua sana kwenye hii movie wallah
Movie Kaliiii Sanaa Hii🔥🔥🔥
Sijawai kukomenti ila kaka chado we ni bonge la mtunzi unajua bless kwako
Kaka chado mungu akubariki sana unajua mpaka unajua tena bigpu sana.
Oya series ni kali sana nimependa sana
Duh!!! yani tuna wakubali sana
Daah,mbn imeisha patam,safi san chado na gng lako❤❤❤❤❤❤ tunasbir ingne .much love 4rm knya
Kwa kweli movies zenu zinanifurahisha mno zina busara na kila moja wenu anacheza nafasi yake kisawasawa eh songs mbele ndugu zangu!
Ila imeisha ki4 Sana cjapenda dogo angendelea kumng'ang'ania brother iishe mbelen bn
Safi sana jamani nawapenda mnoo
Bonge la series congratulations xaaaan brow 🙏🙏
Salamu zangu ziwafikie kutoka Kenya
Mmeweza sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Maua kwa chadooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
haaaaaa jamn stor nzur sanaaaa
Ni kazi nzuru angalau Congrats🎉🎉❤
Daah mbn imewah kuisha jamn😢
Kaz nzur hongeren San wote
Miye nakubali sana ila siyapenda
Tisha sana chado
Chado master uko juu one love ❤
hii ilikuwa kali chadooooooo
Chado master mbona kigugumizo eeee
nawakubali sana kaka
Wapi LIKE Kwa chado wakuu🎉🎉🎉
Kitu kizuri sana mmejua kupangiria ackishen mnafanya vizuri sana🎉🎉🎉🎉
Nzuri mno nainafindisha
good job chado, 2nasubr mzigo mpyaaa
Imeuaaaaaaa hii kalii
Kaka unajua unajua ten👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
This literally good work, showing love from Kenya
Kweli beb lizy kakio ni mshenzi tu
Huyu jama ukimtazama unataman umtazame tena
Huu mzigo unachkua namba moja kwa michezo ya kiswahili
@baboubakari1103
Ай бұрын
Kbssaaa
@ismailmazina4178
Ай бұрын
Movie kali
Gozzi gozzzi nakubali Iyi historia nzuri.sana kaka I like it
Huyo Liz ukweli tu ni kazuri sana.
Kazi nzur🥰🥰
Makini sana
Chado bhna😂😂😂eti mi naona tungemskiliza mtoto😂😂😂
@aishaomar2287
Ай бұрын
Mtoto walopeana utam😂
@user-gt6qt6yu8b
Ай бұрын
Yan nmecheka San
@aishaomar2287
Ай бұрын
@@user-gt6qt6yu8b acha watuchekeshe tusukume life
Nawapenda❤❤❤❤❤
Chado and clam nawakubali kutoka Congo
Mambo ni moto🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mwisho aje sada!
Kazi nzuri. Chado🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda ❤❤❤
Saw kaz nzr