Jamanii chado hacheleweshi from mtegoni to problem haya twende nalo Hadi mwisho kama mwamkubali chado naomba like zote
Unyama sana
Chado sheria ni Ile Ile mungu tu
Huyuchado mbna hajamalizia mtegoni
@@SimoniKitwima-cp1lk alimalizia nawe si walisameheana na mkewe na siz yke akabaki na mtu wake
Kwahy ndoo iliishia hapo❤
Chado kula chuma icho khanifa kagundua❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰🥰👍👍👍twende kazi pmj
Huna baya chado 👍,mtegoni yenyewe ilikua problem na hii problem ni mtengoni apa...kama umeliona hili tukubaliane kwa like wana chado❤❤❤
Aiseee ukuja speed saaana na utatishaa saana kwa speed hiyo
Chado master bro we noma kumbe alafu film zako zinamafunzo endeleya kuhigiza utakunja kutobowa bro I'm from Zambia
Wacaweee 🔥 chado hanaga mbamba hataki mcezo kwenye kazi haya twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿 mueda
Eu tambem estou mueda
Naona nikihamia huko tz tufanye kazi pamoja...Nice work ❤
Chado kaka ujawai kutuboesha mashabiki wako asante sana kazi kazi wapendwa kama tupo pamoja na kazi za chado gonga like ata 5 tu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hizi nd series nnazozkubl mm chado❤❤🎉🎉one love❤
Iyi vidéo naomba niwe wakwanza kupata parti 2 kwa araka naipenda' sana
Duuuh,, chado master😂😂😂
Mwanangu ujua mpaka unakela nkbl mzee chando awakuwezi namuona Steven kanumba mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri tunawapend Sana love from burundi 🇧🇮 🇧🇮
Chado upo vizuri yaani bandika bandua mtego sasa problem❤
Oyaah hapo @#chado unaweza sana movie after movie aisee unafika mbali bro 🎉keep going
Wa kwanza Leo kutoka Tanzania 🇹🇿🇹🇿 nipate haya 10
Nakukubali muvi zako chado tangu uwache kuweka tredi kweli maingizo yako yamekuwa vizuri kweli 🎉🎉🎉
Wa kwanza kenya representing ❤
Chadoooo nakukubari kaka nakupa kopa zako❤❤❤❤❤❤
Yeah keep going chado master and your crew from durban
Kwakwel kazi nzur bwana chado, kwakwel unatufanya tuinjoy san from USA
Dah kusema ukwer chado unatufunza mengisana vijana wako mungu akuzidishie zaid yaapo kaka
❤❤❤❤❤ bro nice series.
Kazi zuri sana chado endelea no iyo moyo bro ❤❤
Uko sawa brother much ❤😂 from kenya
Chado masta masta kweli unajua kaka big up sanaa brow.
Chado naomba nijiunge nanyii nawakubali sana
Mambo
@@abuuleonard1028 poa poa
Manyonga anajuwa sana kuekti yani yuko vizur sana namuona kwa mbali sana all the best brother
Asante sana ndugu
Iyi Kali kk leta part ya 2 kk tunakupenda bro
Chado upo juu kk kazi nzuri sana🎉🎉
Chadooooohhh...daah.. nakubaliiiiiiii Sana mwanang...kazi zako nzuri Sana
Oya kaka chado mwanangu upo on fayre unajua sana
Khanifa nakupend san unafany vizur Kazi zko unamuamin San mungu chado kuw makin
Movie zako nzur❤🎉🎉🎉🎉
Chado na hanifa munakuja kwel 🎉🎉🎉🎉
Mambo mazuri mengine ❤
Hii ni safiii daah chado Big up
Manyoo lliy nakubali sana jembe langu
Kazi nzuri🎉🎉❤
Tatizo amna muendelezo so ebu nindeni nampango
Mimi tena Nipeni like zenu from 🇲🇿 Mozambique, macomia
Mwambwende na chumvi nyingi wajifunze kutoka kwa chado jinsi ya kuigiza vzr
Umerudia tena😂😂😂ila we jamaaa. Chumvi hakauki mdomoni mwako duuuh
Chado yupo kwenye fom anaupiga mwingii🎉🎉🎉
Chado nakubali kamanda wangu
Safiiiiii chado huna baya bro,yani after mtegoni umekuj problem.khanifa ur the best,nakupnd bure❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda sana chado
Kali pia❤❤❤❤❤❤
U.s.a gangster chafu atali on air
Shikamoo mtegoni Ukifanikiwa usimuache uyo mke haachiki
masta wetu
Leo nimekua wa kwanza
Chado kumbe ukovizuri, story simple na naamini utasonga mbali ❤❤❤
Yan hii mov kabla haijafikaa mbali ni binge la move🌹🌹🌹🌹
Khanifa mungu akupe maish marefu Tim chado oyeeeee
Safi sana
Hatariiii😂😂😂😂
👌🔥🔥
We jamaa unajua sanaaa
Chado unajua sana allah akufikishe alipopanga kukufikisha inshallah
Chado fata moyo wako my dear
👌🏿👌🏿🔥🔥
Auchelew had raha
Chado chado nakuludia kukuita tena chado aiseee unajitaidi sana sana nakwakasi uliyo nayo hiii utafika mbali sana
chado big up
Kazi nzr sana❤❤ hongeleni
Mungu akitaka kukupa utajiri atakupa Bila kumshirikisha utakutokea puani huyo utajiri wako umeshadanganywa na huyo rafiki yako
Eeeeeee hizi ndo tunazitaka mashabiki Yani ni Bonge la MOVIE
Chado 😂😂😂😂utapigwa nakitu kizto
Chado master chaf atar USA Genstr walomisi vituko vya chando kama vile kwenye UMBAMBAMBA Gonga like twenzetu
Brother we m bunifu cna movie kale 🥬 🥬 😊😅
Daaah atar na nusu ❤❤❤😂😂
good job next pleaz
Anae mpenda hanifa kama mm agonge lake tusonge mbele
Nawakbar saana
I think am number one today
Reply in English please
Chado big up🤝🤝💪💪💪💪
Dah nimejifunza kitu
Wakwsnza leo kutoka krnya nipate zaku wakuu
Chado kma chado❤❤❤❤
Sijawai comment maisha yangu yote lakini Kwa chado 💯❤ mambo ni moto
🔥🔥💯
Piga kazi chado
Chado😢❤❤
Good job chado❤❤❤❤
Munanifurahisha paka munaongea nakitonga eti murichani bwino chani
Waaah😊
Cha do Naomba nijiunge nakundilenu tafathali
Chado hebu wacha kuzuga umezima hirizisema ukweli utajiri hautafutwi kwa ushirikina
🔥🔥
Chado kiukwel anajuwa kucheza
Karibu
Oya weeee÷
🎉🎉
Ila tajir kwel unatembea na ist
Akili kubwa
Brooo chado nakuamnia mkuu
❤❤❤❤
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮
❤❤❤
❤❤
Пікірлер: 136
Jamanii chado hacheleweshi from mtegoni to problem haya twende nalo Hadi mwisho kama mwamkubali chado naomba like zote
@joelylugano685
2 ай бұрын
Unyama sana
@Abdul-eb9py
2 ай бұрын
Chado sheria ni Ile Ile mungu tu
@SimoniKitwima-cp1lk
2 ай бұрын
Huyuchado mbna hajamalizia mtegoni
@SusanJulius-cu8xp4vx4m
2 ай бұрын
@@SimoniKitwima-cp1lk alimalizia nawe si walisameheana na mkewe na siz yke akabaki na mtu wake
@SimoniKitwima-cp1lk
2 ай бұрын
Kwahy ndoo iliishia hapo❤
Chado kula chuma icho khanifa kagundua❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰🥰👍👍👍twende kazi pmj
Huna baya chado 👍,mtegoni yenyewe ilikua problem na hii problem ni mtengoni apa...kama umeliona hili tukubaliane kwa like wana chado❤❤❤
Aiseee ukuja speed saaana na utatishaa saana kwa speed hiyo
Chado master bro we noma kumbe alafu film zako zinamafunzo endeleya kuhigiza utakunja kutobowa bro I'm from Zambia
Wacaweee 🔥 chado hanaga mbamba hataki mcezo kwenye kazi haya twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿 mueda
@ArlindoMacheka
2 ай бұрын
Eu tambem estou mueda
Naona nikihamia huko tz tufanye kazi pamoja...Nice work ❤
Chado kaka ujawai kutuboesha mashabiki wako asante sana kazi kazi wapendwa kama tupo pamoja na kazi za chado gonga like ata 5 tu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hizi nd series nnazozkubl mm chado❤❤🎉🎉one love❤
Iyi vidéo naomba niwe wakwanza kupata parti 2 kwa araka naipenda' sana
@JoyceBeatus
Ай бұрын
Duuuh,, chado master😂😂😂
Mwanangu ujua mpaka unakela nkbl mzee chando awakuwezi namuona Steven kanumba mzee ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri tunawapend Sana love from burundi 🇧🇮 🇧🇮
Chado upo vizuri yaani bandika bandua mtego sasa problem❤
Oyaah hapo @#chado unaweza sana movie after movie aisee unafika mbali bro 🎉keep going
Wa kwanza Leo kutoka Tanzania 🇹🇿🇹🇿 nipate haya 10
Nakukubali muvi zako chado tangu uwache kuweka tredi kweli maingizo yako yamekuwa vizuri kweli 🎉🎉🎉
Wa kwanza kenya representing ❤
Chadoooo nakukubari kaka nakupa kopa zako❤❤❤❤❤❤
Yeah keep going chado master and your crew from durban
Kwakwel kazi nzur bwana chado, kwakwel unatufanya tuinjoy san from USA
Dah kusema ukwer chado unatufunza mengisana vijana wako mungu akuzidishie zaid yaapo kaka
❤❤❤❤❤ bro nice series.
Kazi zuri sana chado endelea no iyo moyo bro ❤❤
Uko sawa brother much ❤😂 from kenya
Chado masta masta kweli unajua kaka big up sanaa brow.
Chado naomba nijiunge nanyii nawakubali sana
@abuuleonard1028
2 ай бұрын
Mambo
@user-wv3du7ld2p
2 ай бұрын
@@abuuleonard1028 poa poa
Manyonga anajuwa sana kuekti yani yuko vizur sana namuona kwa mbali sana all the best brother
@manyolee6940
Ай бұрын
Asante sana ndugu
Iyi Kali kk leta part ya 2 kk tunakupenda bro
Chado upo juu kk kazi nzuri sana🎉🎉
Chadooooohhh...daah.. nakubaliiiiiiii Sana mwanang...kazi zako nzuri Sana
Oya kaka chado mwanangu upo on fayre unajua sana
Khanifa nakupend san unafany vizur Kazi zko unamuamin San mungu chado kuw makin
Movie zako nzur❤🎉🎉🎉🎉
Chado na hanifa munakuja kwel 🎉🎉🎉🎉
Mambo mazuri mengine ❤
Hii ni safiii daah chado Big up
Manyoo lliy nakubali sana jembe langu
Kazi nzuri🎉🎉❤
Tatizo amna muendelezo so ebu nindeni nampango
Mimi tena Nipeni like zenu from 🇲🇿 Mozambique, macomia
Mwambwende na chumvi nyingi wajifunze kutoka kwa chado jinsi ya kuigiza vzr
@prezgal8869
2 ай бұрын
Umerudia tena😂😂😂ila we jamaaa. Chumvi hakauki mdomoni mwako duuuh
Chado yupo kwenye fom anaupiga mwingii🎉🎉🎉
Chado nakubali kamanda wangu
Safiiiiii chado huna baya bro,yani after mtegoni umekuj problem.khanifa ur the best,nakupnd bure❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda sana chado
Kali pia❤❤❤❤❤❤
U.s.a gangster chafu atali on air
Shikamoo mtegoni Ukifanikiwa usimuache uyo mke haachiki
masta wetu
Leo nimekua wa kwanza
Chado kumbe ukovizuri, story simple na naamini utasonga mbali ❤❤❤
Yan hii mov kabla haijafikaa mbali ni binge la move🌹🌹🌹🌹
Khanifa mungu akupe maish marefu Tim chado oyeeeee
Safi sana
Hatariiii😂😂😂😂
👌🔥🔥
We jamaa unajua sanaaa
Chado unajua sana allah akufikishe alipopanga kukufikisha inshallah
Chado fata moyo wako my dear
👌🏿👌🏿🔥🔥
Auchelew had raha
Chado chado nakuludia kukuita tena chado aiseee unajitaidi sana sana nakwakasi uliyo nayo hiii utafika mbali sana
chado big up
Kazi nzr sana❤❤ hongeleni
Mungu akitaka kukupa utajiri atakupa Bila kumshirikisha utakutokea puani huyo utajiri wako umeshadanganywa na huyo rafiki yako
Eeeeeee hizi ndo tunazitaka mashabiki Yani ni Bonge la MOVIE
Chado 😂😂😂😂utapigwa nakitu kizto
Chado master chaf atar USA Genstr walomisi vituko vya chando kama vile kwenye UMBAMBAMBA Gonga like twenzetu
Brother we m bunifu cna movie kale 🥬 🥬 😊😅
Daaah atar na nusu ❤❤❤😂😂
good job next pleaz
Anae mpenda hanifa kama mm agonge lake tusonge mbele
Nawakbar saana
I think am number one today
@sabinandugwa4506
2 ай бұрын
Reply in English please
Chado big up🤝🤝💪💪💪💪
Dah nimejifunza kitu
Wakwsnza leo kutoka krnya nipate zaku wakuu
Chado kma chado❤❤❤❤
Sijawai comment maisha yangu yote lakini Kwa chado 💯❤ mambo ni moto
🔥🔥💯
Piga kazi chado
Chado😢❤❤
Good job chado❤❤❤❤
Munanifurahisha paka munaongea nakitonga eti murichani bwino chani
Waaah😊
Cha do Naomba nijiunge nakundilenu tafathali
Chado hebu wacha kuzuga umezima hirizisema ukweli utajiri hautafutwi kwa ushirikina
🔥🔥
Chado kiukwel anajuwa kucheza
Karibu
Oya weeee÷
🎉🎉
Ila tajir kwel unatembea na ist
Akili kubwa
Brooo chado nakuamnia mkuu
❤❤❤❤
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮
❤❤❤
❤❤