MISSION IMPOSSIBLE [4]

Пікірлер: 244

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi13 күн бұрын

    Kama unampenda chado like hapa

  • @ButoyiRukiya

    @ButoyiRukiya

    13 күн бұрын

    Nampenda chado yuko vizuri 😅 yani sijacelewa kabisa

  • @zainabadams-cp8ll
    @zainabadams-cp8ll13 күн бұрын

    Napenda kukupongeza chado kwa kuwapa nafasi wasanii wadogo kufanya kazi pamoja na wa katika movie hii endelea kufanya hivyo mungu atakubariki 🎉 like kwa chado master

  • @sharifamohd3857

    @sharifamohd3857

    13 күн бұрын

    wapi hao wasaniii wadogo😅😅😅😅

  • @user-wc4di9yt4u

    @user-wc4di9yt4u

    3 күн бұрын

    ​@@sharifamohd3857Kwan hujaona huyo kijana mdogo

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda447713 күн бұрын

    Safi sana tem chado Like nyigi kwa tem chado ❤❤❤❤

  • @munenephineas

    @munenephineas

    13 күн бұрын

    Ww mwanaume hacha kulilia mwanaume

  • @jayvannyclassic191
    @jayvannyclassic19113 күн бұрын

    Leo na mm mnipee likes zangu, more love from 254

  • @user-zu8yr7mh4h
    @user-zu8yr7mh4h13 күн бұрын

    Like kwajili ya chado master mnyama nipeni kidogo naombeni tafadhali

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel13 күн бұрын

    Sema jamani tuwe wakweli hii movie nikubwa kuliko Yani atali atali chado unajua sana sna sna kaka

  • @aminabad-i4k

    @aminabad-i4k

    4 күн бұрын

    Chado mwamba asiemuerewa chado huyo hovyoo

  • @AminaShaban-h9r
    @AminaShaban-h9r13 күн бұрын

    Wakwanza Leo nipeni like hata 10 jamani

  • @BeatriceMussa-y4b
    @BeatriceMussa-y4b13 күн бұрын

    😂😂 huyu aliyeibiwa mke kawa mnyonge hadi najiskia vibya sijapenda !!

  • @EmmyMo

    @EmmyMo

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂ni huzuni

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh13 күн бұрын

    Kisong cha mahaba nacho kitamu cjui ntakipatapi .Pole kaka gadaya,l feel your pain 😢

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel13 күн бұрын

    dahh mwanangu Baga ndo atutakuwanae Tena au😢😢😢😢

  • @dulliebullieentertainment809
    @dulliebullieentertainment80913 күн бұрын

    Chado Jina la nyimbo jameni

  • @mikesancho3095

    @mikesancho3095

    12 күн бұрын

    Chine-aniue

  • @BarakaAbedi-ne7pi
    @BarakaAbedi-ne7pi13 күн бұрын

    Wa kwanza Leo kaz mzuli bro 🎉🎉

  • @J74251
    @J7425113 күн бұрын

    Chado master nakukubali sana pamoja na Baga❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉

  • @mariamumdoe1466
    @mariamumdoe146613 күн бұрын

    Chado msalimie sana ngadaya kazi nzur ❤

  • @FarajiJackson
    @FarajiJackson13 күн бұрын

    Sana sana boy naqbar chado❤❤❤❤

  • @Mariootz-fl9vc
    @Mariootz-fl9vc13 күн бұрын

    Nice blo

  • @samirydedagi9583
    @samirydedagi958313 күн бұрын

    Wakwanza mm like zenu

  • @user-jg1no4uw1t
    @user-jg1no4uw1t13 күн бұрын

    Unahendeleya vizuri sana MTU wangu chado master

  • @HappyCompass-vh4vq
    @HappyCompass-vh4vq13 күн бұрын

    Nilikua sipendi bongo movie lakini hii nimeikubali❤❤❤

  • @luckylucky7153
    @luckylucky715313 күн бұрын

    Nampenda sana chado so hand some boy

  • @SebastiaoRomaoJose
    @SebastiaoRomaoJose9 күн бұрын

    Ongeza dakika chado! Nakubali sana mwamba... Mimi chabiki kutoka mozambique🇲🇿

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rd13 күн бұрын

    Good

  • @DaudiEmanuel-yv3jt
    @DaudiEmanuel-yv3jt13 күн бұрын

    Naombeni like ata kumi tuu

  • @Thuma_junior
    @Thuma_junior13 күн бұрын

    Yani chado sijui nimsifu nani nyote muko talented mwanzo hao waproblem 🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌humu tu humu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰bagaaaaah

  • @hutahuta1170
    @hutahuta117013 күн бұрын

    Chadu lupango ngome 😂😂😂 nakupenda chado

  • @FunnyAquaticWhale-ke1hs
    @FunnyAquaticWhale-ke1hs13 күн бұрын

    Wa kwanzaa leoooo

  • @user-uc6xe7ht4k

    @user-uc6xe7ht4k

    13 күн бұрын

    Kinawashwa😂😂

  • @user-kk5hv8rf7n
    @user-kk5hv8rf7n8 күн бұрын

    Daaaah! Mnatisha sana kaka haswa kaka ake kindege upepo😂😂

  • @omarkioko3602
    @omarkioko36027 күн бұрын

    Kazi safi Mr chado 👍👍👍💪💪💯✔️🙏🙏🙏🇰🇪

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi166313 күн бұрын

    Mapenz wewe pole ngadaya daah 😢😢

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    13 күн бұрын

    Asema achekwa hadi na vijiko😂

  • @hamisuuhamadi1663

    @hamisuuhamadi1663

    11 күн бұрын

    @@aishaomar2287 🤣🤣🤣

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f13 күн бұрын

    Niko tu in love na huwo wimbo😢

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma938813 күн бұрын

    Hiki chawashwa kwl km kkake anavyo sema😂😂😂Much love from 🇰🇪🇰🇪 Chado❤

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano13 күн бұрын

    Mr chado 🙏👍💯 twende na kazi

  • @PatientPacifique-tn7nz
    @PatientPacifique-tn7nz13 күн бұрын

    Mimi ha pa kutoka kuzimu naitaji kafara yangu

  • @user-qb4qp7xj7d

    @user-qb4qp7xj7d

    13 күн бұрын

    Jina lenyewe linaonesha umetoka kuzimu😅😂

  • @Realme-xm3sh

    @Realme-xm3sh

    13 күн бұрын

    ​@@user-qb4qp7xj7d😂😂😂😂

  • @user-ms7pk2dj2n
    @user-ms7pk2dj2n13 күн бұрын

    Mjomba uxela mnauweza knyma

  • @SophieMakaranga
    @SophieMakaranga13 күн бұрын

    hiko kitoto kitafutien nguo nzurii zashule maan hzo hazifai jmn duh..yaan zinamuharibikia niushaur tu jmn ....ila mnafany kazi nzuri sanaaa❤🎉

  • @Realme-xm3sh

    @Realme-xm3sh

    13 күн бұрын

    Au avishwe na juba yan hijab ndoyaendan na sket ndetu viatu pia abadilishiwe avae visimpo black iyo itapendeza na shat ya mikon mirefu

  • @Kidoaaisha

    @Kidoaaisha

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana​@@Realme-xm3sh

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry13 күн бұрын

    Chado nakupenda pia ....utapata barua kutoka kenya

  • @user-mk3zl3yr3m

    @user-mk3zl3yr3m

    13 күн бұрын

    Chado umetisha

  • @aishaomar2287
    @aishaomar228713 күн бұрын

    Ngadaya ulipigwa changa la macho! Ati kaka kumbe wanakakana😂😂😂...wafanyie zile za kwenye problem wakuheshimu hao 😊

  • @islammanengelo7396
    @islammanengelo739613 күн бұрын

    😮😮

  • @Bestudio-2
    @Bestudio-212 күн бұрын

    Safi sana kuna sound moja matata sana bravoo

  • @AliJuma-c8b
    @AliJuma-c8b5 күн бұрын

    Tem chado hio safi sana

  • @arafaramadan6234
    @arafaramadan623413 күн бұрын

    Ngadaya wangu analia jmn 😢😔🤦🙆😂

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld13 күн бұрын

    Jumba Bovuuu😂😂😂

  • @HaroonAhmed-y7y
    @HaroonAhmed-y7y13 күн бұрын

    Madonga naikubali sana mshikaji wangu

  • @Maarifasnr-gu6dp
    @Maarifasnr-gu6dp13 күн бұрын

    Kwa ninavyoijua nchi yenu ya tz icho kipensi na iyo kofia vitakuletea matatizo chado masta ni ushauri tu from Mongolia am watching the show

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    13 күн бұрын

    Hua hawaruhusu?😮

  • @Maarifasnr-gu6dp

    @Maarifasnr-gu6dp

    13 күн бұрын

    @@aishaomar2287 yeah hawataki raia wavae kitu kinachofanana na chao ila huko kwenu tu tz huku Mongolia unavaa tu t-shirts trouser kofia mkanda buti boxa ila uko kwenu ni issue

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    13 күн бұрын

    @@Maarifasnr-gu6dp kumbe

  • @user-wo6uw4ht1p
    @user-wo6uw4ht1p13 күн бұрын

    Kaz mzuri

  • @NardwalkerNchimbi
    @NardwalkerNchimbi13 күн бұрын

    Gongeni like nyingi kwaajili ya chado master

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu702713 күн бұрын

    Ila uyu binti anakiranga sana

  • @MosesNjoroge-g2e
    @MosesNjoroge-g2e13 күн бұрын

    ❤😮

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca13 күн бұрын

    Safi sana kazi nzuri 💯💯

  • @charlesluswaga1090
    @charlesluswaga109013 күн бұрын

    Mwanzo mzuri

  • @user-ss6ey3ge1d
    @user-ss6ey3ge1d13 күн бұрын

    Hoyoooo

  • @jospinludunge
    @jospinludunge13 күн бұрын

    Nzuri sana

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo767913 күн бұрын

    Kila mchuma majanga hula na nani jamani ?,nmeuliza naitaji majibu...

  • @user-uc6xe7ht4k

    @user-uc6xe7ht4k

    13 күн бұрын

    Hula nawakwao

  • @paulfrancis7380
    @paulfrancis738012 күн бұрын

    Hii ni parfect kali sanaaa

  • @erickymalato8840
    @erickymalato884011 күн бұрын

    😂😂nkimuona ngadaya tu namuona kama ni msukule kama problem 😂 akili funguka katika jina la yesu

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio884613 күн бұрын

    Hichi kitoto nacho

  • @SophiaJuma-x9x
    @SophiaJuma-x9x13 күн бұрын

    Iyo tena mm hoi chako good sana

  • @RangisseLucasBaluti
    @RangisseLucasBaluti13 күн бұрын

    Kusema ukweli jamani uyu cheusi anajuwa kuigiza yuko siliasi nampenda anavyo fanha

  • @ShadrackMgala-k7h
    @ShadrackMgala-k7h13 күн бұрын

    Dah sio poah movie ni kali sana

  • @user-cb1xx5bl5m
    @user-cb1xx5bl5m13 күн бұрын

    Alafu naweeee najma achakuwatiaaa wenzako kwenye matatizo

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j13 күн бұрын

    Kaz nzur 🎉🎉🎉

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk13 күн бұрын

    wote wanaoomba like wakat hawahusiki wote wanawekwa

  • @mabulasimoni1425

    @mabulasimoni1425

    8 күн бұрын

    Anqjua sana chado

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles4 күн бұрын

    🎉kaz nzur❤

  • @AminaShawa
    @AminaShawa13 күн бұрын

    Nakukubali chado kwa kutoa move kwa alaka saba

  • @user-he1jw1sb9v

    @user-he1jw1sb9v

    13 күн бұрын

    Wa pili Leo jmn naomben like

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana2 күн бұрын

    😂😂😂hapo kwa Binti kuhusu kusoma ndo bac tena

  • @alibakar5815
    @alibakar581513 күн бұрын

    Haya sasa

  • @GmoneyKanuti
    @GmoneyKanuti11 күн бұрын

    Ngadaya anasauti nzuriii

  • @user-gc4py7zt8t
    @user-gc4py7zt8t12 күн бұрын

    Movie Iko poa sana but nataka jina wimbo

  • @user-ih6ky8qf1h
    @user-ih6ky8qf1h8 күн бұрын

    Aka kawimbo kaz😊uri

  • @rogynee8135
    @rogynee813512 күн бұрын

    Hii nyimbo ameimba huyo msichana nayempenda chado

  • @AsumaniSikitu
    @AsumaniSikitu13 күн бұрын

    Uo mzki kaimba nani

  • @nasrinahirwete8111
    @nasrinahirwete811113 күн бұрын

    Kindege upepo 😅😅😅😅😂😂

  • @roggerssimon122
    @roggerssimon12213 күн бұрын

    Mm nmemfata mbabe baga namkubali sana af ile ile haipingwi 😂😂😂😂😂😂

  • @user-hd4rg6en7m
    @user-hd4rg6en7m4 күн бұрын

    From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 i love you so much chado

  • @EmmyMo
    @EmmyMo12 күн бұрын

    Ngadawa umeua mwamba😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @JamilaRajabu-g8y
    @JamilaRajabu-g8y9 күн бұрын

    Mmeua hiii move❤❤❤ yan atalii

  • @IbrahJumbe
    @IbrahJumbe12 күн бұрын

    Woow amazing unaandik n mkon w shot bibie napend san

  • @EurickMwangunda-wb9wo
    @EurickMwangunda-wb9wo7 күн бұрын

    Baga umeyakanyaga😅😅

  • @NeemaMfangavoo
    @NeemaMfangavoo10 күн бұрын

    Ila kaka kabinti😅😅😅😅 kananipa raha sanaaa😅😅😅

  • @rizikisam6481
    @rizikisam648113 күн бұрын

    😂😂😂😂 ila huyu mwamba mm nnampendaga eti ni shoga angu

  • @MarKarim-km2yh
    @MarKarim-km2yh13 күн бұрын

    😂😂😂Baga million 10 na bikra unachagua bikra MBONA LEO police na bikra umechagua police 😂😂😂😂😂

  • @KiduBoyJr.

    @KiduBoyJr.

    4 күн бұрын

    😂😂

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g13 күн бұрын

    Cheusi mwanangu 😂😂😂

  • @dadyKendrick-tx5ds
    @dadyKendrick-tx5ds13 күн бұрын

    tilatulatilala tulia mtot wa samia🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q12 күн бұрын

    Msela so mtu

  • @swaswamedia0809
    @swaswamedia080913 күн бұрын

    Likes nyingi nyingi

  • @user-il7ve1gt5s
    @user-il7ve1gt5s13 күн бұрын

    Kachado mda mhhh mdogo et jmn

  • @youngpozzey7135
    @youngpozzey71359 күн бұрын

    kaka jini unalizwa kisa mapenzi, si roga tu huyo jamaa kitu kisisimame

  • @RommyChaulla
    @RommyChaulla13 күн бұрын

    Bagaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we mbwa hujawah kuharibu

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj13 күн бұрын

    Ajifany apenda kutoa bikra ay sas kimemkuta 😅 anaependa kutoa bikra comment hap

  • @JustineAjabu
    @JustineAjabu6 күн бұрын

    Iko poa kaka unajua sana

  • @user-fj9lh6fn6r
    @user-fj9lh6fn6r13 күн бұрын

    😅😅😅 kidemu kinatka kuwapa msala waun😅😅

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he13 күн бұрын

    Kazi tamu

  • @user-vu6wk7bt5y
    @user-vu6wk7bt5y13 күн бұрын

    Nice brother chado❤

  • @maimunarajab6826
    @maimunarajab682613 күн бұрын

    Hichi kitoto jaman daaah Ila ni funzo kwa serikali hvi vijitoto vyengine visumbufu sana vinajitakia vyenyewe kubakwa mbora wafungwe woote jela ndio vitapungua kushobokea wanaume

  • @SarahRichard-iv2dl

    @SarahRichard-iv2dl

    13 күн бұрын

    😢😢😢 jamani sisi pia tuna haki ya kupenda

  • @maimunarajab6826

    @maimunarajab6826

    12 күн бұрын

    @@SarahRichard-iv2dl ttzo kupenda kwenu ni mattzo kwa wenzen

  • @HBOYLAVA
    @HBOYLAVA12 күн бұрын

    CHADO MASTER LIKE KWAKE💯

  • @alicebralicebr3284
    @alicebralicebr32849 күн бұрын

    Hii kweli wanaigiza ukweli

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh13 күн бұрын

    Muendelezo jmn dk mnafany chache sn tunawaomba bas muwe mnatup vipand angalau vi2 dabo au tuongezen dk ombi lkn🙏🙏

  • @HusnaMussa-q4m
    @HusnaMussa-q4m13 күн бұрын

    Ongeza dakika chado

  • @AbelFrancis-ww7cb
    @AbelFrancis-ww7cb13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂mukichoka kitandani munahamia kwenye kochi

  • @RoseWanda-k7i
    @RoseWanda-k7i13 күн бұрын

    Mwendelezo 5