Келесі
- 15:01
- 65 М.
- 15:04
- 26 М.
- 00:13
- 53 МЛН
- 17 күн бұрын
- 00:16
- 8 МЛН
- 7 күн бұрын
- 00:37
- 36 МЛН
- 4 күн бұрын
- 00:10
- 6 МЛН
- 7 күн бұрын
- 15:16
- 20 М.
- 19:53
- 3,1 М.
- 15:33
- 44 М.
- 18:13
- 72 М.
- 59:14
- 138 М.
- 27:44
- 222 М.
- 16:28
- 106 М.
- 00:13
- 53 МЛН
- 17 күн бұрын
Пікірлер: 245
Daah kajichanganya Kwa wahuni so poa big up sana 🙏🙏 chado mastar kitengo nakubali damu yangu inabidi muwe pamoja na Baga mnaendana sana kitengo askari wangu
Napenda sana chado akiwa na uyu mwamba nawapenda ila kunipa laki aaaaah
Kazi nzuri lakini dakika chache chado master
@Pandeehuncho16
16 күн бұрын
NDIO UZURI WAKITU SKUZZOTE HUA KIFUPI CHENYE MAANA
Brother chado unatishaaa sanaaa blood
Kadaya ulikosea baada ya kuona hayo ulitakiwa unyamaze kimya ulitakiwa uende kwenye tukio ili ukamkamate
Yhu a the real champion ma young one💪🏽
Baga lakini huo sio usela mzee,mbona ssa unataka kuharibu urafiki....
Chado kama clam vevo au konde boy nmekuelewa mwanangu . Ila baga mmbea🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uyu mjinga ana mov Kali kinoma
@Jacklinejohn7
16 күн бұрын
Kinoma yani chado ni levo ingine kabisa ❤❤😂
Oya chado master, baga mtemi nawakubali sana wadau yani sana.. Big up Kwa kaz nzuri... Oya mungu barik kazi zenu..
Chado. Gozi. Clam. Doko. Kicheche. Sopa raha. Bravo Genius. Ydon. Juma jicho nawakubali sana❤❤❤
Dude Kali sana
Hii kolabo kali sana bagaa unajuwa broo dah chado hapo umepata mtuu
😂❤❤ iyo furani siyopowa mumetisha Sana iramunacherewa kutuma
Waoooh nzuri sana
Kaz kazi kaka nipo south Africa lakini nikiangalia hii movie naona kama nipo bongo maana hii stoli nmepitia mimi kaka ivoivo
Dude kali lakini alie chukuliwa mke amebugi hakutakiwa kua mnyonge ivo amezingua
Mmetisha sana chado master bravo, 🤝🤝💪💪
Chado nawapenda Kaz yenu nzr ila jmn sehem inayoitaj tusi tumieni ata maneno menginge jmn
Chado unatisha kabisa ila sasa dakika ndogo saaana 😊
Oya weee gonna like mm Leo wa kwanzaaa sichekeshi unajua 🤓🤣
Nakutambua chado,,,,,ila Baga hana mbambamba na mabishoo
Chado wewe ni familiar respect 🎉🎉🎉
Rafiki wa chado kacheza vizuri sana ❤❤
BagA punguza ukal Wa maneno
Kumuweka Banga hujakosea kabisa🌹🌹🌹
Safi sana kazi nzuri 💯
Baga na chado mmejua kujipata movie Kali sana, Sema Baga oya legend ni legend tu
Mapema saaa
Uyo dogo ana kipaji kipaji sana
Next plz 🎉🎉❤
Jechi la mtu be❤❤
nakubali mwanang chado 🎉🎉🎉
Khaaaaaa baga had neti umekata kwa kuchangamkia mboga😂😂😂
@jacksoneverlist5073
15 күн бұрын
mwamba anajuah kuonyesha uitajih wake wa bikra mpaka net😂
Like wa kwanza now
Mdogo wangu Saidi chine kwenye nyimbo umeua balaaa
Wewe kaka mzima lakini hutumii akili umwamwita mwizi shemegi yako unatakumkanyaga mwenyewe
Kubali sana kazi zako chado🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Speaking of bagga "nyie chupi tu tunawavaa na kuwavua
Masta kweli movie genje👊👊👊
Chado master nimeikubali sema episode kuanzia ya 4 kuendelea sizioni mm kaka kama Kuna mpango nitumie
Hatal8iii
Chado umetisha kwenye hii movis hakika huumda niwako piga kazi mwanangu nakuaminia
❤❤ kali kinyaama🎉
Baga ... Mi Ndo napenda bikra 😅😅sema muuni unafeli wanaume hatuishi ivo😢😢
Mtoto kapenda kaka hataki
kazi moja kubwa
Mnaweza 🎉🎉
TEAM CHADO MASTA WEKA LIKE NYINGI PLEASE 🙏🙏🙏
Kaz nzuri tatizo fupi xana
Bro chado ❤❤❤❤
i wasnt a fun...but this series pulled me,u made it boy❤
Mmbo imechmka 😂😂Ila Chado kaz nzur bro kipaji kiendlee 😊😊🇰🇪🇰🇪
Iloooo chado😂😂😂 wapat nguvu mpya baada ya baga kutokelezea😅 bless...unyama ni mwingi aisee
Oya we oya we ko.ety hpo ❤
wakwanza mm leo namba lik zenu
Haijanoga hata ungekua unaongeza dakika hapo sawa weka dakika 20 fresh
huyu jamaa ambaye kaliwa mkewe kamfanana Ibra
Kazi nzuri Sana🎉🎉🎉
Kwa kweli chado mwenzio nimewahi pambana kaka utafika mbali sana tuko pamoja
Mko poa jamaa Zang ila apo kw mda sasa
Ow master noma nom
Daah mtot kaelew yan duuh hatar
Hii movie iko poa❤❤❤❤
Bagaa nkukubali sanaa
Kweli hii movie nikali kinoma
Kaka Chado tuongezee vipande ni vifupi kaka lkn kazi zako ni nzr sana
Thenks Walla muendelezo tena twasubir ❤❤❤mstukawiz
Chado ft baga nawakubari sana
Mapema tu
Muendelez jmn iko motooo❤️❤️❤️
Yn hicho kitoto ningekichapa mpk kikojoe
Aisee mwizi huyo Chado Masta unatisha sana.
Oy Chado pamoja sana sema nin mi nimemwelewa sana mchumba huyo
Good job chado❤
uyo ndo mwanangu aina kutili tili
❤mwanangu Dua mwanetu juhud muhim saf sana
Sema bi mkubwa mtu wa maana
Good work Mr chado❤
Wa kwanza 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wanangu mmetisha
Naombeni comment zenu❤
Kazi nzur sana ❤❤
Uhakika bro🎉🎉🎉
Bonge Moja la muvi mzuli sana ❤❤
move kali sana hii
Chado ❤ it munawez sanaa 😮 mashallah
tenaaaaa!!!
Good work
Dogo 😂❤❤❤
Oyaa weeee 🔥
Bagga Home Boy Umeznguaaa Mkulu 🤣🤣😳
MWAMBA UYUAPA🔥🔥🔥
Mwanangu baga ndan noma
Twapenda episode 4 mapema kweliii ,,ili utamu wa movie usipotee
chado master unatisha
❤ hi Kali kabissa 🎉
Chado nakubali kwakumuweka bags uyo ni mnyamwezi kaka
BONGE 1 LA DUBWANA AISEE WEKA MBALI NA WATOTO....KUBABABAKE BAGA💪💪💪
Saf chadoo