MISSION IMPOSSIBLE [3]

Пікірлер: 245

  • @MekyArosto-os5gt
    @MekyArosto-os5gt16 күн бұрын

    Daah kajichanganya Kwa wahuni so poa big up sana 🙏🙏 chado mastar kitengo nakubali damu yangu inabidi muwe pamoja na Baga mnaendana sana kitengo askari wangu

  • @user-tc5le7sv7t
    @user-tc5le7sv7t16 күн бұрын

    Napenda sana chado akiwa na uyu mwamba nawapenda ila kunipa laki aaaaah

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf16 күн бұрын

    Kazi nzuri lakini dakika chache chado master

  • @Pandeehuncho16

    @Pandeehuncho16

    16 күн бұрын

    NDIO UZURI WAKITU SKUZZOTE HUA KIFUPI CHENYE MAANA

  • @willyobiike5500
    @willyobiike550016 күн бұрын

    Brother chado unatishaaa sanaaa blood

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g16 күн бұрын

    Kadaya ulikosea baada ya kuona hayo ulitakiwa unyamaze kimya ulitakiwa uende kwenye tukio ili ukamkamate

  • @MohammedAbbas-xe1eo
    @MohammedAbbas-xe1eo16 күн бұрын

    Yhu a the real champion ma young one💪🏽

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo767916 күн бұрын

    Baga lakini huo sio usela mzee,mbona ssa unataka kuharibu urafiki....

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg8 күн бұрын

    Chado kama clam vevo au konde boy nmekuelewa mwanangu . Ila baga mmbea🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Yakshayaksha-do6tw
    @Yakshayaksha-do6tw16 күн бұрын

    Uyu mjinga ana mov Kali kinoma

  • @Jacklinejohn7

    @Jacklinejohn7

    16 күн бұрын

    Kinoma yani chado ni levo ingine kabisa ❤❤😂

  • @MohdRashidkassim-rc6ul
    @MohdRashidkassim-rc6ul16 күн бұрын

    Oya chado master, baga mtemi nawakubali sana wadau yani sana.. Big up Kwa kaz nzuri... Oya mungu barik kazi zenu..

  • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
    @HASHIMMAKUNGUHAMDANI16 күн бұрын

    Chado. Gozi. Clam. Doko. Kicheche. Sopa raha. Bravo Genius. Ydon. Juma jicho nawakubali sana❤❤❤

  • @malikaelvis-vn8ry
    @malikaelvis-vn8ry16 күн бұрын

    Dude Kali sana

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev15 күн бұрын

    Hii kolabo kali sana bagaa unajuwa broo dah chado hapo umepata mtuu

  • @AhmadChibalula
    @AhmadChibalula16 күн бұрын

    😂❤❤ iyo furani siyopowa mumetisha Sana iramunacherewa kutuma

  • @AishaHussein-sv5vk
    @AishaHussein-sv5vk16 күн бұрын

    Waoooh nzuri sana

  • @JastinMaginga
    @JastinMaginga14 күн бұрын

    Kaz kazi kaka nipo south Africa lakini nikiangalia hii movie naona kama nipo bongo maana hii stoli nmepitia mimi kaka ivoivo

  • @user-yv2qq7my7c
    @user-yv2qq7my7c14 күн бұрын

    Dude kali lakini alie chukuliwa mke amebugi hakutakiwa kua mnyonge ivo amezingua

  • @IsdoryEssau
    @IsdoryEssau12 күн бұрын

    Mmetisha sana chado master bravo, 🤝🤝💪💪

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi15 күн бұрын

    Chado nawapenda Kaz yenu nzr ila jmn sehem inayoitaj tusi tumieni ata maneno menginge jmn

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya16 күн бұрын

    Chado unatisha kabisa ila sasa dakika ndogo saaana 😊

  • @abdullatif053
    @abdullatif05316 күн бұрын

    Oya weee gonna like mm Leo wa kwanzaaa sichekeshi unajua 🤓🤣

  • @OfficialBawa-yn3zn
    @OfficialBawa-yn3zn9 күн бұрын

    Nakutambua chado,,,,,ila Baga hana mbambamba na mabishoo

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv15 күн бұрын

    Chado wewe ni familiar respect 🎉🎉🎉

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven8 күн бұрын

    Rafiki wa chado kacheza vizuri sana ❤❤

  • @ShamsaGao-nn1ge
    @ShamsaGao-nn1ge16 күн бұрын

    BagA punguza ukal Wa maneno

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha16 күн бұрын

    Kumuweka Banga hujakosea kabisa🌹🌹🌹

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca15 күн бұрын

    Safi sana kazi nzuri 💯

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel16 күн бұрын

    Baga na chado mmejua kujipata movie Kali sana, Sema Baga oya legend ni legend tu

  • @djbngudukwimba5682
    @djbngudukwimba568216 күн бұрын

    Mapema saaa

  • @focusnjagala6777
    @focusnjagala677716 күн бұрын

    Uyo dogo ana kipaji kipaji sana

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m16 күн бұрын

    Next plz 🎉🎉❤

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q13 күн бұрын

    Jechi la mtu be❤❤

  • @YusuphHobokela
    @YusuphHobokela3 күн бұрын

    nakubali mwanang chado 🎉🎉🎉

  • @Shakila-pq2gv
    @Shakila-pq2gv16 күн бұрын

    Khaaaaaa baga had neti umekata kwa kuchangamkia mboga😂😂😂

  • @jacksoneverlist5073

    @jacksoneverlist5073

    15 күн бұрын

    mwamba anajuah kuonyesha uitajih wake wa bikra mpaka net😂

  • @RamaWanaman
    @RamaWanaman16 күн бұрын

    Like wa kwanza now

  • @nasrinahirwete8111
    @nasrinahirwete811116 күн бұрын

    Mdogo wangu Saidi chine kwenye nyimbo umeua balaaa

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g16 күн бұрын

    Wewe kaka mzima lakini hutumii akili umwamwita mwizi shemegi yako unatakumkanyaga mwenyewe

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn716 күн бұрын

    Kubali sana kazi zako chado🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @smileempirefilm255
    @smileempirefilm25516 күн бұрын

    Speaking of bagga "nyie chupi tu tunawavaa na kuwavua

  • @arimtekerdivalwamadush7517
    @arimtekerdivalwamadush751716 күн бұрын

    Masta kweli movie genje👊👊👊

  • @YONAMASUNGA
    @YONAMASUNGA15 күн бұрын

    Chado master nimeikubali sema episode kuanzia ya 4 kuendelea sizioni mm kaka kama Kuna mpango nitumie

  • @Ally-to2sx
    @Ally-to2sx16 күн бұрын

    Hatal8iii

  • @jamesdaudi
    @jamesdaudi16 күн бұрын

    Chado umetisha kwenye hii movis hakika huumda niwako piga kazi mwanangu nakuaminia

  • @kenethofficial2196
    @kenethofficial21968 күн бұрын

    ❤❤ kali kinyaama🎉

  • @EurickMwangunda-wb9wo
    @EurickMwangunda-wb9wo8 күн бұрын

    Baga ... Mi Ndo napenda bikra 😅😅sema muuni unafeli wanaume hatuishi ivo😢😢

  • @YusuphKitaja-pm9cs
    @YusuphKitaja-pm9cs16 күн бұрын

    Mtoto kapenda kaka hataki

  • @ÚnicothaGente-x5n
    @ÚnicothaGente-x5n10 күн бұрын

    kazi moja kubwa

  • @selemanisozi936
    @selemanisozi93613 күн бұрын

    Mnaweza 🎉🎉

  • @edgarlaurian-d8w
    @edgarlaurian-d8w16 күн бұрын

    TEAM CHADO MASTA WEKA LIKE NYINGI PLEASE 🙏🙏🙏

  • @user-sj8rg2ro7z
    @user-sj8rg2ro7z16 күн бұрын

    Kaz nzuri tatizo fupi xana

  • @Walawi_Movie_Official
    @Walawi_Movie_Official14 күн бұрын

    Bro chado ❤❤❤❤

  • @zeezain6601
    @zeezain660114 күн бұрын

    i wasnt a fun...but this series pulled me,u made it boy❤

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma938816 күн бұрын

    Mmbo imechmka 😂😂Ila Chado kaz nzur bro kipaji kiendlee 😊😊🇰🇪🇰🇪

  • @aishaomar2287
    @aishaomar228716 күн бұрын

    Iloooo chado😂😂😂 wapat nguvu mpya baada ya baga kutokelezea😅 bless...unyama ni mwingi aisee

  • @Kasimuhakimukasim
    @Kasimuhakimukasim16 күн бұрын

    Oya we oya we ko.ety hpo ❤

  • @HusseinTz-zt1mh
    @HusseinTz-zt1mh16 күн бұрын

    wakwanza mm leo namba lik zenu

  • @IsayaTarakwa
    @IsayaTarakwa16 күн бұрын

    Haijanoga hata ungekua unaongeza dakika hapo sawa weka dakika 20 fresh

  • @dablejay6404
    @dablejay640415 күн бұрын

    huyu jamaa ambaye kaliwa mkewe kamfanana Ibra

  • @thalesyokim1730
    @thalesyokim173016 күн бұрын

    Kazi nzuri Sana🎉🎉🎉

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi16 күн бұрын

    Kwa kweli chado mwenzio nimewahi pambana kaka utafika mbali sana tuko pamoja

  • @JordanJohnson-ni7iw
    @JordanJohnson-ni7iw16 күн бұрын

    Mko poa jamaa Zang ila apo kw mda sasa

  • @JairosyEriasy
    @JairosyEriasy9 күн бұрын

    Ow master noma nom

  • @VictorAlphonce
    @VictorAlphonce16 күн бұрын

    Daah mtot kaelew yan duuh hatar

  • @user-bl5nt5cm3m
    @user-bl5nt5cm3m9 күн бұрын

    Hii movie iko poa❤❤❤❤

  • @user-vi9yo8sb6u
    @user-vi9yo8sb6u16 күн бұрын

    Bagaa nkukubali sanaa

  • @JackJackmakamu
    @JackJackmakamu8 күн бұрын

    Kweli hii movie nikali kinoma

  • @hansboytz7494
    @hansboytz749416 күн бұрын

    Kaka Chado tuongezee vipande ni vifupi kaka lkn kazi zako ni nzr sana

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh16 күн бұрын

    Thenks Walla muendelezo tena twasubir ❤❤❤mstukawiz

  • @mcnabwina
    @mcnabwina16 күн бұрын

    Chado ft baga nawakubari sana

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick71216 күн бұрын

    Mapema tu

  • @hunainamudhiry
    @hunainamudhiry15 күн бұрын

    Muendelez jmn iko motooo❤️❤️❤️

  • @rhamlaally6930
    @rhamlaally693016 күн бұрын

    Yn hicho kitoto ningekichapa mpk kikojoe

  • @johnosoro6033
    @johnosoro603316 күн бұрын

    Aisee mwizi huyo Chado Masta unatisha sana.

  • @MilajiShabani
    @MilajiShabani16 күн бұрын

    Oy Chado pamoja sana sema nin mi nimemwelewa sana mchumba huyo

  • @user-vu6wk7bt5y
    @user-vu6wk7bt5y16 күн бұрын

    Good job chado❤

  • @feyplanet5719
    @feyplanet571915 күн бұрын

    uyo ndo mwanangu aina kutili tili

  • @user-gk5oe5vk6c
    @user-gk5oe5vk6c16 күн бұрын

    ❤mwanangu Dua mwanetu juhud muhim saf sana

  • @kennedybundala8892
    @kennedybundala889215 күн бұрын

    Sema bi mkubwa mtu wa maana

  • @JohnKims-k2w
    @JohnKims-k2w16 күн бұрын

    Good work Mr chado❤

  • @PatrickMatofali
    @PatrickMatofali16 күн бұрын

    Wa kwanza 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @RichardKalunde
    @RichardKalunde16 күн бұрын

    Wanangu mmetisha

  • @seleheHassan
    @seleheHassan16 күн бұрын

    Naombeni comment zenu❤

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y16 күн бұрын

    Kazi nzur sana ❤❤

  • @ForeverYoung-v6e
    @ForeverYoung-v6e16 күн бұрын

    Uhakika bro🎉🎉🎉

  • @salamaslaim6678
    @salamaslaim667816 күн бұрын

    Bonge Moja la muvi mzuli sana ❤❤

  • @SabitiMwishaa
    @SabitiMwishaa16 күн бұрын

    move kali sana hii

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf16 күн бұрын

    Chado ❤ it munawez sanaa 😮 mashallah

  • @user-xm2wm2oc5w
    @user-xm2wm2oc5w16 күн бұрын

    tenaaaaa!!!

  • @HoseaChanga-p2g
    @HoseaChanga-p2g15 күн бұрын

    Good work

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q13 күн бұрын

    Dogo 😂❤❤❤

  • @mbilinyijr
    @mbilinyijr16 күн бұрын

    Oyaa weeee 🔥

  • @user-bj5ss4pt8m
    @user-bj5ss4pt8m16 күн бұрын

    Bagga Home Boy Umeznguaaa Mkulu 🤣🤣😳

  • @omaryseiph2132
    @omaryseiph213216 күн бұрын

    MWAMBA UYUAPA🔥🔥🔥

  • @user-to3jq1eb7s
    @user-to3jq1eb7s16 күн бұрын

    Mwanangu baga ndan noma

  • @JaydenWarship17
    @JaydenWarship1715 күн бұрын

    Twapenda episode 4 mapema kweliii ,,ili utamu wa movie usipotee

  • @GabrielSeraphin
    @GabrielSeraphin12 күн бұрын

    chado master unatisha

  • @macatao
    @macatao16 күн бұрын

    ❤ hi Kali kabissa 🎉

  • @user-kf7my4bi8e
    @user-kf7my4bi8e16 күн бұрын

    Chado nakubali kwakumuweka bags uyo ni mnyamwezi kaka

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad21716 күн бұрын

    BONGE 1 LA DUBWANA AISEE WEKA MBALI NA WATOTO....KUBABABAKE BAGA💪💪💪

  • @OmarShevo
    @OmarShevo16 күн бұрын

    Saf chadoo