MOGELA APASUA UKWELI: SOKA LA BONGO/ NILISAJILIWA KWA ELFU 50/ NINGECHEZA BURE!/ TUWE NA HESHIMA
Спорт
Gwiji wa Soka la Bongo Zamoyoni Mogela amezungumza na Dar24 Media, ameelezea mambo mengi yanayoendelea ndani na nje ya uwanja. Amefunguka sakata la kuidai Simba SC shilingi 25,000, pia amesisitiza heshima katika soka ili kuleta ustawi wa mchezo huo ambao unapendwa dunia nzima.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Zamoyonimogela #Simbasc #Yangasc
Пікірлер: 19
Mdogo wangu Mogella nimeipenda hiyo %100 Hongera hiyo na Big up tupo pamoja
Umenikubusha mbali sana Zamoyoni Mogela the Golden boy Karibu Kenya
BIG UP bro mogela
Here from Instagram
Golden. Boy hakika. Alikuwa. Hatari. Kimpiraa
Mjomba namkumbuka nilimuona uwanja wa sokoine 1991 nikiwa mdogo Sana alikuwa mtulivu Sana kwenye lango la wapinzani alikuwa na shabaha sana
Kiukweli huyu mzee anajielewa sana sana yani mungu akubaliki sana
Huyu ndugu alikuwa moja ya wafungaji hatari sana kuwahi kutokea nchini. True definition ya goal getter miaka ya 80' na 90. Do disciplined, focused and effective. Mafanikio ya kiuchumi pia hayakukaa mbali na yeye hadi uzee wake.
Mkongwe huyo ZAMOYONI MOGELLA.
Nilikua na hamu kujua uyu mtu yupo wapi
Story nzuri lakini fupi. Dah!
Anandugu zake Method Novella na Philmon Novella wako wapi.
anaongea vyena sana, anatafakari kabla hajajibu anatafakari, daa nimevutiwa sana na mazungumzo kunakitu kimenivutia kwake
Wachezaji wetu ndio inatakiwa waongoze hiyo tff yenu lakini yamejaa majambazi.tff na sio watu wa mpira unatakiwa ushikwe na watu wa mpira
Hivi jaman hi zaman zaman gani mbona sielewi
@bekabakari7394
Жыл бұрын
1980 kipindi hicho Taifa stars inatikisa West Africa
Poa sana
@hashimumwinyimvua4278
Жыл бұрын
Bado anauwezo wakucheza yanga
@elizabethmwamdanga78
Жыл бұрын
Mh