MOGELA APASUA UKWELI: SOKA LA BONGO/ NILISAJILIWA KWA ELFU 50/ NINGECHEZA BURE!/ TUWE NA HESHIMA

Спорт

Gwiji wa Soka la Bongo Zamoyoni Mogela amezungumza na Dar24 Media, ameelezea mambo mengi yanayoendelea ndani na nje ya uwanja. Amefunguka sakata la kuidai Simba SC shilingi 25,000, pia amesisitiza heshima katika soka ili kuleta ustawi wa mchezo huo ambao unapendwa dunia nzima.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Zamoyonimogela #Simbasc #Yangasc

Пікірлер: 19

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Жыл бұрын

    Mdogo wangu Mogella nimeipenda hiyo %100 Hongera hiyo na Big up tupo pamoja

  • @noelakadenge8035
    @noelakadenge8035 Жыл бұрын

    Umenikubusha mbali sana Zamoyoni Mogela the Golden boy Karibu Kenya

  • @bbaccabb9445
    @bbaccabb9445 Жыл бұрын

    BIG UP bro mogela

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV Жыл бұрын

    Here from Instagram

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Жыл бұрын

    Golden. Boy hakika. Alikuwa. Hatari. Kimpiraa

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka7091 Жыл бұрын

    Mjomba namkumbuka nilimuona uwanja wa sokoine 1991 nikiwa mdogo Sana alikuwa mtulivu Sana kwenye lango la wapinzani alikuwa na shabaha sana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Жыл бұрын

    Kiukweli huyu mzee anajielewa sana sana yani mungu akubaliki sana

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi4330 Жыл бұрын

    Huyu ndugu alikuwa moja ya wafungaji hatari sana kuwahi kutokea nchini. True definition ya goal getter miaka ya 80' na 90. Do disciplined, focused and effective. Mafanikio ya kiuchumi pia hayakukaa mbali na yeye hadi uzee wake.

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Жыл бұрын

    Mkongwe huyo ZAMOYONI MOGELLA.

  • @tolutolu2970
    @tolutolu2970 Жыл бұрын

    Nilikua na hamu kujua uyu mtu yupo wapi

  • @sundaysindole1978
    @sundaysindole1978 Жыл бұрын

    Story nzuri lakini fupi. Dah!

  • @jmm1840
    @jmm1840 Жыл бұрын

    Anandugu zake Method Novella na Philmon Novella wako wapi.

  • @issaibrahim7771
    @issaibrahim7771 Жыл бұрын

    anaongea vyena sana, anatafakari kabla hajajibu anatafakari, daa nimevutiwa sana na mazungumzo kunakitu kimenivutia kwake

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Жыл бұрын

    Wachezaji wetu ndio inatakiwa waongoze hiyo tff yenu lakini yamejaa majambazi.tff na sio watu wa mpira unatakiwa ushikwe na watu wa mpira

  • @kalesiommy9275
    @kalesiommy9275 Жыл бұрын

    Hivi jaman hi zaman zaman gani mbona sielewi

  • @bekabakari7394

    @bekabakari7394

    Жыл бұрын

    1980 kipindi hicho Taifa stars inatikisa West Africa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Poa sana

  • @hashimumwinyimvua4278

    @hashimumwinyimvua4278

    Жыл бұрын

    Bado anauwezo wakucheza yanga

  • @elizabethmwamdanga78

    @elizabethmwamdanga78

    Жыл бұрын

    Mh

Келесі