MOGELA AICHANA SIMBA!/ AMFUATA HAJI MANARA/ 'WANAFIKI'/ NILIENDA YANGA KWA HASIRA/ 'WAMELAANIWA'

Спорт

Mchezaji wa zamani wa Tumbaku, Reli, Jogoo, Simba, Yanga na timu ya Taifa, Zamoyoni Mogela aeleza safari ya maisha yake ya soka kutoka Simba kwenda Yanga, kustaafu soka, maisha yake binafsi na familia yake kwa ujumla.
---
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Zamoyonimogela #Yangasc #Simbasc

Пікірлер: 108

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352Ай бұрын

    Pole sana Zamoyoni, kweli Kuzaa Siyo Kupata!

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 Жыл бұрын

    Duh kuna wanawake na watoto hovyo sana. Mungu azidi kukulinda Golden Boy, uliupiga sana ukiwa Yanga.

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9tАй бұрын

    Ubabaishaji wa viongozi wa simba kumbe ulianza toka zamani mweee

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 Жыл бұрын

    Safi Sana Golden Boy Kumtumainia Mwenyezi Mungu Nimefurahi Kwa Hili

  • @harounali9057
    @harounali9057 Жыл бұрын

    Pole sana Zamoyoni Na hongera sana ndugu mtangazaji kwa kazi nzuri.

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy3940 Жыл бұрын

    One of the soccer legends in Tanzania, Zamoyoni Mogella. ⚽️

  • @mohamedsembe5368
    @mohamedsembe5368Ай бұрын

    Dah!Zamoyoni Mogela,namkumbuka sana huyu brother miaka ile

  • @abbasirovya6118
    @abbasirovya6118 Жыл бұрын

    Nimeipenda hii interview, kwa kweli pamoja na maisha ya soka lakini kuna mengi ya kujifunza humu. Big up Legend Zamoyoni Mogela.

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Жыл бұрын

    True Legendary Zamoyoni Mogela kwa kizazi chetu huyu ndio alikuwa kama Pele wa Tanzania, ila naomba siku moja watoto wako Mungu awafungue Macho waje kukutafuta na pia nawe piga moyo konde watafute wanao. Muyamalize msameheane.

  • @salumsicknesspeoplemusafir7902
    @salumsicknesspeoplemusafir7902 Жыл бұрын

    Mzee yuko sawa kabisa napenda mazungumzo yake ya busara na yanajenga

  • @salehekinui2975
    @salehekinui2975Ай бұрын

    Aisee allah akuhifadhi na akufanyie wepesi Kwa mtazamo na uwezo wa kutafakari ndiyo sababu ya mafanikio yako

  • @jfmkenda6792
    @jfmkenda6792Ай бұрын

    Nakumbuka Sana enzi hizo(Mogela na Pita Tino)

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Жыл бұрын

    Pole sana kaka mo njoo kimara nikupe bonasi ya utumishi bora kwa simba mjomba mo

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Жыл бұрын

    Bless up Stand up Mogela Mungu akujalie Imani uliyokua nayo nikubwa

  • @stanislauscharlesmmbando1616
    @stanislauscharlesmmbando1616 Жыл бұрын

    Dah huyu Mzee ana madini na hekima ya Hali ya juu sanaaa, Kuna vitu vingi vya kujifunza katika maisha tokea katika interview hii

  • @mwana4599
    @mwana4599 Жыл бұрын

    Wooow. Bado yuko vizuri sana. Hingerah Mogela.

  • @josephstei4341
    @josephstei4341 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa interview nzuri sana. Nimejifunza kupitia huyo legend ni mtu wa imani asingekuwa mtu wa imani kwa mapito yake asingekuwepo.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Moja ya foward hatari sana kuwahi kutokea katika soka la Tanzania

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525Ай бұрын

    Simba hiyo imetunyima sana raha wana jangwani,,"Zamoyoni mogella " golden boy,,, Malota soma" ball juggler" Raphael paul, Twaha hamidu, Deo njoole,,Mohamed Mwameja,,, Edward chumila, Ali machela, Ramadhan leny,, idd suleiman kibode,,, Madaraka,, Hamis gagarino nomaa, Michael paul" nylon",, baadae wakaongezeka kina Dua said, Method mogela, ilikuwa baraha aisee

  • @aloycekilemwa6245
    @aloycekilemwa6245 Жыл бұрын

    The Legend! Mungu amuinue zaidi!

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Жыл бұрын

    Miaka ile sisi wapenzi wa Simba tulikuchukia sana kwa kitendo cha kuenda Yanga ila sasa tumekuelewa.

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 Жыл бұрын

    Daah jamaa huyu Mungu amlinde,Bonge la striker Golden boy

  • @jall4376
    @jall4376 Жыл бұрын

    Golden boy, salute ! Lot of wisdom.

  • @jeromemwenda2702

    @jeromemwenda2702

    Жыл бұрын

    Super Mogella

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 Жыл бұрын

    Asante sana Veteran kwa story nzuri.

  • @maasaingorongoro3799
    @maasaingorongoro3799 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏 Ingekua ni hivi sasa yani wewe ni level ya wakina Ronald.

  • @pascalcostantine4478
    @pascalcostantine4478 Жыл бұрын

    My legend Mogela

  • @husseinsimbano1466
    @husseinsimbano1466Ай бұрын

    Inasikitisha sana, Mogela amefanya makubwa sana kwa upande wa michezo, na nilipata bahati kuishi nae jirani miaka hiyo, Mungu amsimamie na amfanyie wepesi.

  • @SalumuBakari-nm7mg
    @SalumuBakari-nm7mgАй бұрын

    Pamoja sana mkuu maongezi yako ni mazuri na yako wazi sana na yanamafundisho hasa

  • @mohomedalmarjibi9021
    @mohomedalmarjibi9021 Жыл бұрын

    Pole sana bro Nakupenda bure

  • @ezekielfesto4305
    @ezekielfesto4305 Жыл бұрын

    Duuuh huyu jamaa alikuwa fundi sana

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 Жыл бұрын

    Wazalendo sana hawa jamaa,Mungu nimweema sana,well done Zamoyoni,Mungu atakulinda,IMAAN HIYO NA KUMKUBALI MUNGU,huyo iblisi Mungu atamwangazia na malipo hapahapa duniani.Moyo mkubwa ,akilinyingi,

  • @issarashid1421
    @issarashid1421 Жыл бұрын

    Hii makala inafundisha mengi sana nimejifunza mawili matatu hivi, tuombe mwisho mwema

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22822 ай бұрын

    Mogella,mi sio Simba.ila nakukubali na ninakukubali sana ulifanya makubwa.na upo wazi.ingekuwa leo wakati ule we ungekuwa vzr mno.upo vzr pia usijali.mungu akubariki.

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Жыл бұрын

    Golden Boy. Masha'allah uliifanya Simba ingrate haswa. Siku kama hii ya Simba Day ingepaswa kuwaenzi wachezaji wazamani. Walicheza Jihad.

  • @saidimalilo9640

    @saidimalilo9640

    Жыл бұрын

    Alikosea kwenda yanga asitegemee Simba wata mwita Simba day

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze405 Жыл бұрын

    Manara na tumu yake wana muhaho wa kutafuta Attention kutoka Simba. Simba wametulia tuli. Mogella ametumikia vilabu vyote viwili Yanga na Simba cha ajabu kipi kumfuata Manara 😀

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821Ай бұрын

    Aisee Mogella ninamkumbuka sana, kwa kweli viongozi wakati mwingine wanazingua sana!

  • @daudimasasi-ht1yy
    @daudimasasi-ht1yyАй бұрын

    🎉Hapi akiitwa DHL golden boy

  • @issaibrahim7771
    @issaibrahim7771 Жыл бұрын

    daa mitihani mikubwa sana umepitia nasi tulio katika mitihani ya watalaka wetu mungu atupe hekima, busara na ushindi katika vita hii, waathirika wa exwenza vimeo tuseme aaaamiiin

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJothamАй бұрын

    Nimejifunza Jambo,kumbe Simba ni jeuri na wajanja Kwa wachezaji toka zamani,duuu

  • @donardmtambo-hs7mw
    @donardmtambo-hs7mwАй бұрын

    pole sana historia hii inaumiza sana

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 Жыл бұрын

    Wanawake wanavuruga sana,they can completely destroy your life.

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Жыл бұрын

    Nimejifunza kitu asa kwenye maisha yako ya kifamilia

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 Жыл бұрын

    Pole sana nami yamenikuta hayo wana wake ni sumu

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Жыл бұрын

    Legendary

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Жыл бұрын

    wise man

  • @abdulrahmanlutenga5119
    @abdulrahmanlutenga5119Ай бұрын

    Wakati Simba wanagomea kurudi uwanjani tayari yanga ilikuwa mbele Kwa magoli mawili

  • @harsimogen7777
    @harsimogen7777 Жыл бұрын

    Golden boy

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 Жыл бұрын

    Dah aisee inasikitisha Sana hapo mwishoni wanawake mungu anawaona mtapata tabu Sana

  • @hassanmuhibu8442

    @hassanmuhibu8442

    Жыл бұрын

    Inaumiza sana pole sana Zamoyoni Novella. (Golden boy)

  • @amanwilliam35
    @amanwilliam35 Жыл бұрын

    Simba tulifungwa 3 bila na yanga kipindi cha kwanza hafu taimu hatukurudi uwanjani mogela ulikuwa bora sana

  • @mbarakadau7345

    @mbarakadau7345

    Жыл бұрын

    Sio kweli mechi ilikuwa 0-0 HT

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 Жыл бұрын

    ya alikuwa ana assist vijana wakamtunga jina la DHL yaani anasambaza pasi nakumbuka sana

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Жыл бұрын

    Kinachonisikitisha watoto kumtenga BABA🙄🙄🙄

  • @selemanally6080
    @selemanally6080 Жыл бұрын

    Huko vizuri unaufahamu mpira.

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos Жыл бұрын

    Simba ni wababaishaji kwa asili😂😂😂😂

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    2 ай бұрын

    Comment Yako ni Yakishabiki tu, Haina Ukweli wowote

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mrАй бұрын

    HUYU SIJAHI ONA MCHEZAJI ANAYEJUA KUJI POSTION KUKAA SEHEMU SAHIHI YA KUFUNGA ..HUYU MWAMBA ALIKUWA NI KWELI ILIKUWA SAHIHI KUMWITA GOLDEN BOY

  • @Charzlomo
    @CharzlomoАй бұрын

    Mess wetu wa tanzania

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 Жыл бұрын

    Hao viongozi wanga kweli kweli!!

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa5272 Жыл бұрын

    Bado unadamu ya SIMBA

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 Жыл бұрын

    Mogela "Golden boy" story yako imenigusa imenikumbusha mengi ndani ya S.S.C.Nyinyi ndiyo wachezaji mliochezea kllabu yetu kwa mapenzi ya dhati.Sasa hivi tuna wachezaji almaarufu maprofesheno wamekuja bongo kuvuna mihela wakati mguuni hakuna kitu.Wachezaji wetu wazawa hawapewi kipaumbele wamekuwa wasindikizaji tu.

  • @captainmwinyimanzi7654

    @captainmwinyimanzi7654

    Жыл бұрын

    .

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    DHL....napajua pale kinondoni mkwajuni....!...ww ni legendary haswa na ulilitendea vyema soka la Tanzania, nyie ni watu ambao inabidi muwe kwenye mtando wa SOKA ...!

  • @saidimalilo9640
    @saidimalilo9640 Жыл бұрын

    Wewe ni yanga watu Wana kuwa ndiyo maana Simba awakupi cheo wanajuwa yanga atasiku Moja ujwai kuifuga yanga

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7rАй бұрын

    Ultupa heshima yanga uwanja wanakivubo kubebakombe kampala.

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515Ай бұрын

    Wanawake ni mama zetu pia niwake zetu lakini inapaswa kuishi nao kwa akili sana, maana ukimuangalia mwamba huyo amepambana sana kutafuta mali akapata halafu mwisho wa siku hana mali zimebaki na mwanamke hatari sana,

  • @EliudSigala
    @EliudSigalaАй бұрын

    Yupo vzr jamaa Kwa maelezo

  • @mohamediddimchekwa7388
    @mohamediddimchekwa7388 Жыл бұрын

    Asate Sana

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Жыл бұрын

    Kuna cha kujifunza kwako.Pole sana

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201Ай бұрын

    Kumbe simba walianza tabia hiyo ya dharau

  • @mathayomoi9353
    @mathayomoi9353Ай бұрын

    hawa ndio wakongwe. enzi hizo

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Жыл бұрын

    No rest muda wote kuna ugeni huku🤣🤣🤣🤣🇦🇨

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Жыл бұрын

    ZAMOYONI MOGELLA kumbe na yeye ni MORRISON wa zamani..

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Жыл бұрын

    Mpira ni ajira na ndio maisha ya wachezaji, sasa kama unacheza timu haikuthamini kwanini usiende kwenye timu itakayokupa manufaa?

  • @mwana4599

    @mwana4599

    Жыл бұрын

    Ha ha ha ha

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    2 ай бұрын

    Hapa Mogela hamja mwelewa

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Жыл бұрын

    Kumnunua mluguru ufanye kazi

  • @ibrahimmkamba6339
    @ibrahimmkamba6339 Жыл бұрын

    Swali la kwamba wachezaji hata wa zamani walikuwa wanashangaza kwa kutoka Simba kwenda Yanga au Yanga kwenda Simba wakati mshamgao huo uko zaidi siku hizi, si swali sahihi na la kinyume. Zamani jambo hilo lilikuwa la kushangaza kwenye mfumo wa ujamaa ambao shabiki wa Yanga lazima achezee Yanga na wa Simba lazima achezee Simba. Sasa hivi kwenye ubepari tuliomo, hakuna suala la ushabiki kwenye kuzitumikia Yanga au Simba. LA USHABIKI SASA HALIPO.

  • @josephkalonga550
    @josephkalonga550 Жыл бұрын

    UNGEMUULIZA JE, ALIWAHI KUPATA MAOMBI OFFER YA KUCHEZA SOCCER LA KULIPWA? AU ALIWAHI KUTAFUTA TEAM OUT OF TZ? AU KWA NINI HAKUCHEZA SOCCER LA KULIPWA , UKILINGANISHA NA KIWANGO CHAKE KIPINDI KILE!?

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 Жыл бұрын

    NJAA NIMBAYA SAAANA JAMANI

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor85282 ай бұрын

    Nakumbuka nilidhulia mazoezi ya YANGA karume stadium ukiwa yanga kocha akiwa nzoisaba tauzan mlifanya mazoezi hadi saa sita mchana wewe ukilalamika Kwan tunaenda kucheza sudan😅😅😅😅

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын

    Gori tatu raundi ya kwanza Simba waliingia mituni

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 Жыл бұрын

    Ina onesha ni kweli ulihujumu Simba. Baada ya lawama ukaona uende huko ambako ulishawishiwa awali.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Жыл бұрын

    The real pandemic in Tanganyika is narcissistic personality disorder. We do not have doctors to treat this. This guy, Mogella et al, are all victims of this disorder

  • @saidimalilo9640
    @saidimalilo9640 Жыл бұрын

    Siyo mpezi Simba huyo ni yanga tunajuwa kabisa na ndiyo maana anamuhuga mkono manala

  • @suleabdullah2247

    @suleabdullah2247

    Жыл бұрын

    Hujielewi usemacho ww,labda ulikuwa hujazaliwa au

  • @hindisaidi5097

    @hindisaidi5097

    Жыл бұрын

    Yani we umesikiliza tokea mwanzo au umedandia tu? Maana mwenyewe kasema waziwazi

  • @sophiesadick5510

    @sophiesadick5510

    Жыл бұрын

    Mogella ni Simba, mpaka Leo ni mwanachama hai wa Simba.

  • @ernestkamata2555

    @ernestkamata2555

    Ай бұрын

    Anajaribu kuongea uhalisia kwake ila wewe ndo hujui, lazima utakuwa mshabiki wa juzi

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 Жыл бұрын

    Aahh, baadae ndio nimegundua ni Dar24 Media!🙁 Nyie hamuwezi kusimama wenyewe bila kuchombezea vitu vingine ilikubonyeza chambo.Haji Manara ameingiaje humu? Nani "Wanafiki"? Nilisha apa siangalii content yenu tena!

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 Жыл бұрын

    Picha linafanana na mb3🙄🙄

  • @saidihussein612

    @saidihussein612

    Жыл бұрын

    Golden boy zamoyoni mogela

  • @ashashariff307

    @ashashariff307

    Жыл бұрын

    elfu 25000 ya waka ti

  • @ashashariff307

    @ashashariff307

    Жыл бұрын

    25000 ya wakati huo unanunua nyumba kkoo

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Жыл бұрын

    Elfu 25 enzi hizo unanunua nyumba,,,umalaya wenu tu unawaponza, mpaka rafiki yako Khamis Gaga kafa na ukimwi

  • @kaluluu2011

    @kaluluu2011

    Жыл бұрын

    Huna busara kabisa kwenye kinywa chako.unaoishi nao wanakazi xana wajipange. MTU timamu hawezi toa povu la kipuuzi Kama lako. Huwezi mhukumu mogella kwa life ya mtu mwingine Kama Gaga mungu kamuekea kila MTU akili yake. PILI ATA ukimwi NI kadari ya mungu TU .unaeza kua mzinzi na ucpate. Na mtulivu kbs AKAPATA. Muombe mungu TU atuepushe. TUNZA mdomo wako acha KUROPOKA.unazalilika wewe kiakili

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    @@kaluluu2011 siropoki naongea kwa kuwajua hao Gaga alikuwa anaishi nae,,,kapata ukimwi kwa kuzini,,,musinsingizie mungu weweee kwa upumbavu wenu,,,unaezalilika wewe uliekuja kujibu yasiyokuhusu,,,kwa taarifa yako huyo mogela,mkewe jamaa yangu,,namjua vizuri tu,,,nitolee shobo hapa

  • @suleabdullah2247

    @suleabdullah2247

    Жыл бұрын

    Una hakika gn ww utkufaje?

  • @suleabdullah2247

    @suleabdullah2247

    Жыл бұрын

    Una hakika gn ww utkufaje?

  • @suleabdullah2247

    @suleabdullah2247

    Жыл бұрын

    Inaonyesha unashid hata unakoishi

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 Жыл бұрын

    Una lolote wewe

Келесі