MOGELA AICHANA SIMBA!/ AMFUATA HAJI MANARA/ 'WANAFIKI'/ NILIENDA YANGA KWA HASIRA/ 'WAMELAANIWA'
Спорт
Mchezaji wa zamani wa Tumbaku, Reli, Jogoo, Simba, Yanga na timu ya Taifa, Zamoyoni Mogela aeleza safari ya maisha yake ya soka kutoka Simba kwenda Yanga, kustaafu soka, maisha yake binafsi na familia yake kwa ujumla.
---
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Zamoyonimogela #Yangasc #Simbasc
Пікірлер: 108
Pole sana Zamoyoni, kweli Kuzaa Siyo Kupata!
Duh kuna wanawake na watoto hovyo sana. Mungu azidi kukulinda Golden Boy, uliupiga sana ukiwa Yanga.
Ubabaishaji wa viongozi wa simba kumbe ulianza toka zamani mweee
Safi Sana Golden Boy Kumtumainia Mwenyezi Mungu Nimefurahi Kwa Hili
Pole sana Zamoyoni Na hongera sana ndugu mtangazaji kwa kazi nzuri.
One of the soccer legends in Tanzania, Zamoyoni Mogella. ⚽️
Dah!Zamoyoni Mogela,namkumbuka sana huyu brother miaka ile
Nimeipenda hii interview, kwa kweli pamoja na maisha ya soka lakini kuna mengi ya kujifunza humu. Big up Legend Zamoyoni Mogela.
True Legendary Zamoyoni Mogela kwa kizazi chetu huyu ndio alikuwa kama Pele wa Tanzania, ila naomba siku moja watoto wako Mungu awafungue Macho waje kukutafuta na pia nawe piga moyo konde watafute wanao. Muyamalize msameheane.
Mzee yuko sawa kabisa napenda mazungumzo yake ya busara na yanajenga
Aisee allah akuhifadhi na akufanyie wepesi Kwa mtazamo na uwezo wa kutafakari ndiyo sababu ya mafanikio yako
Nakumbuka Sana enzi hizo(Mogela na Pita Tino)
Pole sana kaka mo njoo kimara nikupe bonasi ya utumishi bora kwa simba mjomba mo
Bless up Stand up Mogela Mungu akujalie Imani uliyokua nayo nikubwa
Dah huyu Mzee ana madini na hekima ya Hali ya juu sanaaa, Kuna vitu vingi vya kujifunza katika maisha tokea katika interview hii
Wooow. Bado yuko vizuri sana. Hingerah Mogela.
Hongera sana kwa interview nzuri sana. Nimejifunza kupitia huyo legend ni mtu wa imani asingekuwa mtu wa imani kwa mapito yake asingekuwepo.
Moja ya foward hatari sana kuwahi kutokea katika soka la Tanzania
Simba hiyo imetunyima sana raha wana jangwani,,"Zamoyoni mogella " golden boy,,, Malota soma" ball juggler" Raphael paul, Twaha hamidu, Deo njoole,,Mohamed Mwameja,,, Edward chumila, Ali machela, Ramadhan leny,, idd suleiman kibode,,, Madaraka,, Hamis gagarino nomaa, Michael paul" nylon",, baadae wakaongezeka kina Dua said, Method mogela, ilikuwa baraha aisee
The Legend! Mungu amuinue zaidi!
Miaka ile sisi wapenzi wa Simba tulikuchukia sana kwa kitendo cha kuenda Yanga ila sasa tumekuelewa.
Daah jamaa huyu Mungu amlinde,Bonge la striker Golden boy
Golden boy, salute ! Lot of wisdom.
@jeromemwenda2702
Жыл бұрын
Super Mogella
Asante sana Veteran kwa story nzuri.
🙏🙏🙏 Ingekua ni hivi sasa yani wewe ni level ya wakina Ronald.
My legend Mogela
Inasikitisha sana, Mogela amefanya makubwa sana kwa upande wa michezo, na nilipata bahati kuishi nae jirani miaka hiyo, Mungu amsimamie na amfanyie wepesi.
Pamoja sana mkuu maongezi yako ni mazuri na yako wazi sana na yanamafundisho hasa
Pole sana bro Nakupenda bure
Duuuh huyu jamaa alikuwa fundi sana
Wazalendo sana hawa jamaa,Mungu nimweema sana,well done Zamoyoni,Mungu atakulinda,IMAAN HIYO NA KUMKUBALI MUNGU,huyo iblisi Mungu atamwangazia na malipo hapahapa duniani.Moyo mkubwa ,akilinyingi,
Hii makala inafundisha mengi sana nimejifunza mawili matatu hivi, tuombe mwisho mwema
Mogella,mi sio Simba.ila nakukubali na ninakukubali sana ulifanya makubwa.na upo wazi.ingekuwa leo wakati ule we ungekuwa vzr mno.upo vzr pia usijali.mungu akubariki.
Golden Boy. Masha'allah uliifanya Simba ingrate haswa. Siku kama hii ya Simba Day ingepaswa kuwaenzi wachezaji wazamani. Walicheza Jihad.
@saidimalilo9640
Жыл бұрын
Alikosea kwenda yanga asitegemee Simba wata mwita Simba day
Manara na tumu yake wana muhaho wa kutafuta Attention kutoka Simba. Simba wametulia tuli. Mogella ametumikia vilabu vyote viwili Yanga na Simba cha ajabu kipi kumfuata Manara 😀
Aisee Mogella ninamkumbuka sana, kwa kweli viongozi wakati mwingine wanazingua sana!
🎉Hapi akiitwa DHL golden boy
daa mitihani mikubwa sana umepitia nasi tulio katika mitihani ya watalaka wetu mungu atupe hekima, busara na ushindi katika vita hii, waathirika wa exwenza vimeo tuseme aaaamiiin
Nimejifunza Jambo,kumbe Simba ni jeuri na wajanja Kwa wachezaji toka zamani,duuu
pole sana historia hii inaumiza sana
Wanawake wanavuruga sana,they can completely destroy your life.
Nimejifunza kitu asa kwenye maisha yako ya kifamilia
Pole sana nami yamenikuta hayo wana wake ni sumu
Legendary
wise man
Wakati Simba wanagomea kurudi uwanjani tayari yanga ilikuwa mbele Kwa magoli mawili
Golden boy
Dah aisee inasikitisha Sana hapo mwishoni wanawake mungu anawaona mtapata tabu Sana
@hassanmuhibu8442
Жыл бұрын
Inaumiza sana pole sana Zamoyoni Novella. (Golden boy)
Simba tulifungwa 3 bila na yanga kipindi cha kwanza hafu taimu hatukurudi uwanjani mogela ulikuwa bora sana
@mbarakadau7345
Жыл бұрын
Sio kweli mechi ilikuwa 0-0 HT
ya alikuwa ana assist vijana wakamtunga jina la DHL yaani anasambaza pasi nakumbuka sana
Kinachonisikitisha watoto kumtenga BABA🙄🙄🙄
Huko vizuri unaufahamu mpira.
Simba ni wababaishaji kwa asili😂😂😂😂
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Comment Yako ni Yakishabiki tu, Haina Ukweli wowote
HUYU SIJAHI ONA MCHEZAJI ANAYEJUA KUJI POSTION KUKAA SEHEMU SAHIHI YA KUFUNGA ..HUYU MWAMBA ALIKUWA NI KWELI ILIKUWA SAHIHI KUMWITA GOLDEN BOY
Mess wetu wa tanzania
Hao viongozi wanga kweli kweli!!
Bado unadamu ya SIMBA
Mogela "Golden boy" story yako imenigusa imenikumbusha mengi ndani ya S.S.C.Nyinyi ndiyo wachezaji mliochezea kllabu yetu kwa mapenzi ya dhati.Sasa hivi tuna wachezaji almaarufu maprofesheno wamekuja bongo kuvuna mihela wakati mguuni hakuna kitu.Wachezaji wetu wazawa hawapewi kipaumbele wamekuwa wasindikizaji tu.
@captainmwinyimanzi7654
Жыл бұрын
.
DHL....napajua pale kinondoni mkwajuni....!...ww ni legendary haswa na ulilitendea vyema soka la Tanzania, nyie ni watu ambao inabidi muwe kwenye mtando wa SOKA ...!
Wewe ni yanga watu Wana kuwa ndiyo maana Simba awakupi cheo wanajuwa yanga atasiku Moja ujwai kuifuga yanga
Ultupa heshima yanga uwanja wanakivubo kubebakombe kampala.
Wanawake ni mama zetu pia niwake zetu lakini inapaswa kuishi nao kwa akili sana, maana ukimuangalia mwamba huyo amepambana sana kutafuta mali akapata halafu mwisho wa siku hana mali zimebaki na mwanamke hatari sana,
Yupo vzr jamaa Kwa maelezo
Asate Sana
Kuna cha kujifunza kwako.Pole sana
Kumbe simba walianza tabia hiyo ya dharau
hawa ndio wakongwe. enzi hizo
No rest muda wote kuna ugeni huku🤣🤣🤣🤣🇦🇨
ZAMOYONI MOGELLA kumbe na yeye ni MORRISON wa zamani..
@mohdkhatib223
Жыл бұрын
Mpira ni ajira na ndio maisha ya wachezaji, sasa kama unacheza timu haikuthamini kwanini usiende kwenye timu itakayokupa manufaa?
@mwana4599
Жыл бұрын
Ha ha ha ha
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Hapa Mogela hamja mwelewa
Kumnunua mluguru ufanye kazi
Swali la kwamba wachezaji hata wa zamani walikuwa wanashangaza kwa kutoka Simba kwenda Yanga au Yanga kwenda Simba wakati mshamgao huo uko zaidi siku hizi, si swali sahihi na la kinyume. Zamani jambo hilo lilikuwa la kushangaza kwenye mfumo wa ujamaa ambao shabiki wa Yanga lazima achezee Yanga na wa Simba lazima achezee Simba. Sasa hivi kwenye ubepari tuliomo, hakuna suala la ushabiki kwenye kuzitumikia Yanga au Simba. LA USHABIKI SASA HALIPO.
UNGEMUULIZA JE, ALIWAHI KUPATA MAOMBI OFFER YA KUCHEZA SOCCER LA KULIPWA? AU ALIWAHI KUTAFUTA TEAM OUT OF TZ? AU KWA NINI HAKUCHEZA SOCCER LA KULIPWA , UKILINGANISHA NA KIWANGO CHAKE KIPINDI KILE!?
NJAA NIMBAYA SAAANA JAMANI
Nakumbuka nilidhulia mazoezi ya YANGA karume stadium ukiwa yanga kocha akiwa nzoisaba tauzan mlifanya mazoezi hadi saa sita mchana wewe ukilalamika Kwan tunaenda kucheza sudan😅😅😅😅
Gori tatu raundi ya kwanza Simba waliingia mituni
Ina onesha ni kweli ulihujumu Simba. Baada ya lawama ukaona uende huko ambako ulishawishiwa awali.
The real pandemic in Tanganyika is narcissistic personality disorder. We do not have doctors to treat this. This guy, Mogella et al, are all victims of this disorder
Siyo mpezi Simba huyo ni yanga tunajuwa kabisa na ndiyo maana anamuhuga mkono manala
@suleabdullah2247
Жыл бұрын
Hujielewi usemacho ww,labda ulikuwa hujazaliwa au
@hindisaidi5097
Жыл бұрын
Yani we umesikiliza tokea mwanzo au umedandia tu? Maana mwenyewe kasema waziwazi
@sophiesadick5510
Жыл бұрын
Mogella ni Simba, mpaka Leo ni mwanachama hai wa Simba.
@ernestkamata2555
Ай бұрын
Anajaribu kuongea uhalisia kwake ila wewe ndo hujui, lazima utakuwa mshabiki wa juzi
Aahh, baadae ndio nimegundua ni Dar24 Media!🙁 Nyie hamuwezi kusimama wenyewe bila kuchombezea vitu vingine ilikubonyeza chambo.Haji Manara ameingiaje humu? Nani "Wanafiki"? Nilisha apa siangalii content yenu tena!
Picha linafanana na mb3🙄🙄
@saidihussein612
Жыл бұрын
Golden boy zamoyoni mogela
@ashashariff307
Жыл бұрын
elfu 25000 ya waka ti
@ashashariff307
Жыл бұрын
25000 ya wakati huo unanunua nyumba kkoo
Elfu 25 enzi hizo unanunua nyumba,,,umalaya wenu tu unawaponza, mpaka rafiki yako Khamis Gaga kafa na ukimwi
@kaluluu2011
Жыл бұрын
Huna busara kabisa kwenye kinywa chako.unaoishi nao wanakazi xana wajipange. MTU timamu hawezi toa povu la kipuuzi Kama lako. Huwezi mhukumu mogella kwa life ya mtu mwingine Kama Gaga mungu kamuekea kila MTU akili yake. PILI ATA ukimwi NI kadari ya mungu TU .unaeza kua mzinzi na ucpate. Na mtulivu kbs AKAPATA. Muombe mungu TU atuepushe. TUNZA mdomo wako acha KUROPOKA.unazalilika wewe kiakili
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
@@kaluluu2011 siropoki naongea kwa kuwajua hao Gaga alikuwa anaishi nae,,,kapata ukimwi kwa kuzini,,,musinsingizie mungu weweee kwa upumbavu wenu,,,unaezalilika wewe uliekuja kujibu yasiyokuhusu,,,kwa taarifa yako huyo mogela,mkewe jamaa yangu,,namjua vizuri tu,,,nitolee shobo hapa
@suleabdullah2247
Жыл бұрын
Una hakika gn ww utkufaje?
@suleabdullah2247
Жыл бұрын
Una hakika gn ww utkufaje?
@suleabdullah2247
Жыл бұрын
Inaonyesha unashid hata unakoishi
Una lolote wewe