Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
@user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын
Hongera mh. Bashe....
@charlesmanga736214 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
@jamesjohn91603 жыл бұрын
Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
@jaafarwibonela7402 Жыл бұрын
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
@christopherkiswaga9270
7 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashe
@sosthenessotter94323 ай бұрын
Well done mheshimiwa BASHE!!
@CK-ri1mo3 ай бұрын
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
@azizimpwanyera-oo2iw9 ай бұрын
Bashe ur the best minister
@paulmayunga-bz5mr2 ай бұрын
Bashe umetisha
@ericagalla69212 жыл бұрын
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
@salumnyiga38014 жыл бұрын
Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana
@emiryfaida2437 Жыл бұрын
Bashe Yuko vzr sana
@benjambesseltdltdt.v.shiny94573 жыл бұрын
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
@karimujuma-mj3uj2 ай бұрын
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
@laulymo20633 жыл бұрын
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
@user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
@eyoboboytzeyobo11873 ай бұрын
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
@reganmartin54854 жыл бұрын
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
@mosesamon62332 жыл бұрын
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
@najmamgallah81548 ай бұрын
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
@Sutfashion Жыл бұрын
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
@yohanasefue8692 жыл бұрын
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
@simonmwanyika82883 жыл бұрын
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
@abdallahmdiliko8088 Жыл бұрын
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
@mariamm27243 жыл бұрын
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
@msalikemediaonline
2 жыл бұрын
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@aidamkemwa6393
Жыл бұрын
@@msalikemediaonline nitapataje mawasiliano
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
@pascalsamson4721 Жыл бұрын
duu
@mussasadick770 Жыл бұрын
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Kweli kabisa
@nderingomunis5398 Жыл бұрын
Unaitwa utupaaa huoo
@elispiuselias13399 ай бұрын
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni
Пікірлер: 39
Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
Hongera mh. Bashe....
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
@christopherkiswaga9270
7 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashe
Well done mheshimiwa BASHE!!
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
Bashe ur the best minister
Bashe umetisha
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana
Bashe Yuko vzr sana
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
Naomba namba yako mh. Mkulima.
Kilimo ndio mpango
muheshimiwa, bashe, naomba, unisaidie, niludishiwe,. mashine, yangu, ya, kuvutia, maji, niliyonyanganywa, na, mkuu, wa, wilaya,. nilijalibu, kufuatilia, sikuweza,. Kufaniliwa,. naomba, unisaidie
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
@msalikemediaonline
2 жыл бұрын
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@aidamkemwa6393
Жыл бұрын
@@msalikemediaonline nitapataje mawasiliano
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
duu
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Kweli kabisa
Unaitwa utupaaa huoo
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni