MKOJO WAMVURUGA HUSSEIN BASHE, MAAJABU YA MKULIMA IRINGA

Ойын-сауық

Пікірлер: 39

  • @linusjohn4941
    @linusjohn4941 Жыл бұрын

    Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын

    Hongera mh. Bashe....

  • @charlesmanga7362
    @charlesmanga736214 күн бұрын

    Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........

  • @jamesjohn9160
    @jamesjohn91603 жыл бұрын

    Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine

  • @jaafarwibonela7402
    @jaafarwibonela7402 Жыл бұрын

    Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda

  • @christopherkiswaga9270

    @christopherkiswaga9270

    7 ай бұрын

    Hongera sana Mh. Bashe

  • @sosthenessotter9432
    @sosthenessotter94323 ай бұрын

    Well done mheshimiwa BASHE!!

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo3 ай бұрын

    Namkubali sana waziri bashe🙏🙏

  • @azizimpwanyera-oo2iw
    @azizimpwanyera-oo2iw9 ай бұрын

    Bashe ur the best minister

  • @paulmayunga-bz5mr
    @paulmayunga-bz5mr2 ай бұрын

    Bashe umetisha

  • @ericagalla6921
    @ericagalla69212 жыл бұрын

    Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa

  • @salumnyiga3801
    @salumnyiga38014 жыл бұрын

    Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 Жыл бұрын

    Bashe Yuko vzr sana

  • @benjambesseltdltdt.v.shiny9457
    @benjambesseltdltdt.v.shiny94573 жыл бұрын

    *☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*

  • @karimujuma-mj3uj
    @karimujuma-mj3uj2 ай бұрын

    Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.

  • @laulymo2063
    @laulymo20633 жыл бұрын

    Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын

    Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako

  • @eyoboboytzeyobo1187
    @eyoboboytzeyobo11873 ай бұрын

    Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo

  • @reganmartin5485
    @reganmartin54854 жыл бұрын

    Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын

    Naomba namba yako mh. Mkulima.

  • @stanlugallah-ux1vn
    @stanlugallah-ux1vn11 ай бұрын

    Kilimo ndio mpango

  • @user-nt6zo4no5l
    @user-nt6zo4no5l7 ай бұрын

    muheshimiwa, bashe, naomba, unisaidie, niludishiwe,. mashine, yangu, ya, kuvutia, maji, niliyonyanganywa, na, mkuu, wa, wilaya,. nilijalibu, kufuatilia, sikuweza,. Kufaniliwa,. naomba, unisaidie

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe7962 жыл бұрын

    Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho

  • @mosesamon6233
    @mosesamon62332 жыл бұрын

    Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah81548 ай бұрын

    Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa

  • @Sutfashion
    @Sutfashion Жыл бұрын

    Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.

  • @yohanasefue869
    @yohanasefue8692 жыл бұрын

    Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi

  • @simonmwanyika8288
    @simonmwanyika82883 жыл бұрын

    alie sikia kambun gonga like yako hapa,

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Жыл бұрын

    Enzi za Jpm hizo hakuna kulala

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 Жыл бұрын

    Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA

  • @mariamm2724
    @mariamm27243 жыл бұрын

    Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze

  • @msalikemediaonline

    @msalikemediaonline

    2 жыл бұрын

    Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi

  • @aidamkemwa6393

    @aidamkemwa6393

    Жыл бұрын

    @@msalikemediaonline nitapataje mawasiliano

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Жыл бұрын

    Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 Жыл бұрын

    duu

  • @mussasadick770
    @mussasadick770 Жыл бұрын

    Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @nderingomunis5398
    @nderingomunis5398 Жыл бұрын

    Unaitwa utupaaa huoo

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13399 ай бұрын

    Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni

Келесі