SIRI YA GHARAMA YA NYANYA KUPANDA YAFICHUKA, DAWA ASILIA ZAHUSISHWA!!

Ойын-сауық

Пікірлер: 39

  • @LeonardSanga-zn5pn
    @LeonardSanga-zn5pnАй бұрын

    Safi sana mzee

  • @paschalrhobi654
    @paschalrhobi6542 ай бұрын

    R.I.P Gardner

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Clouds mko juu 👐

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa27904 жыл бұрын

    Iringa tanangoz .....galusy msekwa

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo96104 жыл бұрын

    Mzeee yupo vzr ,,,ila mtaji lazima uweee na mtajiii wanguvu

  • @emanuelmwanga4

    @emanuelmwanga4

    3 жыл бұрын

    Hii kitu achana nayo yan ikiamua kukupiga utajuta kuzaliwa

  • @philipomapingula2223
    @philipomapingula22233 ай бұрын

    Naomba niunganishwe na huyu mtuu

  • @paulebby1552
    @paulebby15524 жыл бұрын

    Kilimo ni hela

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa27904 жыл бұрын

    Mzeeee ana pesaa iringa balaaa uyo galus msekwa

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 Жыл бұрын

    Mm

  • @donathageorge6551
    @donathageorge65514 жыл бұрын

    Yani baba ana akili sana ni kweli tunapenda kuigana yani sahivi kila mtu anataka kupika cake

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi99094 жыл бұрын

    Clouds naomba mje bukoba na Mimi nalima nyanya Nina shamba kama la huyo mzee. Kila kitu 0757389060

  • @joviangeofrey7212

    @joviangeofrey7212

    4 жыл бұрын

    sehem gan ndugu

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o2 ай бұрын

    Habari naomba no yako

  • @tumainirwela6488
    @tumainirwela64888 ай бұрын

    Naomba mawasiliano yake

  • @mussasadick770
    @mussasadick770 Жыл бұрын

    Elimu Kwa wakulima zitolewe ili kupunguza gharama na kuongeza mazao kwenye eneo dogo

  • @alexmatasi3595
    @alexmatasi35953 жыл бұрын

    Aina ya nyanya?

  • @FrankiMagagura
    @FrankiMagagura Жыл бұрын

    Ndugu mkulima aina gani ya nyanya uyoilima?

  • @rizikiramadhani7986
    @rizikiramadhani79862 жыл бұрын

    Mkulima naomba unijulishe kuwa hii ni mbegu gani?

  • @denissanga454
    @denissanga4544 жыл бұрын

    yuko vizur

  • @twaribungimba9133
    @twaribungimba91334 жыл бұрын

    uko xehemu gani

  • @abubakariabdallah9347

    @abubakariabdallah9347

    4 жыл бұрын

    nipo dar me naitaji nimpte nijifunze kwa kipindi anachofanya maandalizi hadi kufikia kuvuna hzo nyanya

  • @abubakariabdallah9347
    @abubakariabdallah93474 жыл бұрын

    naweza kupata number ya huyu mzee

  • @twaribungimba9133

    @twaribungimba9133

    4 жыл бұрын

    abubakari abdallah ww usione ivo hiki kilimo unaweza ukafa kabla ya xiku zako maana Leo unao bei kubwa hebu kama unataka kufanya hii ixhu Fanya kwaza uchunguzi wakina

  • @sallyommy2662

    @sallyommy2662

    4 жыл бұрын

    Mi ninayo nikupe!?

  • @SH-kc2uz

    @SH-kc2uz

    3 жыл бұрын

    @@sallyommy2662 naomba unipe namba, na nitakushurani sana

  • @galusimsekwa9536

    @galusimsekwa9536

    3 жыл бұрын

    0754304008

  • @kalumangachannel4760

    @kalumangachannel4760

    Жыл бұрын

    @@sallyommy2662 naomba namba ya mkulima huyuuuu

  • @galusimsekwa9536
    @galusimsekwa95368 ай бұрын

    Naitwa galusi msekwa nipo iringa tanangozi karibu sana iringa kilimo ni biashara

  • @tumainirwela6488

    @tumainirwela6488

    8 ай бұрын

    Naomba namba yako ya simu niko Dodoma

  • @eyoboboytzeyobo1187

    @eyoboboytzeyobo1187

    3 ай бұрын

    Naomba namba yako mr msekwa

  • @user-qj9ql4xc9o

    @user-qj9ql4xc9o

    3 ай бұрын

    Naomba naomba yako kiongozi

  • @user-qj9ql4xc9o

    @user-qj9ql4xc9o

    3 ай бұрын

    Metaalam naomba naomba yako

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16874 жыл бұрын

    Anaye jaribu kuelewa hiyo text hapo alafu anajua kinge si kinge yaani ni googletransletionsvoice 🤣🤣🤣

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa27904 жыл бұрын

    Mzeeee ana pesaa iringa balaaa uyo galus msekwa

  • @herrymardaimallya2966
    @herrymardaimallya29664 жыл бұрын

    Safii sanaa

  • @herrymardaimallya2966

    @herrymardaimallya2966

    4 жыл бұрын

    Maisha yanatembea na baati pia huyo mzee hii ni baati yake pamoja na juhudi,hii biashsra ya kilimo cha nyanya huwaga ningumu sanaa ,kunakipindi zinakutana sokoni,tenga unakuta ni elfu mbili tena kwakuombea yaani,leo hiii mzee anauza tenga elfu themaninii doooh kweli hiyo ni Biko fuluu

  • @emanuelmwanga4

    @emanuelmwanga4

    4 жыл бұрын

    Kiukweli kilimo kinalipa mimi mwenyewe Nina heka moja nategemea kuanza kuchuma wiki mbili zijazo vijan amkeni

  • @graceclinton5303

    @graceclinton5303

    3 жыл бұрын

    Natamani sn kilimo br

Келесі