Mke wa Marehemu Kibaso: "Mwalimu alianguka siku ya mahakama,...alisoma Mzumbe"
Ғылым және технология
Mke wa Marehemu Kibaso aeleza maisha ya Mwalimu ndani ya familia hadi nje. Fuatana nasi kwenye mitandao ya kujamii.
Instagram: / injilileoblog
KZread: / injilileotv
Facebook: / injilileo
Website: injilileo.co.tz/
Пікірлер: 42
wow! what a parting shot! mjane wa Mwalimu Kibaso Himizo stadi kweli... nimemchagua Yesu na sijui kilicho mbele lakini tumaini kuu atatulinda vyema tuendako. Hebu mola na azidi kuwapa faraja na pengo lake ataliziba Mume wa wajane Yesu Kristo.
Mwalimu niyeye alifanya nipende nyimbo sana kutoka kurasini God bless his family
Tuonane asubuhi iliyo njema ,The Legend Mwl. Kibaso
Mungu akutie nguvu mama. Kwa kweli tumempoteza Mwalimu wetu. Nilimpenda sana Mwalimu SAMSON KIBASO na nyimbo zake nilikua nikizifuata nikiwa GOMA-DRC. Naamini asubuhi njema tutakutana naye parapanda ya BWANA itakapo lia.
Uwe na moyo mkuu. Mungu akuongoze pamoja na familia yako.
pole mama mwenzangu. Pokea pole zetu sote kama washiriki wa kanisa la Sabato. Mungu akupatie moyo wa kustahimili msiba huu
Mama pole sana,mungu akupitia moyo we na familia yako.Mungu akuwa na nyinyi.Barikiwa sana!
Pole sana, Mungu akupe faraja, pamoja na familia yako
Makiwa Kwa familia, ndugu Na marafiki wa kibaso. Tutakukumbuka baba Kwa nyimbo zako mzuri ulizotuachia
Mungu akufariji mama .wewe pamoja na familia yako
'"Hatujui huko mbele tuendako, lakini kwa kuwa tumemchagua Yesu tunaamini tutapita salama"' maneno yenye kutia matumaini kiasi gani!!
@richardojesi3188
3 жыл бұрын
Pole sana mama etu pamoja na ndgu jamaa marafiki bila kusahau kwaya ya kurasin pia kanisa la kurasin na jiji la dar kwa ujumla Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amen
What a parting shot from this strong woman...May God take charge and be with you and the rest of the Kurasini family...🙏🙏🙏
@sophiamlenga1513
4 жыл бұрын
Amen
@adelinakastory4337
2 жыл бұрын
Tutamkumbuka kibaso daima
Nimeumia Tena maskini kumskia huyu mama dah..jamani pole Sana mama
Yes he was teacher no at school but even in heaven,he is a teacher of the angels,Pole Mama,pole: watanzania,na East Africa nawenxetu majirani
Mungu azidi kuwapa faraja na rehema
Saddened with the loss. May God comfort this family.
Poleni sana Mwenyezi Mungu akupe nguvu.
Mungu hawepe nguvu
Haa!Mwl,kibaso kafariki lini Jamani?Ee,Mwenyenzi Mungu,umlaze mahali pema peponi:poleni sana
Mi ni moravian nilikuwa nasikiliza sana nyimbo zake leo na kesho sitoacha duu rip kibado
Pole sana mama
Iliniuma kweli kumpoteza
Jmn poleni sana kwa msiba wa mwalim 😭😭😭
Pole Sana WiFi yangu
Rambi rambi zangu kwa familia ya mwalimu. Kwa Wimbledon wake najivunia yesu Alice nips uwezo. Mchungaji suleiman kutoka Kenya.
Pole
Mungu awape nguvu
Jamani poleni
Rest in peace Sr Kibasooo
pokea pole zangu
Kibaso tutakukumbuka daima
Mungu akupiganie mama
@josendaki2321
4 жыл бұрын
Yesu ni jibu
Poln Sana jaman kiukwel mwalim uyu nilivyo kuwa na mpenda sipat picha nyimbo Zak Tam Tam tu ko pol Sana jaman
Haifungukii
@injilileoTV
4 жыл бұрын
Kesho itakuwa hewani saa3 asbh
@christinamsuya8857
4 жыл бұрын
@@injilileoTV sawaaa
@omwengapeter6251
4 жыл бұрын
Kumtegemea mungu...asante mama Amina.
@neemastanley1667
4 жыл бұрын
Pile rafiki yangu mwenetu.. naomba no zako za Simu? Mungu akutie nguvu Senciar